Monday 25 April 2016

MANENO YA ZITTO KABWE KUHUSU JP KUINGILIA KAZI ZA MAWAZIRI

LAYIII

April 25 2016 Chama cha ACT Wazalendo kimekutana katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama jijini Dar es salaam. Katika hotuba yake Kiongozi Mkuu wa chama hicho na Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amempongeza Rais John Magufuli kwa kuanza katika eneo la ufisadi ambalo ni muhimu sana ambalo anasema ni msingi mkubwa wa kuanzishwa chama chao.
Licha ya kumuunga mkono kwa hatua hizo anazozichukua lakini ameelezea namna Rais Magufuli ambavyo amekuwa akiingilia majukumu ya Mawaziri, Zitto amesema ……


No comments:

Post a Comment

advertise here