Wednesday 4 May 2016

WAKATI WEWE UNAUGULIA NJAA NA UHABA WA FEDHA FLOYD MAYWEATHER ANACHOMA DOLLAR

SWAXBZ

Bondia mwenye jeuri ya pesa Mayweather amechoma pesa hadharani $100 kwa kiberiti,mbele ya wapqmbe wake huku akishangiliwa na wapambe

Pembeni akiwa amezungukwa na warembo waki-massage massage mwili wake...Jamaa ana kufuru
sana ya pesa



No comments:

Post a Comment

advertise here