Thursday 29 December 2016

KUTOKWA NA DAMU BILA MPANGILIO UKENI....


Tatizo hili huwasumbua wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa na baadhi ya wanawake ambao tayari wameshafikia ukomo wa kuzaa. Kwa mwanamke aliyekwishafunga kupata hedhi kuendelea kupata damu ya hedhi au kutokwa na damu ukeni bila ya mpangilio siyo hali ya kawaida.

Saturday 10 December 2016

LORI LA MAFUTA LALIPUKA KENYA NA KUSABABISHA VIFO


Lori la mafuta limelipuka nje ya mji wa Nivasha nchini Kenya usiku wa Jumamosi December 10 2016 na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 40.
Taarifa iliyotolewa mapema leo December 11 2016 asubuhi na msemaji wa idara ya taifa ya mambo ya dharura nchini Kenya Pius Masai amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo na kwamba magari zaidi ya 11 yameteketezwa kwa moto katika barabara ya Nairobi-Naivasha.

ALI KIBA AJIZOLEA TUZO ZA EATVAWARD

Mkali wa ‘Aje’, Ali Kiba jana aling’ara zaidi katika tuzo za EATV 2016 zinazoandaliwa na kituo cha runinga cha East Africa zilizotolewa katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye huku msema chochote akiwa mtangazaji wa zamani wa kituo hicho, Salama Jabir.

WASANII WACHACHE WALIOCHEZEA BAHATI KTK TASNIA YA MUZIKI

Hapana shaka hata kidogo mziki wa Bongefleva umepanda chati kwa kasi sana kimataifa hasa barani afrika na wanamuziki wake wamekuwa na ushawishi mkubwa katika kiwanda cha muziki ndani na nje ya nchi..
Mpaka mziki huu umefanikiwa kufika hapo imekuwa ni safari iliyojaa milima na mabonde! Kuna

ZIJUE SIFA 10 ZA MTU MWENYE MAPENZI YA KWELI NA WEWE

Vijana wengi ambao wanapendana leo mapenzi yao hayadumu kiasi cha kubatizwa jina la utamu wa bazoka. Lakini yote hii inatokana na ukweli kwamba elimu ya mapenzi ambayo ni muhimu kwa binadamu haitolewi ipasavyo.

Ipo zana potofu kwamba kumfundisha mtoto mapenzi ni kumharibu, jambo ambalo si kweli bali inategemea mtoto huyo anafundishwa nini na kwa wakati gani. Lakini cha kushangaza zaidi hata watu wazima ambao ni wadau wa mapenzi hawayajui, matokeo yake wanajiingiza kwenye uhusiano wakiwa bumbumbu na hivyo kuteshwa na changamoto zinazowakabili.

Thursday 8 December 2016

MIONGONI MWA WASANII WAKUBWA AFRICA MTANZANIA MMOJA ATAJWA

Mara nyingi tumezoea kuona list za wasanii wakubwa wakitajwa kuingiza pesa nyingi zaidi Afrika, wiki hii imetoka list iliyoandikwa na eDaily kupitia ripota Brian Okoth ambayo imewataja wasanii watano kutoka Afrika wanaotajwa kuingiza pesa nyingi zaidi mwaka 2016.

5. Diamond Platnumz (Tsh. Bilioni 9,665,923,190.55)

Related imageMtanzania Diamond Platnumz huenda akawa msanii anayezungumzwa au kutajwa sana kwasasa barani Afrika kutokana na headlines anazotengeneza kila siku, mikataba yake na

Tuesday 6 December 2016

MATAIFA YA ULAYA KUTUMA CHOMBO SAYARI YA MARS

ExoMars
Mawaziri wa utafiti kutoka bara Ulaya wanaokutana mjini Lucerne, Uswizi wamesisitiza kwamba mpango wa kutuma chombo maalum kinachoweza kusafiri kwenye sayari ya Mars mwaka 2021 bado utaendelea.
Wameahidi kutoa jumla ya euro €436m ambazo zinahitajika kufanikisha mpango huo.
Mradi huo umechelewa kiasi na unagharimu pesa zaidi kuliko ilivyotarajiwa, jambo lililoibua wasiwasi kwamba mataifa wanachama wa Shirika la Anga za Juu la Ulaya (ESA) huenda wakaufuta

GARI LADUMBUKIA NDANI YA SHIMO HUKO TEXAS, MAREKANI

Mpita njia alisaidia mwenye gari jingine ambalo pia lilikuwa limetumbukia kwenye shimo hilo
Liwali ambaye hakuwa kazini alifariki baada ya gari lake kutumbukia kwenye shimo lililojaa maji, ambalo lilizuka ghafla katika eneo la San Antonio, jimbo la Texas nchini Marekani.
Maafisa wanasema Dora Linda Nishihara, 69, ambaye ni naibu liwali aliyekuwa anahudumu kama afisa wa kutekeleza maagizo ya mahakama, alifariki baada ya gari lake kutumbukia kwenye shimo

RIPORT YA HOSPITALI KUHUSU KIFO CHA MCHEZAJI WA MBAO FC KUFIA UWANJANI HII HAPA



Baada ya kufariki uwanjani kwa mshambuliaji wa timu ya Mbao FC Ismail Khalfan siku ya Jumapili ya December 4, leo December 6 2016 imetoka ripoti ya kilichosababisha kifo cha mchezaji huyo wakati wa mchezo kati ya Mbao FC dhidi ya Mwadui FC.

Monday 5 December 2016

MADAKTARI KENYA WAANZA MGOGO KITAIFA

Taarifa zilizoripotiwa na BBC leo December 5 2016 kuhusiana na nchi ya Kenya ni kuwa madaktari  na wauguzi wa nchi hiyo wameanza mgomo wa kitaifa ikiwa kama sehemu ya kuishinikiza serikali kutimiza mahitaji yao.

VIDEO: NISHA BEBE MIMBA HII NGEKUWA YA BARAKA DA PRINCE

Nyota wa filamu nchini ambaye siku za karibuni amekuwa akihaha na ujauzito alionaonao bila kumuweka wazi muhusika, amekanusha kuwa ujauzito huo ni wa msanii Baraka The Prince.

Nisha Baby amefunguka kuhusiana na hilo akiwa katika kipindi cha FNL cha EATV, na kusema kuwa endapo ujauzito huo ungekuwa wa Baraka kama inavyosemwa na wengi basi ungetoka wenyewe mapema sana kwa kuwa Baraka ni miongoni mwa wanaume asiowapenda kabisa duniani.

YOUNG DEE KAKANUSHA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA

https://www.youtube.com/watch?v=vYYS8vmDBTYMsanii wa hip hop nchini Paka Rapa (Young Dee) amesema hatumii dawa zozote za kukuza misuli yake na mwili wake bali anafanya mazoezi kila siku na bado hajafikia katika kiwango ambacho anataka kufikia.

Hata hivyo akiongea kupitia eNewz, Young Dee amesema anazingatia chakula, muda  wa mazoezi na

MIJI KUMI MICHAFU ZAIDI DUNIANI

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO mwaka 2010 takribani watu 223,000 walfariki dunia kutokana na kansa ya mapafu.
Afrika mashariki ya kati na kaskazini mwa afrika ndo maeneo yanayoonekana kuwa machafu sana
kwa wastani wa 130 mcg/m3 ikifuatiwa na asia ya kusini yenye wastani wa 100 mcg/m3
hapa chini ni miongon mwa miji michafu sana kwa mujibu wa WHO


10. LAHORE, PAKISTAN

Most Polluted Cities Lahore nchini pakistan ndo mji uonaonekana kuwaumesheheni watu wengi ukiwa na wastani wa 200 mcg/m3na ukionekana ndo mji unaoongoza kwa uchafu duniani kulingana na tak

ALICHO KISEMA MOURINHO BAADA YAKUMCHEZESHA FELLAINI

jose mourinho & marouane fellaini
Jose Mourinho ametetea uamuzi wake wa kumuingiza uwanjani kiungo wa kati Marouane Fellaini kama nguvu mpya wakati wa mechi ambayo Manchester United walitoka sare na Everton Jumapili.
Fellaini alisababisha penalti muda mfupi baada yake kuingia dakika ya 85, na kuwawezesha Everton kusawazisha na mambo yakawa 1-1.

Friday 2 December 2016

MELI YA TITANIC YAONEKANA CHINA

China kutengeneza meli inayofanana na 'Titanic' BONYEZA picha hapo chini kuiona videomfano wa mashua ya Titanic

Mashua sawia na iliyotengenezwa katika mji mkuu wa Belfast huko Ireland ya Titanic itawekwa katika eneo la kumbukumbu la theme park nchini India.
Ujenzi huo wa mashua hiyo yenye urefu wa kina cha mita 269, itawekwa katika hifadhi iliyoko mashambani , katika mkoa wa Sichuan, .

KUHUSU KUFUNGWA KWA KIWANDA CHA DANGOTE


BEI ya simenti imeanza kupanda katika baadhi ya maeneo nchini, imefahamika.

Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA unaonyesha kuwa bei hiyo imepanda zikiwa ni siku chache baada ya kiwanda cha simenti cha Dangote kilichoko mkoani Mtwara, kusimamisha uzalishaji kutokana na gharama kubwa ya uzalishaji.

GODBLESS LEMA ANYIMWA DHAMANA KWA MARA NYINGINE TENA


Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imemnyima dhamana Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Godbless Lema. Mahakama hiyo imeeleza kuwa mawakili wamtuhumiwa huyo walipaswa kuonesha kusudio la kukata rufaa ndani ya siku10 kabla ya kukata rufaa.

Thursday 1 December 2016

USAJIRI WA MZAMBIA YANGA WAKAMILIKA

https://youtu.be/V03uLM9J03I
Timu ya Dar es Salaam Young Africans leo December 1 2016 imetangaza kumsajili kiungo raia wa Zambia Justine Zulu, kiungo huyo amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili.
Yanga imemsajili Justine Zulu kutokea timu ya Zesco United ya Zambia, kwa taarifa hiyo sasa ni rasmi Justine Zulu ataungana na kocha wake wa zamani ambaye amejiunga na Yanga hivi karibuni

VIDEO: JUSTIN BERBER ANAAMINI INSTAGRAM NI YA SHETANI


Justin Bieber amekuwa mbali na mtandao wa Instagram tangu mwezi August 2016 ambapo alijiondoa rasmi kwenye mtandao huo hali ambayo imesababisha mashabiki wake kumiss kumuona kwenye mtandao huo ambao unamuwezesha mtumiaji kutuma picha pamoja na video.
Akiwa kwenye show yake London aliuliza mashabiki “nani angependa nirudi Instagram?

Wednesday 30 November 2016

NJAMA 638 ZA MAUAJI ALIZOEPUKA FIDEL CASTRO

Fidel Castro akivuta sigara yakehttps://www.youtube.com/watch?v=HiiQM9u2tT0
Njama ya kutumia sigara kumuua Fidel Castro ambayo ilitibuka inajulikana sana, lakini njama nyengine 637 dhidi ya maisha yake ni zipi?
Shirika la kijasusi nchini Marekani CIA na watu waliotoroka Cuba wakati wa uongozi wa Castro walitumia nusu ya karne moja kufanya njama za kumuua kiongozi ambaye taifa lake lina athari

VIDEO: WAZIRI MKUU MAJALIWA, JK WALIVYOSHIRIKI KUAGA MWILI WA MZEE PINDA DODOMA

November 30 2016 Waziri mkuu Kassim Majaliwa pamoja na Rais mstaafu Jakaya Kikwete waliungana na baadhi ya watanzania katika kutoa salamu zao za mwisho kwa aliyekuwa baba mzazi wa Waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda mzee Xavery Pinda aliyepelekwa mkoani Katavi kwa ajili

Sunday 27 November 2016

LIVERPOOL YAPATA PIGO

 Philippe Coutinho amepata majeraha mabaya wakati wa kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Liverpool dhidi ya Sunderland.

Uwanja wa Anfield ulizizima kwa ukimya wakati fundi huyo wa kibrazil akiwa chini huku wakiwa na shauku ya kutaka kujua itachukua muda gani nyota wao kurejea tena kwenye pitch.

SALAMU ZA RAMBI RAMBI DK MAGUFULI KWA FIDEL CASTRO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, John Pombe Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Raul Castro kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba Mhe. Fidel Castro kilichotokea tarehe 25 Novemba, 2016. Katika Salamu hizo Rais Magufuli amesema;

"Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Fidel Castro. Kwa niaba ya Serikali, Wananchi wa Tanzania na kwa niaba yangu mwenyewe natoa pole nyingi kwako, familia, Serikali ya Cuba na wananchi wa Cuba kwa kumpoteza mtu muhimu.

MAKAO MAKUU YA TANESCO KUBOMOLEWA WAKATI WOWOTE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli amesema kuwa Jengo la Makao Makuu ya TANESCO lililopo Ubungo litabomolewa wakati wowote kuanzia sasa ili kupisha ujenzi wa Ubungo Interchange yenye ghorofa 2 mpaka 3 hali itakayopunguza msongamano wa magari kwenye eneo hilo.

Friday 25 November 2016

KAMPENI YA KUMNG’OA TRUMP YASHIKA KASI

BONYEZA PICHA HAPA KUONA VIDEO HAPO

Ndoto za Donald Trump aliyechaguliwa hivi karibuni kuwa Rais wa 45 wa Marekani huenda zikayeyuka baada ya wajumbe sita wa Democratic watakaopiga kura za majimbo kuanzisha kampeni maalumu ya kuwashawishi wajumbe wengine kutomwidhinisha Rais huyo mteule.

Wajumbe hao ambao majina yao yalitangazwa jana wanaamini kuwa iwapo watafanikiwa kuwashawishi wenzao wengine 37 kutoka Chama cha Republican basi watakuwa wamefanikiwa

OMMY DIMPOZ: KUMBE KISA WEMA SEPETU OMMY DIMPOZ WALIVULUGANA NA DIAMONDPLATNUMZ

STAA wa Bongo fleva hapa nchini, Ommy Dimpoz anayetamba na ngoma yake ya ‘Kajiandae’, amefungukia bifu lake na msanii mwenzake, Diamond Platinumz kuwa chanzo cha ugomvi wao ni Miss Tanzania wa mwaka 2006, Wema Sepetu ‘Madam’.

Akizungumza leo Novemba 24, 206 wakati wa mahojiano kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, Dimpoz amesema mwanzoni walikuwa na urafiki mzuri na Diamond na walikuwa wakishirikiana mambo mengi kuhusu muziki wao, lakini baadaye hali ilikuwa tofauti baada, Diamond akaanza kumpoteza na kukwepa kufanya naye baadhi ya mambo kwa pamoja.

Dimpoz amesema hayo baada ya Diamond kusema mambo kadhaa kuhusu yeye wakati akifanya mahojiano jana kwenye kipindi hicho cha XXL.

MUHIMBILI YAFANYA UPASUAJI MKUBWA WA KIHISTORIA WA KUHAMISHA MISULI

Madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili jana kwa mara ya kwanza wamefanya upasuaji kwa kutumia darubini (microvascular surgery) wa kuhamisha misuli na mishipa ya damu kutoka kwenye mguu kwenda sehemu nyingine chini ya mguu (free gracilis muscle transfer).

Upasuaji huu wa aina yake na ambao mara nyingi huchukua muda wa saa sita hadi saba una lengo la kujenga uwezo kwa watalaamu wa ndani ili waendelee kutoa huduma za ubingwa wa hali ya juu kwa Watanzania wengi zaidi na vilevile kupunguza kasi ya kupeleka wagonjwa nje.

Thursday 24 November 2016

AUDIO: OMMY DIMPOZ AFUNGUKA KISA CHA KUKOSANA NA DIAMOND PLATNUMZ

Katika interview ndefu aliyofanyiwa Alhamis hii kwenye kipindi cha XXL kupitia Clouds FM, Ommy Dimpoz amefunguka kwa kina visa na mkasa vilivyopelekea akosane na swahiba wake wa zamani, Diamond Platnumz.


Ommy amelazimika kusimulia hayo baada ya Jumatano kupitia kipindi hicho hicho, Diamond kuelezea uhusiano wao na jitihada ambazo Ommy amewahi kuzifanya ili kuomba wayamalize.

Wednesday 23 November 2016

MBWANA SAMATTA ALIVYOIKOSA TANO BORA YA WACHEZAJI AFRIKA


Shirikisho la soka barani Africa (Caf) limetoa orodha ya majina ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika mwaka 2016, jina la mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta halipo katika orodha ya wachezaji hao waliofanikiwa kuingia tano bora.


WCB YAINGIA UBIA NA LEBO KUBWA YA MUZIKI DUNIANI UNIVERSAL MUSIC

Mwanamuziki Diamond Platnumz ametangaza kwa mara ya kwanza kuwa lebo yake imeingia partnership na lebo kubwa ya Muziki Duniani inayojulikana Kama Universal Music, Lebo hiyo

Tuesday 22 November 2016

AUDIOMPYA: RICH MAVOKO NA DIAMOND WANAKULETEA“KOKORO”

Baada ya kukaa kimya kwa muda kidogo, mwimbaji star kutoka lebel yenye mastaa wakali sana Tanzania, WCB, Richard a.k.a Rich Mavoko a.k.a Tajiri wa Vocals amekutana kwa mara ya kwanza kwenye collabo na Diamond Platnumz, ndani ya brand new joint “Kokoro”.

U HEARD: MAJIBU YA DIAMOND JUU YA MWANAYE “TIFFA” KUOLEWA NA MTOTO WA ALIKIBA

Kutoka ndani ya XXL leo November 22, 2016 U Heard imekuja na stori kuhusu picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonesha watoto wa mastaa wa Bongo Flava, Diamond Platnumz na Alikiba huku ikiwa imeandikwa (Natamani mkikua mje kuoana ili baba zenu wapatane).
Kwa mujibu wa Soudy Brown baada ya kuzagaa kwa picha hiyo, kuna tajiri fulani jijini Dar es

Monday 21 November 2016

PICHA:RASTA ALIYEFUNGA NDOA NA LADY JAYDEE

BONYEZA PICHA HAPA KUIONA VIDEO
Huenda Lady Jaydee akawa amepata mwanaume wa kumkabidhi moyo wake. Tangu aachane na mume wake, Gardiner G Habash, muimbaji huyo mkongwe hajawahi kuonekana na mwanaume aliyehisiwa kuwa ni mpenzi wake. Na sasa kwa picha alizoweka Instagram, uwezekano wa kuwa amerejea kupenda tena ukawa ni mkubwa.

TAARIFA:RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE NA UJUMBE WAKE HAWAKUZUIWA KUSAFIRI UWANJA WA NDEGE DAR ES SALAAM

BONYEZA PICHA HAPA KUIONA VIDEO AKIWA DUBAI LIKE COMMENT VIDEO YA JUX NA VANESSA MDEE BOFYA PICHA HAPO CHINI
Jana Asubuhi iliandikwa Habari iliyokuwa imechapishwa kwenye gazeti la Tanzania la kila siku ‘Mtanzania’ ambapo kichwa cha habari cha taarifa hiyo kilikuwa kikisomeka ‘Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete azuiwa kusafiri nje ya nchi uwanja wa ndege Dar es Salaam.’

Katika habari hiyo, gazeti hilo liliandika kuwa kutokana na taarifa lililozipokea ni kuwa Rais Mstaafu

Sunday 20 November 2016

MAKAMU MWENYEKITI WA ZAMANI YANGA AFARIKI DUNIA

ALIYEWAHI kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Muda ya Yanga, Isaac Shekiondo ‘Clinton’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.

Taarifa ya familia imesema kwamba, marehemu amefariki baada ya kuugua kwa muda na msiba upo nyumbani kwake, Ilala Mchikichini Kota.

Shekiondo alikuwa Makamu Mwenyekiti katika Kamati ya Muda ya Yanga chini ya Mwenyekiti, Tarimba Abbas ‘Thabo Mbeki’ na enzi zake anakumbukwa kutokana na ukarimu wake na uwajibikaji mzuri.

JE WE NI MWANAUME NA UNATATIZO LA KUFIKA KILELENI BASI SOMA HAPA

Pre mature ejaculation ni nini?
Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.

Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada  ya hali hii kutokea.

Kimsingi  mwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja.

WASIRA: UZEE HAUNIZUII KUDAI HAKI YANU

Waziri wa muda mrefu na mbunge wa zamani wa Bunda, Steven Wasira amewajibu wanaodai kwamba amelazimika kustaafu siasa baada ya mpinzani wake, Ester Bulaya kuwashinda wapigakura wanne waliokuwa wakipinga ushindi wake wa ubunge wa Bunda Mjini na kusema hajastaafu na uzee haumzuii mtu kudai haki yake.

Thursday 17 November 2016

KINGINE KUHUSU SCOPION MTOA MACHO HIKI HAPA

Upelelezi wa kesi inayomkabili Salum Njwete maarufu kama Scorpion anayetuhumiwa kumsababishia upofu wa kudumu Saidi Mrisho umekamilika na hatimaye shauri hilo litasomwa Novemba 30 mwaka huu katika mahakama ya manispaa ya Ilala.

Njwete anatarajiwa kusomewa mashtaka yake baada ya yale ya kwanza kufutwa ambapo itakuwa ni mara ya kwanza kusikilizwa baada ya kufunguliwa mashtaka mapya.

Huyu ndiye Scropion, kijana aliyejizolea umaarufu ambapo watu wengi hupenda kumshuhudia kila aingiapo na kutoka mahakamani huku kila mmoja akizungumza lake kwa kesi inayomkabili.

Alipoingia mahakamani leo, aliomba ufafanuzi wa wazi juu ya mashtaka yanayomkabili ambapo upande wa jamhuri kupitia kwa wakili wake Chesensi Gavyole walisema ushahidi umekamilika.

Kutokana na kuombwa ufafanuzi, Hakimu anayesimamia kesi hiyo Flora Haule amesema baada ya upelelezi huo kukamilika kesi hiyo itasomwa Novemba 30 mwaka huu, hivyo mshtakiwa atapata ufafanuzi wa mashtaka yake .

Ikumbukwe kwamba Oktoba 19 mwaka huu, Salum Njwete maarufu kama Scropion alifutiwa kesi na kisha kusomewa upya mashtaka yake kutokana na uamuzi wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) aliyeomba kufanya hivyo baada ya hati ya awali kuwa na mapungufu ya kisheria
VIDEO DAKIKA TANO KOFFI OLOMIDE ALIVYOMPIGA DANSA WAKE

DALILI MUHIMU ZA MWANAMKE ALIYEFIKA KILELENI

Wanaume wengi sana hua tunadanganywa na wenza wetu kua tumewaridhisha vya kutosha lakini ukweli hua hakuna kitu

Hua wanafanya kwa nia njema tu kwani wanaume hua tunajiskia amani sana kuambiwa umemfikisha mtoto wa kike kwani ni jambo la kishujaa kama trumph uchaguzi us

Wednesday 16 November 2016

DONALD TRUMP AZIKATAA DOLA 400,000 ZA MSHAHARA WA RAIS..ADAI ATAJILIPA DOLA 1 KWA MWAKA

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema hataki kulipwa mshahara wa rais wa $400,000 atakapochukua hatamu Januari mwakani. Badala yake atakuwa akilipwa dola moja ya Marekani ($1) pekee kila mwaka  sawa na shilingi 2000 ya kitanzania.

Monday 14 November 2016

MWEZI MKUBWA ZAIDI KUONEKANA DUNIANI

Mwezi mkubwa zaidi kuonekana

Watazamaji wa anga wanajiandaa kuuona mwezi mkubwa zaidi wakati ambapo utakaribia dunia tangu 1948.

Uingereza itakuwa na fursa nzuri kuuona mwezi huo siku ya Jumatatu jioni,licha ya kuwa utakaribia dunia mwendo wa saa tano na dakika 21 muda wa GMT ambapo utakuwa umbali wa kilomita

WAZIRI MKUU DRC AJIUZULU

Wadhifa wa bwana Ponyo utachukuliwa na mwanachama wa upinzani
Waziri mkuu nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Augustin Matata Ponyo, amejiuzulu na kutoa fursa ya kuteuliwa mrithi wake kuongoza serikali ya mpito.
Kujiuzulu kwa bwana Ponyo ni sehemu ya makubaliano yaliyotiwa sahihi mwezi uliopita kati ya serikali ya Rais Joseph Kabila na baadhi ya vyama vya upinzani ya kuhairisha uchaguzi wa urais hadi mwezi Aprili mwaka 2018.

MICHIRIZI INAYOONEKANA KTK MIILI YA WANAWAKE HUASHILIA NINI

Hivi Ile michirizi inayoonekana kwa baadhi ya kinadada nyuma ya goti wakiwa wamevaa sketi fupi huwa ni ishara ya NINI AU NI utamu wao kama Mwana FA alivyoimba

BAADA YA TRUMP KUSHIDA URAIS MAREKANI TB JOSHUA AFUNGUKIA UTABIRI WAKE ULIOGONGA MWAMBA

Mhubiri mashuhuri raia wa Nigeria TB Joshua amevunja kimya baada ya utabiri wake kuwa mgombea urais nchini Marekani Hillary Clinton angeshinda, kugonga mwamba.

Mhubiri huyo alikejeliwa kwenye mitandao ya kijamii wakati ujumbe wa utabiri wake, kufutwa na baadaye kurejeshwa katika akaunti yake ya Facebook kufuatia ushindi wa Donald Trump.

Hata hivyo, wafuasia wake wamekuwa wakimtetea wakisema kuwa utabiri wake ulitimia kwa sababu

Sunday 13 November 2016

GIGY, AMBER LULU WAINGIA KWENYE VITA BARIDI

gigy_money
Gift Stanford ‘Gigy Money’.
Ma-video queen wasumbufu Bongo, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ na Gift Stanford ‘Gigy Money’ wapo kwenye vita baridi (vita ya maneno) kufuatia Gigy kumchamba mwenzake kutokana na yale

LIST YA WACHEZAJI BORA DUNIANI KUANZIA MWAKA 20006 HADI 2015


https://youtu.be/xU0jMQS1vuAhttps://youtu.be/xU0jMQS1vuA
https://www.youtube.com/watch?v=keucMcCM1Ww
2015 Lionel Messi ni mmoja wa wachezaji walio juu duniani. alizaliwa Argentina, kwa sasa anachezea club ya Barcelona katika ligi za hispania. Pia anajulikana kama Leo, La Pulga Atomica (The Atomic Flea) alizaliwa 24 June 1987,huko Rosario, Argentina
Wazazi wake ni Jorge Horacio Messi ( was a factory worker) na Celia María Cuccittini (was a

advertise here