Tuesday 30 June 2015

TUZO BET LAWAMA KIBAO

LAYIII
Siku hizi mbili zimekua na mfululizo wa baadhi ya Wasanii wa Afrika akiwemo Mghana FUSE ODG na Wanigeria Wizkid na Yemi Alade kuonyesha walivyokasirishwa na kituo cha TV cha BET cha Marekani kuwatenga Wasanii wa Afrika na wa Marekani kwa kutoa tuzo za Afrika asubuhi bila shamrashamra huku za kina Beyonce zikitolewa jioni.

50Siku hizi mbili zimekua na mfululizo wa baadhi ya Wasanii wa Afrika akiwemo Mghana FUSE ODG na Wanigeria Wizkid na Yemi Alade kuonyesha walivyokasirishwa na kituo cha TV cha BET cha Marekani kuwatenga Wasanii wa Afrika na wa Marekani kwa kutoa tuzo za Afrika asubuhi bila shamrashamra huku za kina Beyonce zikitolewa jioni.

JINSI MNYIKA ALIVYO IPAISHA ISSUE YA MAFUTA BUNGENI

LAYIII
Kwenye Kikao cha Bunge jana JUNE 29 2015 Naibu Spika Job Ndugai alimwomba Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage atoe ufafanuzi kuhusu ujumbe uliosambazwa kwa message na Mitandaoni kwamba kuna mgomo wa kuuza mafuta ya petroli na dizeli.

Kuna mgomo wa kuuza mafuta Tanzania? Mbunge John Mnyika kairudisha hii tena Bungeni.. (Audio)

IMG_1259 Kwenye Kikao cha Bunge jana JUNE 29 2015 Naibu Spika Job Ndugai alimwomba Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage atoe ufafanuzi kuhusu ujumbe uliosambazwa kwa message na Mitandaoni kwamba kuna mgomo wa kuuza mafuta ya petroli na dizeli.

YAJUE MANENO YA SALAMA JABIR JUU YA KIBA NA DIAMOND

LAYIII
Upinzani unaoendelea kati ya Diamond Platnumz na Ali Kiba unaofanywa  na mashabiki kwenye mitandao ya kijamii umepelekea mtangazaji wa kipindi cha Mkasi Salama Jabir na muimbaji mkongwe wa Hip Hop  Solo Thang kushindwa kuvumilia na kuamua kuyatoa ya moyoni.

Salama Jabir na Solo Thang wameyasema haya yawafikie mashabiki wa Ali Kiba na Diamond

.
.
Upinzani unaoendelea kati ya Diamond Platnumz na Ali Kiba unaofanywa  na mashabiki kwenye mitandao ya kijamii umepelekea mtangazaji wa kipindi cha Mkasi Salama Jabir na muimbaji mkongwe wa Hip Hop  Solo Thang kushindwa kuvumilia na kuamua kuyatoa ya moyoni.

KAMA UMEMISI KULIONA GHARI LA SOLA ALOTENGENEZA MWANAFUNZI MNAIJELIA HILI HAPA

LAYIII
 Ni lini wanafunzi wa tanzania watabuni vitu vyao na kuvifanyia kazi na je ni lini wanafunzi hao watakuza vipaji vyao kwa kufanya mambo ya mshangao duniani
cheki mwanachuo huyo

A student from the Obagemi Awolowo University, in Nigeria, has turned his gas-grid VW Beetle into a fully solar and wind powered car, leaving many wondering how he did it.
Segun Oyeyiola said his friends ridiculed him when he had the idea. He said his friends said it was not possible to create such a car. Now, not only has he done it, scientists and engineers are stunned at how he was able to turn the car into such a clean-energy vehicle.
According to Oyeyiola, he spent $6,000 to be able to transform the vehicle into the clean energy car it is today. He has installed a wind turbine in the hood and a giant solar panel on the roof with rechargeable solar batteries.
Oyeyiola said what motivated him to pursue this dream of getting a car that can run on renewable energy is to save the environment from pollution by fuel and gas engines.
Nigeria: Watch The VW Beetle Which Runs Completely On Solar and Wind Power [VIDEO]
“I wanted to reduce carbon dioxide emission going to our atmosphere that leads to climate change or global warming which has become a new reality, with deleterious effect: seasonal cycles are disrupted, as are ecosystems; and agriculture, water needs and supply, and food production are all adversely affected. Therefore, I came up of building a car that will use both winds and solar energy for its movement. This was my personal project because of the problem I’m planning to solve,” he

KATIKA HEADLINE LEO NI KUHUSU MAREHEMU ALIYE FUFUKA HUKO BAGAMOYO

LAYIII
Jana mji wa Bagamoyo uliingia katika taharuki kubwa baada ya habari kuenea kuwa kuna marehemu kafufuka baada ya kuthibitishwa na madaktari kuwa amefariki.
Timu ya Hekaheka ilifunga safari hadi Bagamoyo na kukuta umati wa watu katika nyumba ambayo marehemu alikua akiishi ikiwa ni muda mchache baada ya mwili wake kurejea kutoka hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo ambapo ndipo alipofariki.

Utata wa marehemu kufufuka Bagamoyo upo kwenye Hekaheka ya leo…(Audio)

ripJana mji wa Bagamoyo uliingia katika taharuki kubwa baada ya habari kuenea kuwa kuna marehemu kafufuka baada ya kuthibitishwa na madaktari kuwa amefariki.
Timu ya Hekaheka ilifunga safari hadi Bagamoyo na kukuta umati wa watu katika nyumba ambayo marehemu alikua akiishi ikiwa ni muda mchache baada ya mwili wake kurejea kutoka hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo ambapo ndipo alipofariki.

KAMA HUKUONA USAJIRI WA YANGA NIMEKULETEA HAPA MTU WANGU

LAYIII
Countdown ya story za Ligi Kuu Tanzania Bara imeanza mdogomdogo mtu wangu, tunasubiri August 2015 ili tuzione Timu zote kali zikitoana jasho kwenye viwanja tofauti vya Soka TZ

Yanga wamesajili hawa wawili leo, mmoja toka Ghana na mwingine toka Zimbabwe… (Pichaz)

YANGA
Countdown ya story za Ligi Kuu Tanzania Bara imeanza mdogomdogo mtu wangu, tunasubiri August 2015 ili tuzione Timu zote kali zikitoana jasho kwenye viwanja tofauti vya Soka TZ.
Magazeti ya Michezo TZ yana story nyingi, zipo Timu zilizoleta makocha wapya kwa ajili ya kujiandaa na ligi hiyo, wapo waliosajili wachezaji pia.. nimepita kwenye ukurasa wa Yanga na kukutana na story kwamba nao wameongeza vifaa vyao viwili, mmoja wao anatoka Zimbabwe na mwingine anatoka Ghana.
Mpaka sasa hawajatoa majina ya Wachezaji hao ila hizo ndio post zenye pichaz za Wachezaji hao wakisaini Mikataba yao na Klabu ya Yanga.
mchezaji kutoka ghana akisain kandarasi ya yanga leo hii tumeingia nae mkataba kama mchezaji wa @yangasc
@yanga_tv 
@erictz 
@mmarumbo


 


KAMA HUKUONA USAJIRI WA YANGA NIMEKULETEA HAPA MTU WANGU

ICHEKI KEJERI YA MUGABE KWA OBAMA

LAYIII
Ndani ya wiki moja baada ya Serikali ya Marekani kupitisha Sheria ya kuruhusu Ndoa za jinsia moja kwa raia wake kumekuwepo na maoni mbalimbali kutoka kwa watu kuhusiana na maamuzi hayo.

Maneno ya utani ya Rais Mugabe kwa Obama baada ya kuruhusu ndoa ya jinsia moja…

mugabe
Ndani ya wiki moja baada ya Serikali ya Marekani kupitisha Sheria ya kuruhusu Ndoa za jinsia moja kwa raia wake kumekuwepo na maoni mbalimbali kutoka kwa watu kuhusiana na maamuzi hayo.

RAMOS KAFANYA UAMUZI HUU BAADA YA MADRID KUGOMA OFA YA MAN U

LAYIII
Wiki moja baada ya ofa ya kwanza ya Manchester United kumsajili Sergio Ramos kukataliwa na Real Madrid, hatimaye mchezaji huyo ambaye yupo mapumzikoni ametoa kauli yake.

Baada ya Madrid kuikataa Ofa ya Man Utd, Ramos amefanya uamuzi huu

Wiki moja baada ya ofa ya kwanza ya Manchester United kumsajili Sergio Ramos kukataliwa na Real Madrid, hatimaye mchezaji huyo ambaye yupo mapumzikoni ametoa kauli yake.
United walituma ofa ya kwanza ya paundi millioni 28.3 kwa Madrid ili kupata saini ya beki huyo wa kimataifa wa Spain, lakini Madrid waliikata ofa hiyo.

NIMEKUWEKEA HAPA ILE VIDEO YA NAVIO FT MR BLUE MTU WANGU

LAYIIII


OYOOOOOOOO MTU WANGU UMESUBIRI SANA CHEKETUA YA ALIKIBA HII HAPA MTU WANGU

LAYIII

Ali KZilipita pichaz na vipisi tu lakini hii ndio video kamili ya Ali Kibachekecha‘ ambayo imefanywa South Africa wiki kadhaa zilizopita… ukishaitazama uache maoni yako kwenye comment Ali Kiba na team yake watapita kuona nini mashabiki wanasema.


Arsenal yampa Cech mkataba miaka minne

LAYIII
Hatimaye yametimia kwa Arsenal kupata saini ya mlinda mlango Petr Cech kutoka Chelsea kwa kitita cha pauni milioni kumi.
Mlinda mlango huyo wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Czech, ambaye amecheza zaidi ya mechi 400 katika misimu 11 akiwa na timu ya Chelsea, amejiunga na Arsenal the Gunners kwa mkataba wa miaka minne.
Cech, mwenye umri wa miaka 33, alicheza mechi saba tu msimu uliopita baada ya nafasi yake kunyakuliwa na mlinda mlango kutoka Ubelgiji Thibaut Courtois.
Cech amesema alifikiri angestaafia Stamford Bridge, alakini ameongeza kusema: "Maisha daima hayawi vile unavyofikiria yakawa."
Ameandika: "Msimu ulioopita wa kiangazi, mambo yalibadilika na nikaelewa kuwa sikuwa mlinda mlango chaguo la kwanza, lakini nilifikiria haukuwa wakati mzuri kwangu kuondoka.
"Wakati wa msimu huo, ilieleweka wazi kuwa hali yangu isingebadilika na kama ninavyofahamu siko katika kazi yangu ambapo nastahili kuwa- Niliamua kuondoka na kutafuta changamoto mpya."
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger anasema: "Petr Cech ni mchezaji ambaye nimemtamani kwa muda mrefu na nimefurahi sana ameamua kujiunga nasi."
Cech, alijiunga na Chelsea akitokea klabu ya Rennes ya Ufaransa Julai 2004 na kushinda makombe 13 akiwa na Chelsea - likiwemo kombe moja la klabu bingwa na mataji manne ya ubingwa wa ligi kuu ya England.

Monday 29 June 2015

LINI TANZANIA ITAZINDUA KITU CHAKE AMIZING ........ HEMBU CHEKI VITU GHANA MTU WANGU

LAYIII


Ghana yazindua gari lake

Wakati unapoangazia swala la utengezaji magari mataifa ya Afrika kwa kawaida hayaorodheshwi katika swala hilo.

ZIJUE STORY KUBWA LEO TANZANIA

LAYIII
Good morning mtu wa nguvu !! Kila siku asubuhi huwa ninakuwekea karibu Uchambuzi wa Stori kutoka kwenye Magazeti yote ya Tanzania baada ya kurekodi kutoka kwenye show ya #PowerBreakfast @CloudsFM… kilichosikika leo ninacho pia, stori ni hizi hapa;

Stori Kubwa June 30 2015 >>>Ishu ya Mafuta TZ, uandikishaji BVR Dar na Pwani, Mzee Mkapa na Mwinyi na Urais CCM..

BRT-curb-traffic-jams-Dar-es-Salaam
Good morning mtu wa nguvu !! Kila siku asubuhi huwa ninakuwekea karibu Uchambuzi wa Stori

KATIKA BZMORNING NIMEKUWEKEA MAGAZETI YA LEO 30/06/2015

LAYIII
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa WWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JUNE 30, 2015 Udaku, Hardnews na Michezo

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa WWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya

DIAMOND ATAITIWA AIRPORT KWA MUDA WA MASAA KADHAA>>KISA NA MKASA SOMA HAPA

LAYIII
 3
 KIBANO! Staa wa Bongo Fleva mwenye jina kubwa Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, juzikati alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya ‘kutaitiwa’ kwa saa mbili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kisa kikiwa wingi wa mabegi (3) makubwa aliyoshuka nayo akitokea nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’, Ijumaa Wikienda linakupa ‘unyunyuz’ kamili.


 <<<KAJALA & MC PILIPILI  MAMBO HADHARANI>>>

1Staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa ametaharuki.

MAFURIKO SIYO TANZANIA TU HATA CHINA YAMEJAA HEMBU CHIKI HAPA

LAYIII
 May 2015 ulikuwa mwezi ambao tulishuhudia maafa yaliyotokana na mvua kubwa zilizonyesha mfululizo Dar… mara nyingi hivi vitu vikitokea huku kwetu watu hawaamini kama hata nje ya TZ nako huwa vitu vinatokea hivyohivo.

Kama ulidhani noma ya mafuriko ni Tanzania pekeake, angalia picha 10 kilichotokea China..

d43d7e14d47316fadabd07
May 2015 ulikuwa mwezi ambao tulishuhudia maafa yaliyotokana na mvua kubwa zilizonyesha mfululizo Dar… mara nyingi hivi vitu vikitokea huku kwetu watu hawaamini kama hata nje ya TZ nako huwa vitu vinatokea hivyohivo.
Mafuriko yametokea China, hapa unaweza kuona kwenye picha hali ilivyokuwa baada ya balaa la mafuriko kuwakuta.
d43d7e14d47316faf2e232
Hivi ndio ilivyokuwa kwenye Chuo kilichopo Nanjing, Jimbo la Jiangsu ndani ya China… Watu zaidi ya 65,000 wameathirika kutokana na mvua hizo.

NUNGU NUNGU MWACHE KA ALIVO USIPAPALIKE KUMMEZA MCHEKI CHATU HUYUU

LAYIII
Ndani ya hifadhi ya Eland Game Reserve iliyoko KwaZulu-Natal, South Africa mwendesha baskeli alikatisha siku ya June 14 2015, akakutana na chatu mkubwa mzima kabisa aliyeonekana kama amekula na kushiba kupita kiasi… akampiga picha na kushare na watu wake mitandaoni.

Njaa ikamfanya chatu kula Nungunungu na miba yote aliyonayo, kilichofuatia je?

python-alive
Ndani ya hifadhi ya Eland Game Reserve iliyoko KwaZulu-Natal, South Africa mwendesha baskeli alikatisha siku ya June 14 2015, akakutana na chatu mkubwa mzima kabisa aliyeonekana kama amekula na kushiba kupita kiasi… akampiga picha na kushare na watu wake mitandaoni.

ULIMISI KUONA MAPOKEZI YA STEVE NYERERE KATIKA HARAKATI ZA KUGOMBEA UBUNGE NIMEKUWEKEA HAPA MTU WANGU

LAYIII
Kwenye list ya mastaa wa TZ waliotangaza kugombea Ubunge kwenye Uchaguzi wa 2015 lipo pia jina la mastaa wa Bongo Movie, Steve Mengere aka Steve Nyerere.
Jamaa alikuwa anamaanisha kabisa kuhusu safari yake kwenye Siasa, hapa nina pichaz kutoka kutoka viwanja vya CCM Bwawani ambapo Steve alikuwa akitangaza nia hiyo.

Mapokezi ya Steve Nyerere alivyotangaza kugombea Ubunge wa Kinondoni (Pichaz)

Steve II
Kwenye list ya mastaa wa TZ waliotangaza kugombea Ubunge kwenye Uchaguzi wa 2015 lipo pia jina la mastaa wa Bongo Movie, Steve Mengere aka Steve Nyerere.
Jamaa alikuwa anamaanisha kabisa kuhusu safari yake kwenye Siasa, hapa nina pichaz kutoka kutoka viwanja vya CCM Bwawani ambapo Steve alikuwa akitangaza nia hiyo.

ULIMIC KUIONA ILE COLLABLE YA NAVIO NA MR. BLUE NIMEKUWEKEA HAPA

LAYIII

Blue & Navio
Mwezi February 2015 Rapper kutoka Uganda, Navio alitua TZ kwa ajili ya show ambayo ilifanyika Club Billz, Dar es Salaam ilimshuhudia star huyo alipofanya uzinduzi wa Video ya Hit song ya ‘Kigozi‘.
Uwepo wa Navio ndani ya TZ ulikuwa na kingine kizuri, walikutana na Mr. Blue na kupiga collabo ambayo tayari imefanyiwa video… kama hujakutana na video hiyo basi unaweza kuchukua kama dakika nne hivi kuicheki hapa.



Msanii wa Afrika aliyegoma kwenda kwenye tuzo za BET kwa makusudi, dharau imehusika..

LAYIII
Fuse ODG 2Kitendo cha BET ambayo ni Television kubwa ya Marekani kwenye ulimwengu wa burudani kuwapa Wasanii wa Afrika tuzo zao kwa time tofauti na tuzo wanazoshinda wasanii wakubwa wa Marekani kama Beyonce na Chris Brown kiliwahi kulalamikiwa na wengi akiwemo Ommy Dimpoz.
Hata Davido aliposhinda mwaka jana kwenye sehemu ya Interview Diamond alieleza kwamba tuzo za wasanii wa Afrika huwa hazitolewi pamoja na zile za kina Beyonce, wasanii kwenye kipengele cha Afrika waliitwa asubuhi na mapema wakati ukumbi ukiwa mtupu bila watu ndio mshindi akakabidhiwa tuzo alafu badae jioni ndio kina Beyonce wakakabidhiwa kwenye event yenyewe lakini ukitazama kwenye TV huwezi kugundua sababu wanaunganisha kijanja.

MTOTO WA JK ATHIBITISHWA MAREKANI KUWA NA AKILI NYINGI......AIWAKILISHA TANZANIA VIZURI KWA KUPOKEA MEDANI

LAYIII
mtoto wa Rais JK, Khalfan Jakaya Kikwete ameiwakilisha TZ vizuri kwa kushinda medali Marekani katika mashindano ya kusaka wanafunzi wenye akili nyingi.

Mtoto wa Rais JK na ushindi wa Medali Marekani, Urais CCM.. Ushirikina kwa Walimu Mara

29
Jumatatu JUNE 29 2015 tayari siku nyingine imeanza, stori za Magazetini zina headlines nyingi tofauti tofauti, unajua nini kimetawala leo?
Kwenye stori kubwa iko ya Edward Lowassa kuwakimbiza wenzake katika safari ya kugombea Urais CCM, UKAWA yawasha moto wa BVR Dar es salaam kwa kutoa elimu ya matumizi ya mashine hizo.. iko nyingine pia kuhusu mtoto wa Rais JK, Khalfan Jakaya Kikwete ameiwakilisha TZ vizuri kwa kushinda medali Marekani katika mashindano ya kusaka wanafunzi wenye akili nyingi.

Sunday 28 June 2015

VANESSA NILIFANIKIWA NILIPO FIKA STUDIO ZA MILLADAYO

LAYIII
Interview ya Vanessa Mdee alipokuja kwenye studio za Millard Ayo ! kawataja Tunda Man na Baby J
vTunae mwimbaji wa bongofleva Vanessa Mdee kwenye hii post ambaye kapita TZA kwenye studio za Millard Ayo na kuzungumzia mafanikio yake mapya aliyoyapata hivi karibuni nje ya Tanzania.

BZMORNING NA MAGAZETI YA LEO 29/06/2015

LAYIII

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako

JK ALA SHAVU SIKU YA MAGEREZA {MAGEREZA DAY}

BZNEWZ ULITAKA KUJUA JINSI JK ALIVOKULA SHAVU MAGEREZA DAY NICHEKI HAPA
RAIS  wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Amiri Jeshi  Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amelisifia Jeshi la Magereza kwa jitihada zao nzuri katika utendaji kazi pamoja na chagamoto nyingi walizonazo.

RAIS JK AIFAGILIA MAGEREZA DAY

Rais Dk. Jakaya Kikwete akipokea heshima ya Wimbo wa Taifa mara baada ya kuwasili katika Viwanja  vya Chuo cha Maofisa Magereza kilichopo Ukonga jijini Dar.

KUTANA NA KINDA MWINGINE ANAYE KWENDA KUTUA CHELSEA KUTOKA BRAZIL

LAYIII
Wakati klabu mbalimbali barani Ulaya zikiendela na harakati zake za kufanya usajili ili kuimarisha timu zao kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu ya Engalnd, tayari kuna taarifa 

Kinda mwingine kutoka Brazil anayetua Chelsea huyu hapa…

kenn
Wakati klabu mbalimbali barani Ulaya zikiendela na harakati zake za kufanya usajili ili kuimarisha timu zao kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu ya Engalnd, tayari kuna taarifa kuwa klabu ya Chelsea

KUTANA NA VIDEO YA ALIKIBA KWA MARA YA KWANZA KATIKA TRACE TV HAPOKESHO

LAYIII
Ali Kiba  ni staa mwingine mkali wa muda mrefu kwenye Bongo Fleva… Hit ya Chekecha Cheketua ni moja ya single ambazo mtaani wanaisubiri video yake kwa hamu sana.
Sasa good news ninayotaka kukusogea ni kwamba video hiyo mpya iliyotayarishwa Afrika Kusini inatarajiwa  kutambulishwa kesho June 29 kama ‘Exclusive’ kupitia kituo cha TV

Kwa mara ya kwanza video ya Ali Kiba inaoneshwa kesho kwenye TV

.
.
Ali Kiba  ni staa mwingine mkali wa muda mrefu kwenye Bongo Fleva… Hit ya Chekecha Cheketua ni moja ya single ambazo mtaani wanaisubiri video yake kwa hamu sana.

LUKUVI KUTATUA MGOGORO WA ARDHI IRINGA

BZMORNING TANZANIA
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akizungumza na watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na wale wa sekta ya ardhi na Sekretarieti ya Mkoa wa Iringa ambapo alisisitiza Shirika…

WAZIRI LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akiwasili kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kupokelewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayoub huku Meya wa Manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi akishuhudia.

Saturday 27 June 2015

BZMORNING TANZANIA LEO KATIKA TUKIO LA MIUJIZA HUKO SAUD ARABIA

LAYIII
Leo katika pitapita nikaona nikukumbushie ile habari ya mtoto aliye zaliwa saudi arabia anaye kuwa kila baada ya dakika ishirini video yake iko hapa chini
BZMORNING TANZANIA tukio la miujiza limetokea nchini saudi arabia kwenye hospitali ya Jizan huko saudi arabia. siku ya ijumaa mosi ramadhani ya 4/1346 saa saba mchana bibi amna antar amejifungua mtoto bila matatizo baada ya dakika ishirini akaanza kukuwa kila baada ya dakika 20 adaktari wamepata na mshangao na watu wamenyomi kwenda kushangaa muujiza huo katika hospitali hiyo jambo lililo pelekea policy kuzuia uwingi na ongezeko la watu
mpaka sasa mtoto huyo moyo unafanya kazi kama kawaida na nimzima wa afya
cheki video na picha zake hapa




DAVIDO KUCHOCHEA BIFU NA DIAMOND UPYA NA ......... HUENDA VIDEO HIYO HAPO CHINI YA DIAMOND IKAFUNGWA

LAYIII

Exclusive New Photos From Diamond and Nay wa Motego New Coming Video 


During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major

KATIKA BZMORNING TANZANIA YA WWW.SWAXBZ.COM CHECK MAGAZETI YA LEO 28/6/2015

LAYIII

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho
.
.
.
.

TEVEZ AREJEA NYUMBANI BOCA JUNIOR

LAYIII
Straika wa Argentina Carlos Tevez amekamilisha Uhamisho wake kwenda Boca Juniors kutoka kwa Mabingwa wa Italy Juventus.
Tevez, mwenye Miaka 31, alianzia Soka lake huko kwao na Klabu ya Boca ambayo aliihama Mwaka 2004 kwenda Brazil kuchezea Corinthians na kisha kukaa Miaka 9 akichezea Klabu za Ulaya.
Huko Ulaya alizichezea Klabu za England, West Ham, Mwaka 2006-2007, Manchester United, 2007-2009, na Manchester City, 2009-2013, na kisha kwenda Italy kuichezea Juventus ambako msimu uliopita aliisaidia tena kutetea Taji lao la Ubingwa kwa kupiga Bao 20.
Majuzi Juventus walimbadili Tevez kwa kumsaini Straika wa Atletico Madrid ya Spain, Mario Mandzukic ambae anatoka Croatia.
Akithibitisha Uhamisho huu, Rais wa Boca Juniors Daniel Angelici alisema: "Ni Siku ya furaha sana na ya kuridhisha. Kurudi kwa Tevez akiwa kwenye kilele cha mafanikio ni habari njema kwa Washirika na Mashabiki wote wa Boca na Soka la Argentina!"


NA KATIKA MICHEZO GHANA FA LAKANUSHAUBADHILIFU BRAZIL

LAYIII
Shirikisho la soka la Ghana GFA limekanusha madai ya ubadhirifu wa fedha katika kombe la dunia la Brazil 2014.
Shirikisho hilo limeitupia tope ripoti ya kamati maalum iliyoundwa kutathmini sababu za matokeo duni huko Brazil 2014.
null
Shirikisho la soka la Ghana GFA limekanusha madai ya ubadhirifu wa fedha katika kombe la dunia la Brazil 2014.
Shirikisho hilo limeitupia tope ripoti ya kamati maalum iliyoundwa kutathmini sababu za matokeo duni huko Brazil 2014.

UNAJUA KUWA UCHAGUZI BURUNDI NI JUMATATU

LAYIII UNGANA NAMIII
Balozi wa Burundi kwenye umoja wa mataifa amesema kuwa uchaguzi utaendelea jinsi ulivyopangwa siku ya jumatatu licha ya ombi kutaka uahirishwe kutoka kwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki moon.
Ban anasema kuwa ana wasiwasi kuhusu hali ya usalama nchini Burundi kufuatia mzozo wa kisiasa unaoendelea huko.
null

Burundi:''Uchaguzi utafanyika Jumatatu''

null

Rais Nkurunziza naye anashikilia kuwa awamu ya kwanza aliteuliwa na wajumbe wala sio raia kama vile inavyohitajika kwenye katiba iliyoundwa baada ya makubaliano ya Arusha yaliyokomesha vita vya wenyewe kwa wenye nchini humo.

KAMA HUKUJUA 15 KATI YA WALIO UWAWA TUNISIA NI WAINGEREZA

LAYIII
Maelfu ya watalii wanaondoka Tunisia baada ya shambulio katika hoteli ya watalii iliyosababisha vifo vya watu 38 wengi wao wazungu. Makampuni ya utalii pia yanavunja safari za kwenda huko.
 


Maelfu ya watalii wanaondoka Tunisia baada ya shambulio katika hoteli ya watalii iliyosababisha vifo vya watu 38 wengi wao wazungu.
Makampuni ya utalii pia yanavunja safari za kwenda huko.

MPE NENO MOJA TU KAMANDA WAKO WA UKWELI HAPA

LAYIIIION SPOT


NIMEPENDA KUSHARE NAWE HII VIDEO YA MTOTO WA ANTI EZEKIEL KWA MARA YA KWANZA KABISA

LAYIII


DAVIDO KUJA NA PROJECT YA NGUO

LAYIII
MWIMBAJI Davido wa Nigeria amezindua mradi wa kuuza nguo ili kushindana na wauza nguo wengine nchini humo. Mwanamuziki huyo ameungana na makundi mengine ya wasanii na waendesha burudani ambao wamejikita katika mauzo ya nguo ili kuongeza vipato vyao mbali na muziki.

DAVIDO AZINDUA MRADI WA NGUO

Lagos, Nigeria
MWIMBAJI Davido wa Nigeria amezindua mradi wa kuuza nguo ili kushindana na wauza nguo wengine nchini humo. Mwanamuziki huyo ameungana na makundi mengine ya wasanii na

UZAMINI WA LOWASSA JIJINI DAR NI HATAREEEEE ..........??????????

LAYIII
WAZIRI  Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa amepata udhamini wake kwa kishindo katika mkutano uliofanyika katika ofisi kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni leo.
Lowassa amepata udhamini huo baada ya wanachama kujitokeza katika ofisi za Makao Makuu ya CCM ya Wilaya ya Kinondoni, Mkwajuni, Dar, ambapo amepata zaidi ya wadhamini  95,251 huku akisema ni zaidi ya mikoa yote ya Tanzania.

LOWASSA APATA WADHAMINI KWA KISHINDO DAR

Lowassa akiendelea kuzungumza katika mkutano huo.

WENGI WAHAMIA CCM KISA NI KOMREDI KINANA

LAYIII
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipokea kadi za vyma vya upinzani kutoka kwa watu waliovihama vyama hivyo na kujiunga na CCM, katika mkutano wa hadhara akatika Mji wa Kisesa, wilayani Magu, mkoani Mwanza.

KOMREDI KINANA ASABABISHA WAPINZANI LUKUKI KUHAMIA CCM MAGU‏

 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipokea kadi za vyma vya upinzani kutoka kwa watu waliovihama vyama hivyo na kujiunga na CCM, katika mkutano wa hadhara akatika Mji wa Kisesa, wilayani Magu, mkoani Mwanza.

KANYE WEST BALAA AMWEKA MKWE KATIKA VIDEO YAKE

LAYIII
New York, Marekani
HABARI ya mjini kwa sasa ni juu ya baba wa kufikia wa mwanamitindo, Kim Kardashian aliyejibadilisha jinsia na kuwa mwanamke, Bruce Jenner ‘Caityln’ kuingizwa kwenye video ya wimbo mpya wa Kanye West.

BABA WA KIM NDANI YA VIDEO YA KANYE


Bruce Jenner ‘Caityln’.
New York, Marekani
HABARI ya mjini kwa sasa ni juu ya baba wa kufikia wa mwanamitindo, Kim Kardashian aliyejibadilisha jinsia na kuwa mwanamke, Bruce Jenner ‘Caityln’ kuingizwa kwenye video ya wimbo mpya wa Kanye West.

NYUMBA ZA UDONGO BADO ZIPO DAR ES SALAAM

LAYIII
Kwa mtu ambaye hajafika Dar es salaam kwa miaka kumi iliyopita akifika leo ni rahisi kupotea kwa sababu ya mabadiliko makubwa katikati ya Jiji.
Kuna watu wanaishi Dar na hawajawahi kukutana na nyumba za udongo, wapo wanaoamini kuwa Dar ni maghorofana mijengo mikubwa, hakuna nyumba za udongo!!

Kwenye nyumba za udongo zilizobaki Dar es Salaam, hizi tano nazo zipo (Pichaz)

Screen Shot 2015-06-27 at 12.21.25 PM
Kwa mtu ambaye hajafika Dar es salaam kwa miaka kumi iliyopita akifika leo ni rahisi kupotea kwa sababu ya mabadiliko makubwa katikati ya Jiji.
Kuna watu wanaishi Dar na hawajawahi kukutana na nyumba za udongo, wapo wanaoamini kuwa Dar ni maghorofana mijengo mikubwa, hakuna nyumba za udongo!!

HIKI NDICHO KINAACHO WAPA HOFU P SQURES

LAYIII
Peter na Paul Okoye kwa pamoja tunawajua kama P Square, ukubwa wa jina lao sio ndani ya Africa pekeyake… wana hits kibao ambazo zimewaweka kwenye ramaniya dunia pia.

Unajua kitu kinachowapa hofu zaidi P Square? Majibu yao ni haya hapa..

PSQURRR 2
Peter na Paul Okoye kwa pamoja tunawajua kama P Square, ukubwa wa jina lao sio ndani ya Africa pekeyake… wana hits kibao ambazo zimewaweka kwenye ramaniya dunia pia.
Mafanikio yao yalianzia pale ambapo waliweka nguvu yao nyingi kwa kufanya muziki wakitumia lebo yao ya Square Records… December 2011 milango mingine mikubwa ikafunguka

ANGALIA UCHAMBUZI WA MAGAZETI LIVE KTK GLOBALTV

LAYIII

Friday 26 June 2015

BABU SEYA USO KWA USO NA JK

LAYIII

Nguza Vicking Babu Seya,(kulia) na Mtoto wake Papii Nguza,wakiwa wamekaa katika viti vya Mahakama ya Rufaa Dar es Salaam walipofikishwa kusikiliza rufaa yao jana.(Picha na Yusuf BADI)).Nguza Vicking Babu Seya, (kulia) na Mtoto wake Papii Nguza.
Haruni Sanchawa
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’, leo katika Viwanja vya Chuo cha Magereza ya Ukonga jijini Dar, ana ratiba ya kuzungumza na maafande na maafisa wa jeshi la magereza na wafungwa katika Siku ya Magereza Tanzania 2015 ambayo huadhimishwa kila mwaka.

MAJAMBAZI YAUA ASKARI NA KUPORA FEDHA BENKI YA NMB, MKURANGA

WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi wamevamia Benki ya NMB tawi la Mkuranga mkoani Pwani na kupora fedha kisha kumuua askari mmoja.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jafary Mohamed ameuthibitishia mtandao huu kutokea kwa tukio hilo na kwamba kwa sasa yupo njiani kuelekea eneo la tukio.
"Taarifa hizo nimezipata kuwa watu hao wanaodhaniwa kuwa majambazi kuvamia Benki ya NMB, Mkuranga na kupora fedha ambazo kiasi chake bado hakijafahamika kisha kumuua askari mmoja aliyekuwa nje ya uzio wa eneo hilo la benki ambaye hakuwa kazini ila walinzi wote wa benki wapo salama na silaha zao hazijachukiliwa. Kwa sasa nipo njiani kuelekea eneo la tukio kupata taarifa zaidi." Alisema Kamanda huyo.

MJUE DOGO ALIYECHUKUA FORM YA URAIS KUPITIA CCM

HAHAHAHAHAHA NA LAYIIIIIIII ON SPOT DOGO KANIUWAAAA


BZMORNING AFRIKA MCHEKI OBAMA ALIVOMZOMEA MWANAHARAKATI NDANI YA WHITE HOUSE SORCE NA BBC SWAHILI

LAYIII

Obama amzomea mwanaharakati White House

26 Juni 2015 Imebadilishwa mwisho saa 16:18 GMT
Rais Barack Obama alilazimika kumzima mwanaharakati aliyekatiza hotuba yake katika dhifa aliloandaa katika ikulu ya White House.
Wageni walimshabikia Obama alipomsuta bwana huyo wakimpigia makofi kwa kuchukua msimamo.
Hatimaye rais Obama alimuonya kuwa angeamrisha aondolewe iwapo hatatulia akisema ''hapa ni kwangu, ukienda kwa mtu sharti ufuate sheria za mwenyeji wako''

NILICHOKUWEKEA KATIKA bzmorning ya swaxbz.com MAGAZETI YA LEO 27/6/2015 HIKI HAPA

LAYIII

DSC09907
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho

NDANI YA BZMORNING MTU WANGU UKIAMKA USIKOSE KUWEKA MWILI SAWA KWA KUFANYA HAYA

LAYIII


Kutana na picha hii inayokukumbusha tz la asubuhi mtu wangu wa ukweli
ungana nami kupata habari moto na za ukweli kabisa

LEO KATIKA BZMORNING YA SWAXBZ.COM KUTANA NA KAHABARI HAKA ILA KANAUMIZA KINYAMA

LAYIII
FROM UDE KUMBWEMBE PAGE
......Miaka 12 leo tangu Marc-vivien Foe afariki....usiku ule alioanguka dimba la Girland Ufaransa na kufariki, nilisema nikipata mtoto wa kiume nitamuita Marc-vivien kwa heshima ya Foe....Agosti 27 mwaka jana nilipata mtoto wa kiume, ndio huyu anayeitwa Marc-vivien kumwembe.......Rest in peace Legend....

advertise here