Rais Barack Obama amewahimiza
wanachama wa chama cha Democratic kupigania sheria yake ya bima ya afya
ambayo utawala wa Donald Trump umeahidi utaibatilisha upesi baada ya
kuingia madarakani.
Kwenye mkutano wa faraghani wa saa mbili, Bw
Obama aliwahimiza wabunge wa chama hicho kuitetea sheria hiyo, huku
wanachama wa Republican nao wakichukua hatua kufuta sheria hiyo.Thursday, 5 January 2017
Wednesday, 4 January 2017
TOTTENHAM YASIMAMISHA CHELSE 2-0
Tottenham imefutilia mbali ndoto ya
Chelsea kutaka kuweka historia katika ligi kuu ya England kwa kushinda
michezo 14 baada ya vinara hao kuchakazwa 2-0 White Hart Lane.
Spurs
wamekwaa mpaka nafasi ya tatu ya msimamo wa ligi baada ya Dele Alli
kufunga magoli yote mawili kwa njia ya kichwa hii ikiwa ni mwishoni mwa
kipindi cha kwanza na dakika ya 54.EPUKA KUMWAMBIA MJAMZITO MANENO KAMA HAYA
Hakuna ubishi kuwa mama anapokuwa katika hali hii hupenda kuishi maisha yasiyo na bughudha ama rabsha. Pamoja na kuwa watu wengi hukubaliana na changamoto zinazowapata wanawake
ALIYEZIKWA KISIRI KUFUKULIWA

Familia moja jijini Arusha inadaiwa kumzika kwa siri mtoto wao mdogo wa kike wa miaka mitatu katika kaburi lililofichwa, huku majirani wakidanganywa kuwa binti huyo yupo hai.
Taarifa za kisa hicho cha kusikitisha zimevifikia vyombo vya usalama. Kwa sasa kuna mipango ya kuhakikisha kuwa mwili wa binti huyo, Nuru Losipha aliyezikwa kwa siri na familia yake,
ARSENAL ILIVYO PAMBANA KIUME NYUMBANI KWA BOURNEMOUTH
Arsenal imeambulia alama moja nyumbani kwa Bournemouth baada ya kutoka nyuma kwa magoli 3-0.
Ilikuwa
nii kama kutimiza lengo kwa the Gunners baada ya kufunga magoli matatu
ndani ya dakika 20, kabla ya hapo Bournemouth ambao walikuwa wenyeji
walikuwa wakiongoza kwa magoli 3-0.Alexis Sanches alianza kuiandikia bao la kwanza Arsenal dakika ya 70 kabla ya Lucas Perez
Tuesday, 3 January 2017
EWURA IMETANGAZA BEI MPYA ZA PETROL
BONYEZA PICHA HAPA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE USIACHE KUSUBSCRIBE MTU WANGU
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA) imetangaza bei mpya za Petrol, Diesel na mafuta ya Taa zinazoanza kutumika leo Jumatano huku bei ya mafuta ya Taa na Diesel ikiwa imeshuka kwa wastani wa shilingi 66 kwa lita.
KUHUSU MADAWA YA KULEVYA HAYA NI MANENO MAZITO YA LEMUTUZ

⏩BY@lemutuz_nation - Wiki hii the National Debate is MADAWA YA KULEVYA kama ulivyo ushoga it is another very sensitive Subject niliwahi huko nyuma kusema kwamba binafsi ninalifahamu sana hili la Drugs kwa sababu nimewahi kuishi at the Source of it New York City nilichokiona kwa macho yangu ni kwamba once binadam akishajikita kwenye kuyatumia madawa ya kulevya huwa anafikia kutumia Cocaine kwa njia ya kujidunga Sindano that is the end of story ni almost impossible kwa yule binadamu kuja ku recover...I am just being realistic na sio kumkatisha anybody tamaa mfumo wa Ubepari Capitalism una tabia moja ya kuheshimu walioshinda tu lakini hauna nafasi kwa walioshindwa tunawahitaji sana Investors like kutoka USA but tatizo ni kwamba wanapokuja kuwekeza wanakuja na utamaduni wao pia au the American Culture ambayo inapokuja
Thursday, 29 December 2016
Saturday, 10 December 2016
LORI LA MAFUTA LALIPUKA KENYA NA KUSABABISHA VIFO

Lori la mafuta limelipuka nje ya mji wa Nivasha nchini Kenya usiku wa Jumamosi December 10 2016 na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 40.
Taarifa iliyotolewa mapema leo December 11 2016 asubuhi na msemaji wa idara ya taifa ya mambo ya dharura nchini Kenya Pius Masai amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo na kwamba magari zaidi ya 11 yameteketezwa kwa moto katika barabara ya Nairobi-Naivasha.
ALI KIBA AJIZOLEA TUZO ZA EATVAWARD
Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye huku msema chochote akiwa mtangazaji wa zamani wa kituo hicho, Salama Jabir.
ZIJUE SIFA 10 ZA MTU MWENYE MAPENZI YA KWELI NA WEWE
Ipo zana potofu kwamba kumfundisha mtoto mapenzi ni kumharibu, jambo ambalo si kweli bali inategemea mtoto huyo anafundishwa nini na kwa wakati gani. Lakini cha kushangaza zaidi hata watu wazima ambao ni wadau wa mapenzi hawayajui, matokeo yake wanajiingiza kwenye uhusiano wakiwa bumbumbu na hivyo kuteshwa na changamoto zinazowakabili.
Thursday, 8 December 2016
MIONGONI MWA WASANII WAKUBWA AFRICA MTANZANIA MMOJA ATAJWA
Mara nyingi tumezoea kuona list za wasanii wakubwa wakitajwa kuingiza
pesa nyingi zaidi Afrika, wiki hii imetoka list iliyoandikwa na eDaily
kupitia ripota Brian Okoth ambayo imewataja wasanii watano kutoka Afrika
wanaotajwa kuingiza pesa nyingi zaidi mwaka 2016.
5. Diamond Platnumz (Tsh. Bilioni 9,665,923,190.55)
Related imageMtanzania Diamond Platnumz huenda akawa msanii anayezungumzwa au kutajwa sana kwasasa barani Afrika kutokana na headlines anazotengeneza kila siku, mikataba yake na
5. Diamond Platnumz (Tsh. Bilioni 9,665,923,190.55)
Related imageMtanzania Diamond Platnumz huenda akawa msanii anayezungumzwa au kutajwa sana kwasasa barani Afrika kutokana na headlines anazotengeneza kila siku, mikataba yake na
Tuesday, 6 December 2016
MATAIFA YA ULAYA KUTUMA CHOMBO SAYARI YA MARS
Mawaziri wa utafiti kutoka bara
Ulaya wanaokutana mjini Lucerne, Uswizi wamesisitiza kwamba mpango wa
kutuma chombo maalum kinachoweza kusafiri kwenye sayari ya Mars mwaka
2021 bado utaendelea.
Wameahidi kutoa jumla ya euro €436m ambazo zinahitajika kufanikisha mpango huo.Mradi huo umechelewa kiasi na unagharimu pesa zaidi kuliko ilivyotarajiwa, jambo lililoibua wasiwasi kwamba mataifa wanachama wa Shirika la Anga za Juu la Ulaya (ESA) huenda wakaufuta
GARI LADUMBUKIA NDANI YA SHIMO HUKO TEXAS, MAREKANI
Liwali ambaye hakuwa kazini
alifariki baada ya gari lake kutumbukia kwenye shimo lililojaa maji,
ambalo lilizuka ghafla katika eneo la San Antonio, jimbo la Texas
nchini Marekani.
Maafisa wanasema Dora Linda Nishihara, 69, ambaye
ni naibu liwali aliyekuwa anahudumu kama afisa wa kutekeleza maagizo ya
mahakama, alifariki baada ya gari lake kutumbukia kwenye shimo Monday, 5 December 2016
MADAKTARI KENYA WAANZA MGOGO KITAIFA
Taarifa zilizoripotiwa na BBC leo December 5 2016 kuhusiana na nchi ya Kenya
ni kuwa madaktari na wauguzi wa nchi hiyo wameanza mgomo wa kitaifa
ikiwa kama sehemu ya kuishinikiza serikali kutimiza mahitaji yao.
VIDEO: NISHA BEBE MIMBA HII NGEKUWA YA BARAKA DA PRINCE
Nisha Baby amefunguka kuhusiana na hilo akiwa katika kipindi cha FNL cha EATV, na kusema kuwa endapo ujauzito huo ungekuwa wa Baraka kama inavyosemwa na wengi basi ungetoka wenyewe mapema sana kwa kuwa Baraka ni miongoni mwa wanaume asiowapenda kabisa duniani.
MIJI KUMI MICHAFU ZAIDI DUNIANI
Kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO mwaka 2010 takribani watu 223,000 walfariki dunia kutokana na kansa ya mapafu.
Afrika mashariki ya kati na kaskazini mwa afrika ndo maeneo yanayoonekana kuwa machafu sana
kwa wastani wa 130 mcg/m3 ikifuatiwa na asia ya kusini yenye wastani wa 100 mcg/m3
hapa chini ni miongon mwa miji michafu sana kwa mujibu wa WHO
Afrika mashariki ya kati na kaskazini mwa afrika ndo maeneo yanayoonekana kuwa machafu sana
kwa wastani wa 130 mcg/m3 ikifuatiwa na asia ya kusini yenye wastani wa 100 mcg/m3
hapa chini ni miongon mwa miji michafu sana kwa mujibu wa WHO
10. LAHORE, PAKISTAN
Lahore nchini pakistan ndo mji uonaonekana kuwaumesheheni watu wengi ukiwa na wastani wa 200 mcg/m3na ukionekana ndo mji unaoongoza kwa uchafu duniani kulingana na tak
ALICHO KISEMA MOURINHO BAADA YAKUMCHEZESHA FELLAINI
Jose Mourinho ametetea uamuzi wake
wa kumuingiza uwanjani kiungo wa kati Marouane Fellaini kama nguvu mpya
wakati wa mechi ambayo Manchester United walitoka sare na Everton
Jumapili.
Fellaini alisababisha penalti muda mfupi baada yake
kuingia dakika ya 85, na kuwawezesha Everton kusawazisha na mambo yakawa
1-1.Friday, 2 December 2016
MELI YA TITANIC YAONEKANA CHINA
China kutengeneza meli inayofanana na 'Titanic' BONYEZA picha hapo chini kuiona video
Mashua sawia na iliyotengenezwa
katika mji mkuu wa Belfast huko Ireland ya Titanic itawekwa katika eneo
la kumbukumbu la theme park nchini India.
Ujenzi huo wa mashua
hiyo yenye urefu wa kina cha mita 269, itawekwa katika hifadhi iliyoko
mashambani , katika mkoa wa Sichuan, .Thursday, 1 December 2016
USAJIRI WA MZAMBIA YANGA WAKAMILIKA

Timu ya Dar es Salaam Young Africans leo December 1 2016 imetangaza kumsajili kiungo raia wa Zambia Justine Zulu, kiungo huyo amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili.
Yanga imemsajili Justine Zulu kutokea timu ya Zesco United ya Zambia, kwa taarifa hiyo sasa ni rasmi Justine Zulu ataungana na kocha wake wa zamani ambaye amejiunga na Yanga hivi karibuni
VIDEO: JUSTIN BERBER ANAAMINI INSTAGRAM NI YA SHETANI

Justin Bieber amekuwa
mbali na mtandao wa Instagram tangu mwezi August 2016 ambapo alijiondoa
rasmi kwenye mtandao huo hali ambayo imesababisha mashabiki wake kumiss
kumuona kwenye mtandao huo ambao unamuwezesha mtumiaji kutuma picha
pamoja na video.
Akiwa kwenye show yake London aliuliza
mashabiki “nani angependa nirudi Instagram?
Wednesday, 30 November 2016
NJAMA 638 ZA MAUAJI ALIZOEPUKA FIDEL CASTRO
Njama ya kutumia sigara kumuua Fidel
Castro ambayo ilitibuka inajulikana sana, lakini njama nyengine 637
dhidi ya maisha yake ni zipi?
Shirika la kijasusi nchini Marekani
CIA na watu waliotoroka Cuba wakati wa uongozi wa Castro walitumia nusu
ya karne moja kufanya njama za kumuua kiongozi ambaye taifa lake lina
athari VIDEO: WAZIRI MKUU MAJALIWA, JK WALIVYOSHIRIKI KUAGA MWILI WA MZEE PINDA DODOMA
November 30 2016 Waziri mkuu Kassim Majaliwa pamoja na Rais mstaafu Jakaya Kikwete waliungana na baadhi ya watanzania katika kutoa salamu zao za mwisho kwa aliyekuwa baba mzazi wa Waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda mzee Xavery Pinda aliyepelekwa mkoani Katavi kwa ajili
Sunday, 27 November 2016
SALAMU ZA RAMBI RAMBI DK MAGUFULI KWA FIDEL CASTRO
"Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Fidel Castro. Kwa niaba ya Serikali, Wananchi wa Tanzania na kwa niaba yangu mwenyewe natoa pole nyingi kwako, familia, Serikali ya Cuba na wananchi wa Cuba kwa kumpoteza mtu muhimu.
Friday, 25 November 2016
KAMPENI YA KUMNG’OA TRUMP YASHIKA KASI
BONYEZA PICHA HAPA KUONA VIDEO HAPO

Ndoto za Donald Trump aliyechaguliwa hivi karibuni kuwa Rais wa 45 wa Marekani huenda zikayeyuka baada ya wajumbe sita wa Democratic watakaopiga kura za majimbo kuanzisha kampeni maalumu ya kuwashawishi wajumbe wengine kutomwidhinisha Rais huyo mteule.
Wajumbe hao ambao majina yao yalitangazwa jana wanaamini kuwa iwapo watafanikiwa kuwashawishi wenzao wengine 37 kutoka Chama cha Republican basi watakuwa wamefanikiwa

Ndoto za Donald Trump aliyechaguliwa hivi karibuni kuwa Rais wa 45 wa Marekani huenda zikayeyuka baada ya wajumbe sita wa Democratic watakaopiga kura za majimbo kuanzisha kampeni maalumu ya kuwashawishi wajumbe wengine kutomwidhinisha Rais huyo mteule.
Wajumbe hao ambao majina yao yalitangazwa jana wanaamini kuwa iwapo watafanikiwa kuwashawishi wenzao wengine 37 kutoka Chama cha Republican basi watakuwa wamefanikiwa
OMMY DIMPOZ: KUMBE KISA WEMA SEPETU OMMY DIMPOZ WALIVULUGANA NA DIAMONDPLATNUMZ
Akizungumza leo Novemba 24, 206 wakati wa mahojiano kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, Dimpoz amesema mwanzoni walikuwa na urafiki mzuri na Diamond na walikuwa wakishirikiana mambo mengi kuhusu muziki wao, lakini baadaye hali ilikuwa tofauti baada, Diamond akaanza kumpoteza na kukwepa kufanya naye baadhi ya mambo kwa pamoja.
Dimpoz amesema hayo baada ya Diamond kusema mambo kadhaa kuhusu yeye wakati akifanya mahojiano jana kwenye kipindi hicho cha XXL.
MUHIMBILI YAFANYA UPASUAJI MKUBWA WA KIHISTORIA WA KUHAMISHA MISULI
Upasuaji huu wa aina yake na ambao mara nyingi huchukua muda wa saa sita hadi saba una lengo la kujenga uwezo kwa watalaamu wa ndani ili waendelee kutoa huduma za ubingwa wa hali ya juu kwa Watanzania wengi zaidi na vilevile kupunguza kasi ya kupeleka wagonjwa nje.
Thursday, 24 November 2016
AUDIO: OMMY DIMPOZ AFUNGUKA KISA CHA KUKOSANA NA DIAMOND PLATNUMZ
Ommy amelazimika kusimulia hayo baada ya Jumatano kupitia kipindi hicho hicho, Diamond kuelezea uhusiano wao na jitihada ambazo Ommy amewahi kuzifanya ili kuomba wayamalize.
Wednesday, 23 November 2016
Tuesday, 22 November 2016
U HEARD: MAJIBU YA DIAMOND JUU YA MWANAYE “TIFFA” KUOLEWA NA MTOTO WA ALIKIBA
Kutoka
ndani ya XXL leo November 22, 2016 U Heard imekuja na stori kuhusu
picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonesha watoto wa
mastaa wa Bongo Flava, Diamond Platnumz na Alikiba huku ikiwa imeandikwa
(Natamani mkikua mje kuoana ili baba zenu wapatane).
Kwa mujibu
wa Soudy Brown baada ya kuzagaa kwa picha hiyo, kuna tajiri fulani
jijini Dar es
Monday, 21 November 2016
PICHA:RASTA ALIYEFUNGA NDOA NA LADY JAYDEE
BONYEZA PICHA HAPA KUIONA VIDEO
Huenda Lady Jaydee akawa amepata mwanaume wa kumkabidhi moyo wake. Tangu
aachane na mume wake, Gardiner G Habash, muimbaji huyo mkongwe hajawahi
kuonekana na mwanaume aliyehisiwa kuwa ni mpenzi wake. Na sasa kwa
picha alizoweka Instagram, uwezekano wa kuwa amerejea kupenda tena ukawa
ni mkubwa.
TAARIFA:RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE NA UJUMBE WAKE HAWAKUZUIWA KUSAFIRI UWANJA WA NDEGE DAR ES SALAAM
BONYEZA PICHA HAPA KUIONA VIDEO AKIWA DUBAI LIKE COMMENT VIDEO YA JUX NA VANESSA MDEE BOFYA PICHA HAPO CHINI
Jana Asubuhi iliandikwa Habari iliyokuwa imechapishwa kwenye gazeti la Tanzania la kila siku ‘Mtanzania’ ambapo kichwa cha habari cha taarifa hiyo kilikuwa kikisomeka ‘Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete azuiwa kusafiri nje ya nchi uwanja wa ndege Dar es Salaam.’
Katika habari hiyo, gazeti hilo liliandika kuwa kutokana na taarifa lililozipokea ni kuwa Rais Mstaafu
Jana Asubuhi iliandikwa Habari iliyokuwa imechapishwa kwenye gazeti la Tanzania la kila siku ‘Mtanzania’ ambapo kichwa cha habari cha taarifa hiyo kilikuwa kikisomeka ‘Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete azuiwa kusafiri nje ya nchi uwanja wa ndege Dar es Salaam.’
Katika habari hiyo, gazeti hilo liliandika kuwa kutokana na taarifa lililozipokea ni kuwa Rais Mstaafu
Sunday, 20 November 2016
MAKAMU MWENYEKITI WA ZAMANI YANGA AFARIKI DUNIA
ALIYEWAHI kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Muda ya Yanga, Isaac Shekiondo ‘Clinton’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Taarifa ya familia imesema kwamba, marehemu amefariki baada ya kuugua kwa muda na msiba upo nyumbani kwake, Ilala Mchikichini Kota.
Shekiondo alikuwa Makamu Mwenyekiti katika Kamati ya Muda ya Yanga chini ya Mwenyekiti, Tarimba Abbas ‘Thabo Mbeki’ na enzi zake anakumbukwa kutokana na ukarimu wake na uwajibikaji mzuri.
Taarifa ya familia imesema kwamba, marehemu amefariki baada ya kuugua kwa muda na msiba upo nyumbani kwake, Ilala Mchikichini Kota.
Shekiondo alikuwa Makamu Mwenyekiti katika Kamati ya Muda ya Yanga chini ya Mwenyekiti, Tarimba Abbas ‘Thabo Mbeki’ na enzi zake anakumbukwa kutokana na ukarimu wake na uwajibikaji mzuri.
JE WE NI MWANAUME NA UNATATIZO LA KUFIKA KILELENI BASI SOMA HAPA
Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.
Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada ya hali hii kutokea.
Kimsingi mwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja.
Thursday, 17 November 2016
KINGINE KUHUSU SCOPION MTOA MACHO HIKI HAPA
Upelelezi wa kesi inayomkabili Salum Njwete maarufu kama Scorpion
anayetuhumiwa kumsababishia upofu wa kudumu Saidi Mrisho umekamilika na
hatimaye shauri hilo litasomwa Novemba 30 mwaka huu katika mahakama ya
manispaa ya Ilala.
Njwete anatarajiwa kusomewa mashtaka yake baada ya yale ya kwanza kufutwa ambapo itakuwa ni mara ya kwanza kusikilizwa baada ya kufunguliwa mashtaka mapya.
Huyu ndiye Scropion, kijana aliyejizolea umaarufu ambapo watu wengi hupenda kumshuhudia kila aingiapo na kutoka mahakamani huku kila mmoja akizungumza lake kwa kesi inayomkabili.
Alipoingia mahakamani leo, aliomba ufafanuzi wa wazi juu ya mashtaka yanayomkabili ambapo upande wa jamhuri kupitia kwa wakili wake Chesensi Gavyole walisema ushahidi umekamilika.
Kutokana na kuombwa ufafanuzi, Hakimu anayesimamia kesi hiyo Flora Haule amesema baada ya upelelezi huo kukamilika kesi hiyo itasomwa Novemba 30 mwaka huu, hivyo mshtakiwa atapata ufafanuzi wa mashtaka yake .
Ikumbukwe kwamba Oktoba 19 mwaka huu, Salum Njwete maarufu kama Scropion alifutiwa kesi na kisha kusomewa upya mashtaka yake kutokana na uamuzi wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) aliyeomba kufanya hivyo baada ya hati ya awali kuwa na mapungufu ya kisheria
VIDEO DAKIKA TANO KOFFI OLOMIDE ALIVYOMPIGA DANSA WAKE
Njwete anatarajiwa kusomewa mashtaka yake baada ya yale ya kwanza kufutwa ambapo itakuwa ni mara ya kwanza kusikilizwa baada ya kufunguliwa mashtaka mapya.
Huyu ndiye Scropion, kijana aliyejizolea umaarufu ambapo watu wengi hupenda kumshuhudia kila aingiapo na kutoka mahakamani huku kila mmoja akizungumza lake kwa kesi inayomkabili.
Alipoingia mahakamani leo, aliomba ufafanuzi wa wazi juu ya mashtaka yanayomkabili ambapo upande wa jamhuri kupitia kwa wakili wake Chesensi Gavyole walisema ushahidi umekamilika.
Kutokana na kuombwa ufafanuzi, Hakimu anayesimamia kesi hiyo Flora Haule amesema baada ya upelelezi huo kukamilika kesi hiyo itasomwa Novemba 30 mwaka huu, hivyo mshtakiwa atapata ufafanuzi wa mashtaka yake .
Ikumbukwe kwamba Oktoba 19 mwaka huu, Salum Njwete maarufu kama Scropion alifutiwa kesi na kisha kusomewa upya mashtaka yake kutokana na uamuzi wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) aliyeomba kufanya hivyo baada ya hati ya awali kuwa na mapungufu ya kisheria
VIDEO DAKIKA TANO KOFFI OLOMIDE ALIVYOMPIGA DANSA WAKE
Wednesday, 16 November 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)