Sunday, 13 November 2016

LIST YA WACHEZAJI BORA DUNIANI KUANZIA MWAKA 20006 HADI 2015


https://youtu.be/xU0jMQS1vuAhttps://youtu.be/xU0jMQS1vuA
https://www.youtube.com/watch?v=keucMcCM1Ww
2015 Lionel Messi ni mmoja wa wachezaji walio juu duniani. alizaliwa Argentina, kwa sasa anachezea club ya Barcelona katika ligi za hispania. Pia anajulikana kama Leo, La Pulga Atomica (The Atomic Flea) alizaliwa 24 June 1987,huko Rosario, Argentina
Wazazi wake ni Jorge Horacio Messi ( was a factory worker) na Celia María Cuccittini (was a

Thursday, 10 November 2016

IDRIS SULTAN ADAI MWIGIZAJI LULU NI MSICHANA 'WIFE MATERIAL' ILA WAO NI WASHKAJI TU.

post-feature-imageMchekeshaji na mshindi wa Big Brother 2014 Idris Sultan amedai katika tasnia ya filamu, mrembo Elizabeth Michael ‘Lulu’ ndiye msichana mwenye sifa ya kumuoa.

Idris ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Wema Sepetu na baadae kuachana, ameiambia 255 ya XXL ya Clouds FM kuwa Lulu ndiye msichana ambaye anahisi ametulia.

“Mimi naona Elizabeth Michael ametulia sana,” alisema Idris. “Ni staa ambaye namuona

MELANIA TRUMP MWANAMITINDO WA KWANZA KUINGIA IKULU

post-feature-imageMKE wa Donald Trump, Melania Trump, anakuwa mwanamitindo wa kwanza kuingia Ikulu ya Marekani baada ya mume wake jana kuchaguliwa kuwa rais wa nchini hiyo.

Shughuli kubwa ya Melania ni pamoja na kushughulikia masuala yanayohusu ustawi wa jamii na familia kwa ujumla.

Hata hivyo, wajibu huo haujabainishwa kuwa rasmi, lakini mke huyo wa rais anatarajia

Monday, 7 November 2016

PICHA TATU ZA MFALME BISHOO WA THAILAND ZAITIKISA DUNIA


Baada ya Mfalme wa Thailand kufariki Dunia mtoto wa Mfalme huyo ajulikanae kama *Maha* mwenye umri wa miaka 64 pichani akiwa na hawara

DIAMOND PLATNUMZ ASHINDA TUZO TATU AFRIMA

https://youtu.be/gnDoNusFk7QDiamond Platnumz ameibuka na ushindi wa nguvu kwenye tuzo za Afrima 2016 zilizotolewa Jumapili hii jijini Lagos, Nigeria. Muimbaji huyo ameshinda tuzo tatu, Song of The Year – Utanipenda, Best Artist/Duo/Song Of The Year Utanipenda na Best Male Artist in Eastern Africa.

Pamoja na ushindi huo, Diamond pia alitumbuiza wimbo alioimba na Papa Wemba, msanii aliyetunukiwa tuzo ya heshima.

ALIYEKUWA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA SAMWELI SITTA AFARIKI DUNIA

 Spika mstaafu wa Tanzania Samuel Sitta mwezi Septemba, 2016.                                                Spika mstaafu wa Tanzania Samuel Sitta mwezi Septemba, 2016.
Spika wa zamani wa bunge la Tanzania Samwel Sitta amefariki dunia akipokea matibabu nchini Ujerumani.
Bw Sitta alikuwa mbunge mstaafu wa jimbo la Urambo lililopo mkoani Tabora.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu, Bw Sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Technical University of Munich nchini Ujerumani.
Amekuwa akipokea matibabu tangu mwezi uliopita.

Sunday, 6 November 2016

VIDEO: SIKU WEMASEPETU AKICHEZA VIGOMA TANGA

BONYEZA PICHA KUSUBSCRIBE NASI YOUTUBE NA KUONA VIDEO NYINGI ZAIDI

ARSENAL YATOKA SARE NA TOTTENHAM

Arsenal yatoka sare na Tottenham uwanjani Emirates
Harry Kane alionyesha umahiri wake baada ya kuuguza jereha kwa majuma saba kwa kufunga bao la kusawazisha dhidi ya wenyeji Arsenal katika uwanja wa Emirates,na kuifanya Tottenham kusalia kuwa timu ambayo haijafungwa katika ligi ya Uingereza msimu huu.
Mshambuliaji huyo wa Uingereza alikuwa akiuguza jereha tangu tarehe 18 mwezi Septemba lakini alifunga bao la kusawazisha kupitia mkwaju wa penalti mapema katika kipindi cha pili baada ya

VIDEO MPYA YA ALIKIBA NA OMMY DIMPOZ KAJIANDAE

Saturday, 5 November 2016

MWANAMKE MWENYE NYWELE NDEFU DUNIANI

MWANAMKE anayetambulika kwa jina la Asha Mandela anaongoza kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
https://youtu.be/C7fG2st2u7AMwanamke huyo ambaye anadaiwa kuonywa na madakati juu ya urefu wa nywele zake unaweza kumsababishia tatizo la kupooza Asha amedai hawezi kuzikata nywele hizo.

Mama huyo aishiye Atlanta mwenye umri wa miaka 47 anayeweka rekodi ya kuwa na rasta ndefu duniani ameweka wazi humchukua siku mbili kuosha pamoja na kuzikausha nywele zake.

Katika moja ya mahojiano aliyowahi kufanya mwanamke huyo ameeleza kuwa nywele zake zimekuwa ni sehemu ya maisha yake na hatoweza kuzikata kwani akifanya hivyo ni sawa na kujiuua.
Pamoja na kuonywa na madaktari kuwa urefu wa nywele zake unaweza kumsababishia tatizo la kupooza, Asha Mandela amesema hawezi kuzikata.
article-2396679-1B59DD9C000005DC-682_634x795
Bi. Mandela
article-2396679-1B59DDA0000005DC-270_308x635
Nywele zake ni ndefu kuliko bus(gari)
Mama huyo mwenye mtoto mmoja aishiye Atlanta, Georgia amesema: Nywele zangu zimekuwa sehemu yangu. Ni maisha yangu. Sitozikata kamwe. Kuzikata itakuwa ni kama kujiua. Itakuwa ni sawa na zombie.’
article-2396679-1B59DDB0000005DC-499_634x461
article-2396679-1B59DEA0000005DC-646_634x807
article-2396679-1B59DEA4000005DC-808_634x489
article-2396679-1B59DEBB000005DC-310_634x745
Mrs Mandela, 47, anashikilia Guinness World Record kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
Humchukua siku mbili kuziosha na kuzikausha nywele zake. Mrs Mandela, ana mtoto mwenye miaka 11 aitwaye Zion aliyezaa na mume wake wa pili, anasema nywele zake zimesaidia uhusiano wake na mumewe.
Kwa sasa ameolewa na mume wa tatu na asili yake ni Trinidad and Tobago. Alianza kuzitunza nywele hizo miaka 25 iliyopita.
article-2396679-1B59DECC000005DC-415_634x371
article-2396679-1B59DEE8000005DC-561_306x593
article-2396679-1B59DF10000005DC-918_634x552
article-2396679-1B59DF64000005DC-627_308x593
article-2396679-1B59DF68000005DC-263_306x635
article-2396679-1B59DF71000005DC-778_634x579

SUMU YA NYOKA NI DAWA YA KUMALIZA UCHUNGU

Bonyeza picha hi kuiona video usiache kulike share comment na subscribe mtu wangu

Sumu yake itatumika kutengeneza dawa ya kumaliza uchungu
Joka mwenye sumu kali zaidi duniani huenda akawa jibu la kupatikana dawa ya kupunguza uchungu. Hii ni kwa mujibu ya wanasayansi.
Joka anayejulikana kama 'Blue Coral' ndiye mwenye sumu kali zaidi na hupatikana zaizi Kusini Mashariki mwa Bara Asia. Utafiti mpya uliochapishwa kwenye jarida la afya la Toxin umepata joka huyo huwalenga maadui wake ambao husababisha uchungu kwa binadamu.

POLIS WA KIKE WA KIISLAMU KUVAA IJABU SASA

Serikali ya Scotland imeidhinisha vazi la hijabu na kulijumuisha kwenye sare za maafisa wa polisi wa kike wa Kiislamu ili kuongeza idadi yao katika idara hiyo.

Mkuu wa idara ya polisi nchini humo Phil Gormley, ametoa maelezo na kubainisha furaha kubwa kwa kutangaza uamuzi huo, na kufahamisha nia yao kutaka kusaidiana na maafisa wa Kiislamu katika suala la usalama wa taifa.

Wednesday, 2 November 2016

AINA TATU YA MAWAZO YANAYOZUIA USHINDWE KUFANIKIWAA

Kiasili binadamu tumepewa uwezo mkubwa wa kufikiri ukitofautisha na wanyama wengine. Uwezo huu tulionao huwa unakuja hasa kutokana na matumizi ya mawazo au kufikiri kwetu. Kufikiri huko ambapo tunafanya kila siku na kila wakati ndipo kunapotufanya tuwe na maisha ya aina fulani, haijalishi yawe ya mafanikio au kushindwa.

Lakini hata hivyo wengi wetu huwa tunafikiri au tuna mawazo ya kimazoea na kushindwa kutambua kwamba hayo mawazo yetu pia yamegawanyika. Kwa mawazo yoyote uliyonayo mara huwa yamegawanyika katika sehemu. Kwa mfano unapowaza wazo fulani, wazo hilo linakuwa lipo moja

KAZI: MAMBO YA MSINGI KUZINGATIA KABLA YA KUACHA KAZI

Leo hii karibu kila mtu aliyeajiriwa ukimuuliza je, unafurahia maisha ya kuajiriwa? Atakwambia hapana ila natamani kujiajiri, na endapo utaendelea kumuuliza ni kwa nini unatamani kujiajiri? Utamsikia anasema nataka kuwa huru na muda na pia nahitaji uhuru wa kipesa.

Majibu hayo kwa mtazamo wa wengi ni sawa, ila kuna kitu ambacho ni vyema ukakijua kabla ya kuamua kuacha kazi na kwenda kujiajiri.

Kujiajiri kuna hitaji ujasiri wa hali ya juu sana maana kuna changamoto zaidi ya kuajiriwa. Hivyo nakusihi  ufikirie kwa umakini sana suala zima la kuacha kazi kabla kwenda kujiajiri.

Na endapo utaamua kuacha kazi ya kuajiriwa bila ya kufikiria ipo siku utakuja kujutia uamuzi wako. Hivyo ni vyema ukafikiria mara mbili kabla ya kufanya maamuzi magumu.

Mambo ya msingi ya kuzingatia kabla ya kuacha kazi.

1. Kuwa na nidhamu ya muda.
Kwa kuwa kwa sasa bado umeajiriwa, hivyo huna jukumu la kufanya maamuzi ya matumizi ya muda, Bali unafanya kazi kutokana na muda ambao muajiri wako ameamua yeye kukupangia kuweza kufanya kazi.

Na kwa kuwa umezoea kufanya kazi kutokana na amri ya mwajiri wako, hata pale ambapo utaamua kuacha kazi fahamu fika ya kwamba suala la kuwa na nidhamu ya muda kwako ni suala gumu, hivyo unatakiwa kufanya jitihada zako binafsi kadri iwezekanavyo hasa katika matumizi sahihi ya kufanya kazi hasa suala zima la uzalishaji wa mali au huduma.

Nazungumza suala zima la matumizi ya muda kwani hapa ndipo ambapo tunapata makundi mawili ya watu waliofanikiwa na wasiofanikiwa. Hivyo ni jambo jema kuhakikisha unazingatia matumizi sahihi ya muda ili pindi utakapoacha kazi wewe ndiye ambaye utakuwa na jukumu la kupanga muda wa kufanya kazi na ni muda gani utakuwa ni wa kupumzika. Pia ikiwezekana ongeza matumizi sahihi ya muda mara mbili zaidi ya ulivyokuwa umeajiriwa.

2. Kutokuahirisha kufanya mambo ya msingi.
Utakuwa shahidi ya kwamba wakati umeajiriwa suala zima la uahirishaji wa kufanya mambo ya msingi lilikuwa ni suala gumu sana labda awe ameamua mwajiri wako. Kama ndivyo hivyo basi pale ambapo utakuwa umeamua mwenyewe kuacha kazi na kuamua kufanya kazi mwenyewe hivyo huna budi kuhakikisha ya kwamba suala zima la uhairishaji mambo linakuwa ni suala ambalo halina nafasi katika maisha yako.

Ukiwa ni mtu wa kufanya kazi kwa kuamua kutenda bila kuahiirisha vitu vya msingi ama hakika utafika kilele cha mafanikio yako ndani ya muda mfupi. Ni vyema kulizingatia hili, kwani hili ndilo ambalo limewafanya watu wengi ambao waliacha kazi kuwa na maisha duni zaidi, kwani wengi wao walikuwa ni waahirishaji wazuri wa vitu vya msingi

GABO KULIZIBA PENGO LA KANUMBA

Msanii wa filamu anayefanya vizuri na filamu ‘Safari ya Gwalu’ Salim Ahmed aka Gabo Zigamba amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wa filamu wakiwa na juhudi wanaweza kuziba pengo la marehemu Steven Kanumba.

Mwigizaji huyo ambaye ni miongoni mwa wasanii wa filamu ambao wanafanya vizuri kwa sasa, amedai kama wasanii wakiamua kufanya kazi kwa bidii basi kila kitu kinawezekana.

Tuesday, 1 November 2016

MR BLUE HAITAJI MENEJA KATIKA MZIKI WAKE NINI MAONI YAKO

Msanii wa muziki wa kurap, Mr Blue amesema hahitaji kuwa na meneja wa kumsaidia katika kazi zake za muziki kwa kuwa tayari alishawahi kuwa na mameneja zaidi ya watatu ambao hawakumpatia mafanikio.
f1cbmr-Blue-ft-alikiba-mboga-saba

UJUMBE WA WEMA SEPETU KWA MISS TANZANIA MPYA

Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu amedai mshindi wa shindano la Miss Tanzania 2016, Diana Edward alistahili kuchukua taji hilo.

Kupitia Instagram, Wema ameandika:

When You Nailed that question Properly, I knew that The Crown was Yours…. Congratulations mdogo wangu… You deserve it… And I have a very good feeling about Your performance in the

Monday, 31 October 2016

KIFO CHA MWANAMASUMBWI THOMASI MASHALI KUTOLEWA TAARIFA SIKU YA JUMA TANO

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema kuwa wanaendelea na upelelezi kwa kufuatia kuuawa kwa mwanamasumbwi Thomas Mashali na watatoa taarifa ya kifo hicho siku ya Jumatano.

Akizungumza na waandshi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro amesema taarifa zilizopo kwa kufuatia kifo cha bondia huyo ni za kufikirika na zinasemwa tu, hivyo Jumatano nitatoa taarifa hiyo.

KIJUE ALICHOKITAMKA MAGUFULI HUKO KENYA

Rais Magufuli ambaye yuko nchini Kenya kwa ziara ya kiserikali ya siku mbili ambapo kabla ya Mkutano na waandishi wa habari leo October 31 2016 amepokelewa rasmi kwa kupigiwa mizinga 21 na kukagua gwaride rasmi lililoandaliwa kwa

VIDEO:KEJERI YA NAY WA MITEGO KUHUSU MILLION 500 ZA IDRISS NA WEMA SEPETU

Nay wa Mitego ni kati ya Mastaa wa Tanzania ambao karibia kila wanachokifanya kwenye maisha yao hugeuka kuwa Headlines kubwa kutokana na style ya vitu wanavyofanya. Leo October 27, 2016 kupitia Instagram Rapa Nay wa Mitego a.k.a True Boy amepost video

KIPYA KUHUSU MISS TANZANIA 2016

Baada tu ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano la Miss Tanzania mwaka 2016, Mrembo Diana Lukumay alianza kupokea msg za taarifa zilizosambazwa mitandaoni kuonyesha kwamba alifeli kidato cha nne lakini pia pamoja na hayo bado CV yake ilionyesha anayo degree.
Diana ameamua kuweka kila kitu wazi kwa kusema ‘Jina langu ni Diana Loi Lukumay, mmasai na

VIDEO : LICHA YA KUWA NA MVUA KUBWA HIVI NDIVYO DIAMONDPLATNUMZ ALIVYOVUNJA RECORD HUKO MALAWI

Ni habari iliyo njema kwa muziki wa Tanzania pale unapoona mwimbaji wake anaalikwa kwenda kutumbuiza kwenye taifa ambalo sio taifa linalotumia lugha ya Kiswahili lakini muziki wa bongofleva umeweza kupenya.
Mwimbaji Diamond Platnumz wa Tanzania alialikwa kwenda kutumbuiza Malawi Jumamosi ya

BREAKING NEWS:BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU TANZANIA IMETANGAZA RASMI KWA WANAFUNZI WOTE WALIOOMBA MKOPO KUANGALIA SASA MIKOPO WALIYOPANGIWA 2016/2017



Image result for OLAS.GO.TZ


Bodi ya mikopo ya elimu ya juu Inawatangazia waombaji wote wa mwaka wa masomo 2016/2017 ,kuangalia mikopo waliyopangiwa.

Kama utahitaji kuangaliziwa jina lako kwa "usahihi" na "kasi ya ajabu" (ambapo utajibiwa ndani ya dk 1 tu) kama limepata mkopo tafadhali fanya yafuatayo;

Sunday, 30 October 2016

HESLB YAFAFANUA VIGEZO UTOAJI MIKOPO, WALIOKOSA SABABU ZATAJWA, WAPEWA NAFASI YA KUKATA RUFAA

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa ufafanuzi kuhusu vigezo inavyotumia katika kuchambua, kupanga na kutoa mikopo kwa wanafunzi 20,183 (asilimia 74) wa mwaka wa kwanza hadi sasa kati ya 25,717 iliyopanga kuwapa mikopo katika mwaka huu wa masomo, 2016/2017.

Idadi iliyobaki (asilimia 26) ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza itajazwa na waombaji ambao baadhi ya nyaraka walizowasilisha zinaendelea kuchambuliwa ili kuthibitisha uhalisi wake na baadhi

Wednesday, 26 October 2016

VIDEO DIAMOND PLATNUMZ AKITUONYESHA NYUMBA ALIYONUNUA HUKO SOUTH AFRIKA

Siku kadhaa zimepita toka msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz atangaze kuwa kanunua nyumba ya kuishi Afrika Kusini, huku baadhi ya watu wakidaiwa kutoa

Monday, 24 October 2016

UNAJUAJE KAMA UMEISHIWA MAJI MWILINI

UTAJUAJE KAMA UNA UPUNGUFU WA MAJI MWILINI?
Umeshawahi kwenda hospitali kumlalamikia daktari kuwa mwili wako hauna nguvu na unajisikia kuchokachoka sana na baada ya kukuchunguza, akakwambia huna tatizo lolote isipokuwa una upungufu wa maji mwilini tu?

Sunday, 23 October 2016

SABABU ZA KUHARIBIKA MIMBA

KATIKA makala ya afya wiki hii tuangalie sababu zinazosababisha mimba kuharibika.
Kuharibika kwa mimba ni  hali ya mwanamke kupata ujauzito na ukatoka kabla ya muda wake ambapo tatizo hili huangaliwa kabla ya kutimiza wiki 20 tangu kutungwa kwake.
Hali hiyo inapotokea huitwa kuwa mimba imetoka au imeharibika (Miscarriage).
Hali hii ya mimba kuharibika inakuwa tofauti kabisa na utoaji mimba ambapo kitendo cha kutoa mimba kinafanywa na binadamu kwa makusudi na huwa amedhamiria kufanya hivyo.

KUTANA NA MWANAMKE MNENE KULIKO WOTE DUNIANI

Kwa mujibu wa jarida la Daily Mail, inaelezwa kuwa mwanamke huyo aitwaye Iman Ahmad Abdulati mwenye miaka 36 hajawahi kutoka ndani kwa miaka 25 na amekua akiongezeka uzito wake kwa haraka mpaka kufikia kilo 500 zinazompa shida ya kujifanyia usafi na hata kula. Ripoti ya madaktari inaonesha kuwa mwanamke huyu anasumbuliwa na maambukizi ya bakteria

ANAYEDAIWA KUTOKA KIMAPENZI NA WEMA KWA SASA ADAI HAJUI IDRIS SULTAN

Model anayedaiwa kutoka kimapenzi na malkia wa filamu Wema Sepetu, Calisah amefunguka na kuzungumzia tetesi hizo ambazo zimekuwa zikisambaa katika mitandao ya kijamii.
Kijana huyo ambaye tayari ameshaonekana mara kadhaa katika baadhi ya video za mastaa wa muziki nchini, amemmwagia sifa malkia huyo wa filamu huku akishindwa kuweka wazi kama ni kweli anatoka naye kimapenzi au la!.

“Wema is a beautiful girl, sexy and every man’s dream, na mimi pia ni mvulana mzuri ambaye mwanamke yeyote angependa kuwa na mimi, akiwemo Wema mwenyewe,” Calisah alikiambia kipindi cha Enewz cha EATV. “Siwezi kusema moja kwa moja kwamba sisi ni wapenzi, lakini lakizima ujue kuwa Wema ni mzuri na mimi mzuri,”
Pia kijana huyo alidai kuwa hamtambui Idris Sultan na hakumbuki kama Tanzania imewahi

DIAMOND, HARMONIZE, AY, DJ D-OMMY WASHINDA TUZO YA AEAUSA


Diamond Platnumz, Harmonize, AY na DJ D-Ommy wa Clouds FM wameshinda tuzo ya African Entertainment Awards USA zilizotolewa usiku wa kuamkia Jumapili huko New Jersey, Marekani.
Diamond ameshinda kipengele cha Best Male Single na pia kuungana na AY kwenye Best Collabo (Zigo Remix).

Harmonize ameshinda tuzo ya Best New Artist huku D-Ommy akishinda tuzo ya Dj bora.
Katika kushukuru kwa tuzo hiyo, Harmonize ameandika kwenye Instagram:

MAREHEMU MICHAEL JACKSON AMEINGIZA $825M MWAKA HUU

Forbes wametoa orodha ya mastaa waliofariki wanaoendelea kuingiza mkwanja mrefu zaidi. Mfalme wa muziki wa Pop, Michael Jackson ndiye anayeongoza orodha hiyo akiwa ameingiza kiasi cha dola milioni 825
 Sababu ya kuongoza orodha hiyo imetajwa ni kufuatia uamuzi wa kuuzwa nusu ya hisa zake kampuni Sony/ATV inayomiliki nyimbo za The Beatles na kuingizia kiasi cha dola milioni 750.

Sunday, 9 October 2016

HIVI NDIVYO ALI KIBA ALIVYOWAVULUGIA NAVY KENZO

Wasanii wa Kundi la Navy Kenzo ameshindwa kuachia kwa wakati kolabo yao na AliKiba kutokana na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’ kuwa busy hali ambayo imewafanya washindwe kumpata kwa ajili ya kushoot video.

Wakizungumza katika kipindi cha The Playlist cha Times FM Jumamosi hii, wasanii hao wamesema zaidi ya mara mbili walipanga kushoot video hiyo lakini wameshindwa kumpata msanii huyo.

HAWA NDIO WANAUME KUMI WANAOCHUKIWA NA WANAWAKE

Kila ndoa inachangamoto zake na maana halisi ya ndoa ni ule uwezo wa wanandoa kuvumiliana katika changamoto hizo. Kuna changamoto za kimungu ambazo wanandoa hawawezi kuziepuka lakini kuna zile za kiuanadamua mbazo nyingi ni za kimakusudi na mtu huamua tu kuwa hivyo. Katika kuangalia ndoa leo nimeona nichambue aina kumi za waume ambao wake zao wanakereka kuwa nao;

(1) Wanaojione Kama Wafalume (King Husband); HIi ni aina ya wanaume ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka

TUHUMA ZA DIVALONESS KUJIUZA MAJIBU HAYA HAPA

Divaloness ajibu tuhuma za kujiuza Hyatt hotel baada ya Chat Kuvuja akichati na Danga...

Kupitia Kwenye Ukurasa wake wa Instagram ameandika haya hapa :
...
#Regrann from #divathebawse - LOL jaman wanawake wana mambo hahaha anyways . unaambiwa alietengeneza chat zangu za so called kudanga kwenye system ya cyber crime anaitwa Mirry au Maarufu kama Tzshade sijui nini anaishi Dubai , alichat na mwenzie akaenda whatsapp yangu ya biashara na ku crop kisha kuunganisha chat zake aka edit ila pia akasahau crop vizuri 😂😂 ,

ETI CHRISS BROWN KAVUNJA SIMU YA SHAIKI MOMBASA

Muimbaji mashuhuri wa Marekani mtindo wa Hip Hop Chris Brown, yupo Kenya kwa tamasha la muziki mjini Mombasa eneo la pwani.

Lakini tukio ambalo halikunukuliwa kwenye kamera limegubika vyombo vya habari nchini.

Shabiki mmoja mwanamke anatuhumu kuwa Chris Brown ameivunja simu yake alipojaribu kupiga picha 'selfie' alipowasili katika uwanja wa ndege Mombasa.

advertise here