Thursday, 12 May 2016
YANGA ... NDANDA RUSHWA YAHUSKIKA............. ILICHOKISEMA SIMBA HIKI HAPA
FACEBOOK
unaweza bonyeza hii picha kujiuga nasi youtube

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano Jerry Muro amesema, Ndanda FC itakapoutumia Uwanja wa Taifa itamaanisha kwamba Ndanda FC watakuwa nyumbani na hata mapato katika mgao asilimia kubwa ataipata Ndanda hivyo haoni sababu ya wengine kuanza kuongea kwa kuona ni makosa katika mchezo huo.
unaweza bonyeza hii picha kujiuga nasi youtube

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano Jerry Muro amesema, Ndanda FC itakapoutumia Uwanja wa Taifa itamaanisha kwamba Ndanda FC watakuwa nyumbani na hata mapato katika mgao asilimia kubwa ataipata Ndanda hivyo haoni sababu ya wengine kuanza kuongea kwa kuona ni makosa katika mchezo huo.
GARI LATUMBUKIA KATIK SHIMO BAADA YA BARABARA KUBONYEA
like page yetu hapa FACEBOOK
bonyeza picha yoyote hapo kisha subscribe youtube nasi usipitwe na habari yoyote kwa njia ya video
bonyeza picha yoyote hapo kisha subscribe youtube nasi usipitwe na habari yoyote kwa njia ya video
Gari moja limeingia katika shimo kubwa katika barabara moja kusini mashariki mwa London.
Gari
hilo aina ya Vauxhall Zafira liliwachwa katika mtaa wa Woodland Terrace
mjini Charlton naWednesday, 11 May 2016
WELBECK NJE KWA MIEZI TISA KIJUE KISA HAPA
Facebook page yetu like hapa

Klabu yake imesema kuwa ukaguzi uliofanywa umebaini kwamba aliumia vibaya na kwamba sio jeraha la
Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal na
Uingereza Danny Welbeck hatocheza kwa miezi tisa baada ya kufanyiwa
upasuaji kutokana na jeraha la goti.
Welbeck mwenye umri wa miaka
25 alipata jeraha la mguu wake wa kulia wakati timu yake ilipopata sare
ya 2-2 dhidi ya Manchester City siku ya jumapili na hatocheza mchuno wa
Euro 2016.Klabu yake imesema kuwa ukaguzi uliofanywa umebaini kwamba aliumia vibaya na kwamba sio jeraha la
WEST HAM WAMLAZA MACHESTER UNITED
Bonyeza hapa kulike page yetu ya FACEBOOK

Kwenye mechi hiyo ya kusisimua, West Ham walichomoza na ushindi wa 3-2.
Vurugu zilitokea kabla ya mechi.
Vijana wa Louis van Gaal walifahamu kwamba ushindi dhidi ya klabu hiyo na baadaye ushindi dhidi ya Bournemouth vingewahakikishia nafasi katika ligi kuu ya klabu Ulaya.
Klabu ya West Ham United iliaga
uwanja wake wa nyumbani wa Upton Park kwa kuvuruga juhudi za Manchester
United za kutaka kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya Jumanne.
Ilikuwa mechi ya mwisho kuchezewa uwanja huo ambao umetumiwa na West Ham kwa miaka 112 kabla ya kuhamia uwanja wa Olimpiki.Kwenye mechi hiyo ya kusisimua, West Ham walichomoza na ushindi wa 3-2.
Vurugu zilitokea kabla ya mechi.
Vijana wa Louis van Gaal walifahamu kwamba ushindi dhidi ya klabu hiyo na baadaye ushindi dhidi ya Bournemouth vingewahakikishia nafasi katika ligi kuu ya klabu Ulaya.
UJUE UKWELI JUU YA MWANAMKE ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATANO
FOLLOW US ON FACEBOOK BONYEZA HAPA
Bonyeza picha kuiona na kuskia maelezo kuhusu video mpya ya chura wa snura
Mama mmoja raia wa Australia ametoa picha za mapacha watano aliowazaa mwezi Januari.
Kim Tucci wa miaka 26 alichukua dadika mbili tu kujifungua wanawe hao, wasichana wanne na mvulana mmoja.
Wote walitungwa kawaida, hakutumia matibabu yeyote ya uzazi.
Bonyeza picha kuiona na kuskia maelezo kuhusu video mpya ya chura wa snura
Kim Tucci wa miaka 26 alichukua dadika mbili tu kujifungua wanawe hao, wasichana wanne na mvulana mmoja.
Wote walitungwa kawaida, hakutumia matibabu yeyote ya uzazi.
MWANAMKE WA MIAKA 70 KAJIFUNGUA HUKO INDIA
FACEBOOK
Unaweza pia bonyeza picha hii kujiunga na BZTV ONLINE ili usipitwe na matukio kwa njia ya video

Njia hiyo hutumiwa kuwawezesha wanawake tasa kupata watoto.
Daljinder Kaur alijifungua mtoto wake baada ya kupokea matibabu kwa miaka miwili katika hospitali iliyoko jimbo la Haryana.
Unaweza pia bonyeza picha hii kujiunga na BZTV ONLINE ili usipitwe na matukio kwa njia ya video
Mwanamke wa umri wa miaka 72 amejifungua mtoto mvulana katika hospitali moja nchini India.
Mwanamke
huyo alipachikwa mimba kupitia njia ya kitaalamu ya IVF ambapo yai la
mwanamke hutolewa kutoka kwenye ovari, kutungishwa mbegu ya kiume na
kisha kurejeshwa kwenye mji wa mimba. Yai hilo linaweza kutolewa kwa
mwanamke mwingine.Njia hiyo hutumiwa kuwawezesha wanawake tasa kupata watoto.
Daljinder Kaur alijifungua mtoto wake baada ya kupokea matibabu kwa miaka miwili katika hospitali iliyoko jimbo la Haryana.
Tuesday, 10 May 2016
WANASAYANSI WAUNDA NGOZI YA KUTOA UZEE
FACEBOOK

Wanasayansi wanadai kuunda aina ya ngozi inayoweza kubandikwa juu ya mwili wa mtu kupunguza muonekano wa mikunjo ya ngozi mwilini na ngozi inayopwaya chini ya macho kutokana na uzee.
Ni aina ya maji maji mtu anayopaka mwilini alafu inaachwa kukauka ambapo baadaye husihia kuwa ngozi nyembamba iliyo mithili ya 'ngozi ya ujana, Nature Materials inaarifu baada ya kufanya majiribio kadhaa madogo.
Kwa sasa inafanyiwa majaribio ya kuuzwa kama bidhaa ya urembo.
Lakini wanasayansi Marekani wanasema "ngozi ya pili " huenda baadaye ikaweza kutumika kutengeneza dawa na kinga dhdi ya jua.
Ngozi ya pili
Wanasayansi wanadai kuunda aina ya ngozi inayoweza kubandikwa juu ya mwili wa mtu kupunguza muonekano wa mikunjo ya ngozi mwilini na ngozi inayopwaya chini ya macho kutokana na uzee.
Ni aina ya maji maji mtu anayopaka mwilini alafu inaachwa kukauka ambapo baadaye husihia kuwa ngozi nyembamba iliyo mithili ya 'ngozi ya ujana, Nature Materials inaarifu baada ya kufanya majiribio kadhaa madogo.
Kwa sasa inafanyiwa majaribio ya kuuzwa kama bidhaa ya urembo.
Lakini wanasayansi Marekani wanasema "ngozi ya pili " huenda baadaye ikaweza kutumika kutengeneza dawa na kinga dhdi ya jua.
Ngozi ya pili
KIPA WA CAMEROON AAGA DUNIA
FACEBOOK

Kipa wa timu ya taifa ya Cameroon upande wa wanawake ameaga dunia baada ya kuzirai wakati wa mazoezi, Shirikisho la soka la Cameroon limesema.Jeanine Christelle Djomnang,mwenye umri wa miaka 26, aliuguwa kabla ya mechi ya Femina Stars Ebolowa kusini mwa Cameroon Jumapili na alifariki akipelekwa hospitalini.
Shirikisho hilo linasema taarifa za awali zinaashiria alikufa kutokanana mshtuko wa moyo lakini sasa linasubiri taarifa rasmi ya madaktari.
Kipa wa timu ya taifa ya Cameroon upande wa wanawake ameaga dunia baada ya kuzirai wakati wa mazoezi, Shirikisho la soka la Cameroon limesema.Jeanine Christelle Djomnang,mwenye umri wa miaka 26, aliuguwa kabla ya mechi ya Femina Stars Ebolowa kusini mwa Cameroon Jumapili na alifariki akipelekwa hospitalini.
Shirikisho hilo linasema taarifa za awali zinaashiria alikufa kutokanana mshtuko wa moyo lakini sasa linasubiri taarifa rasmi ya madaktari.
POLICE WAANDAMANA DHIDI YA BEYONCE
FACEBOOK

Walikuwa wanapinga kanda ya video ya Beyonce ambayo wanasema inawaponza polisi.
Kundi moja la maafisa wa polisi
limefanya maandamano karibu na tamasha lililofanyika katika mji wa
nyumbani wa nyota wa muziki Beyonce huko Houston.
Wanachama wa
muungano wa polisi na Sherrif walisimama mbali na uwanja wa soka na
kuelekeza mwangaza wa bluu katika ukumbi wa tamasha hilo.Walikuwa wanapinga kanda ya video ya Beyonce ambayo wanasema inawaponza polisi.
UHABA WA SUKARI CHANZO MWESHIMIWA RAIS
FACEBOOK

Akihojiwa na Mtangazaji Yvonne Kamuntu kwenye Azam News, Mchumi mbobezi hapa nchini Prof. Ibrahim Haruna Lipumba amesema uhaba wa sukari uliopo kwa sasa nchini umesababishwa na Rais John Magufuli mwenyewe kwa kuzuia sukari ya nje kutoingizwa Nchini, ilhali viwanda vyetu havikidhi idadi inayohitajika katika uzalishaji wake.

Akihojiwa na Mtangazaji Yvonne Kamuntu kwenye Azam News, Mchumi mbobezi hapa nchini Prof. Ibrahim Haruna Lipumba amesema uhaba wa sukari uliopo kwa sasa nchini umesababishwa na Rais John Magufuli mwenyewe kwa kuzuia sukari ya nje kutoingizwa Nchini, ilhali viwanda vyetu havikidhi idadi inayohitajika katika uzalishaji wake.
Sunday, 8 May 2016
THE ‘INDUSTRY’ YA NAVY KENZO KUPANUKA NA WASANII WAMPYA.
Bonyeza hapa kulike page yetu usipitwe na habari zetu FACEBOOK

Label ya The industry inayo ongozwa na Navy Kenzo (Nahreel na Aika) wameongeza wasanii wapya kwenye Label hiyo na kuwatambulisha leo hii
Rosaree huyu ni mwanadada ambaye anakipaji cha kurap ambaye anajiita Rap Goddess akiwahadi mashabiki wa muziki nchini wawe tayari kusikia ukali wake kwenye gemu ya kurap.
Msanii mwingine kujiunga na label hiyo ni Selene huyu ni mwanadada ambaye anaimba,naye amepata fursa ya kuweza kujiunga na kundi hili la the Industry.
Label hii pia hakuangalia tu wanadada warembo bali pia waliweza kumchagua Kijana anayenda kwa jina la willdad ambeye yeye anakipaji cha kucheza na kuimba kwa pamoja.
Label ya The industry inayo ongozwa na Navy Kenzo (Nahreel na Aika) wameongeza wasanii wapya kwenye Label hiyo na kuwatambulisha leo hii
Rosaree huyu ni mwanadada ambaye anakipaji cha kurap ambaye anajiita Rap Goddess akiwahadi mashabiki wa muziki nchini wawe tayari kusikia ukali wake kwenye gemu ya kurap.
Msanii mwingine kujiunga na label hiyo ni Selene huyu ni mwanadada ambaye anaimba,naye amepata fursa ya kuweza kujiunga na kundi hili la the Industry.
Label hii pia hakuangalia tu wanadada warembo bali pia waliweza kumchagua Kijana anayenda kwa jina la willdad ambeye yeye anakipaji cha kucheza na kuimba kwa pamoja.
MAUWAJI GUEST/ CAMERA KUFUNGWA KATIKA NYUMBA ZA KULALA WAGENI.........KAULI YA MEYA WA JIJI
Like page yetu hapa FACEBOOK
Bonyeza picha kujiunga na BZTVONLINE
D
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita ameshauri kufungwa kwa kamera maalumu za CCTV kwenye nyumba zote za kulala wageni na hoteli ili kuimarisha ulinzi.
Ushauri huo wa Mwita unakuja baada ya siku sita kupita , kutokea kwa tukio la mwanamke mmoja kufariki dunia akiwa gesti.
Mwita ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Vijibweni (Chadema), alisema mamlaka husika wakiwamo wamiliki wa hoteli na nyumba hizo waliangalie suala hilo kwa jicho la tatu kwani litasaidia kwa kiasi kikubwa kuzuia
Bonyeza picha kujiunga na BZTVONLINE

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita ameshauri kufungwa kwa kamera maalumu za CCTV kwenye nyumba zote za kulala wageni na hoteli ili kuimarisha ulinzi.
Ushauri huo wa Mwita unakuja baada ya siku sita kupita , kutokea kwa tukio la mwanamke mmoja kufariki dunia akiwa gesti.
Mwita ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Vijibweni (Chadema), alisema mamlaka husika wakiwamo wamiliki wa hoteli na nyumba hizo waliangalie suala hilo kwa jicho la tatu kwani litasaidia kwa kiasi kikubwa kuzuia
MKE WANGU ANADAI MAPENZI KILA SIKU ATANIUA
LIKE PAGE YETU HAPA FACEBOOK
Bonyeza picha hii kujua kinacho endelea katika page za udaku

Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama mbili zilizopita amekuwa akinilazimisha nifanye mapenzi kila siku hapa nilipo kichwa kinaniuma kutokana na mabao nitoayo kila siku.
Leo nimeona nivunje ukimya baada ya kuniamsha usiku wa manane nifanye nae mapenzi nikamueleza mke wangu utaniua naomba tupumzike hata siku tatu mbele target yangu ni kuwa baada ya siku tatu anatarajia kuingia kwenye siku zake so ntapata mapumzo ya kutosha.
Bonyeza picha hii kujua kinacho endelea katika page za udaku

Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama mbili zilizopita amekuwa akinilazimisha nifanye mapenzi kila siku hapa nilipo kichwa kinaniuma kutokana na mabao nitoayo kila siku.
Leo nimeona nivunje ukimya baada ya kuniamsha usiku wa manane nifanye nae mapenzi nikamueleza mke wangu utaniua naomba tupumzike hata siku tatu mbele target yangu ni kuwa baada ya siku tatu anatarajia kuingia kwenye siku zake so ntapata mapumzo ya kutosha.
MATAJIRI TANZANIA TUMBO JOTO, WALIO FICHA SUKARI WAUKWA... IJUE KAULI YA RAIS KWA MATAJIRI WAHUJUMU UCHUMI
FACEBOOK

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa inafanya uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazowahusu wafanyabiashara wa sukari nchini kwa kuficha bidhaa hiyo ili kusababisha upungufu katika soko na hivyo kuleta usumbufu kwa jamii ya watanzania wanaohitaji bidhaa hiyo kwa matumizi jambo ambalo limesababisha kupanda kwa bei hadi kufikia shilingi elfu nne kwa kilo moja ya sukari.
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa inafanya uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazowahusu wafanyabiashara wa sukari nchini kwa kuficha bidhaa hiyo ili kusababisha upungufu katika soko na hivyo kuleta usumbufu kwa jamii ya watanzania wanaohitaji bidhaa hiyo kwa matumizi jambo ambalo limesababisha kupanda kwa bei hadi kufikia shilingi elfu nne kwa kilo moja ya sukari.
KUNDI LA MAUAJI RWANDA NAIBU KAMANDA MIKONINI MWA SHERIA
LIKE US ON FACEBOOK
Bofya picha hii kujiunga na bztv online

Mpiganaji wa kundi la FDLR
Bofya picha hii kujiunga na bztv online
Mpiganaji wa kundi la FDLR
Wakuu wa Jamhuri ya
Demokrasi ya Congo wanasema wamemkamata naibu kamanda wa kundi la
wapiganaji, linalohusishwa na mauaji makubwa ya Rwanda ya mwaka 1994.
Msemaji
wa serikali, alieleza kuwa Jenerali Leopold Mujyambere, wa kundi la
Rwanda la FDLR, Saturday, 7 May 2016
KWA MARA YA KWANZA JIJI LA LONDON LAPATA MEYA WA KIISLAMU
Like page yetu hapa FACEBOOK
j
Meya wa Lndon Sadiq Khan
Meya wa Lndon Sadiq Khan
Jiji la London limemchagua Meya wa
kwanza Muislamu, Sadiq Khan, aliyekuwa wakati mmoja Waziri katika chama
cha upinzani cha Laba.
Bwana Khan ni mwana wa dereva wa zamani wa bas jijini London aliyezaliwa Pakistan. Alipata kura milioni moja na mia tatu elfu.PICHA NA GARI REFU ................ NDOTO YA MAREKANI ( LONGEST LEMOUSINE)
Lke wa facebook page here SWAXBZ

Jay Ohrberg designes this monster limo himself and now hires it out through his hire car company.This incredible limo is currently in the Guinness Book of World Records as the longest car
Photos: World’s Longest Car|Longest Limousine -The American Dream
The American Dream Limo is owned by car collector and designer Jay Ohrberg of Burbank,California,USA.It is considered as the world longest Car.Jay Ohrberg designes this monster limo himself and now hires it out through his hire car company.This incredible limo is currently in the Guinness Book of World Records as the longest car
Friday, 6 May 2016
MIAKA 13 IMEPITA TANGU CAMERRON WAMPOTEZE FOE,, LEO TENA WAMEMPOTEZA MWINGINE UWANJANI
Like page yetu hapa SWAXBZ usipitwe na habari zetu kila siku

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya soka barani Ulaya huenda utakuwa umekutana na taarifa za kusikitisha kwa taifa la Cameroon, usiku wa May 6 2016 Cameroon na Afrika kwa ujumla ilipata taarifa za kushtusha, baada ya kupokea taarifa za kifo cha kiungo wa kimataifa wa Cameroon aliyekuwa anaicheze Dinamo Bucuresti Patrick Ekeng.

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya soka barani Ulaya huenda utakuwa umekutana na taarifa za kusikitisha kwa taifa la Cameroon, usiku wa May 6 2016 Cameroon na Afrika kwa ujumla ilipata taarifa za kushtusha, baada ya kupokea taarifa za kifo cha kiungo wa kimataifa wa Cameroon aliyekuwa anaicheze Dinamo Bucuresti Patrick Ekeng.
DOWNLOAD NYIMBO MPYA YA SHETTA NAMJUA
Like page yetu hapa SWAXBZ usipitwe na habari zinazotufikia hapa mkali wetu

Tazama Hapa Chini Video Mpya ya Mwanamuziki Shetta ya Wimbo Unaoitwa Namjua, Video Imefanywa South Africa...

Tazama Hapa Chini Video Mpya ya Mwanamuziki Shetta ya Wimbo Unaoitwa Namjua, Video Imefanywa South Africa...
ARGENTINA SASA KUONGOZA ORODHA YA FIFA DUNIANI
Like page yetu SWAXBZ usipitwe na habari zetu
s
Timu ya bara la Afrika inayochukua nafasi nzuri kwenye orodha hiyo ya FIFA ni Algeria iliopo
Timu ya taifa ya Argentina bado inaongoza orodha ya kila mwezi ya FIFA ya timu bora duniani ambayo imetolewa Ijumaa.
Kwenye
orodha hiyo timu ya taifa ya Ubelgiji iko kwenye nafasi ya pili
ikifwatiwa na Chile.Ujerumani ni ya 5,ikifwatiwa na Uhispania na Brazil
inachukua nafasi ya saba.Timu ya bara la Afrika inayochukua nafasi nzuri kwenye orodha hiyo ya FIFA ni Algeria iliopo
JE?: NI KWELI SHILOLE HUMFIKII VANESSA KWA UZURI
Like page yetu ya facebook hapa SWAXBZ usipitwe na habari kila siku
kiwa zimepita siku kadhaa toka msanii Shilole afunguke kwenye kipindi cha 5Selekt kinachorushwa kwenye ting'a namba moja kwa vijana EATV kuwa hakuna msanii wa bongo fleva mzuri zaidi yake, mashabiki
Bonyeza picha hii kuona baadhi ya clips za shilole

wameamua kutoa ya mioyoni.
Mashabiki wamemchana Shilole na kusema kuwa yeye si mwanamke mzuri katika wasanii wanaofanya bongo fleva huku wakisema kuwa uzuri wake hausofei kabisa kwa msanii Vanessa Mdee.
Baadhi ya mashabiki walikuwa wakimpa madongo kuwa mwanamke mzuri hawezi kujianika kama yeye, huku wengine wakisema kuwa mwanamke mzuri hawezi kuwa yeye kutokana na tabia yake ya kutojiheshimu na wengine wakisema kuwa yeye hana lolote na wa kawaida kabisa.
"Kuna manzi wakuitwa Vanessa cheki yule manzi alivyo mcute wewe nani wachakuji puraaaaaaaaaaa" Africanboihacker
kiwa zimepita siku kadhaa toka msanii Shilole afunguke kwenye kipindi cha 5Selekt kinachorushwa kwenye ting'a namba moja kwa vijana EATV kuwa hakuna msanii wa bongo fleva mzuri zaidi yake, mashabiki
Bonyeza picha hii kuona baadhi ya clips za shilole

wameamua kutoa ya mioyoni.
Mashabiki wamemchana Shilole na kusema kuwa yeye si mwanamke mzuri katika wasanii wanaofanya bongo fleva huku wakisema kuwa uzuri wake hausofei kabisa kwa msanii Vanessa Mdee.
Baadhi ya mashabiki walikuwa wakimpa madongo kuwa mwanamke mzuri hawezi kujianika kama yeye, huku wengine wakisema kuwa mwanamke mzuri hawezi kuwa yeye kutokana na tabia yake ya kutojiheshimu na wengine wakisema kuwa yeye hana lolote na wa kawaida kabisa.
"Kuna manzi wakuitwa Vanessa cheki yule manzi alivyo mcute wewe nani wachakuji puraaaaaaaaaaa" Africanboihacker
JINSI YA KUPATA MTAJI WA BIASHARA
like page yetu facebook hapa SWAXBZ ili usipitwe na kila story inayotufikia

Karibu tena kwenye kipengele hiki cha ushauri ambapo tunajadili changamoto mbalimbali zinazotuzuia kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha.
Leo tutajadili changamoto ya ukosekanaji wa mitaji na jinsi ya kuipata. Kabla hatujaanza kujadili changamoto hii naomba niweke maoni ya wasomaji waliotuandikia kuhusu hili;
Mimi ni graduate wa diploma ya uhandisi magari, kila nikifikiria kuanza kuijajiri nashindwa kutokana na kipato cha kuanzia biashara.. je nifanyeje niweze kupata kipato cha kujiajiri?

Karibu tena kwenye kipengele hiki cha ushauri ambapo tunajadili changamoto mbalimbali zinazotuzuia kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha.
Leo tutajadili changamoto ya ukosekanaji wa mitaji na jinsi ya kuipata. Kabla hatujaanza kujadili changamoto hii naomba niweke maoni ya wasomaji waliotuandikia kuhusu hili;
Mimi ni graduate wa diploma ya uhandisi magari, kila nikifikiria kuanza kuijajiri nashindwa kutokana na kipato cha kuanzia biashara.. je nifanyeje niweze kupata kipato cha kujiajiri?
ASIYE NA MIKONO ASHINDA TUZO YA MUANDIKO BORA
SWAXBZ
Msichana asiye na mikono ashinda shindano la muandiko bora Marekani
Bonyeza picha hii ili habari yoyote isikupite bofya hapa
Msichana wa miaka saba aliyezaliwa bila mikono ameshinda shindano la muandiko mzuri nchini Marekani.
Anaya Ellick kutoka Chesapeake,Virginia hatumii viungo vya kumsaidia wakati anapoandika.
Wakati anapoandika yeye husimama huku akishikilia kalamu yake katika mikono.
Mwalimu wake mkuu Tracy Cox kutoka shule ya Greenbrier Christian amemtaja kuwa mtu wa mfano mwema.
Msichana asiye na mikono ashinda shindano la muandiko bora Marekani
Bonyeza picha hii ili habari yoyote isikupite bofya hapa
Msichana wa miaka saba aliyezaliwa bila mikono ameshinda shindano la muandiko mzuri nchini Marekani.
Anaya Ellick kutoka Chesapeake,Virginia hatumii viungo vya kumsaidia wakati anapoandika.
Wakati anapoandika yeye husimama huku akishikilia kalamu yake katika mikono.
Mwalimu wake mkuu Tracy Cox kutoka shule ya Greenbrier Christian amemtaja kuwa mtu wa mfano mwema.
Thursday, 5 May 2016
SNURA AWAOMBA RADHI WATANZANIA AKABIDIWA CHETI BASATA
SWAXBZ
Baada ya jana serikali kupitia Wizara ya
Habari kutoa agizo la kumfungia Snura kutojihusisha na shughuli za
muziki kutoka wimbo wake na kutojisajili Baraza la Sanaa Taifa (BASATA),
leo mwanamuziki huyo na meneja wake HK wameomba radhi kwa umma katika
Ukumbi wa Habari Maelezo, jijini Dar.
Wednesday, 4 May 2016
WANASAYANSI WAGUNDUA DAWA YA KUREFUSHA MAISHA NA KUZUIA UZEE
like page yetu SWAXBZ
n
Dawa inayotumika kwa matibabu ya kawaida huenda ikategua kitendawili cha kurefusha maisha na kuzuia uzee.
Hii ni kwa mujibu wa utafiti mpya, ambao ulibainisha kwamba viwango vya chini vya dawa aina ya Lithium vilisaidia kurefusha maisha ya nzi waliowekwa kwenye

Dawa inayotumika kwa matibabu ya kawaida huenda ikategua kitendawili cha kurefusha maisha na kuzuia uzee.
Hii ni kwa mujibu wa utafiti mpya, ambao ulibainisha kwamba viwango vya chini vya dawa aina ya Lithium vilisaidia kurefusha maisha ya nzi waliowekwa kwenye
WAKATI WEWE UNAUGULIA NJAA NA UHABA WA FEDHA FLOYD MAYWEATHER ANACHOMA DOLLAR
SWAXBZ

Bondia mwenye jeuri ya pesa Mayweather amechoma pesa hadharani $100 kwa kiberiti,mbele ya wapqmbe wake huku akishangiliwa na wapambe
Pembeni akiwa amezungukwa na warembo waki-massage massage mwili wake...Jamaa ana kufuru

Bondia mwenye jeuri ya pesa Mayweather amechoma pesa hadharani $100 kwa kiberiti,mbele ya wapqmbe wake huku akishangiliwa na wapambe
Pembeni akiwa amezungukwa na warembo waki-massage massage mwili wake...Jamaa ana kufuru
NICKI MINAJ Kamchagua yupi Kati ya Meek Mill na Drake? Jibu Liko Hapa
Chanzo na udaku specially
SWAXBZ

SWAXBZ

Rapa Nicki Minaj amefikia wakati mgumu kwenye maisha yake kwenye
kuchagua kuwasiliana na hasimu wa mpenzi wake ambaye ni Drake au kukata
mawasiliano naye kabisa ili kumfurahisha Meek Mill ambaye ni boy friend
wake.
Kwa mujibu wa Hollywood Life Nicki Minaj amemchagua Meek Mill na amekata
mawasiliano kabisa na rapa Drake ambaye wapo pamoja kwenye lebel moja
ya Young Money.
Wawili hawana mawasiliano toka June 2015 beef kati ya Meek na Drake
lilipoanza. Pia mpaka sasa
MTANGAZAJI WA CLOUDSFM DIVA KASEMA NYIMBO ZAKE ZINABANIWA KUPIGWA REDIONI
SWAXBZ

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva amesema nyimbo zake pamoja na za mtangazaji mwenzake, Adam Mchomvu zinabaniwa na redio zingine, kitu ambacho anaona si sawa.
Anasema redio za mikoani ndizo zimekuwa zikiwapa support bila kujali kuwa wanatoka Clouds lakini redio karibu zote za Dar zimekuwa zikibania nyimbo zao.
Diva ambaye anaandaa album yake, The Life of The Diva, amesema kuwa hicho ni kitu ambacho angependa kuona kinafutika.

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva amesema nyimbo zake pamoja na za mtangazaji mwenzake, Adam Mchomvu zinabaniwa na redio zingine, kitu ambacho anaona si sawa.
Anasema redio za mikoani ndizo zimekuwa zikiwapa support bila kujali kuwa wanatoka Clouds lakini redio karibu zote za Dar zimekuwa zikibania nyimbo zao.
Diva ambaye anaandaa album yake, The Life of The Diva, amesema kuwa hicho ni kitu ambacho angependa kuona kinafutika.
MAMA MZAZI WA TUPAC SHAKUR AFARIKI DUNIA
SWAXBZ

Alice Faye Williams,alibadilisha jina lake na kuitwa Shakur akiwa mtu mzima alipokuwa mwanaharakati wa kisiasa na kujiunga na vuguvugu la Black Panther.
Alikuwa na mimba ya Tupac mwaka 1971 alipokamatwa na kufungwa jela pamoja na wanachama
Mamaake aliyekuwa mwanamuziki wa mtindo wa Rap Tupac Shakur ,Afeni Shakur amefariki akiwa na umri wa miaka 69.
Kaunti ya California imethibitisha kifo chake kupitia ujumbe wa Twitter.Hakuna maelezo zaidi yaliotolewa.Alice Faye Williams,alibadilisha jina lake na kuitwa Shakur akiwa mtu mzima alipokuwa mwanaharakati wa kisiasa na kujiunga na vuguvugu la Black Panther.
Alikuwa na mimba ya Tupac mwaka 1971 alipokamatwa na kufungwa jela pamoja na wanachama
BASI LA WANAWAKE LAZUA MJADALA
SWAXBZ

Kampuni hiyo ya basi itawalinda wanawake dhidi ya kunyanyaswa wakati wanapovaa nguo nyepesi
Uzinduzi wa basi la wanawake pekee
katika mji mmoja wa China umewakasirisha wanaume wa taifa hilo na kuzua
mjadala mkali katika mitandao ya kijamii.
Huduma hiyo mpya
itatolewa wakati wa asubuhi na wakati wa shughuli nyingi katika mji wa
mashariki wa Zhengzhou katika juhudi za kupunguza visa vya wanawake
kusumbuliwa na wanaume kulingana na gazeti la Dahe daily.Kampuni hiyo ya basi itawalinda wanawake dhidi ya kunyanyaswa wakati wanapovaa nguo nyepesi
Tuesday, 3 May 2016
MAELFU KUAGA MWILI WA PAPA WEMBA
LAYIII

Mwili wake umewekwa katika majengo ya bunge mjini Kinshasa.
Maelfu ya waombolezaji walijitokeza
kuadhimisha misa ya wafu kwa heshima ya mwanamuziki nyota wa muziki wa
Soukus na Rhumba raia wa Jamhuri ya Congo Papa Wemba.
Waomboloezaji
walipiga foleni ilikupata fursa ya kutoa heshima zao za mwisho kwa
msanii huyo nguli aliyeaga dunia juma lililopita alipokuwa akiwatumbuiza
mashabiki wake huko Abidjan Ivory Coast.Mwili wake umewekwa katika majengo ya bunge mjini Kinshasa.
WHATSUP HAIJAFANYA KAZI NDANI YA SAA 72 HUKO BRAZIL
LAYIII

Hakimu mmoja nchini Brazili amefunga
mawasiliano ya mtandano wa simu kwa njia ya whatsapp kwa saa 72.Hakimu
huyo Marcel Montalvao amesema kampuni inayomiliki mtandao huo imeshindwa
kusaidia kutoa taarifa katika kesi ya uhalifu.
Mwezi
Machi,Montalvao aliamuru kukamatwa kwa afisa mwandamizi wa Facebook
katika nchi za Kilatini bwana Diego Dzoran baada ya kukataa kutoa
ushirikiano katika uchunguzi dhidi ya dawa za DOWNLOAD NGOMA MPYA YA HARMONIZE NA RAYMOND (PENZI)
LAYIII
Wakati ngoma za ‘Bado’ ya Harmonize ft Diamond inaendelea kufanya vizuri na ‘Kwetu’ ya Raymond inaendelea kufanya vizuri, leo Mei 2 2016 Harmonize na Raymond wameingia kwenye headlines baada ya ngoma yao waliofanya pamoja ya ‘Penzi’ kuvuja, millardayo.com imeinasa na kukusogezea track hiyo
Monday, 2 May 2016
Utafiti: Matumizi makubwa ya mitandao ya kijamii yanasababisha sonona (depression)
LAYIII

Watafiti wa University of Pittsburgh School of Medicine walifanya utafiti kuhusu madhara ya matumizi ya mitandao ya kijamii katika mood ya watumiaji.
Utafiti huo ulibaini kuwa kadri vijana wanavyotumia mitandao hiyo zaidi, ndivyo wanavyopata tatizo la sonona ambalo kitaalam linajulikana kama depression, au kukosa uchangamfu na furaha.
“Kwasababu mitandao ya kijamii imekuwa kitu kilichojiweka kwenye mawasiliano ya binadamu, ni muhimu kwa wauguzi kuongea na vijana kuhusu kutambua uwiano unaotakiwa kuwepo na kuhimiza matumizi chanya wakati wakijiondoa kwenye matumizi yenye matatizo,” alisema Brian A. Primack, M.D., Ph.D., ambaye ni mwandishi mkuu wa utafiti huo.

Watafiti wa University of Pittsburgh School of Medicine walifanya utafiti kuhusu madhara ya matumizi ya mitandao ya kijamii katika mood ya watumiaji.
Utafiti huo ulibaini kuwa kadri vijana wanavyotumia mitandao hiyo zaidi, ndivyo wanavyopata tatizo la sonona ambalo kitaalam linajulikana kama depression, au kukosa uchangamfu na furaha.
“Kwasababu mitandao ya kijamii imekuwa kitu kilichojiweka kwenye mawasiliano ya binadamu, ni muhimu kwa wauguzi kuongea na vijana kuhusu kutambua uwiano unaotakiwa kuwepo na kuhimiza matumizi chanya wakati wakijiondoa kwenye matumizi yenye matatizo,” alisema Brian A. Primack, M.D., Ph.D., ambaye ni mwandishi mkuu wa utafiti huo.
WASANII WANAFANYIWA FAIR SANA :MANENO YA MASTER J
LAYIII
L
Mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa Tanzania, Master J amesema kuwa maproducer ndio wanaomiliki beat ila wanawafanyia fair wasanii.
Master J ambaye ni mmiliki wa studio ya MJ Record amefanikiwa kufanya kazi na wasanii wakongwe wakubwa kwenye muziki wa Bongo Flava lakini pia alistaafu kazi hiyo ya kuandaa muziki tangu mwaka 2005 na kumuachia Marco Chali akifanya kazi hiyo.
Akiongea kwenye kipindi cha FNL, kinachoruka kupitia EATV, Master J alisema, ‘Maproducer

Mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa Tanzania, Master J amesema kuwa maproducer ndio wanaomiliki beat ila wanawafanyia fair wasanii.
Master J ambaye ni mmiliki wa studio ya MJ Record amefanikiwa kufanya kazi na wasanii wakongwe wakubwa kwenye muziki wa Bongo Flava lakini pia alistaafu kazi hiyo ya kuandaa muziki tangu mwaka 2005 na kumuachia Marco Chali akifanya kazi hiyo.
Akiongea kwenye kipindi cha FNL, kinachoruka kupitia EATV, Master J alisema, ‘Maproducer
VARDY MCHEZAJI BORA WA MWAKA UINGEREZA
LAYIII

Vardy, 29, amefunga mabao 22 Ligi ya Premia msimu huu.
Aidha, alivunja rekodi kwa kufunga mabao kila mechi katika mechi 11 mtawalia.
Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy ametawazwa mchezaji soka bora wa mwaka na chama cha waandishi wa kandanda Uingereza.
Mshambuliaji
huyo wa Uingereza alipata 36% ya kura zilizopigwa na wanahabari 290 na
kuwashinda wenzake Riyad Mahrez na N'Golo Kante.Vardy, 29, amefunga mabao 22 Ligi ya Premia msimu huu.
Aidha, alivunja rekodi kwa kufunga mabao kila mechi katika mechi 11 mtawalia.
KOCHA WA ARSERNAL , WENGER KUMBE ALITEGEMEA MABANGO MENGI KUTOKA EMIRATES
LAYIII

Wenger atatimiza 20 kwenye usukani Arsenal Oktoba mwaka huu lakini mara yake ya mwisho kushinda ligi ilikuwa 2004 na baadhi ya mashabiki waliinua mabako ya kusema “wakati wa mabadiliko umefika” uwanjani Emirates.
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger
amesema alitarajia mashabiki zaidi waonyeshe kutoridhishwa naye wakati
wa mechi ya Jumamosi dhidi ya Norwich.
Arsenal walishinda 1-0.Wenger atatimiza 20 kwenye usukani Arsenal Oktoba mwaka huu lakini mara yake ya mwisho kushinda ligi ilikuwa 2004 na baadhi ya mashabiki waliinua mabako ya kusema “wakati wa mabadiliko umefika” uwanjani Emirates.
NIMEKUSOGEZEA JEDWALI LINALOONYESHA MSIMAMO WA LIGI YA EPL
LAYIII
ULIMIS KUIONA TARIFA YA HABARI HIII CHEKI HAPA
Jedwali la msimamo wa ligi ya EPL kufikia 2 Mei, 2016.
CIA YASHUTUMIWA MTANDAONI KWA SABABU YA OSAMA
LAYIII
L
Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA)
limeshutumiwa mtandaoni kwa kusimulia moja kwa moja matukio
yaliyopelekea kuuawa kwa Osama Bin Laden.
Shirika hilo limekuwa
likiandika ujumbe kwenye Twitter na kusimulia matukio yaliyopelekea
kuuawa kwa kiongozi huyo wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda kana kwamba
yalikuwa yanafanyika WATU 45 WAFARIKI DUNIA KWA KIPINDU PINDU
LAYIII

Muhammed Dahoma, ambaye ni mkurugenzi wa anayeangazia kuzuia maradhi katika wizara ya afya, anasema watu karibu 3,000 wamelazwa hospitalini baada ya kuugua.
Ameongeza kuwa serikali ya Zanzibar imechukua hatua kukabiliana na mlipuko huo.
Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kupiga marufuku uuzaji wa chakula na juisi maeneo ya wazi.
Taarifa kutoka visiwani humo zinasema serikali pia imeamuru kufungwa kwa shule zote kwa muda usiojulikana.
Waziri wa elimu Riziki Pembe Juma, amenukuliwa na shirika la habari la Uchina la Xinhua, akisema uamuzi huo umetolewa baada ya kubainika kwamba wanafunzi ni miongoni mwa watu walioathiriwa zaidi na ugonjwa huo.
“Tumejaribu kudhibiti hali, lakini kwa maslahi ya watoto wetu, watakuwa salama zaidi wakisalia nyumbani,” amesema kupitia taarifa, kwa mujibu wa Xinhua.
Ameongeza kuwa baadhi ya shule zimeathirika zaidi kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha.
Kisiwa cha Unguja ndicho kilichoathirika zaidi ambapo watu 20 wamefariki na 400 kuambukiwa tangu Januari mwaka huu.
Waziri wa afya Mahmoud Thabit Kombo aliambia gazeti la serikali la Daily News wiki jana kwamba ikizingatiwa kwamba Zanzibar ni visiwa vidogo na watu si wengi sana “kipindupindu sasa ni tishio kubwa”.
Mlipuko wa kipindupindu ulianza mwaka jana.
Kufikia Oktoba, visa 140 vya maambukizi vilikuwa vimeripotiwa katika visiwa hivyo kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO).
Watu zaidi ya 45 wamefariki kutokana
na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu visiwani Zanzibar katika kipindi
cha miezi miwili, shirika la habari la AP limeripoti.
Shirika hilo la habari limemnukuu afisa wa afya visiwani humo anayesema vifo hivyo vimetokea mwezi Machin a Aprili.Muhammed Dahoma, ambaye ni mkurugenzi wa anayeangazia kuzuia maradhi katika wizara ya afya, anasema watu karibu 3,000 wamelazwa hospitalini baada ya kuugua.
Ameongeza kuwa serikali ya Zanzibar imechukua hatua kukabiliana na mlipuko huo.
Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kupiga marufuku uuzaji wa chakula na juisi maeneo ya wazi.
Taarifa kutoka visiwani humo zinasema serikali pia imeamuru kufungwa kwa shule zote kwa muda usiojulikana.
Waziri wa elimu Riziki Pembe Juma, amenukuliwa na shirika la habari la Uchina la Xinhua, akisema uamuzi huo umetolewa baada ya kubainika kwamba wanafunzi ni miongoni mwa watu walioathiriwa zaidi na ugonjwa huo.
“Tumejaribu kudhibiti hali, lakini kwa maslahi ya watoto wetu, watakuwa salama zaidi wakisalia nyumbani,” amesema kupitia taarifa, kwa mujibu wa Xinhua.
Ameongeza kuwa baadhi ya shule zimeathirika zaidi kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha.
Kisiwa cha Unguja ndicho kilichoathirika zaidi ambapo watu 20 wamefariki na 400 kuambukiwa tangu Januari mwaka huu.
Waziri wa afya Mahmoud Thabit Kombo aliambia gazeti la serikali la Daily News wiki jana kwamba ikizingatiwa kwamba Zanzibar ni visiwa vidogo na watu si wengi sana “kipindupindu sasa ni tishio kubwa”.
Mlipuko wa kipindupindu ulianza mwaka jana.
Kufikia Oktoba, visa 140 vya maambukizi vilikuwa vimeripotiwa katika visiwa hivyo kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO).
MIILI YA WATU ILIYOPOTEA KWA MIAKA KUMI NA SITA(16) YAPATIKANA
LAYIII

Wawili hao walifukiwa na maporomoko ya theluji.
Miili ya wakwea milima wawili kutoka Marekani waliotoweka katika milima ya Himalaya miaka 16 iliyopita imepatikana.
Mkwea
milima maarufu duniani Alex Lowe alikuwa akikwea katika kilele cha
Shishapangma chenye urefu wa 8,013m (26,290ft) eneo la Tibet Oktoba 1999
akiwa na mpiga picha David Bridges mkasa ulipotokea.Wawili hao walifukiwa na maporomoko ya theluji.
DAVIDO KAMPIGA SHABIKI WAKE VIBAO HUKO UINGEREZA
LAYIII

Davido ameonekana kwenye kipande cha video kinachomuonyesha akiwa na watu wake wakimpiga mtu mmoja anayedaiwa kuwa ni shabiki nchini Uingereza.
davidoz
Kipande hiko cha video chenye urefu wa dakika moja kimesambaa na kuzua maswali mengi kwa mashabiki wake kama hilo tukio linaloonekana ni kweli au ilikuwa ni drama.

Davido ameonekana kwenye kipande cha video kinachomuonyesha akiwa na watu wake wakimpiga mtu mmoja anayedaiwa kuwa ni shabiki nchini Uingereza.
davidoz
Kipande hiko cha video chenye urefu wa dakika moja kimesambaa na kuzua maswali mengi kwa mashabiki wake kama hilo tukio linaloonekana ni kweli au ilikuwa ni drama.
Raila Rubbishes Uhuru Ivory Burning...
LAYIII

Opposition leader Raila Odinga has rubbished Saturday's burning of ivory stockpiles as a public relations gimmick by the Jubilee Administration designed to please the international community.
Raila said that the poachers and the kingpins behind the poaching syndicate in the country enjoyed their freedom ridiculing the burning spectacle.

Opposition leader Raila Odinga has rubbished Saturday's burning of ivory stockpiles as a public relations gimmick by the Jubilee Administration designed to please the international community.
Raila said that the poachers and the kingpins behind the poaching syndicate in the country enjoyed their freedom ridiculing the burning spectacle.
Saturday, 30 April 2016
MADAWA YA KULEVYA NI KWELI YAMEMWANGAMIZA FEROOZ ........... MSKILIZE HAPA
LAYIII
JIUNGE NA MAFANIKIO HAPA

Baada ya ukimya wa muda mrefu sana wa wakongwe wa muziki wa Bongo Flava story zilizopo mtaani ni kuwa Ferooz ni miongoni mwa wasanii wanaotumia madawa ya kulevya na ndiyo sababu iliyompoteza kwenye reli ya muziki.
Kupitia Enewz Ferooz alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa misongo ya mawazo ndo huwa inawapelekea wasanii kuingia katika matumizi hayo ya madawa ya kulevya na kuwataka wengine wasifanye hivyo.
JIUNGE NA MAFANIKIO HAPA


Baada ya ukimya wa muda mrefu sana wa wakongwe wa muziki wa Bongo Flava story zilizopo mtaani ni kuwa Ferooz ni miongoni mwa wasanii wanaotumia madawa ya kulevya na ndiyo sababu iliyompoteza kwenye reli ya muziki.
Kupitia Enewz Ferooz alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa misongo ya mawazo ndo huwa inawapelekea wasanii kuingia katika matumizi hayo ya madawa ya kulevya na kuwataka wengine wasifanye hivyo.
Subscribe to:
Posts (Atom)