Sunday 8 May 2016

KUNDI LA MAUAJI RWANDA NAIBU KAMANDA MIKONINI MWA SHERIA

LIKE US ON FACEBOOK
Bofya picha hii kujiunga na bztv online
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
Mpiganaji wa kundi la FDLR 
 
Wakuu wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo wanasema wamemkamata naibu kamanda wa kundi la wapiganaji, linalohusishwa na mauaji makubwa ya Rwanda ya mwaka 1994.
Msemaji wa serikali, alieleza kuwa Jenerali Leopold Mujyambere, wa kundi la Rwanda la FDLR,
alikamatwa mjini Goma, mashariki mwa nchi.
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
Kundi la FDLR ni la Wahutu wanaoshutumiwa kuuwa malaki ya Watutsi na Wahutu waliokuwa na msimamo wa wastani, wakati wa mauaji ya kimbari ya Rwanda.
Rwanda imeingilia kati kijeshi mashariki mwa Congo katika juhudi za kuliangamiza kundi hilo.


Image copyright Getty

No comments:

Post a Comment

advertise here