Saturday, 30 April 2016
Friday, 29 April 2016
KIPYA CHAZUKA KUHUSIANA NA KIFO CHA PAPA WEMBA TIZAMA VIDEO HIII
LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJUA ZAIDI VIDEO IKO HAPO CHINI

BONYEZA PICHA HII KUJUA ZAIDI VIDEO IKO HAPO CHINI
Taarifa
ambazo zinazidi kuenea kwenye vyombo vya habari Congo na mitandao ya
kijamii hata hapa Tanzania ni msiba wa Papa Wemba lakini sasa mjadala
umehamia kwenye namna kifo chake kilivyotokea
Kipande
cha video kinachomuonesha jamaa akichukua mic halafu akairudisha kwenye
stage na baada ya Pamba Wemba Kuanguka inadaiwa jamaa yuleyule badala
MGOMBEA URAIS MAREKANI ASHINDWA KUTAMKA NENO TANZANIA
LAYIII
BONYEZA PICHA HII UJISAJIRI NA IQOPTION KUTENGENEZA PESA VILE UWEZAVYO

Badala ya kutamka vyema ‘Tanzania’ anasikika akitamka ‘Tan-zay-nia’.
BONYEZA PICHA HII UJISAJIRI NA IQOPTION KUTENGENEZA PESA VILE UWEZAVYO
Mgombea urais wa chama cha
Republican Donald Trump amekejeliwa mtandaoni baada ya kuonekana
akiboronga akitamka Tanzania wakati wa kutoa hotuba.
Bw Trump
alikuwa akizungumzia mashambulio ya kigaidi yaliyotekelezwa katika
mabalozi ya Marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998 wakati wa
kuzungumzia sera yake ya kigeni.Badala ya kutamka vyema ‘Tanzania’ anasikika akitamka ‘Tan-zay-nia’.
KUMBE ARSERNAL WENGER ALIPOTEZA TAJI LA LIGI NYUMBANI
LAYIIII

Baadhi ya mashabiki wamemtaka raia huyo wa Ufaransa kuondoka katika mechi za hivi karibuni.
Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger
amesema kuwa timu yake ilipoteza harakati za kushinda ligi wakati wa
kucheza mechi za nyumbani dhidi ya timu zilizo chini ye jedwali.
Arsenal iliopo katika nafasi ya nne imeshinda mechi sita kati ya mechi 16 ilizocheza.Baadhi ya mashabiki wamemtaka raia huyo wa Ufaransa kuondoka katika mechi za hivi karibuni.
MBADALA WA SHIKA ADABU YAKO NA NAY WA MITEGO UMEACHILIWA
LAYIIII

Rapa elibariki Emmanuel ‘Nay Wa Mitego’ amesema kuwa mwanzoni mwa mwezi ujao ataachia wimbo mpya ambao ni mbadala wa ‘shika adabu yako’ uliofungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA).
Msanii huyo alisema kuwa anatarajia wimbo huo mpya ambao bado hajaupa jina utapendwa na mashabiki wa miziki wa kizazi kpya kutokana na mashairi yake kuyapangilia vyema.
“Mei 9 mwaka huu nitaachia wimbo na video ya wimbo wangu mpya ambao ninaamini kuwa ni mkali kuliko
Rapa elibariki Emmanuel ‘Nay Wa Mitego’ amesema kuwa mwanzoni mwa mwezi ujao ataachia wimbo mpya ambao ni mbadala wa ‘shika adabu yako’ uliofungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA).
Msanii huyo alisema kuwa anatarajia wimbo huo mpya ambao bado hajaupa jina utapendwa na mashabiki wa miziki wa kizazi kpya kutokana na mashairi yake kuyapangilia vyema.
“Mei 9 mwaka huu nitaachia wimbo na video ya wimbo wangu mpya ambao ninaamini kuwa ni mkali kuliko
Thursday, 28 April 2016
WEMA AFUNGUKA KUHUSU MAKALIO YAKE FEKI
LAYIII

Madai ya staa mkubwa Bongo aliye pia Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu kwamba wowowo lake linazidi kuwa kubwa kwa sababu anatumia dawa za Kichina yanazidi kushika kasi huku kwa mara ya kwanza mama yake mzazi, Mariam Sepetu akifunguka, Amani limechimba ukweli.
MADAI YALIPOANZA
Mashoga wanena, alianza na kuongeza unene, sasa kahamia kwenye makalio ili awe na wowowo.
Manenomaneno hayo yakazidi kushika kasi zaidi kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kitu ambacho kinadaiwa kuikosesha amani familia ya staa huyo na hata yeye mwenyewe.

Kulikoni jijini Mwanza, Pati ya Instagram yazua mjadala.
Wa mtandaoni wao wanasema Wema anatumia dawa za Kichina kukuza ‘tela’ lake.
WEMA ALIPOTAFUTWA
Agoma kupokea simu.
Agoma kujibu ujumbe.
mamawema1Mama Wema
MAMA YAKE MZAZI SASA
“Nawashangaa wanaomsema vibaya mwanangu kuwa amejaladia (wowowo), wengine wanasema anatumia dawa za Kichani, hakuna ukweli wowote kwani Wema ni mwanangu, namjua alivyo. Hakuna kitu alicho-ongeza kwenye mwili wake.”

Madai ya staa mkubwa Bongo aliye pia Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu kwamba wowowo lake linazidi kuwa kubwa kwa sababu anatumia dawa za Kichina yanazidi kushika kasi huku kwa mara ya kwanza mama yake mzazi, Mariam Sepetu akifunguka, Amani limechimba ukweli.
MADAI YALIPOANZA
Mashoga wanena, alianza na kuongeza unene, sasa kahamia kwenye makalio ili awe na wowowo.
Manenomaneno hayo yakazidi kushika kasi zaidi kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kitu ambacho kinadaiwa kuikosesha amani familia ya staa huyo na hata yeye mwenyewe.

Kulikoni jijini Mwanza, Pati ya Instagram yazua mjadala.
Wa mtandaoni wao wanasema Wema anatumia dawa za Kichina kukuza ‘tela’ lake.
WEMA ALIPOTAFUTWA
Agoma kupokea simu.
Agoma kujibu ujumbe.
mamawema1Mama Wema
MAMA YAKE MZAZI SASA
“Nawashangaa wanaomsema vibaya mwanangu kuwa amejaladia (wowowo), wengine wanasema anatumia dawa za Kichani, hakuna ukweli wowote kwani Wema ni mwanangu, namjua alivyo. Hakuna kitu alicho-ongeza kwenye mwili wake.”
SHULE YADIDIMIA BAHARINI HUKO GHANA
LAYIII

Kulikuwa na wanafunzi 54 katika shule hii lakini sasa hawana madarasa.Hatma ya elimu yao haijulikani.
M'momonyoko unaosababishwa na bahari umeharibu vijiji katika ufukwe wa bahari ya Afrika Magharibi ,na
Nyumba nyingi katika pwani ya jimbo la Volta huko Ghana zimeharibiwa na mawimbi katika kipindi cha wiki moja iliopita.
Shule hii ilikuwa mbali na ufukwe wa bahari miaka michache iliopita lakini sasa imedidimia ardhini.Kulikuwa na wanafunzi 54 katika shule hii lakini sasa hawana madarasa.Hatma ya elimu yao haijulikani.
M'momonyoko unaosababishwa na bahari umeharibu vijiji katika ufukwe wa bahari ya Afrika Magharibi ,na
Wednesday, 27 April 2016
SNURA WIMBO WA CHURA UMENIRUDISHA KIMUZIKI
LAYIII

Msanii wa muziki na filamu Snura Mushi,amedai kuwa wimbo wake wa chura ni chaguo la Watanzania hivyo anaamini kwamba utaweza kumuinua baada ya kukaa kwa muda kidogo.
Akizungumza Stura alisema kuwa pamoja na kukaa kimya lakini bado kibao hicho ambacho tayari kipo kwenye video kimeshika nafasi ya juu kiasa kwamba mashabiki wake wamekuwa wakimtumia maoni ya kumpongeza.
Msanii wa muziki na filamu Snura Mushi,amedai kuwa wimbo wake wa chura ni chaguo la Watanzania hivyo anaamini kwamba utaweza kumuinua baada ya kukaa kwa muda kidogo.
Akizungumza Stura alisema kuwa pamoja na kukaa kimya lakini bado kibao hicho ambacho tayari kipo kwenye video kimeshika nafasi ya juu kiasa kwamba mashabiki wake wamekuwa wakimtumia maoni ya kumpongeza.
MR BLUE NA ALIKIBA MBIONI KUACHIA MZIGO MKUBWA
LAYIII

Nota wa Bongo Fleva, Herry Samir ‘Mr Blue’ ambaye hivi karibuni
aliuaga ukapera kwa kuamua kufunga pingu za maisha na mzazi mwenzake,
Wayda, amedai anatarajia kuachia wimbo mpya ambao amemshirikisha Ali
Kiba.
Mr Blue amedai kwamba wimbo huo utajulikana kwa jina la ‘Mboga Saba’
Akizungumza na MTANZANIA, Mr Blue alisema kuwa wimbo huo upo tayari na anatarajia kuuachia wiki
Mr Blue amedai kwamba wimbo huo utajulikana kwa jina la ‘Mboga Saba’
Akizungumza na MTANZANIA, Mr Blue alisema kuwa wimbo huo upo tayari na anatarajia kuuachia wiki
Monday, 25 April 2016
RAIS WA KENYA UHURU KENYATTA AME UNFOLLOW WATU WOTE TWITTER NA KUACHA WATU KUMI NA MOJA TU ... JPM YUMO
LAYIII

President Uhuru Kenyatta has unfollowed most of the people he had been following on Twitter leaving only 11, mainly famous Heads of State.
Kenyatta who has been the most popular Twitter personality in Kenya based on the number of followers, was following more than 140 people but his following has suddenly shrinked.
The President has only retained United States President Barrack Obama, François Hollande of France, Indian Prime Minister Narendra Modi and Japan's Abe Shinzo.

President Uhuru Kenyatta has unfollowed most of the people he had been following on Twitter leaving only 11, mainly famous Heads of State.
Kenyatta who has been the most popular Twitter personality in Kenya based on the number of followers, was following more than 140 people but his following has suddenly shrinked.
The President has only retained United States President Barrack Obama, François Hollande of France, Indian Prime Minister Narendra Modi and Japan's Abe Shinzo.
KAMA HUKUJUA HIZI HAPA AINA NNE ZA MICHEPUKO
LAYIII

1.MCHEPUKO LAMI: Huu ni ule ambao hauombi pesa, katulia hana mapepe, uwe naye au usiwe naye maisha yake yanaendelea tu.
2. MCHEPUKO VUMBI: Huu ni ule wa vibomu!! mara ooohhh sina pesa, naomba vocha, sijui simu imekufa, oooh mara nipo saluni nadaiwa elf thelathin, naomba nauli.....n.k! Na hii ndio noma maana njia kuu lazima washtuke mana mchepuko vumbi unachafua na unasumbua full time.

1.MCHEPUKO LAMI: Huu ni ule ambao hauombi pesa, katulia hana mapepe, uwe naye au usiwe naye maisha yake yanaendelea tu.
2. MCHEPUKO VUMBI: Huu ni ule wa vibomu!! mara ooohhh sina pesa, naomba vocha, sijui simu imekufa, oooh mara nipo saluni nadaiwa elf thelathin, naomba nauli.....n.k! Na hii ndio noma maana njia kuu lazima washtuke mana mchepuko vumbi unachafua na unasumbua full time.
ASKOFU WA KKKT MALASUSA AKAMATWA UGONI
LAYIII

MUME wa mwanamke anayedaiwa kumkamata ugoni Askofu Dk Alex Malasusa wa Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania (KKK) Dayosisi ya Mashariki na Pwani, (DMP) anatafuta watoto waliotoroshwa kwa maelekezo ya Malasusa na Jeshi la Polisi, anandika Josephat Isango.
Akizungumza baada ya kuachiwa huru kutoka polisi kwa tuhuma za kushambulia, amesema watoto wake walichukuliwa na raia mmoja mjerumani aliyeolewa na mtanzania, anaitwa Caroline Shedafa.
Caroline Shedafa ametuhumiwa kuwa ametumia mwanya wa malalamiko ya Mwakilima na Malasusa kwa sababu ya urafiki alifanikiwa kuwatorosha watoto hao na kwamba ana mpango wa kuwasafirisha kwenda nje ya nchi wakati wowote.

MUME wa mwanamke anayedaiwa kumkamata ugoni Askofu Dk Alex Malasusa wa Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania (KKK) Dayosisi ya Mashariki na Pwani, (DMP) anatafuta watoto waliotoroshwa kwa maelekezo ya Malasusa na Jeshi la Polisi, anandika Josephat Isango.
Akizungumza baada ya kuachiwa huru kutoka polisi kwa tuhuma za kushambulia, amesema watoto wake walichukuliwa na raia mmoja mjerumani aliyeolewa na mtanzania, anaitwa Caroline Shedafa.
Caroline Shedafa ametuhumiwa kuwa ametumia mwanya wa malalamiko ya Mwakilima na Malasusa kwa sababu ya urafiki alifanikiwa kuwatorosha watoto hao na kwamba ana mpango wa kuwasafirisha kwenda nje ya nchi wakati wowote.
WATATU WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA KILIMANJARO
LAYIII

Watu watatu akiwemo raia wa Kenya wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya Mirungi na Bangi kilo 54 na misokoto ya Bangi 4,500 ikisafirishwa kutoka nchini Kenya kwenda mkoani Arusha.
Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Bw.Wilbrod Mutafungwa amesema watuhumiwa hao wamekamatwa katika maeneo ya njia panda Himo wilaya ya Moshi na Sanya juu wilaya ya Siha wakiwa wameficha madawa hayo ya kulevya kwenye miili yao kuanzia maeneo ya tumboni hadi

Watu watatu akiwemo raia wa Kenya wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya Mirungi na Bangi kilo 54 na misokoto ya Bangi 4,500 ikisafirishwa kutoka nchini Kenya kwenda mkoani Arusha.
Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Bw.Wilbrod Mutafungwa amesema watuhumiwa hao wamekamatwa katika maeneo ya njia panda Himo wilaya ya Moshi na Sanya juu wilaya ya Siha wakiwa wameficha madawa hayo ya kulevya kwenye miili yao kuanzia maeneo ya tumboni hadi
KUTANA NA MAGAZETI YA LEO TAREHE 26/4/2016
LAYIII

April 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @SWAXBZ ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.
April 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @SWAXBZ ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.
MANENO YA ZITTO KABWE KUHUSU JP KUINGILIA KAZI ZA MAWAZIRI
LAYIII

April 25 2016 Chama cha ACT Wazalendo
kimekutana katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama jijini Dar es
salaam. Katika hotuba yake Kiongozi Mkuu wa chama hicho na Mbunge wa
Kigoma Mjini Zitto Kabwe amempongeza Rais John Magufuli kwa kuanza katika eneo la ufisadi ambalo ni muhimu sana ambalo anasema ni msingi mkubwa wa kuanzishwa chama chao.
KUMBE HII NDIO MAANA YA NDI NDI NDI YA LADY JAYDEE
LAYIII

Msanii wa Bongo Flava Judith Wambura maarufu kama Lady JayDee ameweka hadharani maana ya ngoma yake mpya inayotesa mtaani kwa sasa kwa jina la NdiNdiNdi.
Akiitambulisha video ya wimbo huo kwa mara ya kwanza ndani ya FNL ya EATV Lady JayDee amesema kwamba maana ya wimbo huo ni ‘The Ndi Mimi ni kitu Tori wewe si kitu’ ili kuleta fleva

Msanii wa Bongo Flava Judith Wambura maarufu kama Lady JayDee ameweka hadharani maana ya ngoma yake mpya inayotesa mtaani kwa sasa kwa jina la NdiNdiNdi.
Akiitambulisha video ya wimbo huo kwa mara ya kwanza ndani ya FNL ya EATV Lady JayDee amesema kwamba maana ya wimbo huo ni ‘The Ndi Mimi ni kitu Tori wewe si kitu’ ili kuleta fleva
KUMBE PAPA WEMBA NA DIAMOND PLATNUMZ WALIFANYA PROJECT KABLA YA IFO CHAKE
LAYIII
Msanii wa bongo fleva Diamond Platnumz ameoneshwa kustushwa kwake na
taarifa za kifo cha mwanamuziki mwenye asili ya Congo Papa Wemba, huku
akielezea jinsi walivyokutana siku chache zilizopita na kufanya naye
collabo.
Kwenye ukurasa wake wa Facebook Diamond ameelezea huzuni hiyo, huku akitoa taarifa kuwa kulikuwa na mipango mingi ya wao kufanya kazi, lakini mauti yameshafuta mipango hiyo.

Kwenye ukurasa wake wa Facebook Diamond ameelezea huzuni hiyo, huku akitoa taarifa kuwa kulikuwa na mipango mingi ya wao kufanya kazi, lakini mauti yameshafuta mipango hiyo.
CHANZO PICHA ZA UCHI SIWEMA WA NAY AFUNGWA MIAKA MIWILI ...NAY AAPA KUMTOA GEREZANI
LAYIII

Wiki iliyopita zilianza kusikika taarifa mbalimbali kuhusu kuhukumiwa kwa mpenzi wa zamani na mama mtoto wa msanii Nay wa Mitego aliyehukumiwa kwenda jela miaka miwili jijini Mwanza.
Pamoja na taarifa zote hizo kutoka hakukuwa na taarifa za kina kueleza ni nini hasa kilitokea mahakamani mpaka akahukumiwa jela miaka miwili ila taarifa za awali zilidai kwamba
Wiki iliyopita zilianza kusikika taarifa mbalimbali kuhusu kuhukumiwa kwa mpenzi wa zamani na mama mtoto wa msanii Nay wa Mitego aliyehukumiwa kwenda jela miaka miwili jijini Mwanza.
Pamoja na taarifa zote hizo kutoka hakukuwa na taarifa za kina kueleza ni nini hasa kilitokea mahakamani mpaka akahukumiwa jela miaka miwili ila taarifa za awali zilidai kwamba
HIII NDO TIA SAHIHI YA UGONJWA WA BAWASIRI
LAYIII

BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA (HEMORRHOIDS)
Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani au nnje ya haja kubwa wakati mwingine mishipa hiyo inaweza kupasuka /kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kinyama au uvimbe
Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita hemorrhoids ilhali katika lugha ya kingereza unajulikana kama piles,

BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA (HEMORRHOIDS)
Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani au nnje ya haja kubwa wakati mwingine mishipa hiyo inaweza kupasuka /kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kinyama au uvimbe
Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita hemorrhoids ilhali katika lugha ya kingereza unajulikana kama piles,
TAARIFA KUTOKA IKULU KWA JPM LEO TAREHE 25/4/2016
LAYIII
April 25
2016 imetolewa taarifa kutoka Ikulu kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi
Balozi John Kijazi ambayo imeeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania John Pombe Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye kuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto nchini.
Kamishna
wa Polisi Andengenye anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mhandisi Pius
Makuru
KWELI DUNIA INAEEKEA UKINGONI MWANASIASA WA MIAKA 90 KUOA MWANAUME MAREKANI
LAYIII

Wawili hao watafunga ndoa mwishoni mwa mwezi huu.
Harris Wofford, aliyehudumu katika utawala wa Rais J F Kennedy kama msaidizi maalum aliyehusika na masuala ya haki za raia, aliachwa akiwa mjane baada ya mkewe Clare kufariki kutokana na saratani ya damu miaka 20 iliyopita.
Walikuwa wameishi katika maisha ya ndoa kwa miaka 48.
Akiandika katika gazeti la New York Times, Bw Wofford amesema anajihisi mwenye bahati sana kuishi katika enzi ambazo Mahakama ya Juu Marekani imetambua kwamba “ndoa haitegemeu maumbile ya mtu kijinsia, uamuzi au ndoto za mtu.”
“Msingi wake ni upendo.”
Mwanamume atakayeolewa naye ametambuliwa kama Matthew Charlton.
Wofford alihudumu wakati mmoja kama seneta wa chama cha Democratic akiwakilisha jimbo la Pennsylvania.
Aidha, alihudumu kama mshauri wa Dkt Martin Luther King Jr.
"Mnamo Aprili 30, katika umri wa miaka 90 na 40, tutaunganisha mikono yetu, tukiapa kuunganizhwa pamoja (kwenye ndoa): kuwa pamoja na kuishi pamoja, kwa mema na kwa mabaya, kwa utajiri na umaskini, katika maradhi na katika afya bora, kupenda na kuenzi, tangu kifo kitutenganishe," amehitimisha Wofford katika makala yake iliyochapishwa katika gazeti la New York Times Jumapili
Seneta mmoja wa zamani wa Marekani, ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 90, ametangaza kwamba atamuoa mwanamume wa umri wa miaka 40.
Harris Wofford, aliyehudumu katika utawala wa Rais J F Kennedy kama msaidizi maalum aliyehusika na masuala ya haki za raia, aliachwa akiwa mjane baada ya mkewe Clare kufariki kutokana na saratani ya damu miaka 20 iliyopita.
Akiandika katika gazeti la New York Times, Bw Wofford amesema anajihisi mwenye bahati sana kuishi katika enzi ambazo Mahakama ya Juu Marekani imetambua kwamba “ndoa haitegemeu maumbile ya mtu kijinsia, uamuzi au ndoto za mtu.”
“Msingi wake ni upendo.”
Mwanamume atakayeolewa naye ametambuliwa kama Matthew Charlton.
Wofford alihudumu wakati mmoja kama seneta wa chama cha Democratic akiwakilisha jimbo la Pennsylvania.
Aidha, alihudumu kama mshauri wa Dkt Martin Luther King Jr.
"Mnamo Aprili 30, katika umri wa miaka 90 na 40, tutaunganisha mikono yetu, tukiapa kuunganizhwa pamoja (kwenye ndoa): kuwa pamoja na kuishi pamoja, kwa mema na kwa mabaya, kwa utajiri na umaskini, katika maradhi na katika afya bora, kupenda na kuenzi, tangu kifo kitutenganishe," amehitimisha Wofford katika makala yake iliyochapishwa katika gazeti la New York Times Jumapili
Sunday, 24 April 2016
MCHEZA MIELEKA NA NYOTA WA FILAMU ZA NGONO AFARIKI DUNIA
LAYIII

Meneja wake amethibitisha habari hiyo kupitia mtandao wake wa Twitter.
''Ni masikitiko makubwa kutangaza kwamba tumempoteza shujaa'',ulisema ujumbe huo,akiongezea kuwa:Ataishi kukumbukwa na mashabiki wake wengi na sisi sote tuliompenda.
Chyna alipatikana amefariki nyumbani kwake katika ufukwe wa bahari wa Redondo,mjini California,baada ya kurudi nyumbani kutoka Japan.
Aliyekuwa mchezaji miereka na nyota wa filamu za ngono Chyna amefariki akiwa na umri wa miaka 45.
''Ni masikitiko makubwa kutangaza kwamba tumempoteza shujaa'',ulisema ujumbe huo,akiongezea kuwa:Ataishi kukumbukwa na mashabiki wake wengi na sisi sote tuliompenda.
WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA HIZI HAPA NDI SHIDA WANAZO ZIPATA
LAYIII

Mara nyingi wanaume wengi hupenda ama kuvutiwa na wanawake wenye makalio makubwa. kwa sasa mwanamke mwenye makalio makubwa yaliyojazia sawasawa huonekana anasoko kuliko wale wenye makalio ya wastani, Lakini mara nyingi hawadumu kwenye mahusiano kwani Wanaume wengi ambao hawana mapenzi ya kweli huwa wanataka kuonja tu na mara nyingi wanakuta kile ambacho hakutegemea hivyo kukimbia...na kumwacha mwanamke anaumia....Takwimu zinaonyesha wanawake wanene wanaongoza kuumizwa na wenza wao kulilo vipotaable...

Mara nyingi wanaume wengi hupenda ama kuvutiwa na wanawake wenye makalio makubwa. kwa sasa mwanamke mwenye makalio makubwa yaliyojazia sawasawa huonekana anasoko kuliko wale wenye makalio ya wastani, Lakini mara nyingi hawadumu kwenye mahusiano kwani Wanaume wengi ambao hawana mapenzi ya kweli huwa wanataka kuonja tu na mara nyingi wanakuta kile ambacho hakutegemea hivyo kukimbia...na kumwacha mwanamke anaumia....Takwimu zinaonyesha wanawake wanene wanaongoza kuumizwa na wenza wao kulilo vipotaable...
MWANAMZII NGURI KUTOKA CONGO PAPA WEMBA AFARIKI DUNIA AKIWA JUKWAANI
LAYIII

Mwanamuziki nguli wa Congo Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba maarufu kama Papa Wemba amefariki dunia huko Abidjan, Ivory Coast, usiku wa kuamkia leo.
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema marehemu Papa Wemba amefia hospitali alikokimbizwa mara baada ya kuanguka na kupoteza fahamu wakati akiwa katika onesho jukwaani.

Mwanamuziki nguli wa Congo Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba maarufu kama Papa Wemba amefariki dunia huko Abidjan, Ivory Coast, usiku wa kuamkia leo.
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema marehemu Papa Wemba amefia hospitali alikokimbizwa mara baada ya kuanguka na kupoteza fahamu wakati akiwa katika onesho jukwaani.
Friday, 22 April 2016
MTOTO MIAKA KUMI NA SITA AVUNJA RECORD KIKAO CHA UMOJA WA MATAIFA
LAYIII

Mtoto Mtanzania mwenye umri wa miaka 16 Getrude Clement kutokea Mwanza amehutubia mbele ya viongozi mbalimbali wa dunia kwenye mkutano wa umoja wa mataifa akiwa mwenye kujiamini na kutoonekana kuwa na hofu japo anaongea kwenye jukwaa ambalo linatazamwa na viongozi mbalimbali.
Mtoto Mtanzania mwenye umri wa miaka 16 Getrude Clement kutokea Mwanza amehutubia mbele ya viongozi mbalimbali wa dunia kwenye mkutano wa umoja wa mataifa akiwa mwenye kujiamini na kutoonekana kuwa na hofu japo anaongea kwenye jukwaa ambalo linatazamwa na viongozi mbalimbali.
KUTANA NA MAGAZETI YA LEO TAREHE 23/4/2015
LAYIII
April 23 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @swaxbz ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.
April 23 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @swaxbz ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.
KUMBE KANYE WEST LAGHAI
LAYIII
BONYEZA HAPA KUJA BZTV BONYEZA PICHA KUJUA CHANZO

Alisema kuwa alijiunga na Tidal baada ya mwanamuziki huyo kusema kuwa albamu yake haitauzwa mahali pengine.
Na sasa anasema kuwa hatua hiyo ni ya kilaghai na ililenga kuipatia Tidal mamilioni ya wateja.
BONYEZA HAPA KUJA BZTV BONYEZA PICHA KUJUA CHANZO
Shabiki mmoja ameamua kumshtaki
nyota wa muziki wa Rap Kanye West pamoja na huduma ya muziki ya Tidal
kuhusu kutolewa kwa albamu mpya ya mwanamuziki huyo,The life of Pablo.
Justin
Baker-Rhett anadai alidanganywa kutia saini na kujiunga na huduma hiyo
ya moja kwa moja,kwa kuwa ilikuwa njia ya pekee ya kununua albamu hiyo
ya West.Alisema kuwa alijiunga na Tidal baada ya mwanamuziki huyo kusema kuwa albamu yake haitauzwa mahali pengine.
Na sasa anasema kuwa hatua hiyo ni ya kilaghai na ililenga kuipatia Tidal mamilioni ya wateja.
MAREHEMU ATEULIWA KUSIMAMIA MECHI NIGERIA
LAYIII
BONYEZA HAPA KUJA BZTV

Hii ni licha ya kwamba Akinsanya alifariki tarehe 22 Januari 2016 wakati wa kufanywa kwa mtihani wa
BONYEZA HAPA KUJA BZTV
Mwanamume aliyefariki ameteuliwa
kusimamia mechi ya soka nchini Nigeria ambayo itachezwa Jumapili,
mwandishi wa BBC anayefuatilia masuala ya soka Oluwashina Okeleji
anasema.
Wale Akinsanya aliteuliwa kuwa mwamuzi kwenye mechi baina
ya Warri Wolves na Giwa FC katika mji wa Warri kusini mwa Nigeria,
gazeti la Punch la Nigeria limeripoti.Hii ni licha ya kwamba Akinsanya alifariki tarehe 22 Januari 2016 wakati wa kufanywa kwa mtihani wa
JINO KUBWA LA NYANGUMI LAPATIKANA AUSTRALIA
LAYIII
BONYEZA PICHA KUIONA VIDEO BOFYA HAPA

Alilikabidhi kwa makumbusho ya Victoria, ambayo yalianza kulionesha kwa umma Alhamisi.
Inakadiriwa kwamba nyangumi mwenye jino hilo aliishi zaidi ya miaka milioni tano iliyopita. Alitoka kwa aina
BONYEZA PICHA KUIONA VIDEO BOFYA HAPA
Jino kubwa la nyangumi limepatikana
ufukweni Australia, na kuwa thibitisho la kwanza kwamba nyangumi wakubwa
hatari sana waliishi mbali na Amerika.
Mkusanyaji wa visukuku
Murray Orr alipata jino hilo lenye urefu wa sentimeta 30 (inchi 12)
ufukweni Beaumaris Bay karibu na mji wa Melbourne mwezi Februari.Alilikabidhi kwa makumbusho ya Victoria, ambayo yalianza kulionesha kwa umma Alhamisi.
Inakadiriwa kwamba nyangumi mwenye jino hilo aliishi zaidi ya miaka milioni tano iliyopita. Alitoka kwa aina
ALIKIBA AUMIZA VICHWA VYA WENGI CHANZO UKIMYA WAKE
LAYIII
Tupo kwenye ulimwengu ambao mitandao ya kijamii imegeuka kuwa kama chakula ambacho ni lazima ule kila siku. Kwa watu maarufu, mitandao imegeuka kuwa sehemu muhimu kwa wao kuwa karibu na mashabiki wao.
BONYEZA HAPA AU PICHA JIUNGE NA BZTV

Mashabiki wanatarajia kuona kila hatua ambayo msanii anaipitia katika shughuli zake za kila siku. Wanataka kuona si tu picha zake akiwa studio akirekodi muziki au jukwaani akitumbuiza, bali pia za maisha binafsi kama vile akiwa na familia au washkaji.
Na kwa mashabiki, msanii wanayempenda akiwa kimya hata kwa siku moja tu, hukosa raha na kila wakati huchungulia kwenye akaunti yake kuangalia nini alichoweka. Kwao ni furaha kuona picha za staa huyo na pindi anapoamua kukaa kimya huwanyima kitu muhimu katika yao. Huo umekuwa ni kama ulevi na unaweza
Tupo kwenye ulimwengu ambao mitandao ya kijamii imegeuka kuwa kama chakula ambacho ni lazima ule kila siku. Kwa watu maarufu, mitandao imegeuka kuwa sehemu muhimu kwa wao kuwa karibu na mashabiki wao.
BONYEZA HAPA AU PICHA JIUNGE NA BZTV
Mashabiki wanatarajia kuona kila hatua ambayo msanii anaipitia katika shughuli zake za kila siku. Wanataka kuona si tu picha zake akiwa studio akirekodi muziki au jukwaani akitumbuiza, bali pia za maisha binafsi kama vile akiwa na familia au washkaji.
Na kwa mashabiki, msanii wanayempenda akiwa kimya hata kwa siku moja tu, hukosa raha na kila wakati huchungulia kwenye akaunti yake kuangalia nini alichoweka. Kwao ni furaha kuona picha za staa huyo na pindi anapoamua kukaa kimya huwanyima kitu muhimu katika yao. Huo umekuwa ni kama ulevi na unaweza
KWA NINI MBIO ZA MWENGE SABABU HII HAPA
LAYIII
BONYEZA PICHA JIUNGE NA BZTV

NIKIWA binti mdogo wakati nasoma shule ya msingi miaka ya 1980, nilizoea kusikia na kuimba wimbo mmoja ambao niliupenda sana mpangilio wake wa ala za muziki, na sauti zilizokuwa zikisikika. Huu si wimbo mwingine, bali ni wimbo ambao ulihusu alama kubwa sana ya Taifa letu: Mwenge wa Uhuru.
BONYEZA PICHA JIUNGE NA BZTV

NIKIWA binti mdogo wakati nasoma shule ya msingi miaka ya 1980, nilizoea kusikia na kuimba wimbo mmoja ambao niliupenda sana mpangilio wake wa ala za muziki, na sauti zilizokuwa zikisikika. Huu si wimbo mwingine, bali ni wimbo ambao ulihusu alama kubwa sana ya Taifa letu: Mwenge wa Uhuru.
NAY WA MITEGO SIWEMA MIAKA MIWILI JERA KWA KOSA LA KUTUKANA
LAYIII
BONYEZA PICHA HAPA NJOO JIUNGE NA BZTV

Mahakama kuu ya mkoani Mwanza imemuhukumu Siwema ambaye ni mzazi mwenzake na Nay Wamitego miaka miwili jela kwa kesi ya kumtukana mtu kwa njia ya mtandao.
Siwema alituhumiwa kumtukana matusi kwa njia ya mtandao mlalamikaji ambaye anafahamika kwa jina la Deo.
Akizunguza na kipindi cha Jahazi, kinachoruka kupitia Clouds FM, Nay Wamitego alisema ‘napambana kile
BONYEZA PICHA HAPA NJOO JIUNGE NA BZTV
Mahakama kuu ya mkoani Mwanza imemuhukumu Siwema ambaye ni mzazi mwenzake na Nay Wamitego miaka miwili jela kwa kesi ya kumtukana mtu kwa njia ya mtandao.
Siwema alituhumiwa kumtukana matusi kwa njia ya mtandao mlalamikaji ambaye anafahamika kwa jina la Deo.
Akizunguza na kipindi cha Jahazi, kinachoruka kupitia Clouds FM, Nay Wamitego alisema ‘napambana kile
HISTORIA YA PESA ZA SARAFU TANZANIA
LAYIII
Baada ya 1884, Zanzibar ilitumia sarafu za aina tatu kwa mpigo. Sarafu
ya kwanza ilijulikana kama Maria Theresa Thaler iliyotolewa Italy,
ilikuwa na sura ifuatayo.
Kabla ya mwaka 1884, nchi yetu ilikuwa inatumia sarafu moja ya Riyal
iliyokuwa imetolewa na Sultan wa Zanzibar chini ya Sultani wa Oman.
Sarafu za Riyal zilikuwa kama ifuatavyo
Riyal
SABABU SITA ZINAZOPELEKEA KUMPOTEZA MTEJA KATIKA BIASHARA YAKO
LAYIII
Muda mwingine unaweza ukajiuliza kwa nini mteja au wateja Fulani siku hizi huwaoni katika biashara yako, unaanza kumtafuta mchawi ni nani katika biashara yako kumbe mchawi ni wewe mwenyewe ambaye unaweza ukawavuta wateja wengi au mteja au ukaongeza mteja ,wateja katika biashara yako hii inatokana tu na jinsi gani unatoa huduma yako na kumhudumia mteja pia.
Leo tutaangalia ni sababu gani ambazo zinaweza kusababisha kumpoteza au kumkera mteja wako nazo ni;
Muda mwingine unaweza ukajiuliza kwa nini mteja au wateja Fulani siku hizi huwaoni katika biashara yako, unaanza kumtafuta mchawi ni nani katika biashara yako kumbe mchawi ni wewe mwenyewe ambaye unaweza ukawavuta wateja wengi au mteja au ukaongeza mteja ,wateja katika biashara yako hii inatokana tu na jinsi gani unatoa huduma yako na kumhudumia mteja pia.
Leo tutaangalia ni sababu gani ambazo zinaweza kusababisha kumpoteza au kumkera mteja wako nazo ni;
KWA TABIA HIZI MAFANIKIO KWAKO NI NDOTO
LAYIII
Hasira za mafanikio zinatofautiana baina ya mtu mmoja na mwingine. Kama kweli unahitaji mafanikio ya kweli ni lazima uwe na hasira ya njaa kama aliyonayo simba. Miongoni mwetu ni watu wachache sana wanatambua hasira hii ya mafanikio, wengi wetu huchukulia mafanikio kwa sura ya kawaida sana na mwisho wa siku tunaishia kuwa maskini.
Hasira za mafanikio zinatofautiana baina ya mtu mmoja na mwingine. Kama kweli unahitaji mafanikio ya kweli ni lazima uwe na hasira ya njaa kama aliyonayo simba. Miongoni mwetu ni watu wachache sana wanatambua hasira hii ya mafanikio, wengi wetu huchukulia mafanikio kwa sura ya kawaida sana na mwisho wa siku tunaishia kuwa maskini.
HISTORIA YA PESA ZA NOTI TANZANIA
LAYIII
Kwa muda mrefu fedha zilizotumia katika
nchi hii zilikuwa ni sarafu. Noti za karatsi zilianza kutumiaka mwaka
1905 wakati wa utawala wa mjerumani kwa upande wa bara. Noti hizo
zilitolweka katika thamani ya Rupie 5, 10, 50, 100 na rupie 500 kama
ionekanavyo hapa chini. Noti za rupie 500 zilikuwa chache sana na
sikufanikiwa kupata picha yake
KIFO CHA PRINCE CHAISTUA DUNIA
LAYIII
Legendary wa muziki Marekani na Duniani Prince Rogers Nelson,
mwenye umri wa miaka 57 ambaye aliwahi kuuza takriban albamu milioni
100 na aliwahi kubuni chapa yake binafsi ya muziki uliokuwa na sauti na
ala za mchanganyiko wa muziki wa Rock na funk.
Asubuhi ya April 21 2016 Prince
amepatikana amefariki dunia katika makazi yake ya huko
Minneapolis, taarifa zinasema amekutwa amekwama kwenye lifti katika
studio Paisley Park, imeripotiwa kuwa staa huyo inawezekana alikuwa
anaumwa kwa kipindi cha muda mrefu ambako kulipelekea hata
MAGAZETI YA LEO 22/4/2016
LAYIII
April 22 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @SWAXBZ ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.
Thursday, 21 April 2016
MAGUFULI ALIWAITA WAKENYA WEZI KATIKA UZINDUZI WA DARAJA LA KIGAMBONI
LAYIII
From Nairobiwire.com
Tanzanian President John Magufuli yesterday officially opened Kigamboni Bridge, East Africa’s first cable-stayed bridge or as normal people call it – suspension bridge.
It was a great moment of pride for their country and rightly so as the piece of infrastructure will make life easier and improve business in Dar es Salaam.
On Monday, we published an article on the bridge opening.
Kigamboni Bridge: Tanzania Has Just Built East Africa’s Longest Suspension Bridge
It received well over 100,000 hits with most of them from Tanzania. What followed was a bunch of sarcasti
From Nairobiwire.com
Tanzanian President John Magufuli yesterday officially opened Kigamboni Bridge, East Africa’s first cable-stayed bridge or as normal people call it – suspension bridge.
It was a great moment of pride for their country and rightly so as the piece of infrastructure will make life easier and improve business in Dar es Salaam.
On Monday, we published an article on the bridge opening.
Kigamboni Bridge: Tanzania Has Just Built East Africa’s Longest Suspension Bridge
It received well over 100,000 hits with most of them from Tanzania. What followed was a bunch of sarcasti
Subscribe to:
Posts (Atom)