Tuzo za Muziki za Kili 2015, Jumamosi ya wiki iliyopita zilitimua
vumbi kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge jijini Dar es Salaam ambapo
maelfu ya Watanzania wanaopenda burudani walikuwa wakifuatilia mwenendo
mzima wa tuzo hizo, ambapo msanii Ali Kiba aling’ara baada ya kunyakua
tuzo tano na kumuacha mbali hasimu wake mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond
Tuesday, 16 June 2015
Monday, 15 June 2015
DUUUU CLUBU MAISHA YA DAA KWISHINEYIIII??????????
NA LAYIII ON SPOT
Jana pale New Maisha Club Masaki kulikuwa na party ya kufungwa kwa club hiyo… Watu wa nguvu walienjoy na burudani ya show toka kwa Shetta, Amini, Dudubaya, Snura pamoja na Nuh Mziwanda.
Jana pale New Maisha Club Masaki kulikuwa na party ya kufungwa kwa club hiyo… Watu wa nguvu walienjoy na burudani ya show toka kwa Shetta, Amini, Dudubaya, Snura pamoja na Nuh Mziwanda.
Jana pale New Maisha Club Masaki kulikuwa na party ya kufungwa kwa club hiyo… Watu wa nguvu walienjoy na burudani ya show toka kwa Shetta, Amini, Dudubaya, Snura pamoja na Nuh Mziwanda.
New Maisha Club haitokuwepo tena Osterbay Dar es salaam, stori kamili hapa
HK ambae ndio Manager wa Club Maisha
amesema wanafunga ili kubadili mazingira, Club hiyo itahamishiwa maeneo
ya Kijitonyama nyuma ya jengo la Millenium Tower ambapo Club hiyo itakuwa kwenye Jengo la underground kabisa.
BAADA YA KIBA KUCHUKUA TUZO 6 ZA KILI WEMA NA JOKATE DUUUUUU............MANENO YAOOO HAPO CHINI
NA LAYIII ON SPOT
Mwigizaji Wema Sepetu na staa wa single ya ‘leoleo‘ Jokate ambao wamekuwa kuwa mapenzini na Diamond Platnumz kwa time tofauti baada ya kutolewa tuzo za KILI 2015 nchini Tanzania ambako Ali Kiba alipata ushindi wa tuzo nyingi kuliko yeyote mwingine usiku huo walitumia page zao kumpongeza Kiba kwa kuandika maneno yafuatayo.
UNGANA NAMI SASA
Mwigizaji Wema Sepetu na staa wa single ya ‘leoleo‘ Jokate ambao wamekuwa kuwa mapenzini na Diamond Platnumz kwa time tofauti baada ya kutolewa tuzo za KILI 2015 nchini Tanzania ambako Ali Kiba alipata ushindi wa tuzo nyingi kuliko yeyote mwingine usiku huo walitumia page zao kumpongeza Kiba kwa kuandika maneno yafuatayo.
UNGANA NAMI SASA
Maneno waliyoandika Jokate na Wema Sepetu baada ya Ali Kiba kushinda tuzo 6 za KILI 2015.
KWA MARA YA KWANZA ATOBOA NANI AMKUBARI KIMZIKI JE NI NANI HUYO FATANA NAMI
NA LAYIII
Nicki Minaj ni msaani wa kike ambaye tunaweza kumuweka kwenye levo moja na akina Beyonce, uwezo wake wa kudondosha hitsong baada ya hitsong umemfanya aweze kua mmoja kati ya wasaani wakubwa kwenye HipHop wenye ushawishi mkubwa sana, kitu kinachomfanya Nicki aweze kua ontop daily.

Nicki Minaj ni msaani wa kike ambaye tunaweza kumuweka kwenye levo moja na akina Beyonce, uwezo wake wa kudondosha hitsong baada ya hitsong umemfanya aweze kua mmoja kati ya wasaani wakubwa kwenye HipHop wenye ushawishi mkubwa sana, kitu kinachomfanya Nicki aweze kua ontop daily.
Nicki Minaj ni msaani wa kike ambaye tunaweza kumuweka kwenye levo moja na akina Beyonce, uwezo wake wa kudondosha hitsong baada ya hitsong umemfanya aweze kua mmoja kati ya wasaani wakubwa kwenye HipHop wenye ushawishi mkubwa sana, kitu kinachomfanya Nicki aweze kua ontop daily.
Ulishawahi Kuwaza Nicki Minaj Anamkubali Nani Kimuziki, Maana Ya Tattoo Yake?
Nicki Minaj ni msaani wa kike ambaye tunaweza kumuweka kwenye levo moja na akina Beyonce, uwezo wake wa kudondosha hitsong baada ya hitsong umemfanya aweze kua mmoja kati ya wasaani wakubwa kwenye HipHop wenye ushawishi mkubwa sana, kitu kinachomfanya Nicki aweze kua ontop daily.
Sunday, 14 June 2015
KWA MARA YA KWANZA TANZANIA YAPATA RAIS MWANAMKE JIONEE MWENYEWE HAPO CHINI..........
LAYIII ON SPOT
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk. Mwale Malecela pichani kabla ya kuingia katika chumba cha habari katika Redio ya Mwambao iliyopo Tanga eneo la Kange ndani..........................................................
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk. Mwale Malecela pichani kabla ya kuingia katika chumba cha habari katika Redio ya Mwambao iliyopo Tanga eneo la Kange ndani..........................................................
DK. MALECELA ASAKA WADHAMINI KATIKA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS
MAKALA YA SIASA SITTA AKATAA MIL 140 JE NI ZA NINI KIPI KIMEFUATA ,,,,,,,?KILICHO FUATA STORY NYINGINE
LAYIIIII

Magazeti
Ni kweli SITTA alikaata rushwa mil.140? Baba amchinja mwanaye wa mwaka 1 Dar, wimbo wa albino wamtoa chozi JK..#MAGAZETINI JUNE14
MWANANCHI
Makada wa CCM waliotangaza nia au
kuchukua fomu za kuomba kupitishwa na chama hicho kuwania urais,
wameeleza jinsi rushwa, ufisadi na udhaifu katika ukusanyaji kodi huku
wakijinadi kuwa wao ndiyo wataondoa uovu huo iwapo watapitishwa kushika
nafasi hiyo ya juu kisiasa.
Lakini hakuna hata mmoja aliyeiponda
Serikali kwa kushindwa kudhibiti rushwa, ambayo baadhi walishasema kuwa
imekithiri hata kwenye chama hicho tawala, huku mmoja akisema kuwa iwapo
CCM itampitisha mlarushwa, atajiondoa.
Kati ya waliotangaza nia na kuchukua
fomu, makada 11 ni mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Nne wakiwamo
mawaziri waandamizi walioshika nafasi za juu na waliofanya kazi katika
awamu zote nne.
Pia wamo makada waliokuwamo kwenye
Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Nne, lakini wakaondoka kwa
sababu tofauti, huku kundi jingine likihusisha watendaji wakuu wa zamani
wa Idara ya Usalama wa Taifa.
KASHFA MPYAA YA BEYONCE ....... KUMBE HATA SUPER STAAAZ WA DUNIA WEZI
LAYIII
Beyonce kwenye kashfa ya kuiba nyimbo ya ‘Xo’ kutoka kwa underground.
Stori za
madai ya wasanii mbalimbali kudaiwa kuiba nyimbo za wasanii wengine bado
zimeendelea kuchukua nafasi zaidi kwenye nchi mbalimbali duniani.
Mara nyingi
wasanii wadogo ndio wamekuwa wakilalamika sana kuibiwa nyimbo zao kila
wakati na malalamiko haya huenda moja kwa moja kwa mastaa wenye majina
makubwa kwenye muziki.
JUX BADO NI GUMZO .........ALICHO KISEMA MKE WA MABESTE SIRI YAKO ONA MWENYEWE
NA LAYIII
Usiku wa KTMA ni usiku uliotupa majibu na kufanya tuwafahamu wakali kutoka Tanzania ambao kwa nafasi zao kwenye muziki walipigiwa kura na Wananchi na kupata TUZO zao.
Miongoni mwa watu waliopata tuzo ni pamoja na Jux,Jux alipata tuzo ya Wimbo bora wa Rnb baada ya ushindi huo Mke wa Mabeste alitoa ya moyoni kwa Jux.
Kwenye sentensi yake alianza kwa kuandika>>’@juma_jux @juma_juxtaposed to@juma_jux meeen I am so dissapointed wit yah! @mabeste_tanzania aliniacha ndani naumwa akaja studio kukesha na wewe three days kukuandikia SISIKII na Ukweli ni kwamba hukumpa mabeste 2million’
Alichokisema Mke wa Mabeste kuhusu ushindi wa Jux kwenye KTMA…
Miongoni mwa watu waliopata tuzo ni pamoja na Jux,Jux alipata tuzo ya Wimbo bora wa Rnb baada ya ushindi huo Mke wa Mabeste alitoa ya moyoni kwa Jux.
Kwenye sentensi yake alianza kwa kuandika>>’@juma_jux @juma_juxtaposed to@juma_jux meeen I am so dissapointed wit yah! @mabeste_tanzania aliniacha ndani naumwa akaja studio kukesha na wewe three days kukuandikia SISIKII na Ukweli ni kwamba hukumpa mabeste 2million’
JUX KIMENUKA ........... NI BAADA YA TUZOZA KILI
LAYIII
KISHAWAKA TUZO ZA KILI ZAFICHUA HILI ...MABESTE AMLIPUA KWA KUMSHAMBULIA JUX NA KUTOBOA SIRI BAADA YA KUSHINDA TUZO
fickenscher@juma_jux @juma_juxtaposed to @juma_jux meeen I am so dissapointed wit yah! @mabeste_tanzania aliniacha ndani naumwa akaja studio kukesha na wewe three days kukuandikia SISIKII na Ukweli ni kwamba hukumpa mabeste 2million alikuambia use me tuu kua umemlipa two million coz alitaka ajitangaze kibiashara akija MTU mwingine kutaka aandikiwe amlipe coz he needed money by that time as I was sick.... I was your no.1 fan ndio maana @mabeste_tanzania aliponiambia nijikaze aje studio nilukubali na apart from that I am @mabeste_tanzania Manager! Kwanza kabisa Leo ndo nimeona kua sisikii imeingia kwenye utunzi bora na Ukweli ni si wewe uliye andika hiyo ngoma na cover ya ngoma ilikua mabeste ndo mwandish lakini umeshindwa kumpa haki yake uwaambie kili hiyo ni haki ya mabeste....the bad thing ingine is SISIKII imechukua tuzo umewapa watu S/O umeshindwa kumpa mabeste??? Kama mmezoea mabeste mpole I am sorry Manager Niko serious na kazi na naendelea vizuri narudi mzigoni very soon!!! @juma_jux @juma_jux
Saturday, 13 June 2015
CHIBU VANESSA MDEE NDANI YA MTV 2015
NA LAYIII ON SPOT
DIAMOND, VANESSA MDEE WATAJWA TUZO ZA MTV 2015
ALI KIBA KUMFUNIKA DIAMOND ILE MBAYAAA KATIKA TUZO ZA KILI AWARD
NA LAYIII
Joh Makini akiwashukuru mashabiki wake (hawapo pichani) baada ya kuchukua Tuzo ya Mtunzi Bora wa Mwaka wa Hip Hop akiwa na Nikki wa Pili (kushoto).
2. KIKUNDI BORA CHA MWAKA TAARAB - JAHAZI MODERN TAARAB
3. BENDI BORA YA MWAKA - FM ACADEMIA
WASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015, ALI KIBA AIBUKA NA TUZO TANO, DIAMOND PLATINUMZ MBILI
MAJINA YA WASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015
1. KIKUNDI BORA CHA MWAKA - BONGO FLEVA - YAMOTO BAND2. KIKUNDI BORA CHA MWAKA TAARAB - JAHAZI MODERN TAARAB
3. BENDI BORA YA MWAKA - FM ACADEMIA
SNOOP DOG LAZIMA NIWE KING TWITTER
LAYIII ON SPOT
#ifSnoopWasTwitterCEO…
Kwenye headlines kubwa za siku ya leo ipo hii moja inayomhusu Mkurugenzi wa Twitter, Dick Costolo kutangaza kujiuzulu kama mkurugenzi wa Kampuni hiyo kutokana na malalamiko kwamba inajiendesha kihasara.
Headlines sasa hivi sio kuhusu Dick Costolo tena, ni Snoop Dogg.. Ishu unajua ni nini? Jamaa kasema eti yuko tayari kabisa kushika nafasi hiyo!!
Snoop Dog alichukua time na kuweka post kadhaa kwenye ukurasa wake @Twitter kwamba yuko tayari kabisa kuiongoza Kampuni hiyo ikiwa tu watampa nafasi.
Trend kwenye Twitter ikawa hivi>>> #BAADA YA TUZO ZA KTMA KUTOLEWA MABADILIKO BAB KUBWA YAMETOKEA
LAYIII ON SPOT

Leo June 12 2015 tunahesabu saa chache
tu kushuhudia Historia ikiandikwa kwenye Burudani ya Muziki TZ, Tuzo
kubwa za Muziki Tanzania, KTMA 2015 leo kuna kipya kilichotangazwa na
waandaaji wa Tuzo hizo.
“Kuna
mabadiliko machache tofauti na ilivyokuwa mwaka jana… tumebadilisha
mpangilio wa Venue ambao kwa mwonekano watu wote wataangalia
mbele… mbali na hayo baada ya Show tumeandaa sherehe ambayo
itawajumuisha watu wote kuburudika kwa pamoja tofauti na kipindi
kilichopita“>>> Pamela Kikuli
NABII KAAMINI AKIZIKWA MZIMA ATAFUFUKA KILICHOJILI DUUU KICHEKO SI KICHEKO ICHEKI HAPO
NA LAYIIII ON SPOT

Nimekutana na stori hii kutoka Zimbabwe inamhusu Nabii mmoja kutoka nchi hiyo kufariki akiwa kwenye mishemishe za kupata nguvu za ziada ili akemee mapepo.
Nabii huyo Shamiso Kanyama alifatwa
na familia moja wakamuomba aje nyumbani kwao ili afanye maombezi
kuondoa mapepo yaliyokuwepo kwenye nyumba ya wanafamilia hao.
Nabii huyo akaenda kufanya maombezi na
wanafamilia hao… Wakiwa katika maombezi hayo, nabii huyo alidai kuwa
roho mtakatifu amezugumza nae na kuwaomba wanafamilia hao kuchimba
kaburi nje ya nyumba ili wamzike akiwa hai, alafu akifufuka atakuwa na
nguvu mpya ya kuendelea na maombezi hayo.
Friday, 12 June 2015
DUNIA IMEISHA MSANII MWINGINE CHIPUKIZI KAACHIA MIPICHA YAKE ILI APATE KIKI MITANDAONI ONA PICHA ZAKE
NA LAYIIII ON SPOT
Posted by
Boss Ngasa
a
BAISKELI INAYO PAA YAVUMBULIWA INAKWENGA KWA JINA LA Hoverbike NA NICKNAME NI Flike
NA LAYIII ON SPOT
Aeroflex’s flying bike, called Hoverbike and nicknamed Flike, has made its first successful manned flight in Hungary. Though Hoverbike’s top speed is 30 mph, maximum flying height is 15 feet and it sustains flight for about 30-40 minutes; it uses anti-gravity technology, emits zero emissions and does not crash.
A team of flight enthusiasts at the Hungarian research institute, Bay Zoltan Nonprofit Ltd, designed and developed the all-electric cycle, a personal tricopter, in just six months. Flike’s creators write on their website:
Aeroflex’s flying bike, called Hoverbike and nicknamed Flike, has made its first successful manned flight in Hungary. Though Hoverbike’s top speed is 30 mph, maximum flying height is 15 feet and it sustains flight for about 30-40 minutes; it uses anti-gravity technology, emits zero emissions and does not crash.
A team of flight enthusiasts at the Hungarian research institute, Bay Zoltan Nonprofit Ltd, designed and developed the all-electric cycle, a personal tricopter, in just six months. Flike’s creators write on their website:
All Electric Flying Bike Has Successful First Flight
See Here: thttp://anonhq.com/?p=22857
See Here: thttp://anonhq.com/?p=22857
Thursday, 11 June 2015
haya sasa mimba ya zari si ya diamond a.k.a chibuuuu..........nifate hapa chini
na layiii
Mwandishi wetu
OHOOO! Wakati Nasibu Abdul ‘Diamond’ akijinadi kwa mbwembwe kuwa anategemea kiumbe kutoka kwa mwandani wake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’, ubuyu mpya wa mjini unadai kuwa mimba aliyobeba mrembo huyo si ya Diamond, Amani limemeza sababu za kutosha.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo chetu kilicho karibu na Diamond anayesumbua kwa sasa na wimbo wake wa Nana, tangu habari ya ujauzito wa mlimbwende huyo mwenye asili ya Uganda ianze kupamba vyombo mbalimbali vya habari, watu walio karibu na staa huyo hawakuziamini.
OHOOO! Wakati Nasibu Abdul ‘Diamond’ akijinadi kwa mbwembwe kuwa anategemea kiumbe kutoka kwa mwandani wake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’, ubuyu mpya wa mjini unadai kuwa mimba aliyobeba mrembo huyo si ya Diamond, Amani limemeza sababu za kutosha.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo chetu kilicho karibu na Diamond anayesumbua kwa sasa na wimbo wake wa Nana, tangu habari ya ujauzito wa mlimbwende huyo mwenye asili ya Uganda ianze kupamba vyombo mbalimbali vya habari, watu walio karibu na staa huyo hawakuziamini.
Monday, 8 June 2015
MASKINI JOKATE ETI ANAJIUA ISSUE NZIMA HAPO CHINI MTU WANGU .................
NA LAYIII ON SPOT
Sexy lady mtafutaji anayejishughulisha na fani lukuki ikiwemo urembo na muziki, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’,
MBELE YA GAZETI HILI
Brighton Masalu
Imefichuka! Sexy lady mtafutaji
anayejishughulisha na fani lukuki ikiwemo urembo na muziki, Jokate Urban
Mwegelo ‘Kidoti’ kwa mara ya kwanza ameweka wazi kwamba alitaka kunywa
sumu kisa kikiwa ni kuumizwa kimapenzi na mwanaume aliyempenda
kupindukia, aya zifuatazo zimesheheni.
Wednesday, 27 May 2015
WAKISEMA MCHEPUKO SIYO DILI MUWE MNAELEWA
JAMANIMICHEPUKO SIYO DILI ELEWENI EMBU ANGALIYO YALIYO JILI HAPA JAMANI
MWANAMKE
mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja, mwishoni mwa wiki
iliyopita alijikuta katika wakati mgumu baada ya kundi la wanawake
kumvamia kazini kwake na kuanza kumsimanga kwa kitendo chake cha
kuchepuka na mume wa mtu huku akipigiwa ngoma maarufu kama kibao kata.
Tuesday, 26 May 2015
AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA
layii
Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya.
Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji cha Yumbis mjini Garissa, Kaskazini Mashariki mwa Kenya.
Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya.
Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji cha Yumbis mjini Garissa, Kaskazini Mashariki mwa Kenya.
Friday, 22 May 2015
SI WALIMU, WANAFUNZI WALA MADAKTARI SASA NI ZAMU YA WALEMAVU CHEKI KILICHOTOKEA JANA
LAYIII
Wiki
hii ilianza na headlines za migomo.. wa kwanza ulikuwa mgomo wa
wanafunzi wa Chuo Kikuu Dar, ikafuatia
KIDOA NAYE JAMANI ETI MASOGANGE NI CHA MTOTO DUUU JAMANII----
LAYIII
Mayasa Mariwata
VIDEO Queen anayekuja kwa kasi Bongo, Asha Salumu `Kidoa’ amempa makavu laivu muuza sura mwenziye
VIDEO Queen anayekuja kwa kasi Bongo, Asha Salumu `Kidoa’ amempa makavu laivu muuza sura mwenziye
KWELI KANUMBA ALIKWENDA NA NYOTA YA BONGO MOVIE MSIKIE RAY MWENYEWEE HAPA CHINI KAKIRI KWA KINYWA CHAKE
LAYIIIIII
Msanii Vincent Kigosi ‘Ray’ amekiri kwamba kufariki kwa Steven Kanumba kumemsababishia kuporomoka kisanaa na kiuchumi kwa kukosa ushindani thabiti kwenye game.
Msanii Vincent Kigosi ‘Ray’ amekiri kwamba kufariki kwa Steven Kanumba kumemsababishia kuporomoka kisanaa na kiuchumi kwa kukosa ushindani thabiti kwenye game.
IYOBO NAYE KWA ANTI EZEKIEL DUUU ITAFAHAMIKA TU NA HIYO MIMBA
Na swaxbz layiii
Imelda Mtema
MPENZI wa staa maarufu wa filamu Bongo Aunt Ezekiel, Moses Iyobo ambaye pia ni dansa mahiri wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa hakwenda kwenye
MPENZI wa staa maarufu wa filamu Bongo Aunt Ezekiel, Moses Iyobo ambaye pia ni dansa mahiri wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa hakwenda kwenye
Subscribe to:
Posts (Atom)