Saturday 13 June 2015

BAADA YA TUZO ZA KTMA KUTOLEWA MABADILIKO BAB KUBWA YAMETOKEA

LAYIII ON SPOT

Screen Shot 2015-06-12 at 6.17.31 PM
Leo June 12 2015 tunahesabu saa chache tu kushuhudia Historia ikiandikwa kwenye Burudani ya Muziki TZ, Tuzo kubwa za Muziki Tanzania, KTMA 2015 leo kuna kipya kilichotangazwa na waandaaji wa Tuzo hizo.
Kuna mabadiliko machache tofauti na ilivyokuwa mwaka jana… tumebadilisha mpangilio wa Venue ambao kwa mwonekano watu wote wataangalia mbele… mbali na hayo baada ya Show tumeandaa sherehe ambayo itawajumuisha watu wote kuburudika kwa pamoja tofauti na kipindi kilichopita“>>> Pamela Kikuli

Pia tofauti iliyopo ni kwamba hakutakuwa na utaratibu wa watu kulipia na kuingia kwenye show badala yake watahudhuria wale ambao wamepokea mwaliko tu“>>>
Tumeona sio vibaya kupokea maoni kutoka kwa wadau mbali mbali ambao wanafuatilia Show hizi ndio sababu iliyotufanya tufanye mabadiliko makubwa kwenye show hii kwa mwaka 2015“>>> Pamela Kikuli.
Screen Shot 2015-06-12 at 6.16.58 PM
Pamela Kikuli
Screen Shot 2015-06-12 at 6.17.41 PM


No comments:

Post a Comment

advertise here