Sunday 14 June 2015

KASHFA MPYAA YA BEYONCE ....... KUMBE HATA SUPER STAAAZ WA DUNIA WEZI

LAYIII

Beyonce kwenye kashfa ya kuiba nyimbo ya ‘Xo’ kutoka kwa underground.

beyyy
Stori za madai ya wasanii mbalimbali kudaiwa kuiba nyimbo za wasanii wengine bado zimeendelea kuchukua nafasi zaidi kwenye nchi mbalimbali duniani.
Mara nyingi wasanii wadogo ndio wamekuwa wakilalamika sana kuibiwa nyimbo zao kila wakati na malalamiko haya huenda moja kwa moja kwa mastaa wenye majina makubwa kwenye muziki.

 Stori kubwa leo ambayo imechukua headlines kuna malalamiko kutoka kwa undergoud Ahmad Lane kudai kuwa staa Beyonce kaiba nyimbo yake inayoitwa  ‘Xo’ kutoka kwake.
lane
Ahmad Lane
Msanii huyo amelalamika kuibiwa nyimbo yake hiyo ambayo aliita ‘XoXo’ na kutaka alipe dola milioni 7 kutoka kwa staa huyo.
Nyimbo ya msanii huyo iitwayo ‘XoXo’ hii hapa isikilize

 


No comments:

Post a Comment

advertise here