Wednesday, 27 May 2015

MWANZA KUMEWAKA MOTO ONA YALIYO TOKEA BAADA YA PLATNUMZ KUFIKA KULE

NA LAYII

Diamond Plutnumz alikwenda mwanza kufanya show ya jembeka festival ila mapokezi yake yali dhihirisha kuwa msanii huyu ni mtu wawatu kama unamchukulia poa tazama picha zote hapa!!

INAELEKEA PLATNUMZ KAANZA KUFULIA KWA MAPIGO HAYA DUUU ONA MWENYEWE

NA LAYIII
  

Devontage Roper claimed about East African musician Diamond Platinumz steal his design and wear its without reframe the designer logo but latter Devontage shared the credibility post to diamond platinum for showing appreciation for his artwork and wear his bland although fake one!!.

Tuesday, 26 May 2015

BEYONCE NA JAY Z NI MAHABA NIUWE TU KAMA WAMEANZA JANA VILE

NA LAYII
Rapa Jay Z na mkewe Beyonce wakijiachia kwenye viunga vya jiji la Florence nchini Italia.
Florence, Italia
PENZI ni kikohozi kulificha huwezi! Ndivyo ambavyo wanaonyesha wapenzi wawili maarufu duniani, rapa Jay Z na mwimbaji Beyonce ambao hivi sasa wapo nchini Italia wakila raha na

AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA

layii
Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab.
Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya.
Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji cha Yumbis mjini Garissa, Kaskazini Mashariki mwa Kenya.

Friday, 22 May 2015

SI WALIMU, WANAFUNZI WALA MADAKTARI SASA NI ZAMU YA WALEMAVU CHEKI KILICHOTOKEA JANA

LAYIII
Screen Shot 2015-05-21 at 3.19.05 PMWiki hii ilianza na headlines za migomo.. wa kwanza ulikuwa mgomo wa wanafunzi wa Chuo Kikuu Dar, ikafuatia

WAKATI WEMA NA ANTI EZEKIELI WAKITWANGANA LULU ATAMBISHIA MJENGO WAKE

KIDOA NAYE JAMANI ETI MASOGANGE NI CHA MTOTO DUUU JAMANII----

LAYIII
Mayasa Mariwata
VIDEO Queen anayekuja kwa kasi Bongo, Asha Salumu `Kidoa’ amempa makavu laivu muuza sura mwenziye

KWELI KANUMBA ALIKWENDA NA NYOTA YA BONGO MOVIE MSIKIE RAY MWENYEWEE HAPA CHINI KAKIRI KWA KINYWA CHAKE

LAYIIIIII
Na Brighton Masalu
Msanii Vincent Kigosi ‘Ray’ amekiri kwamba kufariki kwa Steven Kanumba kumemsababishia kuporomoka kisanaa na kiuchumi kwa kukosa ushindani thabiti kwenye game.

IYOBO NAYE KWA ANTI EZEKIEL DUUU ITAFAHAMIKA TU NA HIYO MIMBA

Na swaxbz layiii

Imelda Mtema
MPENZI wa staa maarufu wa filamu Bongo Aunt Ezekiel, Moses Iyobo ambaye pia ni dansa mahiri wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa hakwenda kwenye

Wednesday, 20 May 2015

diamond aacha gumzo landon

na swaxbz layiii
Musa Mateja
AMAZING! Hiyo ndiyo kauli pekee unayoweza kuitamka kuakisi shoo baab’kubwa aliyoifanya mkali wa wimbo wa Nasema Nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’, London, Uingereza, Risasi Mchanganyiko linakujuza zaidi.

Friday, 15 May 2015

HAKUNA CHA YOUTUBE DOWNLOADER WALA CHA IDM HAPA NI Finco Download Manager TU HEMBU ICHEKI HAPA MTU WANGU

NA SWAXBZ LAYIII
HAYA SASA MNAO SUMBUKA NA KUDOWNLOAD NI ZAMU YA FINCO KUWALETEENI APPLICATION KALIIII MTAKAYO DOWNLOAD VITU KWA HARAKAAAA NOUMA SANA CHEKI VITU HAPA MTU WANGU
Written by admin
fdmF
Finco Download Manager is an excellent download accelerator that will take care of all your downloads from the moment you install it on your Device.To use, just copy the download link and Paste in the add url field and you can let the app take care of the rest. FDM allows up to 10

Windows 7 Password hacker

win7 Password HackerNA WAXBZ LAYIII

Written by SWAXBZ LAYIII

Wednesday, 13 May 2015

BOW WOW AJITOA CASH MONEY

NA SWAXBZ
KUWA NAMI KUPATA UPDATE  NEWZ MAPEEEEMA

Rapa aliyeanza muziki tangu akiwa na miaka mitano, Bow Wow.
New York, Marekani
RAPA aliyeanza muziki tangu akiwa na miaka mitano, Bow Wow, amejitoa kwenye

Saturday, 9 May 2015

MVUA DAR KWISHA HABARI YAKE GWAJIMA AZITEKETEZA NA JESHI LAKE

NA SWAXBZ LAYIIII
haribu tena, na ninaiamuru ardhi imeze maji yote yaliyojaa juu ya nchi".

Friday, 8 May 2015

Monday, 20 April 2015

HAYA SASA KULIKONI SHAMSA NA SIWEMA WA NEY?????????


KUMEKUCHA NA SWAXBZ LAYIII
Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ , Siwema.
Imelda mtema
Kazi imeanza! Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambaye kwa hivi sasa ni mpenzi mpya wa mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ na mpenzi wa zamani wa Mbongo-Fleva huyo, Siwema wameanza kuchimbana baada ya hivi karibuni kurushiana madongo.

TOTO RIHANNA LAJIACHIA MJINI HAWAII MAREKANI

Mwanamuziki, Robyn Rihanna Fenty (27) 'Rihanna' akitembea akiwa kashika glasi ya juisi  katika fukwe za Hawaii, Marekani  jana Jumapili.

Saturday, 18 April 2015

UNAIKUMBUKA HII......... AY NDIYE WAKALA WA GODFATHER WA AFRIKA KUSINI

NA SWAXBZ LAYIIII





Ambwene Yassaya-AY
Ambwene Yassaya-AY
Mkali wa mziki wa kizazi kipya Tanzania Ambwene Yesaya-AY anayetamba kwa kibao chake cha ‘Asante’ ndiye wakala wa muongozaji Godfather mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini.
AY amesema msanii yeyote wa Afrika Mashariki anayehitaji kufanya video chini ya muongozaji huyo ni lazima apitie kwake kwani yeye ndiye wakala wake hapa Afrika Mashariki.
Alisema… “Huwezi kufanya video na Godfatherni lazima utapita kwangu na utalipa gharama zote kwangu kwani tumeingia deal pamoja.”

ALICE WA THT APATA KI------;;;;;;; JUKWAAANI

NA SWAXBZ LAYIIII
 IMG-20140508-WA0001
Kulikuwa na story nyingi kwenye Hekaheka.. kukawa na ugeni wa msanii wa THT, anaitwa Alice  akasimulia Hekaheka yake aliyokutana nayo akiwa kwenye show.

NEY WA MITEGO HOI

NI BAADA YA MAJIBU YA DNA YA MTOTO ANAYEDAIWA KUWA NA BABA MWINGINE EMBU FUATILIA HATUA KWA HATUA HAPA

NA swaxbz layiiiii

Majibu ya Nay wa Mitego baada ya kupima vipimo vya DNA kwa mtoto wake yametoka.

neyBaada ya

JINSI RAIA WALIVO HAHA KUHAMA BAADA YA MACHAFUKO AFRIKA KUSINI

SWAXBZ LAYIIII
Maandamano ya kupinga ghasia dhidi ya wageni yalifanyika mjini Durban.
Raia wa kigeni wakitoa bidhaa katika maduka yao kufuatia kushambuliwa na wenyeji.

Friday, 10 April 2015

TASWIRA YA MGOMO WA MADEREVA JIJINI DAR

NA SWAXBZ LAYIII
AW1A1307
Kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii, redioni na TV ni ripoti ya story kubwa ya mgomo wa mabasi ya abiria, nikasogea Kituo cha Mabasi Ubungo kuona hali ilivyo.
Vurugu kubwa zimezuka, yakachomwa matairi ya magari barabar

Monday, 6 April 2015

MALEGEND AMBAO NI WAJASILIAMALI WAKUBWA WA KUIGWA

NA SWAXBZ LAYIIIIIIIIII

Sean John ' P. Diddy'.
LICHA ya wasanii nyota wa filamu wa Hollywood nchini Marekani kuingiza fedha nyingi kutokana na kuigiza na kudhaminiwa na makampuni makubwa, waigizaji wa Nigeria waliochini ya Nollywood, mambo yao hayaendi vizuri kama wanavyotaka.
Pamoja na kupata mafanikio makubwa katika kuigiza, waigizaji wa Marekani wamejiingiza katika sanaa nyingine nyingi kama yale ya fasheni za mavazi ambako wameingiza mkwanja mkubwa.
Nyota ambao wanaingiza mkwanja mkubwa kila mwaka katika anga hizo, kwa mujibu wa gazeti la Forbes ni pamoja na Nicole Richie ambayo imemwingizia Dola milioni 2, Rachel Zoe Collection (milioni 20), Justin Timberlake na rafiki yake Trace Ayala (milioni 50), Gwen Stefani (milioni 90) na . Victoria Beckham milioni 95) alizovuna mnamo mwaka 2011 peke yake.

Friday, 3 April 2015

ETI DAR KUNA KELELE E BANA EEE MIJI HII NI NUKSI KWA KELELE DUNIANI

SWAXBZ LAYIIIII BLOGGER
nyc-skyline
Moja ya ishu zilizojadiliwa Bungeni katika vikao vilivyofanyika ndani ya wiki hii ni suala la kelele ndani ya Miji Mikubwa TZ kam vile Dar.. Wabunge wakasema ikiwezekana kuwepo utaratibu wa kufungia kumbi za sherehe ambazo zinaongoza kwa kupiga muziki na kusababisha kero ya kelele.

BAADA YA MUDA KIDOGO NANII AKIWA RAISI DAR USAFIRI NI HIVI

NA SWAXBZ LAYIIIIII
Tram 5Nakupeleka moja kwa moja kwenye jiji la Barcelona Spain, ni jiji ambalo mpaka mwaka 2011 lilikua na watu zaidi ya milioni moja na laki sita ndani yake na sasa wanasema kuna zaidi ya watu milioni 5 ambapo ni jiji la pili kwa ukubwa kwenye nchi ya Hispania.
Barca 3Unaambiwa usafiri huu wa Tram ulianza kufanya kazi kwenye mji wa Barcelona toka mwaka 1872 lakini barabara zilizokua

Wednesday, 1 April 2015

KWA WANATECHNOLOGIA SASA ANGALIA JINSI YA KUPLANT NUCLEAR { I MEAN NUCLEAR INSTALLATION}

Pressurized Water Reactors (also known as PWRs) keep water under pressure so that it heats, but does not boil. This heated water is circulated through tubes in steam generators, allowing the water in the steam generators to turn to steam, which then turns the turbine generator. Water from the reactor and the water that is turned into steam are in separate systems and do not mix.
View animated image of a Pressurized Water Reactor
Source: Nuclear Regulatory Commission

amizing houses,SWAXBZ LAYIIII

.Maajabu ya kuvutia.. yani zimetengenezwa nyumba na Hotel kwa ubunifu wa nguvu mtu wangu.
Nyumba za vioo, nyumba za miti.. Ziko nyingi hapa mtu wangu, unaweza kuzicheki

Monday, 30 March 2015

VYUMBA BORA VYA KULALA NA MIPANGILIO YAKE

SWAXBZ KAYIIII

7 amazing comic book hotel rooms

7 amazing comic book hotel rooms
Look at these incredible 7 hotel rooms comics. We will make sure that the images you see then give you eager to travel. Join in and be not with the urge! The world is waiting with open doors!
Surely I will not have the need to tell you, but still, I will: tourism, in short, is one of the most fun things that humans can do. Having the opportunity to meet and marvel at the variety of scenarios that the world makes available, priceless! If you are a person who constantly does, you’ll agree.

HOTEL 9 BORA NA ZA AJABU DUNIANI

NA SWAXBZ LAYIII SWAG BOY
9 strangest Hotels of the worldThese are the 9 most strange hotels in the world.Do not overlook this curious gallery that will teach you that you can stay in unimaginable places! And besides this, it will prompt to travel more, of course.

UKIFANYA SAFARI ZAKO KWA STYLE HII AMINI TU UTASAVE PESA YAKO SANA NA UTAUPA MWILI WAKO MAZOEZI VYA KUTOSHA NA WALA MAGONJWA HUTAYAPATA OVYO OVYO

9 Tips for traveling without moneyDo not stop seeing these 9 tips to travel without money. Do you like extreme experiences? Are you passionate about live new moments? Pay attention to this post!

NI KWA MARA NYINGINE TENA NAKULETEA MZEE MZIMA RICH MAN KUTOKA DUBAI NA BAADHI YA BICHA ZAKE NAMBIE UNAJIFUNZA NINI

33 incredible pictures of rich men in DubaiThese 33 amazing Pictures of rich men in Dubai. They will leave you impressed.
Dubai is an incredible beauty. Dubai is one of the seven emirates that make up the United Arab Emirates. Its strategic location has made it a strong commercial focus, especially with India. Although now Dubai is

HUYU NDIO KIBOKO YAO>>>HAKUNA CHA ZARI, HUDDAH,wema WALA VERA SIDIKA>>>JIONEE mwenyewe




Tuesday, 24 March 2015

Nimeshare na wewe hizi Pichaz kutoka Maisha Club show ya Meninah

4X7A0999
Siku ya juzi March 21 2015 staa wa muziki Bongo, Meninah alifanya party na watu wake wa nguvu hapahapa Dar ambapo party hiyo aliifanya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.

kama miundo mbinu tanzania ni mizuri basi swala la mafuriko tanzania tutaweza epuka embu cheki mvua ilivyo fanya kitu mbaya dar jana

Na swaxbz layiiiiiiiii
DSC_4736Kwenye zile zilizoandikwa magazetini na kuchambuliwa kwenye Power Breakfast @CloudsFM leo March 23, iko story ya watu watano kufariki kutokana na mvua iliyonyesha Dar, makundi mbalimbali kuibuka uchaguzi wa Urais 2015 na stori ya albino kulindwa kwa teknolojia ya simu ya mkononi.

Yemi Alade alivyo wapagawisha fans wake italy…

yemi6Yemi Alade yupo Rome italy akiendelea na ziara yake ya kimuziki ambapo akiwa nchini humo alifanya shoo ya aina yake iliyopokewa na mashabiki kwa furaha na mashabiki ambao walifurika kumshuhudia

Wednesday, 18 March 2015

ETI MAREKANI HAKUNA NJAA EMBU ONA WAKAZI WENGI WALIVO JITUMA KUJENGA NYUMBA ZA MAKOPO

NA SWAXBZ LAYIIIIIIIIII SWAG BOY
plastic-bottle-1
HAPA JAMAA ANAJENGA NA ANAPIMA KINOUMA NOUMA
ICHEKI HOUSE NA UKUTA ULIPOFIKIA HAPA

TRUE LOVE: RIHANNA ACCOMPANIES CHRIS BROWN TO COURT HEARING

angazo

Rihanna accompanied her man Chris Brown to his court hearing yesterday Wednesday February 6th. 

Chris Brown's ongoing probation case stems from assaulting Rihanna in 2009. 

Yesterday was his progress report hearing, where he faced allegations that he lied about completing his community

NOUMA SANA DAR ES SALAAM KA MBELEE MANAKE

EWURA na ishu ya umeme kukatika.. Polisi na aliyemzushia kifo mama Maria Nyerere je?

Manzese
Kuna stori ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu

Hii Good news kutoka kwa rapper Fid Q kashea na sisi iko hapa…

.
.
Good news ninayokusogezea ni hii inamuhusu rapper Fareed Kubanda ambaye leo hii amekabidhiwa tuzo ya Champion of the 2015 European year for development in

BONDIA FRANCIS CHEKA AACHIWA, KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE

BONDIA nyota wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka aliyehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na faini ya shilingi milioni moja, hapo

kiba kutambulisha style yake ya cheketua

GOOD News ni kwamba, mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘Mwana Dar Live’ ameshafuta kiti chake na Aprili 5, mwaka huu (Sikukuu ya Pasaka) ndani ya Uwanja wa

advertise here