LIKE PAGE YETU HAPA
Msanii wa filamu, Jacqueline Wolper
baada ya kukiri kwamba anatoka kimapenzi na Harmonize, amefunguka na
kueleza madai ya kufilisiwa na Mkongo ambaye alikuwa mpenzi wake wa
zamani.
Akiongea katika promo ya kipindi kipya cha Take One ambacho kinatarajiwa kuruka Jumanne hii, Wolper amedai yeye ndiye aliyetendwa na Mkongo ambaye alikuwa mpenzi wake, kwani wakati anaanza naye mahusiano alikuwa ana gari na nyumba lakini baadae akijikuta hana hata sehemu yakulala.
Akiongea katika promo ya kipindi kipya cha Take One ambacho kinatarajiwa kuruka Jumanne hii, Wolper amedai yeye ndiye aliyetendwa na Mkongo ambaye alikuwa mpenzi wake, kwani wakati anaanza naye mahusiano alikuwa ana gari na nyumba lakini baadae akijikuta hana hata sehemu yakulala.
Diamond Platnumz hana mpango wa kuwa chini na record label yoyote
duniani. Infact hitmaker huyo amedai kuwa makampuni kibao yamewahi
kummendea yakitaka awe chini yake lakini akayapiga kibuti.





Kimenuka! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mafahari wawili wa Bongo
Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
kudaiwa kutupiana vijembe vya kufa mtu baada ya kuwepo kwa madai ya Kiba
kuhujumiwa.

Basi
la mwendo kasi ( DART) limemgonga na kumuua mtoto huku mama yake
akinusurika baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa kulipita
basi hilo








