LIKE AG YETU HAPA FACEBOOK
Basi
la mwendo kasi ( DART) limemgonga na kumuua mtoto huku mama yake
akinusurika baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa kulipita
basi hilo
Ajali hiyo imetoke leo katika eneo la Shekilango jijini Dar es Sallam.

Ajali hiyo imetoke leo katika eneo la Shekilango jijini Dar es Sallam.
No comments:
Post a Comment