Mtoto wa mchezaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Brazil Rivaldinho Rivaldo ambaye anafuata nyayo za baba yake Rivaldo katika soka, amesajiliwa na klabu ya Boavista ya
Klabu ya Liverpool ya
Uingereza haiko nyuma na yenyewe kumalizia masaa ya usajili yaliosalia
vizuri, kila klabu ina angaika ili iweze kusajili mchezaji iliyekuwa
inamtaka kwa muda mrefu au
Jamaa wametegesha video camera
sehemu alafu wakatafuta Mwanamke mrembo ajifanye mwizi wa kuchomolea
watu mfukoni, hii imetokea Marekani lakini najua kama wangetegesha
Kuna watoto wengi wa mastaa ambao wamekua na ushawishi mkubwa ndani
ya jamii zinazowazunguka, mbali ya kupata mikata minono ya kutangaza
bidhaa mbalimbali pia wamekuwa wakizungumziwa hasa katika mitandao ya
kijamii.
Ni kweli katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMADr. Wilbroad Slaa amekua kimya toka Edward Lowassa ajiunge na CHADEMAakitokea CCM lakini August 31 2015 kituo cha TV cha STAR TVkimetangaza kuhusu Dr. Slaa kwamba atazungumza kwa mara ya
Huu ndio utakua mwisho wa
makosa ya kimtandao Tanzania??? sababu sheria hii imepitishwa na kuanza
kutumika leo mahususi kwa wote wanaotumia vibaya mtandao.
Kampeni za uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 zimeshaanza tayari na tumewaona Wanasiasa mbalimbali wakisimama mbele ya Watanzania kutumia time yao kuwashawishi wapate zile
LAYIII Musa Mateja na Gabriel Ng’osha YAMEKUWA hayo! Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul
‘Diamond’ anahofiwa kufia studio kutokana na kufanya kazi kwa muda mrefu
pasipo kupumzika
Wiki iliyopita Soudy Brown alizungumzia ugomvi wa Edo Boy na Young Killer hadi kupelekana Polisi, leo tena unaendelea.
Baada ya Edo Boy wiki iliyopita kugoma kuzungumza, leo amezungumza na
kusema ni kweli alikua
Jumapili ya tarehe 30 August 2015 ilikuwa siku kubwa na ya muhimu kwenye ulimwengu wa burudani kwani tuzo za MTV Video Music Awards 2015 zilichukua headlines kubwa sana jijini Los AngelesMarekani.
Kanye West na Kim Kadarshian walikua miongoni mwa mastaa waliohudhuria tuzo za MTV Video Music Awards 2015…
na siku zote watu wamezoea kupokea vituko kutoka kwa Kanye viwe vya
kufurahisha ama kusikitisha usiku hauwezi kuisha bila kumsikia Kanye West.
LAYIII
KUMBUKA HII IMEKAA KIUDAKU ZAIDI NOT PROVE ZEN LETS GET TOTHE POINT OK
......MAAJABU YA DUNIA.....
Huyu ndie binadamu wa hatari zaidi na mwenye maajabu Duniani na anasifa kuu 7. 1:Anauwezo wa kufanya kazi kwa wiki bila kula. 2:hakuzaliwa na Mama,bali alizaliwa na Baba. 3:Anauwezo wa kutabiri ya kesho nayakawa sawia. 4:Anaongea zaidi ya lugha zipatazo 10,000. 5:Anaweza kutembea umbali mlefu bila kupumzika. 6:Hakuwahi kunyonya maziwa kwa mama wala ya mnyama. 7:Alizaliwa anajuwa kuongea,pindi alipokuwa na umri wa siku 3. NINI MTAZAMO WAKO KWA KIUMBE HUYU.
Bado harakati za uzinduzi wa kampeni za siasa zilikuwa zikiendelea katika maeneo tofauti Dar Es Salaam, August 30 ilikuwa ni siku ya uzinduzi wa kampeni za chama cha ACT- Wazalendo
MWANANCHI
Wakati Waziri Mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye
akitangaza kuihama CCM, alidokeza kuwa siku moja chama hicho kitaona
umuhimu wake, na jana alianza kuonyesha hilo alipopangua hoja dhidi ya
mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa huku akianika uozo wa Serikali.
Tukiwa tunaelekea katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani August 23 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilizindua kampeni zake za kunadi sera zao na ilani ya chama chao utaratibu huo
Ni wajibu wangu mtu wangu kukusogezea kila kinachonifikia na hii
nisingependa ikupite, Usiku August 28 ilikuwa ni usiku wa aina yake kwa
upande wa burudani na ilitendewa haki na Christian Bella akiwa na Malaika Band pampja na Yamoto band
Kupitia kwa mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Wolfsburg ya UjerumaniKlaus Allofs amethibitisha kwa mshambuliaji wa zamani wa Chelsea kurudi katika Ligi Kuu Uingereza. Klaus Allofs amethibitisha kuwa klabu ya Wolfsburg imeridhia kumuachia Kevin De Bruyne ajiunge na klabu ya Manchester City.
De Bruyne akipiga picha na mashabiki wakati akiwa njiani kuelekea Manchester usiku wa August 28
Kevin De Bruyne atakuwa anarejea katika Ligi Kuu Uingereza ikiwa ni miezi 18 imepita