Saturday, 21 May 2016

NIMEKUSOGEZEA PICHA YA NYOKA MKUBWA ALIYEWAHI KUTOKEA DUNIANI

LIKE PAGE YETU HAPA
Bonyeza picha yoyote kuona video live
https://youtu.be/Wi8fn43BXLM

BUSU A PENNY IMEACHA MASWALI

LIKE PAGE YETU HAPA FACEBOOK
https://youtu.be/_2xr9mgpj4s
Busu ambalo mtangazaji Peniel Mungilwa ‘Penny’ amempiga mwigizaji Shamsa Ford limezua utata kufuatia watu kumhusisha na tabia isiyofaa.

Hayo yalijiri hivi karibuni baada ya mtangazaji huyo kutupia picha kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram ndipo wafuasi wa mtandao huo walipoanza kumsema vibaya wakidai anajiabisha kwa

MAZUNGUMZO YA AMANI BURUDI KUFANYIKA ARUSHA

LIKE PAGE YETU  FACEBOOK HAPA
Bonyeza picha hii kuiona video ya kenya ya vurugu zilizokuwa zikiendelea
https://www.youtube.com/watch?v=W_4hDe0dH5s
Mazungumzo ya amani kuhusu Burundi yameanza mjini Arusha, Tanzania, baada ya kuahirishwa mara kadha.
Serikali ya Burundi, na baadhi ya viongozi wa upinzani wanahudhuria mazungumzo hayo, ambapo mpatanishi ni rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa.
Lakini kundi kuu la upinzani halikujumuishwa, kwa sababu serikali imesema, haitozungumza na watu, inaowaona kuwa wapiganaji.
Mamia ya watu wameuwawa nchini Burundi, tangu Rais Pierre Nkurunziza kuamua kuania muhula

Friday, 20 May 2016

TANZANIA KUCHUANA NA MALAYSYA ULIISKIA HII

LIKE PAGE YETU FACEBOOK  HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=a4HLJVd_5to
Timu ya Taifa ya vijana wa Tanzania wa chini ya miaka 17 Serengeti Boys siku ya Jumamosi itacheza na Malaysia kwenye mechi yao ya mwisho ya kundi wakisaka ushindi ili kutinga fainali ya 2016 AIFF Youth Cup huko Tilak Maidan Stadium, Vasco, Goa nchini India.
Tanzania mpaka sasa imeshacheza mechi 3 na kuifunga India 3-1 na kutoka Sare na USA 1-1 na kisha South Korea 1-1.
Ili kutinga Fainali Serengeti Boys wanapaswa kuifunga Malaysia ambayo imetoka sare na India na kubondwa na South Korea 3-0.
Ikiwa Serengeti Boys wataifunga Malaysia basi njia yao itakuwa nyeupe ikiwa pia Jumamosi mechi kati ya Marekani na Korea Kusini itaisha kwa timu moja kushinda.
2016 AIFF Youth Cup ni mashindano yaliyoandaliwa na shirikisho la soka la India, All India

VIRUSI HATARI VYA ZIKA SASA VIMEINGIA RASMI AFRICA

LIKE PAGE YETU FACEBOOK HAPA
 Zika
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema aina ya virusi vya Zika ambavyo vimekuwa vikisababisha watoto kuzaliwa na vichwa vidogo vimegunduliwa Afrika kwa mara ya kwanza.
Virusi hivyo vimesababisha taharuki nchi za Amerika Kusini, na hasa Brazil.
Virusi hivyo vilipatikana katika visiwa vya Cape Verde.
Jina la virusi hivyo linatokana na msitu wa Zika, Uganda ambapo virusi hivyo vilitambuliwa kwa

Thursday, 19 May 2016

ALIKIBA NA DEAL LA SONY MAKOSA YANAYOJIRUDIA

LIKE PAGE YETU FACEBOOK BOFYA HAPA
https://youtu.be/JybGIaVor0MHuko kwenye mitandao ya kijamii kumechafuka habari ya Ali kusign deal na Sony wengi wakiamini huo ndio utakuwa mwanya wa msanii huyo kutoboa kimataifa.. Jambo ambalo mashabiki wake wanashindwa kuelewa ni kuwa huo unaweza kuwa anguko la King Kiba badala ya kuwa neema..

Kwanza kabisa kitu ambacho hawakielewi ni kuwa Ali hajasaini na Sony Music Ent. BMG (ishu yake sio 'global deal') bali amesaini na Sony Music Africa ambayo ni subsidiary ya Sony Music Entertainment!! Kwa ninavyoelewa Sony Music Africa wana sambaza mziki na kumanage wanamuziki ndani ya Africa pekee.. Sasa eidha Ali hajui alichosaini au chumvi inaongezwa kunogesha habari..

BASI LA MWNDOKASI LA GONGA NA KUUWA

LIKE AG YETU HAPA FACEBOOK
Basi la mwendo kasi ( DART)  limemgonga na kumuua mtoto huku mama yake akinusurika baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa kulipita basi hilo

Ajali hiyo imetoke leo katika  eneo la Shekilango jijini Dar es Sallam.

Tuesday, 17 May 2016

Chelsea na Tottenham wapigwa faini kubwa

LIKE PAGE YETU HAPA 

Chelsea na Tottenham wamepigwa faini kutokana na mashtaka matatu ya kushindwa kuwadhibiti wachezaji wao katika sare ya 2-2 katika uwanja wa Stamford Bridge.
Chelsea watalazimika kulipa pauni 375,000 baada ya kukiuka sheria za shirikisho la soka nchini Uingereza kuhusu makabiliano ya wengi ikiwa ni mara ya nne tangu mwezi Novemba 2014.
Spurs wamepigwa faini ya pauni 225,000 ikiwa ni kisa chao cha tatu kutokea.Mechi hiyo ilikuwa na kadi 12 za manjano .
Mapema mwezi huu mchezaji wa Spurs Mousa Dembele alipigwa marufuku kwa mechi sita kutokana na ghasia katika mechi hiyo hiyo ambayo ambayo ilimaliza matumaini ya Tottenham kushinda ligi ya Uingereza.
Kiungo wa kati wa Ubelgiji Dembele mwenye umri wa miaka 28 alionekana akimgusa jicho

POLICE KENYA WASHUTUMIWA KWA UKATILI

LIKE PAGE YETU HAPA FACEBOOK
Polisi
Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu nchini Kenya yameshutumu maafisa wa polisi wakisema walitumia nguvu kupita kiasi kukabili waandamanaji jijini Nairobi Jumatatu.
Tume ya Taifa ya Haki za Kibinadamu (KNHRC) imesema imeshangaza sana na video na picha ambazo zinaenea kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari kuhusu yaliyojiri wakati wa maandamano hayo.

Monday, 16 May 2016

HAYAWI HAYAWI MGANGA WA KIENYEJ AMBAKA MGONJWA WAKE

LIKE PAGE YETU FACEBOOK HAPA
Unaweza pia ukabonyeza picha hii kuona video kamli usiache kusubscribe nasi youtube mtu wangu
https://www.youtube.com/watch?v=WoyqBDkOBr4
Mganga wa Kienyeji Hamza Saidi,(40) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kumbaka mgonjwa aliyekwenda kutibiwa masikio kwenye ofisi ya mganga huyo.

Mganga huyo, Mkazi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji anatuhumiwa kumbaka msichana wa miaka 20, na kumsababishia maumivu makali.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma SACP Fredinandi Mtui alisema, mganga huyo alifanya tukio hilo, Mei 15 majira ya saa tano asubuhi.

Inadaiwa kuwa msichana alifika  nyumbani kwa mganga huyo akiwa na lengo la kutibiwa masikio lakini mganga alimwambia ili dawa hiyo ifanye kazi ni lazima afanye naye mapenzi kwanza.

WATU WENGI PWANI YA TANZANIA HUWA HATARINI RIPOTI YAONYESHA

LIKE PAGE YETU HAPA FACEBOOK

Tanzania
Tanzania ni miongoni mwa nchi 25 duniani ambazo zitakuwa na watu wengi maeneo ya pwani walio katika hatari ya kuathiriwa na mafuriko kutokana na mabadiliko ya tabia nchi kufikia mwaka 2060.
Shirika la Christian Aid la Uingereza, kwenye ripoti yake, linasema Tanzania itakuwa na watu 14 milioni katika pwani yake ambao watakuwa katika hatari ya kuathiriwa na mafuriko.
Kufikia mwaka 2000 idadi hiyo ilikuwa 600,000 pekee lakini kufikia mwaka 2030 watakuwa wamefikia 2.8 milioni.
Afrika Mashariki, taifa jingine ambalo limo kwenye orodha ya nchi 25 ni Somalia, ambayo itakuwa

JINSI MAFURIKO YANAVYO DHIDI SHAMILI KENYA NA TANZANIA

LIKE PAGE YETU HAPA 

Leo imekuwa siku ngumu sana kwa uchukuzi mjini Dar es Salaam, Tanzania.

UWEZEKANO WA KURUDISHA UHAI WA MAREHEMU WANASAYANSI WAMEKUJA NA HILI MPYA

LIKE PAGE YETU HAPA HUTAPITWA NA HABARI YETU FACEBOOK
Jopo la madaktari linataka kujaribu kurudisha uhai kwa watu wanaofariki kutokana na matatizo ya ubongo baada ya majaribio ya muda mrefu sasa wamekabidhiwa leseni ya kufanyia majaribio kufanya kitu kama hicho
bonyeza picha hii njoo youtube subscribe hutapitwa na habari za matukio yetu kwa njia ya video
O companie din SUA vrea să readucă la VIAŢĂ 20 de pacienţi. Cum va fi posibil acest lucru
uwezekano wa kurudisha watu wanao kufa kutokana na matatizo ya ubongo hicho ndicho shirika la bioquark linataka kukifanya. Bodi ya afya nchini marekani imekubari ombi la shirika hilo na sasa shirika limejikita katika kufanya utafiti na majaribio kurudisha uhai wa mtu aliyefariki kutokana na matatizo ya ubonngo kama vile kansa na salatani ya ubongo.  Utfiti huo umepewa jina la ReAnima
project. Kutokkana na swala hilo kampuni hiyo iko mbioni kufanyia utafiti maiti 20 iliyokufa

VIDEO MPYA YA MADEE UTAIPENDA NDANI YUMO KAJALA NA STAN BAKKORA

LIKE PAGE YETU YA FACEBOOK HAPA 
Ni hit single ya mkali kutokea Tiptop Connection na ametimiza ahadi kama alivyosema, director ni Mtanzania Adam Juma… ukishaitazama hii video hapa chini usiache kutoa comment yako maana Madee atapita kujua raia wake wameipokeaje

DOWNLOAD NA USIILIZE VIDEO MPYA YA SHILOLE FT BARNABA "SAY MA NAME"

LIKE AGE YETU FACEBOOK HUTAPITWA NA CHOCHOTE HAPA

i
Mrembo mwenye headlines zake nyingi Bongoflevani, Shilole a.k.a Shishi Baby kwa kushirikiana na Barnaba wanatualika kutazama video yao mpya ‘Say My Name’ na ukishaitazama uiache comment yako hapa chini Shilole na Barnabara watapita baada kuzisoma 

Sunday, 15 May 2016

NI MIEZI 6 SASA NIKO KWENYE MAHUSIANO NA GADNER

LIKE PAGE ETU HAPA FACEBOOK HUTAPITWA NA STORY YOYOTE


MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ amefunguka kuwa mtangazaji maarufu Bongo wa Clouds FM, Gardner G. Habash hachomoki kwake na hadi sasa wako kwenye uhusiano wa mapenzi kwa muda wa miezi sita.

Gigy mefunguka haya baada ya picha zinazomuonesha akiwa kwenye mapozi ya kimahaba na Gardner kusambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Giggy alisema mtangazaji huyo amekuwa mtu wa muhimu kwake kwa sasa.

“Kwani kuna tatizo nikiwa na Gardner? Yule ni mtu muelewa na sahihi kwangu, ninafikiri kupitia yeye nitajifunza mambo mengi na kuzidi kufanikiwa kwa sababu yeye ni moja kati ya watu ambao wako kwenye tasnia ya burudani kwa muda mrefu,” alisema Giggy Money.

WANAOVAA SURUALI CHINI YA MAKALIO VIBOKO SABINI

LIKE PAGE YETU HAPA USIPITWE NA STORY TENA FACEBOOK
Boneza picha subscribe nasi utube upate habari kwa njia ya video
https://www.youtube.com/watch?v=mTFQTl-J334\
Wakazi wa Kata ya Karansi, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro wametoa uamuzi kuwa wanawake watakaovaa sketi fupi na vijana watakaovalia suruali chini ya kiuno, wataadhibiwa kwa kuchapwa viboko 60 hadi 70.

  https://www.youtube.com/watch?v=mTFQTl-J334Uamuzi huo umefikiwa na wakazi zaidi ya 200 wakisema uvaaji huo ni kinyume na mila na desturi za Kiafrika.


Vazi lingine lisilotakiwa kwa wanawake ni kuvaa suruali pamoja na vijana kunyoa ndevu mitindo isiyofaa.


Mkutano huo ulioandaliwa na wazee wa kimila jamii ya Meru (Wachili) na Wamasai (Malaigwani), uliwavutia wananchi wengi ambao walihudhuria.


Sambamba na uamuzi huo utakaokuwa unafanyika hadharani, pia adhabu hiyo itawahusu wezi wa mali na wanaopenda kucheza pool table wakati wa kazi.


Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Wilbrod Mutafungwa alipinga uamuzi huo akisema kwa maazimio hayo ya kuwaadhibu watuhumiwa kwa kuwachapa viboko ni kujichukulia sheria mkononi na ni kinyume na sheria.

video ya mkenya aliyedandia helkopter

Saturday, 14 May 2016

BINTI WA KITAJIRI ALILIA PENZI LA CHOKORAA

 LIKE PAGE YETU FACEBOOK HAPA
Unaweza bonyeza picha ukacheka mwenyewe video ya huyu mtoto na udaku huu usiache kulike page yeu na kusubscribe nasi youtube
https://www.youtube.com/watch?v=QadvKOg7guc
LEO stand ya mabasi nikiwa naenda kumsindikiza rafiki yangu....nikamuona binti mrembo saana! Aliyevaa nguo za thamani kubwa sana yaani ukimuangalia huna haja ya kujiuliza mara mbili kuwa huyu ni tajiri au mtoto wa tajiri flani ...basi yule binti mrembo alishuka katika gari ya bei mbaya Range Rover SUV huku akiwa analia...na akiwa amempigia magoti mkaka mmoja mchafu aliyedhoofu sana inaonyesha labda alikuwa hapati chakula yaani ukimuangalia haraka huwezi

ALIYEDANDIA NDEGE HUKO KENYA NI STORI NYINGINE VIDEO YAKE IKO HAPA

LIKE PAGE YETU FACEBOOK HUTAPITWA NA CHOCHOTE HAPA
BONYEZA PICHA YOOTE KUIONA VIDEO NZIMA YA TUKIO HILI 
Ndege
Mwanamume mmoja katika mji wa Bungoma, Magharibi mwa Kenya ameshangaza wengi baada ya kudandia helikopta ambayo imepaa na kuondoka naye.
Helikopta hiyo ilikuwa imesafirisha mwili wa mfanyabiashara mashuhuri Jacob Juma aliyeuawa kwa kupigwa risasi jijini Nairobi wiki iliyopita, vyombo vya habari nchini Kenya vinasema.
Video zinazosambaa mtandaoni zinaonesha helikopta hiyo ikipaa juu angani kutoka uwanja wa Posta, mwanamume huyo akiwa amejishikilia kwenye vyuma vya helikopta hiyo.
Taarifa zinasema baadaye ndege imetua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Bungoma na mwanamume huyo akapelekwa hospitalini.

KIMENUKA TENA WEMA NA OMMY DIMPOZ WABAMBWA LIVE KILICHOENDELEA STORY NYINGINE

Like page yetu ya FACEBOOK hapa hutapitwa na habari zetu kamwe
unaweza pia bonyeza picha yoyote hapo kujua nini kiliendeleaa kwa njia ya video usiache kusubscribe nasi youtube mtu wetu
https://www.youtube.com/watch?v=QadvKOg7guc
LICHA ya tetesi kuzagaa kuwa amerudiana na mpenzi wake, Idris Sultan, mtoto mzuri Bongo Muvi, Wema Sepetu kwa mara nyingine ametengeneza habari, amedaiwa bado anaendeleza uhusiano wa siri na staa wa Bongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, Risasi Jumamosi limepewa mchapo.

PICHA ZADHIHIRISHA
Hiyo imedhihirika hivi karibuni baada ya kuvuja kwa picha mpya za wawili hao wakiwa chumbani katika mapozi ya kimahaba huku wamevaa mavazi ya kulalia (angalia picha Uk. 1).
Picha moja wapo ilimuonesha Dimpoz akiwa amemwekea miguu Wema mgongoni huku nyingine

YANGA IMEKABIDHIWA KOMBE LA UBINGWA LIGI KUU VODACOM TANZANIA BARA ......

Usipite bila kulike page yetu hapa FACEBOOK kama unapendezwa na habari zetu
bonyeza picha hii hakika hutapitwa na habari yoyote kwa njia ya video kama utasubscribe nasi youtube
https://www.youtube.com/watch?v=mcgVq69bym4
Waziri na Kilimo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba (kushoto) akimkabidhi Kombe

Friday, 13 May 2016

YANGA SASA NI WA KWENYE PIPA TU

FACEBOOK PAGE

KLABU ya Yanga imepanga kufanya mabadiliko ya kulitumia basi lao ambalo walipewa na wadhamini wao Kampuni ya Bia (TBL) ambapo litakuwa maalum kwa mashabiki wao badala ya kutumiwa na wachezaji wao.

Hayo yamesemwa na Ofisa Habari wa Yanga, Jerry Muro alipokuwa kwenye uzinduzi wa Tawi la Yanga Uswazi Mbeya eneo la Sokomatola juzi Jumatano wakati Yanga ilipokuwa jijini hapa kucheza na Mbeya City katika mechi ya Ligi Kuu Bara.

Muro amesema uamuzi huo wameufikiria kwa kuwa wamekuwa wakitumia zaidi usafiri wa ndege ambao umezaa jina la wao kuitwa wa kimataifa pamoja na kushiriki michuano ya nje.

Thursday, 12 May 2016

Top 10 Biggest And Longest Bridges In The World 2016

FACEBOOK
 1: Danyang–Kunshan Grand Bridge
length more than 164 kilometers

YANGA ... NDANDA RUSHWA YAHUSKIKA............. ILICHOKISEMA SIMBA HIKI HAPA

FACEBOOK
unaweza bonyeza hii picha kujiuga nasi youtube
https://www.youtube.com/watch?v=V5T2IW-f2qg
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano Jerry Muro amesema, Ndanda FC itakapoutumia Uwanja wa Taifa itamaanisha kwamba Ndanda FC watakuwa nyumbani na hata mapato katika mgao asilimia kubwa ataipata Ndanda hivyo haoni sababu ya wengine kuanza kuongea kwa kuona ni makosa katika mchezo huo.

GARI LATUMBUKIA KATIK SHIMO BAADA YA BARABARA KUBONYEA

like page yetu hapa FACEBOOK
bonyeza picha yoyote hapo kisha subscribe youtube nasi usipitwe na habari yoyote kwa njia ya video
https://www.youtube.com/watch?v=MFOTazWIOaA
Gari moja limeingia katika shimo kubwa katika barabara moja kusini mashariki mwa London.
Gari hilo aina ya Vauxhall Zafira liliwachwa katika mtaa wa Woodland Terrace mjini Charlton na

Wednesday, 11 May 2016

WELBECK NJE KWA MIEZI TISA KIJUE KISA HAPA

Facebook page yetu like hapa
https://www.youtube.com/watch?v=cQFl2V9IFUA
Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal na Uingereza Danny Welbeck hatocheza kwa miezi tisa baada ya kufanyiwa upasuaji kutokana na jeraha la goti.
Welbeck mwenye umri wa miaka 25 alipata jeraha la mguu wake wa kulia wakati timu yake ilipopata sare ya 2-2 dhidi ya Manchester City siku ya jumapili na hatocheza mchuno wa Euro 2016.
Klabu yake imesema kuwa ukaguzi uliofanywa umebaini kwamba aliumia vibaya na kwamba sio jeraha la

WEST HAM WAMLAZA MACHESTER UNITED

Bonyeza hapa kulike page yetu ya FACEBOOK

West Ham
Klabu ya West Ham United iliaga uwanja wake wa nyumbani wa Upton Park kwa kuvuruga juhudi za Manchester United za kutaka kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya Jumanne.
Ilikuwa mechi ya mwisho kuchezewa uwanja huo ambao umetumiwa na West Ham kwa miaka 112 kabla ya kuhamia uwanja wa Olimpiki.
Kwenye mechi hiyo ya kusisimua, West Ham walichomoza na ushindi wa 3-2.
Vurugu zilitokea kabla ya mechi.
Vijana wa Louis van Gaal walifahamu kwamba ushindi dhidi ya klabu hiyo na baadaye ushindi dhidi ya Bournemouth vingewahakikishia nafasi katika ligi kuu ya klabu Ulaya.

UJUE UKWELI JUU YA MWANAMKE ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATANO

FOLLOW US ON FACEBOOK BONYEZA HAPA
Bonyeza picha kuiona na kuskia maelezo kuhusu video mpya ya chura wa snura
https://www.youtube.com/watch?v=Zc8PxVw7c4gMama mmoja raia wa Australia ametoa picha za mapacha watano aliowazaa mwezi Januari.
Kim Tucci wa miaka 26 alichukua dadika mbili tu kujifungua wanawe hao, wasichana wanne na mvulana mmoja.
Wote walitungwa kawaida, hakutumia matibabu yeyote ya uzazi.

MWANAMKE WA MIAKA 70 KAJIFUNGUA HUKO INDIA

FACEBOOK
Unaweza pia bonyeza picha hii kujiunga na BZTV ONLINE ili usipitwe na matukio kwa njia ya video
Kaur
Mwanamke wa umri wa miaka 72 amejifungua mtoto mvulana katika hospitali moja nchini India.
Mwanamke huyo alipachikwa mimba kupitia njia ya kitaalamu ya IVF ambapo yai la mwanamke hutolewa kutoka kwenye ovari, kutungishwa mbegu ya kiume na kisha kurejeshwa kwenye mji wa mimba. Yai hilo linaweza kutolewa kwa mwanamke mwingine.
Njia hiyo hutumiwa kuwawezesha wanawake tasa kupata watoto.
Daljinder Kaur alijifungua mtoto wake baada ya kupokea matibabu kwa miaka miwili katika hospitali iliyoko jimbo la Haryana.

Tuesday, 10 May 2016

WANASAYANSI WAUNDA NGOZI YA KUTOA UZEE

FACEBOOK

Wanasayansi wanadai kuunda aina ya ngozi inayoweza kubandikwa juu ya mwili wa mtu kupunguza muonekano wa mikunjo ya ngozi mwilini na ngozi inayopwaya chini ya macho kutokana na uzee.
Ni aina ya maji maji mtu anayopaka mwilini alafu inaachwa kukauka ambapo baadaye husihia kuwa ngozi nyembamba iliyo mithili ya 'ngozi ya ujana, Nature Materials inaarifu baada ya kufanya majiribio kadhaa madogo.
Kwa sasa inafanyiwa majaribio ya kuuzwa kama bidhaa ya urembo.
Lakini wanasayansi Marekani wanasema "ngozi ya pili " huenda baadaye ikaweza kutumika kutengeneza dawa na kinga dhdi ya jua.
Ngozi ya pili

KIPA WA CAMEROON AAGA DUNIA

FACEBOOK

Kipa wa timu ya taifa ya Cameroon upande wa wanawake ameaga dunia baada ya kuzirai wakati wa mazoezi, Shirikisho la soka la Cameroon limesema.Jeanine Christelle Djomnang,mwenye umri wa miaka 26, aliuguwa kabla ya mechi ya Femina Stars Ebolowa kusini mwa Cameroon Jumapili na alifariki akipelekwa hospitalini.
Shirikisho hilo linasema taarifa za awali zinaashiria alikufa kutokanana mshtuko wa moyo lakini sasa linasubiri taarifa rasmi ya madaktari.

POLICE WAANDAMANA DHIDI YA BEYONCE

FACEBOOK

Kundi moja la maafisa wa polisi limefanya maandamano karibu na tamasha lililofanyika katika mji wa nyumbani wa nyota wa muziki Beyonce huko Houston.
Wanachama wa muungano wa polisi na Sherrif walisimama mbali na uwanja wa soka na kuelekeza mwangaza wa bluu katika ukumbi wa tamasha hilo.
Walikuwa wanapinga kanda ya video ya Beyonce ambayo wanasema inawaponza polisi.

UHABA WA SUKARI CHANZO MWESHIMIWA RAIS

FACEBOOK

Akihojiwa na Mtangazaji Yvonne Kamuntu kwenye Azam News, Mchumi mbobezi hapa nchini Prof. Ibrahim Haruna Lipumba amesema uhaba wa sukari uliopo kwa sasa nchini umesababishwa na Rais John Magufuli mwenyewe kwa kuzuia sukari ya nje kutoingizwa Nchini, ilhali viwanda vyetu havikidhi idadi inayohitajika katika uzalishaji wake.

Sunday, 8 May 2016

THE ‘INDUSTRY’ YA NAVY KENZO KUPANUKA NA WASANII WAMPYA.

Bonyeza hapa kulike page yetu usipitwe na habari zetu FACEBOOK
The ‘Industry’ ya Navy Kenzo Kupanuka na wasanii wampya.
Label ya The industry inayo ongozwa na Navy Kenzo (Nahreel na Aika) wameongeza wasanii wapya kwenye Label hiyo na kuwatambulisha leo hii
Rosaree huyu ni mwanadada ambaye anakipaji cha kurap ambaye anajiita Rap Goddess akiwahadi mashabiki wa muziki nchini wawe tayari kusikia ukali wake kwenye gemu ya kurap.
Msanii mwingine kujiunga na label hiyo ni Selene huyu ni mwanadada ambaye anaimba,naye amepata fursa ya kuweza kujiunga na kundi hili la the Industry.
Label hii pia hakuangalia tu wanadada warembo bali pia waliweza kumchagua Kijana anayenda kwa jina la willdad ambeye yeye anakipaji cha kucheza na kuimba kwa pamoja.

MAUWAJI GUEST/ CAMERA KUFUNGWA KATIKA NYUMBA ZA KULALA WAGENI.........KAULI YA MEYA WA JIJI

Like page yetu hapa FACEBOOK
Bonyeza picha kujiunga na BZTVONLINE
https://www.youtube.com/watch?v=OeY2q_a-xSQD
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita ameshauri kufungwa kwa kamera maalumu  za CCTV kwenye  nyumba zote za kulala wageni na hoteli ili kuimarisha ulinzi.

Ushauri huo wa Mwita unakuja baada ya  siku sita  kupita , kutokea kwa tukio la mwanamke mmoja kufariki dunia akiwa gesti.

Mwita ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Vijibweni (Chadema), alisema mamlaka husika wakiwamo wamiliki wa hoteli na nyumba hizo waliangalie suala hilo kwa jicho la tatu kwani litasaidia kwa kiasi kikubwa kuzuia

MKE WANGU ANADAI MAPENZI KILA SIKU ATANIUA

LIKE PAGE YETU HAPA FACEBOOK
Bonyeza picha hii kujua kinacho endelea katika page za udaku
https://www.youtube.com/watch?v=VKujJhHa9fY
Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama mbili zilizopita amekuwa akinilazimisha nifanye mapenzi kila siku hapa nilipo kichwa kinaniuma kutokana na mabao nitoayo kila siku.

Leo nimeona nivunje ukimya baada ya kuniamsha usiku wa manane nifanye nae mapenzi nikamueleza mke wangu utaniua naomba tupumzike hata siku tatu mbele target yangu ni kuwa baada ya siku tatu anatarajia kuingia kwenye siku zake so ntapata mapumzo ya kutosha.

MATAJIRI TANZANIA TUMBO JOTO, WALIO FICHA SUKARI WAUKWA... IJUE KAULI YA RAIS KWA MATAJIRI WAHUJUMU UCHUMI

FACEBOOK
https://www.youtube.com/watch?v=cQFl2V9IFUA
 Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa inafanya uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazowahusu  wafanyabiashara wa sukari nchini kwa kuficha bidhaa hiyo ili  kusababisha upungufu katika soko na hivyo kuleta usumbufu kwa jamii ya watanzania wanaohitaji bidhaa hiyo kwa matumizi jambo ambalo limesababisha kupanda kwa bei hadi kufikia shilingi elfu nne kwa kilo moja ya sukari.

KUNDI LA MAUAJI RWANDA NAIBU KAMANDA MIKONINI MWA SHERIA

LIKE US ON FACEBOOK
Bofya picha hii kujiunga na bztv online
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
Mpiganaji wa kundi la FDLR 
 
Wakuu wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo wanasema wamemkamata naibu kamanda wa kundi la wapiganaji, linalohusishwa na mauaji makubwa ya Rwanda ya mwaka 1994.
Msemaji wa serikali, alieleza kuwa Jenerali Leopold Mujyambere, wa kundi la Rwanda la FDLR,

DUNIA NA VIJIMAMBO MDORI UNAOTUMIKA KWA NGONO WADHANIWA KUWA MALAIKA

Like page yetu hapa usipitwe na story yoyote FACEBOOK
BONYEZA picha hii kujiunga na bztv uone video za midoli zaidi ya hii

https://www.youtube.com/watch?v=cQFl2V9IFUA
Maafisa wa polisi nchini Indonesia wamekipokonya kijiji kimoja mwanasesere anayetumika kufanyia tendo la ngono baada ya wakaazi wa eneo hilo kudhania kwamba alikuwa malaika.

Saturday, 7 May 2016

KWA MARA YA KWANZA JIJI LA LONDON LAPATA MEYA WA KIISLAMU

Like page yetu hapa FACEBOOK

j
Meya wa Lndon Sadiq Khan  
Jiji la London limemchagua Meya wa kwanza Muislamu, Sadiq Khan, aliyekuwa wakati mmoja Waziri katika chama cha upinzani cha Laba.
Bwana Khan ni mwana wa dereva wa zamani wa bas jijini London aliyezaliwa Pakistan. Alipata kura milioni moja na mia tatu elfu.

PICHA NA GARI REFU ................ NDOTO YA MAREKANI ( LONGEST LEMOUSINE)

Lke wa facebook page here SWAXBZ
12118909_1625108681087100_8392073543493297158_n

Photos: World’s Longest Car|Longest Limousine -The American Dream 

The American Dream Limo is owned by car collector and designer Jay Ohrberg of Burbank,California,USA.It is considered as the world longest Car.
Jay Ohrberg designes this monster limo himself and now hires it out through his hire car company.This incredible limo is currently in the Guinness Book of World Records as the longest car

Friday, 6 May 2016

MIAKA 13 IMEPITA TANGU CAMERRON WAMPOTEZE FOE,, LEO TENA WAMEMPOTEZA MWINGINE UWANJANI

Like page yetu hapa SWAXBZ usipitwe na habari zetu kila siku


Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya soka barani Ulaya huenda utakuwa umekutana na taarifa za kusikitisha kwa taifa la Cameroon, usiku wa May 6 2016 Cameroon na Afrika  kwa ujumla ilipata taarifa za kushtusha, baada ya kupokea taarifa za kifo cha kiungo wa kimataifa wa Cameroon aliyekuwa anaicheze Dinamo Bucuresti Patrick Ekeng.

DOWNLOAD NYIMBO MPYA YA SHETTA NAMJUA

Like page yetu hapa SWAXBZ usipitwe na habari zinazotufikia hapa mkali wetu


 Tazama Hapa Chini Video Mpya ya Mwanamuziki Shetta ya Wimbo Unaoitwa Namjua, Video Imefanywa South Africa...
 

HABARI ZA LEO MAGAZETINI 7/5/016

ARGENTINA SASA KUONGOZA ORODHA YA FIFA DUNIANI

Like page yetu SWAXBZ usipitwe na habari zetu

s
Timu ya taifa ya Argentina bado inaongoza orodha ya kila mwezi ya FIFA ya timu bora duniani ambayo imetolewa Ijumaa.
Kwenye orodha hiyo timu ya taifa ya Ubelgiji iko kwenye nafasi ya pili ikifwatiwa na Chile.Ujerumani ni ya 5,ikifwatiwa na Uhispania na Brazil inachukua nafasi ya saba.
Timu ya bara la Afrika inayochukua nafasi nzuri kwenye orodha hiyo ya FIFA ni Algeria iliopo

JE?: NI KWELI SHILOLE HUMFIKII VANESSA KWA UZURI

Like page yetu ya facebook hapa SWAXBZ usipitwe na habari kila siku
 kiwa zimepita siku kadhaa toka msanii Shilole afunguke kwenye kipindi cha 5Selekt kinachorushwa kwenye ting'a namba moja kwa vijana EATV kuwa hakuna msanii wa bongo fleva mzuri zaidi yake, mashabiki
Bonyeza picha hii kuona baadhi ya clips za shilole

https://www.youtube.com/watch?v=iAzdoV5TW1Y
wameamua kutoa ya mioyoni.

Mashabiki wamemchana Shilole na kusema kuwa yeye si mwanamke mzuri katika wasanii wanaofanya bongo fleva huku wakisema kuwa uzuri wake hausofei kabisa kwa msanii Vanessa Mdee.

Baadhi ya mashabiki walikuwa wakimpa madongo kuwa mwanamke mzuri hawezi kujianika kama yeye, huku wengine wakisema kuwa mwanamke mzuri hawezi kuwa yeye kutokana na tabia yake ya kutojiheshimu na wengine wakisema kuwa yeye hana lolote na wa kawaida kabisa.

"Kuna manzi wakuitwa Vanessa cheki yule manzi alivyo mcute wewe nani wachakuji puraaaaaaaaaaa" Africanboihacker 
https://www.google.com/friendconnect/signin/home?st=e%3DAOG8GaBerJQT2yFRtBNC4NNsXTpQnzS5VUDzQFvNVZSt40QqyZxd8sdbvaTlC9f%252FNo0C%252Boo%252BViDTuzPpYw6q%252BNJY09AIjmsOTRgnDuOCjfoQabKvOvdGSsvMo%252B3HdFAo3AujhYOOcLgY3nYrjmUxEywEkLSD8ItmTbYQ%252BlIfjONIKViAZsgzs3r9U1%252BSquthavnFflFcwbv0XwVBkiSrgniqBlxYxjVXWA%253D%253D%26c%3Dpeoplesense&psinvite=&subscribeOnSignin=1


JINSI YA KUPATA MTAJI WA BIASHARA

like page yetu facebook hapa SWAXBZ ili usipitwe na kila story inayotufikia


Karibu tena kwenye kipengele hiki cha ushauri ambapo tunajadili changamoto mbalimbali zinazotuzuia kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha.

Leo tutajadili changamoto ya ukosekanaji wa mitaji na jinsi ya kuipata. Kabla hatujaanza kujadili changamoto hii naomba niweke maoni ya wasomaji waliotuandikia kuhusu hili;

Mimi ni graduate wa diploma ya uhandisi magari, kila nikifikiria kuanza kuijajiri nashindwa kutokana na kipato cha kuanzia biashara.. je nifanyeje niweze kupata kipato cha kujiajiri?

ASIYE NA MIKONO ASHINDA TUZO YA MUANDIKO BORA

SWAXBZ
Msichana asiye na mikono ashinda shindano la muandiko bora Marekani  
Bonyeza picha hii ili habari yoyote isikupite bofya hapa
https://www.google.com/friendconnect/signin/home?st=e%3DAOG8GaBerJQT2yFRtBNC4NNsXTpQnzS5VUDzQFvNVZSt40QqyZxd8sdbvaTlC9f%252FNo0C%252Boo%252BViDTuzPpYw6q%252BNJY09AIjmsOTRgnDuOCjfoQabKvOvdGSsvMo%252B3HdFAo3AujhYOOcLgY3nYrjmUxEywEkLSD8ItmTbYQ%252BlIfjONIKViAZsgzs3r9U1%252BSquthavnFflFcwbv0XwVBkiSrgniqBlxYxjVXWA%253D%253D%26c%3Dpeoplesense&psinvite=&subscribeOnSignin=1 
Msichana wa miaka saba aliyezaliwa bila mikono ameshinda shindano la muandiko mzuri nchini Marekani.
Anaya Ellick kutoka Chesapeake,Virginia hatumii viungo vya kumsaidia wakati anapoandika.
Wakati anapoandika yeye husimama huku akishikilia kalamu yake katika mikono.
Mwalimu wake mkuu Tracy Cox kutoka shule ya Greenbrier Christian amemtaja kuwa mtu wa mfano mwema.

advertise here