Monday, 28 March 2016
WALIOKATA TIKETI ZA CHAD KUREJESHEWA PESA ZAO
LAYIII
Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania
Timu ya taifa ya Chad ‘Les Sao’ ilijiondoa katika michuano ya kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika (AFCON) itakayofanyika mwaka 2017 nchini Gabon kutokana na matatizo ya kifedha.
Mashabiki wa soka waliokuwa
wamenunua tiketi za mechi kati ya timu ya taifa ya Tanzania na Chad
ambayo imetibuka watarejeshewa fedha zao.
Rais wa Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) Jamal Malinzi amesema utaratibu unawekwa kuwarejeshea mashabiki pesa zao.Timu ya taifa ya Chad ‘Les Sao’ ilijiondoa katika michuano ya kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika (AFCON) itakayofanyika mwaka 2017 nchini Gabon kutokana na matatizo ya kifedha.
CHAD YAJIONDOA, TANZANIA MASHAKANI
LAYIII

CAF: Chad yajiondoa mashindanoni na kuicha Tanzania Taifa Stars mashakani
Katika barua iliyotumwa kwa shirikisho la soka la Tanzania,mwenyekiti wa shirikisho la soka la Chad
CAF: Chad yajiondoa mashindanoni na kuicha Tanzania Taifa Stars mashakani
Chad imejiondoa kutoka kwenye
kinyang'anyiro cha kufuzu kwa dimba la mataifa ya Afrika linalotarajiwa
kufanyika mwakani huko Gabon.
Shirikisho la soka la Chad limefikia kauli hiyo kutokana na ukosefu wa fedha.Katika barua iliyotumwa kwa shirikisho la soka la Tanzania,mwenyekiti wa shirikisho la soka la Chad
RAC ANASWA KAZIMIKA
LAYIII
Ray C akiwa hoi na kinachodaiwa kuwa ni utumiaji wa madawa ya kulevya.
Ray C akiwa hoi na kinachodaiwa kuwa ni utumiaji wa madawa ya kulevya.
Stori: Musa Mateja, Wikienda
DAR ES SALAAM: LICHA ya kutumia nguvu nyingi kukanusha habari zinazochapishwa na Magazeti Pendwa ya Global Publishers kuwa, amerejea kwenye matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’, hatimaye staa wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amenaswa ‘laivu’ akiwa ‘ameangusha gari’ kando ya barabara, habari ndiyo hiyo!
DAR ES SALAAM: LICHA ya kutumia nguvu nyingi kukanusha habari zinazochapishwa na Magazeti Pendwa ya Global Publishers kuwa, amerejea kwenye matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’, hatimaye staa wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amenaswa ‘laivu’ akiwa ‘ameangusha gari’ kando ya barabara, habari ndiyo hiyo!
Ray C ambaye kila anapoandikwa na
Magazeti ya Global kuhusu kurejea kwenye unga, amekuwa
Sunday, 27 March 2016
KUHUSIANA NA LILE KANISA LA AJABU NIMEKUSOGEZEA PICHA HAPA
LAYIII
Je ulikosa kuiona ile video ya kijana aliyefariki tangu mwaka 2013 kisha kuonekana mwaka huu basi bonyeza picha yoyote hapo chini

The church originated in USA and spread very fast in EUROPE, ASIA and now its found in some of African countries such as Nigeria, Cameroon, South Africa, the people that pray in this church are very cool and they believe that they are praying to the real GOD
Je ulikosa kuiona ile video ya kijana aliyefariki tangu mwaka 2013 kisha kuonekana mwaka huu basi bonyeza picha yoyote hapo chini

The church originated in USA and spread very fast in EUROPE, ASIA and now its found in some of African countries such as Nigeria, Cameroon, South Africa, the people that pray in this church are very cool and they believe that they are praying to the real GOD
UFAHAMU UGONJWA WA PRESHA YA KUPANDA NA MATIBABU YAKE.. [HYPERTENSION]
LAYIII
Je ulipitwa na video ya mtoto aliyekuwa amekufa toka mwaka 2013 basi bonyeza picha hii hapa
Hypertension ni nini? Huu ni ugonjwa ambao hugunduliwa pale presha ya damu inapokua juu sana kupita kiwango chake cha kawaida.
Kawaida damu inasukumwa na moyo kwenda sehemu mbalimbali za mwili lakini nguvu inayotumika kusukuma damu hiyo kutoka moyoni kwenda sehemu zote za mwili na ile ambayo inakuwepo kwenye mishipa ya damu wakati damu inapita ndio inaitwa presha ya damu. Hivyo binadamu yeyote lazima awe na
Je ulipitwa na video ya mtoto aliyekuwa amekufa toka mwaka 2013 basi bonyeza picha hii hapa
Hypertension ni nini? Huu ni ugonjwa ambao hugunduliwa pale presha ya damu inapokua juu sana kupita kiwango chake cha kawaida.
Kawaida damu inasukumwa na moyo kwenda sehemu mbalimbali za mwili lakini nguvu inayotumika kusukuma damu hiyo kutoka moyoni kwenda sehemu zote za mwili na ile ambayo inakuwepo kwenye mishipa ya damu wakati damu inapita ndio inaitwa presha ya damu. Hivyo binadamu yeyote lazima awe na
WEMA SEPETU FILAMU YA DAY TO DAY YAINGIA MITINI
LAYIII
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YA NYANI ALIVYOKUWA AKIMBEMBELEZAA MMEWE
KUMBE HATA KWA WANYAMA
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YA NYANI ALIVYOKUWA AKIMBEMBELEZAA MMEWE
KUMBE HATA KWA WANYAMA
Wema
Sepetu ni bingwa wa kutumia gharama kubwa kufanya filamu na kutengeneza
kiu kubwa kwa mashabiki wake halafu then mradi unageuka kuwa kama album
ya Detox ya Dr Dre, ambayo haijawahi kutoka hadi leo.
MSANII TEKNO MILES KUNOGESHA TAMASHA LA JOHNNIE WALKER “GROWN & SEXY THE GOLD FINALE”
LAYIII
Mkurugenzi
wa Straight up Vibes Omary Abood (wa kwanza kushoto) akizungumza na
waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla iliyofanyika katika
hoteli ya Serena jijini Dar es salaam ya kumtambulisha rasmi Msanii
Tekno Miles (Katikati) ambaye anatarajiwa kuburudisha katika Tamasha la
mwisho la “Grown and Sexy, the Gold finale” litakalofanyika katika
ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga karibu na Best Bite katika mkesha
wa mwaka mpya.
Dj
rasmi wa msanii Jay Z wa Marekani al maarufu kama “Young Guru”
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla
iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam ya
kumtambulisha rasmi Msanii Tekno Miles (Katikati) ambaye anatarajiwa
kuburudisha katika Tamasha la mwisho la “Grown and Sexy, the Gold
finale” litakalofanyika katika ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga
karibu na Best Bite katika mkesha wa mwaka mpya. Dj huyo atasimamia
vilivyo kazi yake katika shughuli nzima ya Tamasha
MAMBO AMBAYO WANAUME WANAKOSEA WAKATI WA KUMTONGOZA MWANAMKE
LAYIII
BONYEZA PICHA HAPA KUONA VIDEO KALI KISHA JISAJIRI YOUTUBE NA MIMI ILI KILA SIKU UPATE VIDEO MPYA ZA MATUKIO MBALI MBALI
1.PAPARA
wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka
BONYEZA PICHA HAPA KUONA VIDEO KALI KISHA JISAJIRI YOUTUBE NA MIMI ILI KILA SIKU UPATE VIDEO MPYA ZA MATUKIO MBALI MBALI
1.PAPARA
wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka
Saturday, 26 March 2016
WAGOMBEA URAHISI MAREKANI WAGOMBANA KISA WAKE ZAO
LAYIII
Chanzo na bbc wahili
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE

Wagombea wa urais nchini Marekani kupitia tiketi ya chama cha Republican Ted Crus na Donald Trump walirushiana cheche za matusi katika mjadala
Chanzo na bbc wahili
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Wagombea wa urais nchini Marekani kupitia tiketi ya chama cha Republican Ted Crus na Donald Trump walirushiana cheche za matusi katika mjadala
Wagombeaji wawili wa Urais wa chama cha Republican nchini Marekani wamegombana vikali na kurushiana matusi juu ya wake zao.
Seneta
wa Texas, Ted Cruz, amemlaumu mpinzani wake, mfanyabiashara Donald
Trump kwa kuzusha uvumi kuwa yeye alikuwa mzinifu na kumdanganya mkewe,
Heidi.RONALDO ASHINDWA NA PENALTI
LAYIII
BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE

Portugal ilitawala mechi hiyo lakini mlinzi wa Bulgaria Leiria alikataa katakata kuwapisha washambuliaji wa
BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE
Mshambuliaji wa Real Madrid
Cristiano Ronaldo alikosa penalti kwa mara ya pili mfululizo huku timu
yake Portugal ikipoteza nyumbani dhidi ya Bulgaria katika mechi ya
kirafiki.
Marcelinho alifunga bao lake la kwanza na hivyobasi
kuwapatia wageni hao uongozi katika kipindi cha kwanza alipofunga kupita
pasi nzuri.Portugal ilitawala mechi hiyo lakini mlinzi wa Bulgaria Leiria alikataa katakata kuwapisha washambuliaji wa
KAMA HUKUJUA VIDEO ZA JUSTIN BIEBER ZATAZAMWA MARA BILION 10 MTANDANION
LAYIII
BONYEZA PICHA NJOO YOUTUBE KUCHEKI VIDEO KALI

Kutazamwa kwa video zake mara bilioni 4 kulifanyika baada ya Septemba mwaka jana na mwanamuziki
BONYEZA PICHA NJOO YOUTUBE KUCHEKI VIDEO KALI
Mwanamuziki Justin Bieber amevunja rekodi ya Vevo kwa video yake kutazamwa mara bilioni 10.
Msanii
huyo wa Canada ambaye alitoa kibao kipya Purpose in Novemba alipata
idadi hiyo katika kipindi cha miaka sita na miezi mitatu au siku 2,316.Kutazamwa kwa video zake mara bilioni 4 kulifanyika baada ya Septemba mwaka jana na mwanamuziki
JE UNAJUA KUHUSU KANISA JIPYA LA BEYONCE ( THE NATIONL CHURCH OF BEY )
LAYIII
Msanii Beyonce knowles wa marekani ameacha maswali mengi baada ya kuanzisha kanisa lake na kuliita "THE CHURCH OF BEY"
bonyeza picha kushuhudia na usiache kujiunga nami youtube bofya picha yoyote
means church of Beeyonce Ambapo yeye ndio Mungu wa kanisa hilo na maelfu ya watu wanamuabudu kwa jina la "mother bey"
Msanii Beyonce knowles wa marekani ameacha maswali mengi baada ya kuanzisha kanisa lake na kuliita "THE CHURCH OF BEY"
bonyeza picha kushuhudia na usiache kujiunga nami youtube bofya picha yoyote
means church of Beeyonce Ambapo yeye ndio Mungu wa kanisa hilo na maelfu ya watu wanamuabudu kwa jina la "mother bey"
Friday, 25 March 2016
NA NOLNIZ | 2 PAC NI MZIMA AMWANDIKIA BARUA YA KURUDI NYUMBANI WILLOW SMITH ............Udaku na (bzudaku)
LAYIII
bonyeza picha kuiona video ya nyani akichezea .............. BONYEZA PICHA YOYOTE
Willow Smith ameonesha picha ya barua yake aliyomuandikia legend wa music wa Hip Hop duniani, Tupac Shakur aliyefariki hata kabla ya Willow kuzaliwa
Huku hili likitokea, bado ule uvumi kwamba mama yake na Willow Smith, Jada Pinket Smith alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Late Tupac Shakur na kwamba inawezekana waliamua kutengeneza (danganya) mazingira ya kifo chake na yeye kuhamia Cuba.
bonyeza picha kuiona video ya nyani akichezea .............. BONYEZA PICHA YOYOTE
Willow Smith ameonesha picha ya barua yake aliyomuandikia legend wa music wa Hip Hop duniani, Tupac Shakur aliyefariki hata kabla ya Willow kuzaliwa
Huku hili likitokea, bado ule uvumi kwamba mama yake na Willow Smith, Jada Pinket Smith alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Late Tupac Shakur na kwamba inawezekana waliamua kutengeneza (danganya) mazingira ya kifo chake na yeye kuhamia Cuba.
GUMZO MTANDAONI JARIDA LA PICHA ZA PLAYBOY KUUZWA SASA
LAYIII
BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE
Jalada la jarida moja la Playboy
BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE
Kampuni inayochapisha majarida ya picha za utupu ya Playboy huenda ikauzwa, ripoti nchini Marekani zinasema.
Kampuni
hiyo ya Playboy huenda ikauzwa zaidi ya $500m (£354m), kwa mujibu wa
duru zilizonukuliwa na mashirika ya habari yakiwemo Wall Street Journal
na Financial Times.Thursday, 24 March 2016
ZITTO KABWE AFUNGUKA TENA KUHUSU RUSHWA KAMATI YA BUNGE AWATAJA TAKUKURU
LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Zitto juzi alitangaza kujiuzulu katika Kamati Bunge Huduma za Jamii
aliyokuwa akihudumu kwa madai ya baadhi ya wajumbe kupokea rushwa.
Kupitia ukurasa wa mtandao wa kijamii wa 'Facebook' Mbunge Zitto amesema kwamba hatua inayochukuliwa na TAKUKURU ni hatua nzuri itakayopelekea ukweli kujulikana na watakaokutwa na makosa kuchukuliwa hatua stahiki.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Kupitia ukurasa wa mtandao wa kijamii wa 'Facebook' Mbunge Zitto amesema kwamba hatua inayochukuliwa na TAKUKURU ni hatua nzuri itakayopelekea ukweli kujulikana na watakaokutwa na makosa kuchukuliwa hatua stahiki.
YANGA YAJIANDAA KUKABILIANA NA AL AHLY
LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE

Kikosi cha Yanga
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Kikosi cha Yanga
Kocha mkuu wa
klabu ya Yanga Hans van der Pluijm, amesema atahakikisha wanafanya
maandalizi mazuri kuweza kuikabili timu ya Al Ahly ya Misri katika
mchezo wa Raundi ya Pili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika .
Yanga
imefuzu hatua hiyo baada ya kuitoa APR ya Rwanda kwa jumla ya mabao 3-2
kwa mechi Wednesday, 23 March 2016
NDEGE KUBWA KUPITA ZOTE DUNIANI KUZINDULIWA
LAYIII
UNATAKA KUJUA NAMNA YA KUHACK FACEBOOK ACC BASI USIJALI BONYEZA PICHA YOYOTE HAPA CHINI

The Airlander 10 ina urefu wa mita 92 ikiwa ni mita 18 zaidi ya urefu wa ndege ya kawaida.
UNATAKA KUJUA NAMNA YA KUHACK FACEBOOK ACC BASI USIJALI BONYEZA PICHA YOYOTE HAPA CHINI
The Airlander 10 ina urefu wa mita 92 ikiwa ni mita 18 zaidi ya urefu wa ndege ya kawaida.
Picha mpya za ndege ndefu zaidi duniani zimetolewa kabla ya kuzinduliwa kwa mara ya kwanza.
Ndege hiyo inayojulikana kama (The Airlander 10) ina urefu wa mita 92 ikiwa ni mita 18 zaidi ya urefu wa ndege ya kawaida.GUMZO LA WANASAYANSI POVU LA CHURA DAWA YA VIDONDA
LAYIII
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YA MWANAMKE ALIYEKUWA AKICHEZA OFISINI KIMAHABA

BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YA MWANAMKE ALIYEKUWA AKICHEZA OFISINI KIMAHABA
Povu linalotengenezwa na vyura
wadogo kwa ajili ya kulinda mayai yao linaweza kuponya majeraha ya
wagonjwa walioungua, wanasema wanasayansi.
Povu gumu linaweza
kukusanywa na kutumiwa katika mchakato wa matibabu kama kizuizi baina ya
bandeji na ngozi iliyoungua, wanaamini.RAIS MPYA WA FIFA NDANI YA SUDANI YA KUSINI
LAYIII
Rais mpya wa FIFA Gianni Infantino amefungua afisi ya shirikisho la kandanda la Sudan Kusini katika safari yake ya kwanza ya kimataifa tangu achaguliwe rais wa shirikisho hilo la soka duniani mwezi uliopita.

.
Infantino alilakiwa kwa shangwe na vigelegele na wenyeji wake.
Aidha Infantino alitumia ziara hiyo kusheherekea siku yake ya kuzaliwa.
Rais mpya wa FIFA Gianni Infantino amefungua afisi ya shirikisho la kandanda la Sudan Kusini katika safari yake ya kwanza ya kimataifa tangu achaguliwe rais wa shirikisho hilo la soka duniani mwezi uliopita.
.
Infantino alilakiwa kwa shangwe na vigelegele na wenyeji wake.
Aidha Infantino alitumia ziara hiyo kusheherekea siku yake ya kuzaliwa.
BABU TALE AIYONA AFYA YA CHID BENZ AMKIMBIZA KWENYE MATIBABU
LAYIII
BONYEZA PICHA KUIONA KUONA VIDEO KWA UKUBWA NA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Mastaa kadhaa wa Tanzania walitumia time yao kumuongelea rapper Chidi Benz akiwemo staa wa bongo hiphop Fid Q ambaye alisema Chidi Benz
asisimangwe wala kunyooshewa kidole kwa kutelezea kwenye utumiaji wa
dawa za kulevya bali asaidiwe… ambapo baada ya kuonekana kwenye D’Wikend chat show ya CloudsTV watu
walianza kusambaza picha zake za zamani na muonekano wake wa sasa
akionekana Tuesday, 22 March 2016
TUHUMA ZA RUSHWA KAMATI YA BUNGE ZITTO KABWE AMEJIHUZURU UJUMBE WA KAMATI YA JAMII
MJUE DANGOTE HAPA KWA MUJIBU WA FORBES
LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJISAJILI NA MERIDIAN UJISHINDIE MILIONI 10 KILA SIKU
Aliko Dangote, president of Dangote group, is now richer than Donald
Trump, Republican front runner; Roman Abramovich, owner of Chealsea
football club and Oprah Winfrey, the richest black woman, put together.
Dangote, who came in at the 51st position of the 2016 ranking by Forbes Magazine, is also richer than the
BONYEZA PICHA HII KUJISAJILI NA MERIDIAN UJISHINDIE MILIONI 10 KILA SIKU
Aliko Dangote, president of Dangote group, is now richer than Donald
Trump, Republican front runner; Roman Abramovich, owner of Chealsea
football club and Oprah Winfrey, the richest black woman, put together.
BONYEZA PICHA HAPA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Dangote, who came in at the 51st position of the 2016 ranking by Forbes Magazine, is also richer than the
Monday, 21 March 2016
LULU MAHAKAMA YAZUNGUMZIA KIBALI CHAKE CHA KWENDA NIGERIA
LAYIII
Stori: Sifael Paul, Wikienda
Dar es Salaam: Mwisho wa malumbano! Tofauti na inavyodaiwa kuwa staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alikiuka maagizo ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ya kutoka nje ya nchi kufuatia kesi inayomkabili ya kifo cha mwigizaji Steven Kanumba, Ijumaa Wikienda limechimba ukweli.
Dar es Salaam: Mwisho wa malumbano! Tofauti na inavyodaiwa kuwa staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alikiuka maagizo ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ya kutoka nje ya nchi kufuatia kesi inayomkabili ya kifo cha mwigizaji Steven Kanumba, Ijumaa Wikienda limechimba ukweli.
Stori: Sifael Paul, Wikienda
Dar es Salaam: Mwisho wa malumbano! Tofauti na inavyodaiwa kuwa staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alikiuka maagizo ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ya kutoka nje ya nchi kufuatia kesi inayomkabili ya kifo cha mwigizaji Steven Kanumba, Ijumaa Wikienda limechimba ukweli.
BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE ILI VIDEO KALI ZA MATUKIO ZISIKUPITE MTU WANGU
Stori: Sifael Paul, WikiendaDar es Salaam: Mwisho wa malumbano! Tofauti na inavyodaiwa kuwa staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alikiuka maagizo ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ya kutoka nje ya nchi kufuatia kesi inayomkabili ya kifo cha mwigizaji Steven Kanumba, Ijumaa Wikienda limechimba ukweli.
DIAMOND ATEKETEZA MILLIONI 100 ULAYA
LAYIII
Stori: Erick Evarist na Musa Mateja, Wikienda
DAR ES SALAAM: Kufuru! Ndilo neno pekee linaloweza kuakisi takriban Sh. milioni 100 ambazo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameziteketeza akiwa na msururu mrefu wa wanafamilia wa Wasafi Classic Baby (WCB) barani Ulaya, akianzia nchini Ujerumani kufanya shoo sambamba na kula bata, Wikienda linakupa habari kamili.
BONYEZA PICHA HII JISAJIRI NA USHINDE MILIONI 100 KILA UTAKAPO BASHIRI MECHI
UKIBONYEZA HAPA UTAJIUNGA MOJA KWA MOJA BILA PROMO CODE
DAR ES SALAAM: Kufuru! Ndilo neno pekee linaloweza kuakisi takriban Sh. milioni 100 ambazo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameziteketeza akiwa na msururu mrefu wa wanafamilia wa Wasafi Classic Baby (WCB) barani Ulaya, akianzia nchini Ujerumani kufanya shoo sambamba na kula bata, Wikienda linakupa
Stori: Erick Evarist na Musa Mateja, Wikienda
DAR ES SALAAM: Kufuru! Ndilo neno pekee linaloweza kuakisi takriban Sh. milioni 100 ambazo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameziteketeza akiwa na msururu mrefu wa wanafamilia wa Wasafi Classic Baby (WCB) barani Ulaya, akianzia nchini Ujerumani kufanya shoo sambamba na kula bata, Wikienda linakupa habari kamili.
BONYEZA PICHA HII JISAJIRI NA USHINDE MILIONI 100 KILA UTAKAPO BASHIRI MECHI
UKIBONYEZA HAPA UTAJIUNGA MOJA KWA MOJA BILA PROMO CODE
unaweza bonyeza icha kujiunga nami youtube
Stori: Erick Evarist na Musa Mateja, WikiendaDAR ES SALAAM: Kufuru! Ndilo neno pekee linaloweza kuakisi takriban Sh. milioni 100 ambazo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameziteketeza akiwa na msururu mrefu wa wanafamilia wa Wasafi Classic Baby (WCB) barani Ulaya, akianzia nchini Ujerumani kufanya shoo sambamba na kula bata, Wikienda linakupa
Sunday, 20 March 2016
KIZUNGU CHA SHILOLE CHA KADILIWA KUMPA MASHABIKI WENGI KATIKA ANGA ZAKE ZA MZIKI
LAYIII
Kwa utafiti uliofanyika na swaxbz.com inaonekana kwamba kama shilole ataendelea kutumia swaga zake za uongeaji wa kizungu chake cha kuchekesha chekesha basi itamsaidia sana kumpa kiki na kuufanya mziki wake uendelee kukua.
BONYEZA PICHA UJICHEKEE MWENYEWE KIZUNGU ANACHOTUMIA SHILOLE AKIWA KATIKA MATAMASHA YAKE NDANI NA NJE YA NCHI
show flani amizing aliyowahi kuifanya shilole

Msanii Shilole au Shishi Baby, anatafuta mwalimu wa kumnoa kwenye lugha ya kingereza, ikiwa ni maandalizi ya kuonana na msanii wa Marekani Nicki Minaj.
Kwenye ukurasa wake wa Instagram Shilole amendika tangazo akimtaka mtu ambaye ni mwalimu wa lugha hiyo kuwasiliana, ili aweze kuanza mafunzo hayo.
Kwa utafiti uliofanyika na swaxbz.com inaonekana kwamba kama shilole ataendelea kutumia swaga zake za uongeaji wa kizungu chake cha kuchekesha chekesha basi itamsaidia sana kumpa kiki na kuufanya mziki wake uendelee kukua.
BONYEZA PICHA UJICHEKEE MWENYEWE KIZUNGU ANACHOTUMIA SHILOLE AKIWA KATIKA MATAMASHA YAKE NDANI NA NJE YA NCHI
show flani amizing aliyowahi kuifanya shilole

Msanii Shilole au Shishi Baby, anatafuta mwalimu wa kumnoa kwenye lugha ya kingereza, ikiwa ni maandalizi ya kuonana na msanii wa Marekani Nicki Minaj.
Kwenye ukurasa wake wa Instagram Shilole amendika tangazo akimtaka mtu ambaye ni mwalimu wa lugha hiyo kuwasiliana, ili aweze kuanza mafunzo hayo.
MKONGO AZIDI KUWACHANGANYA MASOGANGE , JACLINE WOLPER
LAYIII
Ojuku Abraham
UNA mshkaji anaitwa Mwami Radjabu, wadau wanamtaja kama kijana mwenye uraia wa nchi jirani ya Kongo (DRC), kwamba ni mfanyabiashara mwenye ukwasi wa kutosha. Kutokana na mkwanja wa kutosha alionao, ana ukaribu na akina dada wengi wa Kibongo, hasa hawa wenye majina katika tasnia ya filamu, wenyewe tukiwajua zaidi kama Bongo Muvi
JE UNAPENDA KUKAA BILA PESA BASI KAMA UNATAKA KUTENGENEZA PESA BONYEZA PICHA HAPA JIUNGE NA MERIDIAN KICHA ANZA KUBET SASA NA UJISHINDIE PESA YA KUTOSHA
Ojuku Abraham
UNA mshkaji anaitwa Mwami Radjabu, wadau wanamtaja kama kijana mwenye uraia wa nchi jirani ya Kongo (DRC), kwamba ni mfanyabiashara mwenye ukwasi wa kutosha. Kutokana na mkwanja wa kutosha alionao, ana ukaribu na akina dada wengi wa Kibongo, hasa hawa wenye majina katika tasnia ya filamu, wenyewe tukiwajua zaidi kama Bongo Muvi.
Ojuku Abraham
UNA mshkaji anaitwa Mwami Radjabu, wadau wanamtaja kama kijana mwenye uraia wa nchi jirani ya Kongo (DRC), kwamba ni mfanyabiashara mwenye ukwasi wa kutosha. Kutokana na mkwanja wa kutosha alionao, ana ukaribu na akina dada wengi wa Kibongo, hasa hawa wenye majina katika tasnia ya filamu, wenyewe tukiwajua zaidi kama Bongo Muvi
JE UNAPENDA KUKAA BILA PESA BASI KAMA UNATAKA KUTENGENEZA PESA BONYEZA PICHA HAPA JIUNGE NA MERIDIAN KICHA ANZA KUBET SASA NA UJISHINDIE PESA YA KUTOSHA
UNA mshkaji anaitwa Mwami Radjabu, wadau wanamtaja kama kijana mwenye uraia wa nchi jirani ya Kongo (DRC), kwamba ni mfanyabiashara mwenye ukwasi wa kutosha. Kutokana na mkwanja wa kutosha alionao, ana ukaribu na akina dada wengi wa Kibongo, hasa hawa wenye majina katika tasnia ya filamu, wenyewe tukiwajua zaidi kama Bongo Muvi.
RIPOT INAONYESHA WAPAKA RANGI WANATEMBEA NA WAKE ZA WATU SANA
LAYIII
STORI: Waandishi Wetu, Ijumaa
Dar es Salaam: Vijana wanaofanya kazi ya kuwapaka rangi na kuwafanyia masaji za miguu wanawake, wamegandwa na skendo ya kutembea na wateja wao hao huku mazingira ya kazi yao yakitajwa kuwa chanzo, Ijumaa lina ripoti ya kutisha!
JE UNATAKA KUTENGENEZA PESA UMEKAA BONYEZA PICHA KUBETONLINE NA MERIDIAN MTU WANGU WA NGUVU JISAJIRI SASA

Dar es Salaam: Vijana wanaofanya kazi ya kuwapaka rangi na kuwafanyia masaji za miguu wanawake, wamegandwa na skendo ya kutembea na wateja wao hao huku mazingira ya kazi yao yakitajwa kuwa chanzo, Ijumaa lina ripoti ya kutisha!
STORI: Waandishi Wetu, Ijumaa
Dar es Salaam: Vijana wanaofanya kazi ya kuwapaka rangi na kuwafanyia masaji za miguu wanawake, wamegandwa na skendo ya kutembea na wateja wao hao huku mazingira ya kazi yao yakitajwa kuwa chanzo, Ijumaa lina ripoti ya kutisha!
JE UNATAKA KUTENGENEZA PESA UMEKAA BONYEZA PICHA KUBETONLINE NA MERIDIAN MTU WANGU WA NGUVU JISAJIRI SASA
Vijana wanaofanya kazi ya kuwapaka rangi na kuwafanyia masaji za miguu wanawake wakiendelea na kazi yao.
STORI: Waandishi Wetu, IjumaaDar es Salaam: Vijana wanaofanya kazi ya kuwapaka rangi na kuwafanyia masaji za miguu wanawake, wamegandwa na skendo ya kutembea na wateja wao hao huku mazingira ya kazi yao yakitajwa kuwa chanzo, Ijumaa lina ripoti ya kutisha!
Saturday, 19 March 2016
UKIKUTA MAHUSIANO YAKO YA KIMAPENZI HAKUNA VITU HIVI BASI PITA KUSHOTO
LAYIII
NI VEMA UKAYAJUA HAYA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA:
1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote.
2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI KTK VIDEO HOTS YOUTUBE USIACHE KUSUBSCRIBE NAMI YOUTUBE
3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema.
4. Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi fanywa na mtu yeyote.
5. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu.
6. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama kuolewa na mtu asiye sahihi.
NI VEMA UKAYAJUA HAYA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA:
1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote.
2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI KTK VIDEO HOTS YOUTUBE USIACHE KUSUBSCRIBE NAMI YOUTUBE

3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema.
4. Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi fanywa na mtu yeyote.
5. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu.
6. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama kuolewa na mtu asiye sahihi.
ISHUDIE HII MWIZI AKIMNG`ANG`ANIA POLISI APELEKWE KITUONI
LAYIII
Kama alivyokutwa huyu mwizi kariakoo huku raia wakimuomba afande
awaachie mwizi huyo angalau dakika 5 wamlainishe mtuhumiwa apate kwenda
vizuri
BONYEZA PICHA KUSHUDIA AJALI YA MOTO YA KITUO CHA MAFUTA HUKO SUMBAWANGA

Kama alivyokutwa huyu mwizi kariakoo huku raia wakimuomba afande
awaachie mwizi huyo angalau dakika 5 wamlainishe mtuhumiwa apate kwenda
vizuri polisi,Lakini kilisikika kilio kutoka kwa mwizi huyo aliyejitambulisha
kwa jina la alfani akisema” kaka mkubwa afande twende wote sentro kaka
watanimaliza
CHIDI BENZI WATANZANIA NISAIDIENI
LAYIII
Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa.
BONYEZA PICHA KUONA ILE VIDEO YA VOLCANO ILIYO TOKEA NDANI YA MAJI

Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa.
BONYEZA PICHA KUONA ILE VIDEO YA VOLCANO ILIYO TOKEA NDANI YA MAJI

Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds
TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema
bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia
muziki wamemtupa.
Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila siku katika
wiki, lakini kwa sasa mambo yamebadilika kabisa. “Matatizo yangu na
stress zangu ambazo niko nazo zinanisababishia mwili wangu
Friday, 18 March 2016
MHADHIRI ALIYE IGIZA FILAMUN YA NGONO AJIUZURU
LAYIII
Mhadhiri mmoja mashuhuri wa somo la kemia katika chuo kimoja kikuu nchini Uingereza amejiuzulu baada ya kugunduliwa kuwa amekuwa akiishi maisha mara mbili.
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO NAMI YOUTUBE USIACHE SUBSCRIBE NAMI

Mhadhiri mmoja mashuhuri wa somo la kemia katika chuo kimoja kikuu nchini Uingereza amejiuzulu baada ya kugunduliwa kuwa amekuwa akiishi maisha mara mbili.
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO NAMI YOUTUBE USIACHE SUBSCRIBE NAMI
Mhadhiri mmoja mashuhuri wa somo la
kemia katika chuo kimoja kikuu nchini Uingereza amejiuzulu baada ya
kugunduliwa kuwa amekuwa akiishi maisha mara mbili.
Amekuwa akifunza kama Profesa na vilevile kuigiza kisiri katika filamu za ngono.SIMBA ATOROKA KATIKA HIFADHI NA KUJERUHI KENYA
LAYIII
Wiki kadhaa zimepita tangu Simba 6 walioripotiwa kutoroka kwenye hifadhi ya wanyamapori ya Nairobi Park na kuonekana wakielekea mji wa Langata.
BONYEZA PICHA HAPO CHINI KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Wiki kadhaa zimepita tangu Simba 6 walioripotiwa kutoroka kwenye hifadhi ya wanyamapori ya Nairobi Park na kuonekana wakielekea mji wa Langata.
BONYEZA PICHA HAPO CHINI KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Wiki
kadhaa zimepita tangu Simba 6 walioripotiwa kutoroka kwenye hifadhi ya
wanyamapori ya Nairobi Park na kuonekana wakielekea mji wa Langata.
Leo
March 18 2016 inaripotiwa tena Simba mmoja ametoroka kutoka Hifadhi ya
Taifa ya Nairobi nchini
Wednesday, 16 March 2016
MAJIMBO YOTE MUHIMU NCHINI MAREKANI NGOME YA TRUPH
LAYIII
Donald Trump amepiga hatua katika kukaribia kutwaa tiketi ya kuwania urais kupitia chama cha Republican nchini Marekani baada ya kushinda mchujo majimbo matatu makubwa, likiwemo jimbo la Florida.
Bilionea huyo kutoka New York ameshinda majimbo ya Illinois na North Carolina.Hata hivyo ameshindwa na John Kasich jimbo la Ohio.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Mgombea anayeongoza chama cha Democratic Hillary Clinton naye amepanua uongozi wake kwa kupata ushindi majimbo ya Florida, Ohio, Illinois na North Carolina.
Marco Rubio, mmoja wa waliotarajiwa kutoa ushindani kwa Trump katika chama cha Republican amejiondoa baada ya kushindwa na Trump katika jimbo lake la nyumbani la Florida.
Donald Trump amepiga hatua katika kukaribia kutwaa tiketi ya kuwania urais kupitia chama cha Republican nchini Marekani baada ya kushinda mchujo majimbo matatu makubwa, likiwemo jimbo la Florida.
Bilionea huyo kutoka New York ameshinda majimbo ya Illinois na North Carolina.Hata hivyo ameshindwa na John Kasich jimbo la Ohio.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Mgombea anayeongoza chama cha Democratic Hillary Clinton naye amepanua uongozi wake kwa kupata ushindi majimbo ya Florida, Ohio, Illinois na North Carolina.
Marco Rubio, mmoja wa waliotarajiwa kutoa ushindani kwa Trump katika chama cha Republican amejiondoa baada ya kushindwa na Trump katika jimbo lake la nyumbani la Florida.
ULIIPATA HII YA MAGUFULI KUHUSU VIJANA WOTE KUFANYA KAZI BASI JIUNGE NAMI HAPA
LAYIII
Rais wa Tanzania John Magufuli amelalamikia tabia ya vijana wengi kukaa vijiweni na kucheza pool badala ya kufanya kazi mijini na maeneo ya mashambani. Rais Magufuli ametoa wito kwa wakuu wa mikoa kuhakikisha watu wanafanya kazi hususani vijana.
MSIKILIZE RAIS MAGUFULI HAPA BONYEZA PICHA

"Haiwezekani vijana wawe wanashinda vijiweni wanacheza pool, wakati wazee na akina mama wapo
Rais wa Tanzania John Magufuli amelalamikia tabia ya vijana wengi kukaa vijiweni na kucheza pool badala ya kufanya kazi mijini na maeneo ya mashambani. Rais Magufuli ametoa wito kwa wakuu wa mikoa kuhakikisha watu wanafanya kazi hususani vijana.
MSIKILIZE RAIS MAGUFULI HAPA BONYEZA PICHA
Rais wa Tanzania John Magufuli
amelalamikia tabia ya vijana wengi kukaa vijiweni na kucheza pool badala
ya kufanya kazi mijini na maeneo ya mashambani.
Rais Magufuli ametoa wito kwa wakuu wa mikoa kuhakikisha watu wanafanya kazi hususani vijana."Haiwezekani vijana wawe wanashinda vijiweni wanacheza pool, wakati wazee na akina mama wapo
PICHA YA UTUPU WA KIM KARDASHIAN ZAFUTWA AUSTRALIA
LAYIII
Picha iliochorwa ya utupu wa Kim Kardashian imefutwa siku chache tu baada kuchorwa na msanii mmoja mjini Melbourne nchini Australia. Picha hiyo ilichorwa na msanii Lush Sux katika ukuta mmoja wa makaazi ya mji huo. Lakini picha hiyo yenye urefu wa mita 10 ilirushiwa rangi mbali na kuwekewa maandishi machafu yalioandikwa chini yake.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KUONA VIDEO HOTS
Picha iliochorwa ya utupu wa Kim Kardashian imefutwa siku chache tu baada kuchorwa na msanii mmoja mjini Melbourne nchini Australia. Picha hiyo ilichorwa na msanii Lush Sux katika ukuta mmoja wa makaazi ya mji huo. Lakini picha hiyo yenye urefu wa mita 10 ilirushiwa rangi mbali na kuwekewa maandishi machafu
Picha iliochorwa ya utupu wa Kim Kardashian imefutwa siku chache tu baada kuchorwa na msanii mmoja mjini Melbourne nchini Australia. Picha hiyo ilichorwa na msanii Lush Sux katika ukuta mmoja wa makaazi ya mji huo. Lakini picha hiyo yenye urefu wa mita 10 ilirushiwa rangi mbali na kuwekewa maandishi machafu yalioandikwa chini yake.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KUONA VIDEO HOTS
Picha iliochorwa ya utupu wa Kim Kardashian imefutwa siku chache tu baada kuchorwa na msanii mmoja mjini Melbourne nchini Australia. Picha hiyo ilichorwa na msanii Lush Sux katika ukuta mmoja wa makaazi ya mji huo. Lakini picha hiyo yenye urefu wa mita 10 ilirushiwa rangi mbali na kuwekewa maandishi machafu
Tuesday, 15 March 2016
UNAJUA MILIONI 50 ALIZOSHINDA KAYUMBA HUKO BONGO STAR SEARCH ZILITUMIKAJE BASI JIUNGE NAMI HAPA
LAYIII
Baada ya mshindi wa Bongo Star Search, Kayumba Juma kushinda kiasi cha pesa za kitanzania Milioni 50 bado ameonekana kukaa kwenye kambi ya Mkubwa na Wanawe.
Stori zinazo endelea mtaani juu ya mshindi wa Bongo Star Search Kayumba Juma ni kuwa toka ashinde shindano hilo na kukabidhiwa milioni 50, bado anaishi kwa kufadhiliwa katika kituo cha Mkubwa na Wanawe.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Baada ya mshindi wa Bongo Star Search, Kayumba Juma kushinda kiasi cha pesa za kitanzania Milioni 50 bado ameonekana kukaa kwenye kambi ya Mkubwa na Wanawe.
Stori zinazo endelea mtaani juu ya mshindi wa Bongo Star Search Kayumba Juma ni kuwa toka ashinde shindano hilo na kukabidhiwa milioni 50, bado anaishi kwa kufadhiliwa katika kituo cha Mkubwa na Wanawe.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
JE KUNA UKWELI KUHUSU RAIS MAGUFULI KUWAPUZIA MARAIS WASTAAFU ULINZI ........ UKWELI WOTE HAPA
LAYIII
Kwenye Gazeti la JamboLEO, toleo namba 2381 la tarehe 15 March 2016 limechapisha taarifa yenye kichwa cha habari kisemacho “Magufuli awapunguzia ulinzi marais wastaafu”
Taarifa yake kamili ipo katika ukurasa wa nne na inaeleza kuwa Rais Magufuli amewapunguzia
Taarifa yake kamili ipo katika ukurasa wa nne na inaeleza kuwa Rais Magufuli amewapunguzia
Monday, 14 March 2016
UNAJUA KUWA MAMA DIAMOND ALITOBOA KISA CHA ZARI NA MAISHA YAKE BONGO
LAYIII
Source na Bongoswagzz.com
Mama mzazi wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ametoboa siri ya mkaza mwanaye, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kushindwa kuishi Bongo na badala yake kukimbilia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.
UNATAKA KUONA ILE VIDEO YA DADA ALIYEKUWA AKICHEZA OFISINI BASI BONYEZA PICHA HII CHINI
Mama mzazi wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ametoboa siri ya mkaza mwanaye, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kushindwa kuishi Bongo na badala yake kukimbilia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.
Source na Bongoswagzz.com
Mama mzazi wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ametoboa siri ya mkaza mwanaye, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kushindwa kuishi Bongo na badala yake kukimbilia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.
UNATAKA KUONA ILE VIDEO YA DADA ALIYEKUWA AKICHEZA OFISINI BASI BONYEZA PICHA HII CHINI
Mama mzazi wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ametoboa siri ya mkaza mwanaye, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kushindwa kuishi Bongo na badala yake kukimbilia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.
Sunday, 13 March 2016
VIJUE VIWANJA VYA NDEGE HATARI DUNIANI
LAYIII
Wakati Tanzania magari yanasimama treni ipite spain magari yanasimama ndege ipite mtu wangu. Kuna hatari nyingi sana duniani na hii ni moja ya hizo hatari….. inanishtua hata mimi kuona kiwanja cha ndege kipo pembeni ya bahari yani Pilot akikosea kidogo tu inakua stori nyingine, tazama hii video hapa chini.
PICHA ZOTE NA LINK YA VIDEO ZA VIWANJA VYA MAAJABU NA HATARI DUNIANI
Wakati Tanzania magari yanasimama treni ipite spain magari yanasimama ndege ipite mtu wangu. Kuna hatari nyingi sana duniani na hii ni moja ya hizo hatari….. inanishtua hata mimi kuona kiwanja cha ndege kipo pembeni ya bahari yani Pilot akikosea kidogo tu inakua stori nyingine, tazama hii video hapa chini.
PICHA ZOTE NA LINK YA VIDEO ZA VIWANJA VYA MAAJABU NA HATARI DUNIANI
(JE ULIIJUA HII ) GARI LINALOJIENDESHA LA GOOGLE LAGONGA BASI
LAYIII
Gari moja la Google linalojiendesha liligonga basi moja mjini California mwezi uliopita.Hakuna mtu aliyejeruhiwa.Sio mara ya kwanza kwa gari linalojiendesha la kampuni ya Google kuhusika katika ajali,lakini huenda ni mara ya kwanza kwa magari hayo kufanya ajali.Kampuni ya Google inataraijiwa kukutana na idara ya magari mjini California ili kuzungumzia kuhusu kisa hicho na kubaini ni nani wa kulaumiwa.

Mnamo tarehe 14 mwezi Februari gari hilo ambalo lilikuwa likisafiri kwa kasi ya kilomita 3 kwa saa liligonga basi moja la umma lililokuwa likisafiri kwa kasi ya kilomita 24 kwa saa.
Mtu aliyekuwa katika gari hilo la Google aliripoti kwamba alidhani basi hilo
Gari moja la Google linalojiendesha liligonga basi moja mjini California mwezi uliopita.Hakuna mtu aliyejeruhiwa.Sio mara ya kwanza kwa gari linalojiendesha la kampuni ya Google kuhusika katika ajali,lakini huenda ni mara ya kwanza kwa magari hayo kufanya ajali.Kampuni ya Google inataraijiwa kukutana na idara ya magari mjini California ili kuzungumzia kuhusu kisa hicho na kubaini ni nani wa kulaumiwa.
Mnamo tarehe 14 mwezi Februari gari hilo ambalo lilikuwa likisafiri kwa kasi ya kilomita 3 kwa saa liligonga basi moja la umma lililokuwa likisafiri kwa kasi ya kilomita 24 kwa saa.
Mtu aliyekuwa katika gari hilo la Google aliripoti kwamba alidhani basi hilo
KAMA HUKUJUA HIZI NDIO SIMU ZITAKAZO ACHA KUTUMIA WHATSUP YAANI ZITATUPWA NA WHATSUP APPL
LAYIIII
Huduma ya WhatsApp haitatumika tena katika simu zinazotumia mifumo kadha ya programu ikiwemo Blackberry 10, Nokia Symbian S60 na Windows Phone 7.1.
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YA NAMNA YA KUHACK FACEBOOK
Kampuni ya Facebook inayomiliki huduma hiyo imesema inataka kuangazia kustawisha “huduma katika mifumo inayotumiwa na watu wengi.”
WhatsApp, itaacha kufanya kazi katika mifumo hiyo ya programu kufikia Desemba 2016.
Licha ya kuacha kutumika katika simu nyingi za Blackberry, WhatsApp bado itaendelea kutumiwa katika simu za kisasa zaidi za Blackberry kwa sababu simu hizo hutumia mfumo wa Android.
Huduma ya WhatsApp haitatumika tena katika simu zinazotumia mifumo kadha ya programu ikiwemo Blackberry 10, Nokia Symbian S60 na Windows Phone 7.1.
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YA NAMNA YA KUHACK FACEBOOK
Kampuni ya Facebook inayomiliki huduma hiyo imesema inataka kuangazia kustawisha “huduma katika mifumo inayotumiwa na watu wengi.”
WhatsApp, itaacha kufanya kazi katika mifumo hiyo ya programu kufikia Desemba 2016.
Licha ya kuacha kutumika katika simu nyingi za Blackberry, WhatsApp bado itaendelea kutumiwa katika simu za kisasa zaidi za Blackberry kwa sababu simu hizo hutumia mfumo wa Android.
KAINGIA KITANZINI BAADA YA KUSEMA MUGABE NI MZEE
LAYIII
Afisa mmoja wa polisi amefikishwa mahakamani nchini Zimbabwe baada ya kulaumiwa kwa kusema kuwa rais Robert Mugabe ambaye sasa ana umri wa miaka 92 ni mzee sana kuwa kiongozi. Thomson Joseph Mloyi pia anadaiwa kumtusi mkewe rais Mugabe, Grace, kuwa kahaba kwa mujibu wa gazeti la kibinafsi nchini humo.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI MATUKIO KWA NJIA YA VIDEO
Afisa mmoja wa polisi amefikishwa mahakamani nchini Zimbabwe baada ya kulaumiwa kwa kusema kuwa rais Robert Mugabe ambaye sasa ana umri wa miaka 92 ni mzee sana kuwa kiongozi. Thomson Joseph Mloyi pia anadaiwa kumtusi mkewe rais Mugabe, Grace, kuwa kahaba kwa mujibu wa gazeti la kibinafsi nchini humo.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI MATUKIO KWA NJIA YA VIDEO
Subscribe to:
Posts (Atom)