Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu amepandishwa kizimbani katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka manne ya
uchochezi.
Wakili wa Serikali Kishenyi Mutalemwa aliwasilisha maombi ya kupinga
dhamana yaTundu Lissu kwa madai kwamba amekuwa na mwenendo
unaohatarisha amani si tu
Gwajima:- Namuomba
Rais ambadilishie Kazi Makonda, hii ya Ukuu wa Mkoa kutawala na
kuongoza hata watu usiowapenda imemshinda. Sisemi amfukuze hapana nasema
ambadilishie Kazi.
Gwajima : Makonda ana chuki na wivu na mimi
Gwajima : alikasirika hata niliposhuka na helkopta yangu siku ya mechi ya viongozi wa dini na wabunge dodoma.
Gwajima : nilichelewa kidogo nikaamua kupanda helkopta yangu mpaka uwanjani kabisa.
Klabu ya soka ya Leiceister city hatimaye imeweza kulinda heshima katika uwanja wake wa nyumbani wa king power kufuatia ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya Derdy County katika michuano ya mwaka huu ya FA CUP ukiwa ni mchezo wa marudiano kusaka nafasi ya kutinga Raundi ya 5 ya michuano hiyo.
Hadi dakika 90 za mchezo zina maliziaka timu hizi tayari zilikuwa zimefungana bao 1-
Mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuph Manji amefika kituo cha Polisi cha Kati leo saa 4:54 asubuhi kwa ajili ya mahojiano baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kumtaka afike polisi.
Manji amefika leo badala ya kesho ambapo yeye na wengine 64 walitakiwa kufika kituoni hapo.
Manji ambaye pia ni Mwenyekitu wa Klabu ya Yanga jana alizungumza na waandishi
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Ubungo-Kibangu jijini Dar, Lusekelo Anthony ‘Mzee wa Upako’ amejitaja kuwa ni mmoja kati ya watu mashuhuri ambao wamewahi kutuhumiwa kuhusika na biashara ya dawa za kulevya.
Amefunguka na kusema kuwa yeye ni mhanga wa suala hilo jambo ambalo lilimpa wakati mgumu sana katika maisha na kumfanya kunyanyapaliwa na jamii pamoja na watu wake wa karibu wakiwemo wachungaji wenzake.
Mchungaji Lusekelo amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachofanyika kupitia ukurasa wa facebook wa EATV kila Jumatano.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipofanya ziara ya kushtukiza katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa Terminal III kuona maendeleo ya ujenzi unaondelea Jumatano February 8, 2017
Shahidi wa nne katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha na kujeruhi inayomkabili Salum Njwete, ameieleza Mahakama kuwa mtu aliyehusika kumtoa macho Said Mrisho alikuwa ni mzoefu wa vitendo hivyo na siyo wa kawaida.
Shahidi huyo, Dk Christine Mataka (52) ambaye ni daktari bingwa wa macho kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), alitoa maelezo hayo katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala alipotoa ushahidi dhidi ya mshtakiwa Njwete (34) katika kesi iliyopata umaarufu wa ‘kesi ya Scorpion’ kutokana na maelezo kwamba aliyefanya uhalifu huo ni Scorpion.
Hatua ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kumtaja Kiongozi wa Upinzani bungeni, Freeman Mbowe kufika katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini hapo kesho kuhojiwa, imewachefua baadhi ya wabunge.
Wabunge waliohojiwa mjini Dodoma jana, walisema kinachoendelea ni siasa badala ya uhalisia.
Mbunge wa Kigoma Mjini, (ACT – Wazalendo), Zitto Kabwe alisema kinachoendelea ni siasa za kuchafuana na kwamba Makonda ajiandae kubeba msalaba wake katika jambo hilo.
Mfanyabiashara Yusufu Manji amesema kuwa atakwenda Kituo cha Polisi
kesho kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alivyotaka.
Manji amesema kuwa pamoja na kuwa Makonda ametaka wafike Ijumaa yeye
atakwenda kesho huku akihoji kuwa inawezekanaje wakaitwa watu 65
kuhojiwa kama hakuna shughuli za kufanya kwa siku nzima.
“Mimi nina nafasi mbili kwenye jamii, Mimi ni mtoto wa baba yangu na
nafasi yangu ya pili mimi ni mwenyekiti wa Yanga na nyote mnajua
ninavyoheshimiwa. Huwezi kunitangaza kupitia radio
Saa chache baada ya kutakiwa kufika polisi na mkuu wa mkoa kwa kutoa
taarifa juu ya madawa ya kulevya,Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na
Uzima,Josephat Gwajima Amepost Ujumbe picha huu ambao wataalamu wa mambo
wanadai kuwa ni kama jibu kwa Mhe Makonda.
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paulo Makonda ametupa jiwe gizani kwa
kumjibu Wema Sepetu baada ya siku chache zilizopita kuenea kwa sauti
yake mitandaoni akiwa mahabusu huku akimlalamikia mkuu huyo wa mkoa
kushindwa kulitaja jina la Agness Masogange kwenye orodha ya kwanza ya
watuhumiwa wa madawa ya kulevya.
STAR wa Bongo Movie mwenye mvuto wa pekee na mshiriki wa shindano la
Ijumaa la Figa Bomba, Irene Uwoya, amefunguka kupitia ukurasa wake wa
Instagram kuwa havutiwi na wanaume wenye muonekano mzuri na hujui ni kwa
nini
Aidha staa huyo amewahi kuripotiwa na vyombo vya habari kuwa anavutiwa
sana na wasanii wa Bongo
Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku ameendeleza ‘vita’ yake
dhidi ya Paul Makonda, akisema yupo tayari kusaidia vyombo vya dola
kukamata vigogo wa dawa za kulevya na kuhoji ukimya wa mawaziri watatu
dhidi ya kile alichodai utajiri wa mkuu huyo wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Awali, Kasheku ambaye ni maarufu kwa jina la Msukuma, alitoa tuhuma
dhidi ya Makonda juzi, alipotaka kujua wafadhili wa safari za mkuu huyo
wa mkoa nje ya nchi na sababu za kubagua watuhumiwa wa biashara ya dawa
za kulevya kwa kutaja baadhi na kuwaacha wengine, huku mawaziri wakisita
kuchukua
Wakati wasanii 13 wakipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu kwa nyakati tofauti na kuweka chini ya uangalizi, wenzao
wawili, Wema Sepetu na Omari Micheri wameendelea kusota rumande kwa
zaidi ya saa 120.
Wema na Omari ndiyo pekee katika kundi la wasanii waliojisalimisha
katika Kituo Kikuu cha Polisi tangu
YOUTUBE
Kamishna wa kanda maalumu ya Dar es salaam Kamanda Simon Sirrio
amethibitisha kuwa wanamshikiria mbunge wa Singida mashariki Tundu
Lissu,
Aidha kamanda Sirro amesemakuwa wanamshikiria Lissu kwa kwa mahojiano juu ya matamshi yake aliyoyatia dhidi ya rais Joh Magufuli
Kamanda Sirro amesema kuwa Lissu anashikiriwa na polisi tangu jana
jioni alipokamatwa mara baada ya
Watuhumiwa wa biashara na matumizi ya dawa za kulevya waliotajwa hivi
karibuni na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaamm, Paul Makonda, Jumanne hii,
February 7, 2017 wamefikishwa katika mahakama ya Kisutu jijini Dar es
Salaam kujibu tuhuma zinazowakabili.
Mastaa hao wakiwemo TID, Nyandu Tozi, Babu wa Kitaa, Romy Jones, Tunda,
na wengine, wameachiwa kwa sharti la dhamana ya shilingi milioni 10 kila
mmoja na watakuwa wakiripoti kwa mwezi mara mbili huku
Magari ni kati ya vitu vinaundwa kwa ubunifu mkubwa zaidi duniani,
magari yamekuwa yakifanya dunia kuwa sehemu rahisi kufikika kwa haraka
ingawa ni kwa maeneo yenye barabara tu. Magari sio tena hitaji la
wanaume pekee, hata wanawake wanamiliki magari mazuri na ya kisasa kila
siku.
Leo nimekutafutia hii taarifa kuhusu vitu vya kujua kwenye magari; vipo
vingi kuanzia kwenye aina
Msanii na producer mtanzania anayeishi marekani kaja na hii mpya ambayo anaitambulisha kupitia huko soundcloud.com/jaymett. Ni watanzania wachache sana ambao wanamake headline huko majuu ikiwa ni pamoja na wafanya biashara na wasanii waliojitengenezea jina ndani na nje ya
Watu ambao muunganiko wao umeunganishwa kutokea mbinguni iwe marafiki,
wapenzi au wanandoa basi matokeo ya kile walichounganishiwa huwa na
msisimko na ladha ya kipekee. Kama ni ndoa huwa na furaha na mmiminiko
wa Baraka. Kama ni muziki basi huwa ni muziki ambao si rahisi ladha yake
kuisha.
Alikufa Kwa Ngoma, Hawajui, Sikiliza, Msiache Kuongea,ukisikiliza hizi
nyimbo pasi na shaka utakubaliana kuwa sio tu ni moja kati ya nyimbo
kali kuwahi kutokea kwenye muziki wetu ila ni moja kati ya nyimbo bora
kabisa za kushirikiana katika muziki wa Bongo Flava.
Rapa
mkongwe bongo AY amefunguka na kumtaja msanii wa Rnb kutoka Tanzania
Ben Pol kuwa ndiye mfalme wa Rnb kwa Afrika Mashariki, Kusini mwa jangwa
la Sahara na Afrika Mashariki na kati.
Mbali
na hilo AY amemfananisha Ben Pol na mkali wa Rnb kutoka Marekani R
Kelly na kusema Ben Pol ndiye R Kelly wetu hivyo tunapaswa kumpa support
tu katika kazi zake ili azidi kufanya mambo makubwa