Wednesday, 16 September 2015
NINAYO TAYARI ORODHA KAMILI YA WALE WOTE WANAOWANIA TUZO ZA ANNUAL BET HIP HOP AWARDS 2015!
LAYIII
Kila mwaka kituo kikubwa cha burudani Marekani BET huandaa tuzo za kipekee kabisa ‘Annual BET Hip Hop Awards’
kwa ajili ya kuwapongeza wale wote walioweza kufanya vizuri zaidi kwa
mwaka kwenye muziki wa Hip Hop.. Tuzo hizo zimerudi tena kwa mwaka wa
2015 zikiwa
GOOD NEWZ DIAMOND TUZO NYINGINE
LAYIII
Entertainment
#Goodnews Diamond Platnumz apokea ushindi wa tuzo nyingine mbili…!!
Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwa mtu wetu Diamond Platnumz kwani amekuwa wa kupokea na kutajwa kwenye tuzo nyingi sana kwa mwaka huu wa 2015 na siku chache zilizopita Diamond Platumz alitajwa kuwania tuzo nyingine tena za kimatatifa MTV EMA 2015 jijini Milan Italy.
AJIKUTA MIKONONI MWA POLICE BAADA YA KUONYESHA UBUNIFU WAKE
LAYIII
Ahmed Mohamed
ni kijana wa miaka 14, alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufanya
ubunifu ambao yeye alidhani itakuwa ni kitu kizuri kuwafurahisha Walimu
wake, lakini baada ya kuwaonesha tu ubunifu wake, ikapigwa simu Kituo
cha Polisi na wakamkamata !!
TEKNOLOJIA INATUPELEKA HUKU SASAHIVI, SMARTPHONE INAJAA CHAJI KWA DAKIKA 35 MTU WANGU… (PICHAZ & VIDEO)
LAYIII
Watumiaji wa smartphones wakae tayari
kuipokea hii good news mtu wangu, kuwa na smarthphone ni raha kwa sababu
una uhakika wa kufanya mambo yako mengi sana kwa kupitia simu ya
mkononi tu, ishu ni pale ambapo simu hizo zinamaliza chaji haraka na
kujaa zinachukua muda pia
Tuesday, 15 September 2015
AUNT EZEKIEL KAYAZUNGUMZA HAYA KUHUSU KUONDOKA UKAWA KUHAMIA CCM….(AUDIO)
layiii
Ni stori inayoendelea kuchukua healines
kwenye mitandao mbalimbali kuhusu Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi, sasa
leo Sept 15, 2015 ripota wa millardayo.com alikutana na Aunt Ezekiel na
kueleza sababu zilivyomfanya yeye kuhama UKAWA na kuhamia chama cha
Mapinduzu.
SABABU YA LILY WAYNE NA CHRISTINA MILIAN KUACHANA HII HAPA…
LAYIII
Baada ya kuachana na mchumba wake miaka miwili iliyopita mwimbaji wa R&B Christina Milian alianza kuonekana sana na rapper Lil Wayne baada
ya kujiunga na lebo ya msanii huyo, muda mfupi
PSQUARE WAWEKA HEADLINES KWA KUBUKA NA MJENGO MWINGINE HUKO ATLANTA….
LAYIII
Mapacha wawili kutoka kundi la Psquare wamerudi tena kwenye headlines baada ya kununua nyumba katika moja ya ya majengo huko Atlanta.
Mapacha wawili kutoka kundi la Psquare wamerudi tena kwenye headlines baada ya kununua nyumba katika moja ya ya majengo huko Atlanta.
JINSI AZAM FC NA MTIBWA SUGAR WALIVYOTIMIZA VIGEZO VYA KUPATA LESENI YA KLABU KWA 95% (+AUDIO)
LAYIII
Klabu za Ligi Kuu soka Tanzania bara bado hazijakidhi vigezo vya kupata leseni ya kudumu ya vilabu, kupitia kwa mkuu wa idara ya habari wa shirikisho hilo Baraka Kizuguto amethibitisha vilabu vingi kushindwa kupata leseni za vilabu isipokuwa klabu ya Azam FC na Mtibwa Sugar.
MAJIBU YA MOURINHO KUHUSU MFULULIZO WA MATOKEO MABOVU NA KUELEKEA MECHI DHIDI YA KLABU YA MACCABI TEL AVIV..
layiii
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho
ambaye ni mtaalam wa kucheza na saikolojia za makocha na wachezaji wa
timu pinzani ili aweze kushinda, kwa sasa yupo katika wakati mgumu na
klabu yake ya Chelsea kwani bado haijafanya vizuri katika michezo ya Ligi Kuu.
HABARI ZA KUSHTUA DJ FETTY ATANGAZA KUACHA KAZI YA UTANGAZAJI
LAYIII
Jina lake ni Fatma Hassan aka DJ Fetty,
moja ya Watangazaji ambao wamepata majina makubwa sana TZ na East
Africa kutokana na kazi ya Utangazaji ambapo ana mchango mkubwa pia
kwenye muziki wa Bongo Fleva kama Mtangazaji wa show ya Entertainment, XXL ya Clouds FM.
Monday, 14 September 2015
BAADA YA KUSHINDA PAMBANO LA 49, FLOYD MAYWEATHER ANAACHANA NA MCHEZO WA NGUMI??
LAYIII
Bondia Floyd Mayweather ni
jamaa mwenye rekodi nzuri ambayo ameijenga kwa kipindi chote cha miaka
yote 19 aliyoitumia kwenye mchezo wa ngumi..Usiku wa kuamkia leo
September 13 2015
Sunday, 13 September 2015
HIKI NDICHO KILICHOWAKUTA ESPANYOL WALIPOCHEZA NA REAL MADRID LEO
layiii
Ligi kuu ya Uhispania imeendelea leo baada ya mapumziko ya kupisha
mechi za kimataifa kumalizika, Real Madrid walisafiri mpaka jijini
Barcelona kwenda kucheza na Espanyol.
NIMEKUSOGEZEA MATOKEO YA ARSENAL VS STOKE NA MAN CITY VS CRYSTAL PALACE
layiii
Baada ya mchezo wa mchana kati ya Chelsea vs Everton, Barclays
Premier League imeendelea kutimua vumbi kwenye viwanja tofauti nchini
Uingereza.
MATOKEO YA MAN UTD VS LIVERPOOL NIMEKUWEKEA HAPA
layiii
Ule mtanange uliokuwa unasubiriwa kwa hamu baina ya wapinzania wa
jadi wa ligi kuu ya Uingereza, vilabu vya Manchester United dhidi ya
Liverpool umepigwa usiku huu.
Saturday, 12 September 2015
JINSI SINGLE YA ROMA ILIVYOZUILIWA KUCHEZWA KTK VITUO VYA HABARI
LAYIII
Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na hapa ninayo stori iliyochukua headlines Sept 9,2015 ya msanii wa Hip Hop kutokea 96.0 (Tanga) Roma Mkatoliki ambaye single yake mpya ilizuiliwa kwenye baadhi ya vituo vya radio nchini.
Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na hapa ninayo stori iliyochukua headlines Sept 9,2015 ya msanii wa Hip Hop kutokea 96.0 (Tanga) Roma Mkatoliki ambaye single yake mpya ilizuiliwa kwenye baadhi ya vituo vya radio nchini.
Msanii huyo alipokutana
na ripota wa millardayo.com aliweza kuelezea sababu
PAMBANO LA KESHO LA FLOYD MAYWEATHER LINAUZA? PROMO HAKUNA? TIKETI JE?
layiii
Pambano la Floyd Mayweather na Manny Pacquiao May
02 2015 lilivunja rekodi nyingi ikiwemo ya mauzo ya Ticket, ticket
ziliuzwa kati ya Dola 1,500 na Dola 10,000 lakini ndani ya saa mbili tu
ziliuzika zote !!
Friday, 11 September 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)