Thursday, 16 July 2015

AAMUA KUTUWISHA NDEGE YAKE BARABARANI

LAYIII

Mambo yalivyoharibika Rubani ilibidi aishushe ndege katikati ya barabara na magari yanapita.. Ona pichaz na video

11140244_905720162820481_1506951124395673716_n
Japo kumekuwa na stori nyingi zinazohusu ajali za ndege, bado sifa ya kuwa usafiri salama namba moja duniani haijaharibika, nimezipata hizi pichaz na video zinazoonesha Rubani ambaye alijiongea na kuona bora aishushe

Juhudi bila ya Wadau ngumu kutoboa nje – Dayna Nyange.

LAYIII
Mwanamuziki Dayna Nyange ametoa mtazamo wake wa namna gani wasanii wa nyumbani watawezakuvuka mipaka ya nje ya nchi.
Alipokuwa anafanyiwa mahojiano na mwandishi wa timesfm.co.tz Dayna alifunguka kwamba ili wasanii waweze kutoboa ni lazima wawe na Wadau wa nje (connection) kwani wengi wanafanya kazi nzuri lakini kutokuwa na wadau ndio kikwazo.
“Msanii kama Vanessa Mdee leo hii anaanza kuvuka boda ni kwa sababu ya connection ya watu wa nje alionao, kama aliweza kufanya kazi na watu wa MTV sasa kwa nini asifike mbali ukizingatia anafanya kitu kizuri”, alifafanua Dayna.
Dayna alieleza pia kuhusu ujio wa video ya wimbo wake wa Nitulize aliomshirikisha Nay wa Mitego kwamba wataanza kuirekodi siku chache zijazo kwani kuna vitu muhimu wanasubiri kutoka nje ya nchi.
Video hiyo inatarajiwa kurekodiwa hapahapa nyumbani Tanzania, huku akisita kuweka wazi ni kampuni gani ambayo itatengeneza video hiyo na kusema watu wasubiri Surprise.
Dayna mwanamuziki huyu mwenye asili ya huko mkoani Morogoro mwisho alitoa taarifa kwa mashabiki wake wa Tanga wakae sawa kwani anatarajia kuanza show zake mkoani humo kuanzia sikukuu ya Eid

MAPYA YAIBUKA LOWASA KILELENI TENA KISA NI KINGUNGE

LAYIII
Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru amesema CCM inamuhitaji Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwenye mchakato wa Uchaguzi Mkuu na kukitaka chama hicho kujadili jambo hilo ili kuondoa tofauti zilizojitokeza kabla ya kupiga kura za kumchagua Rais na wabunge.

#newsflash CCM inamhitaji Lowassa ili Ishinde uchaguzi- Kingunge

Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru amesema CCM inamuhitaji Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwenye mchakato wa Uchaguzi Mkuu na kukitaka chama hicho kujadili jambo hilo ili kuondoa tofauti zilizojitokeza kabla ya kupiga kura za kumchagua Rais na

MAISHA YA WANAFUNZI HATARINI HUKO BUKOBA................KASHAI, BUKOBA

LAYIII
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kashai, mjini Bukoba,  wakiendelea kuchota maji kwenye mto Kashai karibu na mtaro wa maji machafu.

V MONEY PLATNUMZ TUZO TENA

LAYIII
Tuzo za African Entertainment Awards (AEA) ni Tuzo zinazotolewa kila mwaka kwa nia ya kutambua watu wanaotoa mchango mkubwa katika uliwengu wa burudani. Tuzo hizi zinalenga hasa kuonyesha ukubwa  na fursa zilizopo kwenye ulimwengu wa burudani Africa.

AEA
Tuzo za African Entertainment Awards (AEA) ni Tuzo zinazotolewa kila mwaka kwa nia ya kutambua watu wanaotoa mchango mkubwa katika uliwengu wa burudani. Tuzo hizi zinalenga hasa kuonyesha ukubwa  na fursa zilizopo kwenye ulimwengu wa burudani Africa.
Star wa muziki wa Bongo Flava Nasseb Abdul “Diamond Plutnums”, ametajwa kuwania tuzo za African Entertainment awards 2015.

Hii ni good news kwa mashabiki wa Azam FC

LAYIII
Jean Baptiste Mugiraneza ni kiungo wa kimataifa wa Rwanda aliyesajiliwa na klabu ya Azam FC msimu huu akitokea klabu ya APR ya Rwanda kwa mkataba wa miaka miwili. Awali taarifa zilitoka kuwa kiungo huyo atarejea Rwanda kujumuika na kuitumikia timu yake ya APR katika mashindano ya kombe la Kagame yatakayoanza july 18 jumamosi hii.
Ila mambo yamekuwa tofauti baada ya klabu ya APR kumruhusu aichezee Azam FC katika mashindano ya kombe la Kagame. APR ambayo ipo kundi B n

WASANII WAJITO KATIKA SIASA

LAYIII

.
.
Mkurugenzi wa Yamoto Band na Wanaume Family, Said Fella aka Mkubwa Fella alionesha mapema kabisa leo July 15 amechukua fomu ya kugombea udiwani wa katika mtaa wa Kilungule, Wilaya ya Temeke Dar es Salaam.

Tuesday, 14 July 2015

YONA HEADLINE ZA MAGAZETI YA LEO

SWAXBZ

DSC00608
Good morning mtu wa nguvu.. SWAXBZ.COM huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi.
Ninayo tayari hii post ya Magazeti 17 ya Tanzania leo July 15 2015, story zote kubwakubwa >>> Udaku, Hardnews na Michezo <<< zote ninazo hapa.

CHEKI MAPOKEZI YA YA MAGUFULI MTUWA NGU UTAPENDA

LAYIII
Jina la Waziri Wa Ujenzi Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli lilipata Headlines zenye uzito zaidi baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM kumtangaza kwamba ndiye Mgombea Urais aliyepitishwa na Chama hicho kwenye Uchaguzi unaofanyika October 2015.
Screen Shot 2015-07-14 at 4.35.50 PM
Jina la Waziri Wa Ujenzi Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli lilipata Headlines zenye uzito zaidi baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM kumtangaza kwamba ndiye Mgombea Urais aliyepitishwa na Chama hicho kwenye Uchaguzi unaofanyika October 2015.
Screen Shot 2015-07-14 at 4.35.26 PM
Yeye pamoja na Mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan tayari wamefika Dar es Salaam na leo July 14 2015 ilikuwa siku rasmi ambayo ilitangazwa kwa ajili ya kuwatambulisha Wagom

PESA SI FURAHA ....FURAHA UWE NA KITU CHA ZIADA MAJIBU YA BILIONEA WA FACEBOOK HAPA

LAYIII
Hakuna mtu hapendi kuwa na furaha mtu wangu, wapo wanaodhani kuwa ili uwe na furaha ni lazima uwe na pesa..  Mark Zuckerberg ni Mwanzilishi na Boss wa Facebook, yeye amesema kitu ambacho kinampa furaha mbali ya kuwa jamaa ni mtu na pesa zake nyingi tu.

Zuckernberg
Hakuna mtu hapendi kuwa na furaha mtu wangu, wapo wanaodhani kuwa ili uwe na furaha ni lazima uwe na pesa..  Mark Zuckerberg ni Mwanzilishi na Boss wa Facebook, yeye amesema kitu ambacho kinampa furaha mbali ya kuwa jamaa ni mtu na pesa zake nyingi tu.

HATA UWE NA ULINZI KIASI GANI MWIZI MJANJA TU CHEKI ALIKOPITIA MUUZA UNGA

LAYIII

Federal police patrol near the Altiplano maximum security prison in Almoloya, Toluca, Mexico, early Sunday, July 12, 2015. Mexico's most powerful drug lord, Joaquin "El Chapo" Guzman, escaped on Saturday night from a maximum security prison through a tunnel that opened into the shower area of his cell, the country's top security official announced. (AP Photo/Marco Ugarte)
Joaquin “El Chapo” Guzman ndio jina la mfanyabiashara wa Mexico ambalo limechukua headlines kubwa kwa siku kama tatu hivi mfululizo, jamaa ni mfanyabiashara mkubwa wa dawa Kulevya, kile kitendo cha kutoroka kwenye Gereza lenye ulinzi mkubwa kimefanya kila mtu ashtuke

Monday, 13 July 2015

MICHUANO YA KAGAME KUTIMUA VUMBI

LAYIII
Michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati jumamosi wiki hii inaanza kutimua vumbi mjini Dar es Salaam Tanzania huku jumla ya vilabu 13 vikishiriki.
Rais wa Rwanda Paul Kagame anatarajiwa kutoa kiasi cha dola elfu 60 za marekani kama zawadi kwa washindi.
Kundi A itajumuisha timu za Yanga yaTanzania, Gor Mahia ya Kenya, Kmkm Zanzibar, Telecom ya Djibout na Khartoum- Sudani Kaskazini.
Kundi B - APR Rwanda, Al Shandy ya Sudan, LLB FC Burundi naHeegan Somalia.
Wakati kundi C - Azam ya Tanzania, Malakia ya Sudan Kusini, Adama ya Ethiopia na KCCA ya Uganda.
Hata hivyo mgawanyo wa zawadi kwa kila mshindi ni kwamba mshindi wa kwanza atajinyakulia dola elfu 30, wa pili dola elfu 20 na wa tatu dola elfu 10.

CHEKI MIONDOKO YA DAVIDO KATIKA NGOMA HIII

LAYIII
Kila siku vituo vya redio na TV Afrika vinapokea mamia ya kazi mpya kutoka kwenye midundo ya Afrika ambapo wiki hii hii ya R2Bees – Gboza ft. Davido ni moja ya video mpya zinazochezwa kwenye TV mbalimbali.

MJUE MAGUFULI MGOMBEA URAIS CCM HAPA

LAYIII

- Alizaliwa Oktoba 29, 1959 wilayani Chato, wakati huo ikiwa ni sehemu ya mkoa wa Kagera (sasa mkoa wa Geita).
- Mwaka 2006 – 2009, Shahada ya Uzamivu ya Kemia kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
- Mwaka 1991 – 1994, Shahada ya Uzamili ya Kemia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na baadaye Chuo Kikuu  cha Salford, Uingereza.
- Mwaka 1985 – 1988, alisoma Shahada ya Kwanza ya Elimu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akichukua masomo ya Kemia na Hisabati.

SENTENSI 3 ZA DR SLAA KUHUSU CCM NA UBORA WAKE

LAYIII

Dr Slaa 4Kwenye mkusanyiko wa stori za mitandao ndani ya siku tano zilizopita kutoka kwa walichoandika watu mbalimbali maarufu wa Tanzania, zipo pia hizi tweets za katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa.
Ameandika >>> ‘Siku ambayo Watanzania watatambua kwamba walipaswa kuwa mbali sana kimaendeleo, na kujua kwamba kikwazo ni CCM na kukiondoa haiko mbali, hakuna msafi CCM, wala hii si habari mpya… ubora wa CCM ulizikwa na Azimio la Zanzibar 1994, kwa mara nyingine tena tunapaswa kuamua
Nashukuru UKAWA kwa imani kubwa. Kazi ya mabadiliko iliyoanza 1992 kwa vyama vingi imebakiza miezi michache kushinda. Kura yako ni ukombozi‘ – Dr. Slaa.

UKIKOSEA TU MAITI ......... CHEKI BARABARA HIZI MTU WANGU

LAYIIII
Kuna sehemu za hatari sana duniani ambazo unaambiwa ukifanya kosa moja tu unajiweka kwenye uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha, hatari hii inapatikana kwenye barabara ambazo zipo kwenye sehemu mbalimbali duniani.

HII NDO PESA ALIYO LIPWA DIAMOND BAADA YA NYIMBO ZAKE KUCHEZWA KTK TV ZA MAREKANI

LAYIII
Ni utamaduni wa kawaida kwenye nchi zilizoendelea au nchi kubwa duniani Wasanii kulipwa pesa kutokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye TV na Radio ambapo hii imemtokea Mtanzania Diamond Platnumz baada ya wimbo wake kuchezwa kwenye TV maarufu kwa burudani, BET ya Marekani.

DNi utamaduni wa kawaida kwenye nchi zilizoendelea au nchi kubwa duniani Wasanii kulipwa pesa kutokana na nyimbo zao

LOWASSA GUMZO KILA KONA, KAGUFU HAIJAWAI TOKEA

LAYIII
Mwandishi Wetu
NIJohn Pombe Joseph Magufuli ambaye amepita kwa kishindo na ‘usimpimie’ kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan, lakini yaliyojiri katika mchakato wa kumpata mgombea huyo, hayajawahi kutokea, Ijumaa Wikienda limechimba na kuchimbua.
Mwandishi Wetu
NIJohn Pombe Joseph Magufuli ambaye amepita kwa kishindo na ‘usimpimie’ kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan,

kwa nini hip hop bongo haitusui majibu ya izzo b na majibu yake hapaa

layiii
Inawezekana ukawa na maswali kwamba kwanini muziki wa Hip Hop bado haujatusua kimataifa sasa Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness amefunguka na kuelezea sababu zinazopelekea kwa kukwama.

Izzoooo
.
Inawezekana ukawa na maswali kwamba kwanini muziki wa Hip Hop bado haujatusua kimataifa sasa Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness amefunguka na kuelezea sababu

Hawa ndio wagombea wa urais wa klabu ya Fc Barcelona

layiii

fc barcelona
.
Mbio za kuelekea uchaguzi mkuu katika klabu ya Fc Barcelona bado zinaendelea na wagombea wanne kati ya saba wametimiza vigezo vya kuendelea hatua inayofuata ya kuwania fursa ya kuwa raisi wa klabu hiyo kwa miaka sita.
Miongoni mwa vigezo wa kuendelea na hatua inayofuata katika mbio hizo za uraisi ni lazima mgombea apate saini za mashabiki wa klabu hiyo kuanzia 2534 na kuendelea.

advertise here