Sunday, 26 February 2017
Saturday, 25 February 2017
NI KIFO SIMBA Vs YANGA LEO UWANJA WA TAIFA DAR
NI
mechi ya vita na kisasi. Ndivyo ambavyo inaweza kutafsiriwa katika
mchezo wa mahasimu wawili Simba na Yanga utakaochezwa leo kwenye Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam.
Mchezo
huo ni vita kwasababu ndizo timu zinazoongoza kwenye msimamo wa Ligi
Kuu Tanzania Bara kwa tofauti ya pointi mbili, Simba ikiwa na pointi 51
katika michezo 22 na Yanga ikishika nafasi ya pili kwa pointi 49 katika
michezo 21 iliyocheza.
STEVE NYERERE AKERWA NA KITENDO CHA MAMA WEMA KURECORD MAONGEZI YAO
Baada ya sauti zilizosambaa zikimuhusisha Mwigizaji Steve Nyerere na
Mama wa mwigizaji Wema Sepetu wakizungumza huku akitaja baadhi ya
viongozi mbalimbali aliodili nao kwenye sakata la Wema kushikwa na
Polisi, leo Steve Nyerere ameita Waandishi wa habari na kuongea nao.
Steve Nyerere amesema kuwa hakuna msanii hata mmoja ambaye anakidai Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema mambo ambayo anasema Weme Sepetu kuwa anakidai chama hicho ni uongo na uzushi mtupu.
Amesema katika wasanii mbalimbali ambao huenda walilipwa pesa nyingi zaidi ni Wema Sepetu pamoja na
Steve Nyerere amesema kuwa hakuna msanii hata mmoja ambaye anakidai Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema mambo ambayo anasema Weme Sepetu kuwa anakidai chama hicho ni uongo na uzushi mtupu.
Amesema katika wasanii mbalimbali ambao huenda walilipwa pesa nyingi zaidi ni Wema Sepetu pamoja na
Sunday, 19 February 2017
BARNABA KAONGEA KUWA HANA MATATIZO NA MKEWE
BONYEZA PICHA HAPA JIUNGE NAMI YOUTUBE HABARI KWA NJIA YA VIDEO USIACHE KULIKE SHARE NA SUBSCRIBE
Mwimbaji wa bongofleva Barnaba Boy yupo kwenye vichwa vya habari za burudani kwa zaidi ya siku 5 sasa hivi baada ya habari zinazodaiwa kwamba ameachana na Mama mtoto wake.
Barnaba amehojiwa na The weekend chat show na kusema hayo ni maneno ya watu tu ila yeye hajagombana na mama watoto wake Mama Steven japo kila mtu ana matatizo.
Mwimbaji wa bongofleva Barnaba Boy yupo kwenye vichwa vya habari za burudani kwa zaidi ya siku 5 sasa hivi baada ya habari zinazodaiwa kwamba ameachana na Mama mtoto wake.
Barnaba amehojiwa na The weekend chat show na kusema hayo ni maneno ya watu tu ila yeye hajagombana na mama watoto wake Mama Steven japo kila mtu ana matatizo.
ZITTO: MANJI SASA ANAKOMOLEWA, APOKONYWA HISA ZOTE ZA TIGO
Saturday, 18 February 2017
ZIJUE NCHI TANO DUNIANI AMBAZO BAADHI YA RAIA WAKE HAWAAMINI UWEPO WA MUNGU KABISA
Utafiti Unaonesha kwamba 63% ya watu duniani wanaamini uwepo wa Mungu, yafuatayo ni Mataifa 5 yanayoongoza kwa idadi kubwa ya watu wasiyoamini uwepo wa Mungu (Atheism).
1. China.
Ikiwa na wapagani asilimia 30%, huku asilimia 47% ya watu hawaamini kabisa kama Mungu yupo.
2. Japan.
Ikiwa na asilimia 31% ya wapagani, huku asalimia 31% ya wajapani hawaamini kabisa kama Mungu
1. China.
Ikiwa na wapagani asilimia 30%, huku asilimia 47% ya watu hawaamini kabisa kama Mungu yupo.
2. Japan.
Ikiwa na asilimia 31% ya wapagani, huku asalimia 31% ya wajapani hawaamini kabisa kama Mungu
FLORA MBASHA ACHUMBIWA RASMI ATAKA JINA LA MBASHA LIBADILISHWE NA KUITWA HIVI
Baada ya wanandoa ambao ni wanamuziki maarufu wa nyimbo za Injili, kuingia katika mzozo miaka minne iliyopita, mmoja wao Flora Mbasha amechumbiwa na anatarajiwa kufunga ndoa ya pili hivi karibuni mkoani Mwanza.
Sakata hilo linaweza kuibua mjadala miongoni mwa waumini wa dini ya Kikristo ambayo pamoja na kuruhusu ndoa kuvunjika, ni nadra sana kwa makanisa kuidhinisha suala hilo.
Habari za kuaminika zinasema vikao vya maandalizi ya harusi hiyo vimeshaanza baada ya Flora
UTAJIRI WA MAKONDA KUCHUNGUZWA
SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi wa Umma imesema ipo tayari kuhakiki
mali za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, endapo watapokea
malalamiko kutoka kwa wanaomtilia shaka.
Hivi karibuni wakati akitangaza orodha ya watu wanaotuhumiwa kuuza,
kuagiza na kutumia dawa za kulevya, Makonda alijikuta akiingia katika
vita ya maneno na wabunge.
Msingi wa vita yenyewe ni hatua ya baadhi ya wabunge kupinga utaratibu
alioutumia Makonda kuwataja
Friday, 17 February 2017
BARABARA YA KONGWA ARUSHA KUJENGGWA KWA KIWANGO CHA LAMI
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaanza kufanya upembuzi na usanifu wa kina kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kutoka Arusha – Kiteto – Kongwa ili ijengwe kwa kiwango cha lami.
Alitoa kauli hiyo juzi wakati akizumgumza na mamia ya wakazi wa mji wa Orkesumet, wilayani Simanjiro akiwa katika siku ya pili ya ziara yake mkoani Manyara.
Alisema serikali imepanga kuiombea fedha za kazi ya ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu wa km 430 kwenye mkutano ujao wa bajeti na kwamba imepanga kutafuta wakandarasi wengi na kuwagawa kwa vipande ili barabara hiyo ijengwe kwa kipindi kifupi.
“Barabara yenu nimeiona. Imo kwenye Ilani ya CCM. Ujenzi wake utaanzia Arusha –Mbauda –
Alitoa kauli hiyo juzi wakati akizumgumza na mamia ya wakazi wa mji wa Orkesumet, wilayani Simanjiro akiwa katika siku ya pili ya ziara yake mkoani Manyara.
Alisema serikali imepanga kuiombea fedha za kazi ya ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu wa km 430 kwenye mkutano ujao wa bajeti na kwamba imepanga kutafuta wakandarasi wengi na kuwagawa kwa vipande ili barabara hiyo ijengwe kwa kipindi kifupi.
“Barabara yenu nimeiona. Imo kwenye Ilani ya CCM. Ujenzi wake utaanzia Arusha –Mbauda –
VILOBA KWISHA HABARI YAKE TANZANIA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuanzia Machi Mosi, mwaka huu Serikali itapiga marufuku pombe kali maarufu kwa jina la ‘viroba’.
Ametoa kauli hiyo wakati akizumgumza na maelfu ya wakazi wa mji mdogo wa Mererani, wilayani Simanjiro akiwa katika siku ya pili ya ziara yake mkoani Manyara.
“Kuanzia tarehe 1 mwezi 3 ni marufuku kuzaliwa viroba , tutakae mkuta na viroba sisi na yeye, wanaotengeneza pombe watengeneze pombe waziweke katika ukubwa unaokubalika. Sasa hivi viroba
Thursday, 16 February 2017
SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA RIDHIWANI KIKWETE AFUNGUKIA YAFUATAYO
Kikwete amesema kuwa anashangazwa na dhana hiyo potofu inayojengwa na watu bila kujua ukweli wa mambo, ambapo ameweka wazi kuwa yeye ni kijana mpiganaji na mwenye kupenda mafanikio,
SIRRO: JIPU LA MANJI LATUMBUKA LIVE ADAI YAFUATAYO
Hatimaye imedhibitika kuwa Mwenyekiti wa Timu ya soka ya Yanga na
Mfanyabiashara mkubwa nchini Tanzania Yusuph Manji anatumia madawa ya
kulevya na leo atapandishwa kizimbani kwa tuhuma hizo akiwa pamoja na
watuhumiwa wengine wanaoshikiliwa kwa sakata kama hilo.
Katika Kipindi cha michezo katika redio moja nchini Kamanda wa Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna, Simon Sirro amethibitisha kuwa
vipimo vya Mkemia Mkuu wa Serikali alivyofanyiwa Manji
Wednesday, 15 February 2017
MANENO YA KIKWETE KUHUSIANA NA SWALA LA MADAWA YA KULEVYA
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete, amefunguka kuhusu sakata la dawa za kulevya na kuipongeza serikali hususani Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kwa kuanzisha vita hiyo na kutaka wahusika wachukuliwe hatua.
Kikwete amefunguka hayo leo katika kipindi cha East Africa Breakfast cha EA Radio, kinachoruka kila siku saa 11:00 alfajiri hadi saa 3:00 asubuhi.
Kikwete amefunguka hayo leo katika kipindi cha East Africa Breakfast cha EA Radio, kinachoruka kila siku saa 11:00 alfajiri hadi saa 3:00 asubuhi.
DIVA AFUNGUKA KUHUSU KUTAMANI KUDATE NA ALIKIBA
Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Diva The Bosslady
amefunguka kwa kudai kuwa katika mastaa wa muziki Alikiba ndiye msanii
ambaye anatamani kudate naye.
Diva ambaye kwa sasa anatoka kimapenzi na muimbaji Heri Muziki, alikuwa
host wa show ya Valentine’s Day iliyofanyika Jumatano hii katika ukumbi
wa Next Door na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali.
Akiongea na waandishi kabla ya kwenda kusherehesha show hiyo
iliyoandaliwa na Irene Uwoya, Diva alidai Alikiba ndiye msanii ambaye
anatamani kudate naye.
BREAKING NEWS: MASOGANGE NDANI KWA SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA
TAARIFA zilizotufikia, zinaeleza kwamba video queen maarufu Bongo,
anayefahamika kutokana na shepu yake matata, Agness Gerald almaarufu
Masogange, anashikiliwa na Jeshi la Polisi, Kituo Kikuu (Central)
akituhumiwa kuhusika na biashara na matumizi ya madawa ya kulevya.
Masogange alikamatwa na polisi jana usiku na taarifa zinaeleza kwamba,
mpaka muda huu bado anashikiliwa central. Mwanadada huyo anaingia kwenye
orodha ya wasanii wengine na watu maarufu Bongo,
HAKIMU NA KARANI KIZIMBANI KWA RUSHWA
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Mara
imewapandisha kizimbani Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo mjini Musoma,
Swalala Mathayo (40) na karani wa Mahakama hiyo, Charles Masatu (56) kwa
tuhuma za kudai na kupokea rushwa.
Tuesday, 14 February 2017
MAAJABU: MIMBA MIEZI 13 AJIFUNGUA CHUA NA MDUDU MWENYE MANYOA MEUSI
Na Ibrahim Yassin, Kyela
MKAZI wa Kitongoji cha Njisi, Kijijiji cha Kilwa, wilayani Kyela, Tummanye Makula (35) , amekaa na ujauzito miezi 13 na kushindwa kujifungua.
Hata hivyo, baada ya maombezi, alijikuta akijifungua chura na baadaye mdudu wa ajabu akiwa na manyoya meusi.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki baada ya dada huyo kumpigia simu Mchungaji wa Kanisa la Tample Of Prayer For All Nations Church, Nabii Charles Mkuvasa wa mjini Kyela akihitaji kuombewa.
Alicuhukua hatua hiyo baada ya kukaa na ujauzito kwa muda wote huo na kushindwa kujifungua, licha ya
Subscribe to:
Posts (Atom)