LAYIII
Raila Odinga baada ya kufika Chato alisema ‘mimi
na familia yangu tupo likizo na tumekuja kumtembelea rafiki wa familia
yetu, nimekuja kupumzika na mke wangu na mtoto wangu wa kike, pia
nimekuja kutoa pongezi kwa ndugu yangu kwani tangu achaguliwe sijaja
hapa Chato na nilisema siendi Dar, nitakuja hapahapa Chato‘
Record
label ni kampuni inayosimamia wasanii ama brand, kuratibu utengenezaji
wa nyimbo, video, usambazaji, masoko, promotion na mambo mengine. Record
label pia hutafuta wasanii wapya kwa nia ya kuendeleza vipaji vyao.
Nchini Tanzania tumeanza kuona record label mbalimbali ambazo zinafanya
vizuri kwa kiasi chake, japo bado hatujafika kule ambako tunatarajia
record label zetu zifike. Hapa tumeandaa record label kadhaa ambazo kwa
sasa zinafanya poa.