Tuesday, 8 March 2016

JE WAJUA KAMA MVUMBUZI WA EMAIL KAFARIKI DUNIA

LAYIIII
BONYEZA HAPA KUONA VIDEO MTU WANGU

https://www.youtube.com/watch?v=Gpik8ecGV80

 
Mvumbuzi wa “EMAIL” afariki dunia
Mvumbuzi wa matumizi ya barua pepe kwa kiingereza kama Email RAY TOMLINSON, amefariki dunia na umri wa miaka sabini na nne.
Ray alivumbua matumizi ya barua pepe mwaka 1971 na

TAZAMA PICHA 4 ZA AJARI ILIYOTOKEA TABATA DAR ES SALAAM

LAYIII
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO
Moja ya taarifa iliyosambaa katika mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari asubuhi ya leo march 9 2016, ni pamoja na hili tukio la ajali ya magari matatu ambayo ni gari la abiria aina ya DCM, Lori la mchanga na gari lingine lililokuwa limebeba mchanga kugongana katika eneo la Tabata, Dar es salaam.
Hadi sasa hakujawa na uhakika wa taarifa za uhakika

JE UNAJUA KUWA MAALIM SEIF AMELAZWA

LAYIII
 

Maalim Seif Alazwa Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam

BONYEZA PICHA HAPO

Siku tatu baada ya kutoka India alikokwenda kwa ajili ya kupata matibabu, Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad jana alilazwa katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam.

Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar, Nassoro Mazrui amesema kuwa chanzo cha Maalim Seif kulazwa katika hospitali hiyo jana asubuhi ni uchovu wa safari yake ya India ambayo alienda kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji wa mgongo.

JE UNAJUA KUWA WIZKID KAITELEKEZA FAMILIA YAKE

LAYIII
 
Mke wa Wizkid, Ogudugu Shola, amefunguka na kudai kwamba mumewe huyo ambaye amezaa naye mtoto mmoja, anashindwa kuihudumia familia yake.

Mrembo huyo amedai kwamba, mapenzi ya msanii huyo na mtoto wake anayejulikana kwa jina la Boluwatife, yamekuwa tofauti na mwanzo kihuduma.

“Ukweli ni kwamba nimechoka, nimechoka, nimechoka na mambo

Monday, 7 March 2016

DAKIKA 20 ZA DIAMOND PLATNUMZ NA KANYE WEST

LAYIII
VIDEO BONYEZA PICHA HIII
Diamond (2) Staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,  na rapa maarufu wa Marekani, Kanye West.
Stori: Musa Mateja, Wikienda
DAR ES SALAAM: Kutoka Tandale hadi Marekani! Staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,  melidokezea Ijumaa Wikienda kilichojiri kwa takriban dakika 20 alipokutana uso kwa uso na rapa  kubwa duniani wa Marekani, Kanye West.
UWANJA WA NDEGE LOS ANGELES
Diamond alikutana na Kanye West kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Los Angeles wa LAX nchini Marekani wakati akisubiri ndege kuelekea Las Vegas kwa ajili ya shoo na kazi zake za kimuziki.

Saturday, 5 March 2016

TCRA Yakiri Zigo Remix ni Wimbo Mkubwa na Unaopendwa Sana.

LAYIII
 
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA imekiri kuwa wimbo wa AY, Zigo Remix aliomshirikisha Diamond unapendwa sana

MBOWE ALIVYOONGEA NA WAANDISHI WA HABARI JIJINI DAR LEO

LAYIII
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YA JAY METTY
Hadi time hii headline za Uchaguzi wa Meya Dar es salaam zinazidi kutawala kila siku, ni siku mojatu baada ya Baadhi ya Wabunge na Madiwani wa Ukawa kufikakatika ofisi ya Halmashauri  ya jiji kutaka kujua tarehe ipi uchaguzi utafanyika lakini hawakupata majibu hayo. Leo March 5 2016 Mwenyekiti wa  CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe alikutana na waandishi wa habari na kueleza…
Hatutaomba tena kumpata Meya wa jiji la Dar es salaam, tutadai

USIKU WA LEO TANZANIA IMECHUKUA TUZO MBILI "Nigeria Africa Magic Awards 2016"

LAYIII
Mach 5 2016 Tanzania imeingia kwenye headlines tena baada ya waigizaji wa Tanzania kuchukua Tuzo Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016 zilizotolewa Lagos Nigeria ambapo mwimbaji toka Tanzania Alikiba  alikuwa mmoja kati ya wasanii waliotumbuiza kwenye tuzo hizo.
Wasanii wa Filamu Tanzania Elizabeth Michael na Single Mtambalike wamefanikiwa kuondoka na tuzo moja kila mmoja ambapo Elizabeth Michael (Lulu) amechukua Tuzo ya Best Movie East Africa kupitia movie yake ya Mapenzi na Single Mtambalike amechukua Tuzo ya Best Indigeous Language Movie/TV Series Swahili kupitia Movie ya Kitendawili

KAMA HUKUJUA JAY Z NA BEYONCE WAMEBWAGANA

LAYIII
Bonyeza picha kuiona video ya jay metty

Bado taarifa zinaendelea kuitafuna familia ya Carters, na uvumi mkubwa ni kwamba huenda vipepeo hawa wawili yani rapa Jay z na Beyonce wamemwagana na kupeana talaka.
Kwenye sherehe ya kuzaliwa ya rafiki wa Beyonce,

Thursday, 3 March 2016

UJUMBE UNAO HISIWA KUWA KAANDIKA BELLE9 UNAOMDISI DIAMOND

LAYIII
Bonyeza picha hii kuingia youtube uone kilichojili
Usiku wa March 2 kuamkia March 3 jina la mkali kutoka Bongoflevani Belle 9 lilirudi kwenye headlines baada ya kuonekana kwa post katika mtandao wa Instagram inamdis Diamond Platnumz lakini baadae inadaiwa kufutwa na account ya msaani huyo kufanyiwa mabadiliko ya jina.
Baada ya muda stori zilianza kuzagaa mitandaoni kuwa post hiyo sio ya kweli huku

Wednesday, 2 March 2016

PICHA 10 ZA HALIMA MDEE AKITOKA MAHAKAMANI

LAYIII
Leo March 2 2016 wabunge wawili wa chadema, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara Pamoja na Diwani wa Kata ya Saranga, Ephrein Kinyafu. Wamefikishwa mahakamani kwa ajili ya kujibu mashitaka ya kumjeruhi katibu tawala Mkoa wa Dar es salaam wakati wa uchaguzi wa Meya wa jiji la Dar es Salaam ulipoahirishwa. Watuhumiwa wote

KIJUE KISA CHA WABUNGE WA UKAWA KUSAKWA KILA KONA

LAYIII


Wakati baadhi ya wabunge wa upinzani wakishikiliwa na polisi ama kutafutwa kutokana na chaguzi kile kinachoelezwa ni vurugu kwenye chaguzi za Meya na wenyeviti wa halmashauri zinazoendelea, wale waliotolewa Bungeni kwa nguvu Januari 27, wote wametakiwa kufika Dar es Salaam  wahojiwe.
Mpaka sasa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, anashikiliwa na polisi kwa kile kilichoelezwa ni vurugu zilizotokea baada ya uchaguzi wa Meya wa Dar es Salaam kuahirishwa Februari 27, mwaka huu.
Mbali na Mdee ambaye jana ilidaiwa kuwa polisi walifanya ukaguzi nyumbani kwake pamoja na ofisini kwake huku kile wanachokitafuta kikiwa hakijulikani, Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara (Chadema) na wa Ubungo, Saed Kubenea, pia inadaiwa wanatafuwa kwa sababu ya vurugu hizo.

Sunday, 28 February 2016

MSANII CHIPUKIZI KUTOKA TANZANIA ANAYE TIKISA MAREKANI {JAY_METTY}

LAYIII
bonyeza picha kuiona video yake hapo mtu wangu
https://www.youtube.com/watch?v=tNg7FdS2kz4
 Msanii chipukizi wa bongo flaver kutoka tanzania anayetamba na kutikisa nchini marekani ameonyesha kipaji chake kingine kuwa ni bone la producer na hits zake zimekaa kwa maadhi ya kimataifa  JAY METTY ni msanii anayechipukia na anaonyesha haswa zake nchini marekani huku akishirikiana na baadhi ya wasanii wa kubwa nchini humo kama kundi nzima la cash money na baadhi ya makundi ya sanaa nchini humo
CHUKUA MUDA WAKO KUSKILIZA AUDIO YAKE HAPA MTU WANGU

https://www.youtube.com/watch?v=tNg7FdS2kz4
 hivi karibuni JAY METTY alikuwa na ratiba ya kudondosha bonge la shoo nchini Tanzania jijini Dar es salaam lakini kulingana na ratiba na mambo yaliyo chini ya uwezo wake shoo imekwama na imeshindwa kuendelea. kwa mujibu wa msemaji wake mkuu JAY METTY atatoa taarifa mapema pindi mambo yatakapo kuwa yameenda sawa
https://www.youtube.com/watch?v=tNg7FdS2kz4
 Ungana na swaxbz.com ili uwe jirani na kila update zitakazo kuwa zinatufikia kila siku

Wednesday, 24 February 2016

KAMCHOMA MWANAYE KISA KAKOMBA MBOGA

LAYIII

Mkazi wa kitongoji cha Kazima – Kichangani Kata ya Kawajense, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, Emmanuel Joseph (31) amemfanyia unyama mtoto wake wa kumzaa, George Emmanuel (4) kwa kuvichoma kwa moto vidole vyake vya mkono wa kushoto, akimtuhumu kukomba mboga yote ya majani aina ya ‘chainizi’ yenye thamani ya Sh 500.
Inasemekana baba huyo amekuwa akiishi na watoto wake watatu baada ya kuachana na mkewe wa ndoa, Semsni Jahala (28) Machi mwaka jana.

Tuesday, 23 February 2016

ALIKIBA KWENDA NIGERIA MWEZI UJAO UBUYU WATEMA MAKUBWA

LAYIII





Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwezi ujao anatarajiwa kukwea pipa hadi nchini Nigeria kwa ajili ya kufanya kazi na mwanamuziki wa nchi hiyo, Deborah Oluwaseyi ‘Seyi Shay’.
Msanii huyo anayetamba na kibao cha ‘Right Now’, aliwaambia waandishi

MTOTO WA SOKWE ANAENDELEA VIZURI BAADA YA KUZALIWA KWA UPASUAJI

LAYIII



MA BIBI NA MABWANA NIMEKUSOGEZEA NGOMA MPYAA KABISA YA DRAKE NA RIHANNA HAPA


LAYIII



CHUKUA MUDA WAKO KUITIZAMA VIDEO YA HAWA VIJANA WETU

SAMSUNG WAMEZINGUA SIMU MPYA YA GALAX S7

LAYIII

Samsung Galaxy S7

Kampuni ya kutengeneza simu ya Samsung imezindua simu yake mpya ya kisasa aina ya Galaxy S7 na Galaxy S7 Edge.

Kampuni hiyo ya kutokea Korea Kusini imezindua simu hizo mbili ilikukabiliana na upinzani mkali kutoka kwa kampuni ya simu ya Apple.

Sunday, 21 February 2016

HUU NI ZAIDI YA UNYAMA MMAMA AMCHALANGA MWANAYE VIWEMBE

LAYIII
BONYEZA PICHA KUIONA VIDEO


mtoto viwembe1Majeraha aliyoyapata baada ya kujeruhiwa na viwembe.

Stori: Joseph Ngilisho, Ijumaa
Arusha: Ukatili wa watoto haukubaliki! Mama mzazi aliyetajwa kwa jina moja la Anna, mkazi wa Oysterbay maeneo ya Unga-Limited jijini hapa anadaiwa kumcharanga kwa viwembe mwanaye wa kumzaa mwenye umri wa miaka kumi anayesoma shule ya msingi (jina la mtoto na shule yanahifadhiwa).
Tukio hilo la kusikitisha lilijiri mapema wiki hii nyumbani kwa mama huyo maeneo ya Oysterbay hivyo kumlazimu Diwani wa Kata ya Themi, Melance Kinabo kushirikiana na polisi kumkamata mzazi huyo kutokana na kitendo alichomfanyia mwanaye na kumwachia majeraha makubwa.

SHILOLE ALEWESHA DOGO MAPENZI AMBEMENDA OVYO OVYO

LAYIII

IMG_9282Msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ akipozi kimahaba na Medy Music.
Stori: Musa mateja, Ijumaa:
Dar es Salaam: Baada ya msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, hivi karibuni Ijumaa lilinyetishiwa kuwa, amejiweka kwa dogo mmoja aliyefahamika kwa jina la Medy Music ambaye wamekuwa wakipika na kupakua kwenye nyumba ya staa huyo iliyopo Kijitonyama jijini Dar.

advertise here