LAYIII
Kwenye zile headlines za burudani leo Rapper
Stereo amesema wakati wa kufanya kazi na
AY umefika na sasa wanatarajia kuachia bonge la ngoma na itatoka wakati wowote chini ya Studio za
MJ Records..pia leo anatarajia kutambulisha kichupa chake cha
‘Ilala na Ukonga’ akimshirikisha
Chid Benz.
Stereo
Godzilla aliachia ngoma ya
‘Stay’ na
sasa anatarajia kuachia Video yake pamoja na Documentary… yupo katika
mazungumzo na waandishi mbalimbali watakaomsaidia kuandika script ili
kukamilisha