Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Septemba 9,2015 tayari
nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa,
headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya
Siku chache baada ya aliyekuwa Kiongozi wa Chama cha CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa
kutangaza kwamba ameamua kuachana na Siasa, baada ya siku kadhaa
kutoonekana kwenye Mikutano pamoja na Viko vya CHADEMA pamoja na Vyama
vya UKAWA, stori ambazo zinamtaja yeye bado
Headlines zilibeba stori kubwa November 13 2014 kuhusu Sultan Kosen, raia wa Uturuki ambae ndio mtu mrefu zaidi Duniani pamoja na Chandra Dangi Raia wa Nepal
ambaye alikuwa anashikilia
50 Cent siku zote ni mtu wa masuprise tu mtu wangu, mwezi July
rapper huyo alitangaza kuwa amefilisika na idadi ya mali nyingi
alizonazo si zake bali ni mali za mkopo, badaae tukasikia kuwa
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Septemba 8,2015 tayari
nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa,
headlines baada
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kisarawe kupitia Cuf, Rashid Mwinshehe
‘Kingwendu’ juzi alikuwa kivutio wakati akitambulishwa na mgombea mwenza
wa urais wa Jamhuri, Juma Duni Haji.
layiii Team ya polisi huko Oakland, California walipigiwa simu na wananchi
baada ya mtoto mchanga kuonekana akiwa kaachwa kwenye gari na madirisha
yakiwa yamefungwa. Ili
Timu ya taifa ya Tanzania na Nigeria September 5 zimekutana kucheza mechi ya kuwania tiketi ya kufuzu kucheza AFCON 2017, ikiwa ni zaidi ya miaka 20 toka zikutane katika mechi za mashindano. Nigeria inayonolewa na kocha mzawa Sunday Oliseh ndio imecheza mechi ya kwanza
Staa wa Nigeria Mr.Flavor amewashirikisha mastaa wawili mapacha
wanaounda kundi la P square katika video yake mpya inayoitwa ‘Sexy
Rosey’.
Video imeongozwa na Godfather.
Kabla ya mechi kuanza naomba nikusogezee first eleven ya timu zote mbili. Taifa StarsVsNigeria, mechi itakayopigwa muda mchache kuanzia hivi sasa uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.
Siri CCM na UKAWA nje, Mke wa DK.Slaa afichua siri, Magufuli na wazawa wa gesi, Lowassa na ‘Operation Tokomeza? (Audio).
Uchambuzi wa Magazeti @CloudsFM
ni sehemu inayokupa habari zote zilizoweka headlines magazetini, kazi
yangu ni kukusogezea zile kubwa kubwa kwenye vichwa vya habari…
Siri yafichuka CCM na UKAWA vyama hivyo vimeanzia kampeni nyanda za juu kusini, Mke wa
Mourinho, Ronaldo na Smalling wameingia katika kitabu cha Guinness World Records
Baadhi ya wanamichezo duniani akiwemo Jose Mourinho, Frank Lampard na Cristiano Ronaldo wameingia katika kitabu cha kipya cha Guinness World Records
ambacho toleo jipya litatoka Septemba 10, Mastaa hao wamepewa heshima
ya kuwemo katika kitabu hicho kutokana na rekodi zao mbalimbali.
Jose Mourinho ndio ameingia katika headlines kubwa zaidi baada ya kupewa Tuzo za Guinness World Recordsmara nne, hivyo ana rekodi nne tofauti zitakazo mfanya aandikwe katika kitabu hicho.
Mshambuliaji wa kimataifa wa Togo na klabu ya Tottenham HotspurEmmanuel Adebayor, ambaye kabla ya dirisha la usajili kufungwa alikuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya West Ham United ya Uingereza kwa asilimia kubwa. Moja kati ya wachezaji ambao tulikuwa tukitarajia kuona
LAYIII
Askofu Josephat Gwajima amejibu tuhuma zilizoelekezwa kwake na
aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa kuwa alishiriki kama
‘mshenga’ kumshawishi mwanasiasa huyo kumpokea Edward Lowassa katika
chama hicho.
Baada ya Hekaheka ya binti wa kazi aitwaye Sada
kupelekwa Oman kufanya kazi za ndani na kufanyiwa unyama na wenyeji wake
kias chakurudi akiwa hawezi kuzungumza wala kusikia, leo Wizara ya
Mambo ya nje kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu Simba Yahya amezungumza.
Msanii wa muziki wa Bongo FlavaMr Blue ana asbabu kubwa sana ya kufurahia siku hii ya leo, dakika chache zilizopita Mr Blueameshare na sisi furaha yake kubwa ya kumkaribisha mtoto wake
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akisalimiana kwa kumbatiana na Mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Azizi ambaye pia ni mmoja wa wamiliki wa vyombo vya habari