Friday, 3 July 2015

ULIPITWA NA MAGAZETI YA LEO CHEKI HAPA

LAYIII
Wakati vikao vya juu vya CCM vikikaribia kuanza mchakato wa kumpata mgombea Urais wa chama hicho, mji wa Dodoma umeanza kupokea wageni kutoka maeneo mbalimbali.

StoriKUBWA >> Makao Makuu CCM Dom.. Waliosimamishwa Bungeni, Hakimu Feki Mahakamani !!

In Case
MWANANCHI
Wakati vikao vya juu vya CCM vikikaribia kuanza mchakato wa kumpata mgombea Urais wa chama hicho, mji wa Dodoma umeanza kupokea wageni kutoka maeneo mbalimbali.
Uchunguzi uliofanywa na Gazeti la Mwananchi kwenye maeneo ya katikati ya mji wa Dodoma hadi jana, umebaini kuwa tayari nyumba nyingi za kulala wageni na hoteli zimeshajaa.

Hali ya mwimbaji Banza Stone sio nzuri, imebidi apelekwe Hospitali akatibiwe..

layiii

unnamed IIHali ya kiafya ya Staa na mkongwe wa muziki wa dance Tanzania, Ramadhan Masanja aka Banza Stone sio nzuri, anaumwa kwa muda mrefu na wapo ambapo waliofikia hatua hata ya kumzushia mitandaoni kwamba

NANI WA MAN U KUSAJIRIWA UTURUKI

LAYIII
Mchezaji wa klabu ya Manchester United Nani anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa matibabu katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahce baada ya vilabu hivyo viwili kukubaliana ada ya yuro milioni 6 kwa uhamisho wa mchezaji huyo.

Fenerbahce kumsajili Nani wa Man United


null

Mchezaji wa klabu ya Manchester United Nani anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa matibabu katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahce baada ya vilabu hivyo viwili kukubaliana ada ya yuro milioni 6 kwa uhamisho wa mchezaji huyo.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 alihamia Manchester United kutoka klabu ya Sporting

NIKOLAUS ANELKA KUWA TICHA WA MUMBAI SASA

LAYIII
Aliyekuwa mchezaji wa vilabu vya Arsenal na Chelsea Nicolas Anelka amechaguliwa kama mkufunzi wa klabu ya Mumbai City

Aliyekuwa mchezaji wa vilabu vya Arsenal na Chelsea Nicolas Anelka amechaguliwa kama mkufunzi wa klabu ya Mumbai City.
Anelka mwenye umri wa miaka 36 aliichezea klabu hiyo ya ligi kuu nchini India chini ya ukufunzi wa aliyekuwa mkufunzi wa klabu ya Manchester City Peter Reid.
''Alituvutia sisi sote na ufundi wake pamoja na ujuzi wa hali ya juu alionao'',alisema mmiliki wa kilabu hiyo ambaye pia ni mwigizaji nyota wa Bollywood Ranbir Kapoor.
Anelka alikuwa mchezaji mkufunzi katika kilabu ya Shanhai Shenhua mwaka 2012.
Raia huyo wa Ufaransa alifanikiwa kufunga mabao mawili pekee katika mechi saba alizocheza katika msimu wake wa kwanza mjini Mumbai lakini anarudi katika kilabu hiyo kama mchezaji ambaye anafaa kulipwa mshahara mkubwa.
.

SHAMSA NUSURU AUWAWE ATISHIWA KIFO KILICHOENDELEA HAPA NIMEKUWEKEA AUDIO MSIKIE MWENYEWE

LAYIII
Muigizaji wa filamu Shamsa Ford amefunguka na kusema kwamba tangu aachane na Ex boyfriend wake Dickson Matoke aliwahi kuwatishia kuwauwa yeye na mwanae zaidi ya mara 10.

Shamsa aliripoti Polisi baada ya kutishiwa maisha na mchumba wake

 
.
.
Muigizaji wa filamu Shamsa Ford amefunguka na kusema kwamba tangu aachane na Ex boyfriend wake Dickson Matoke aliwahi kuwatishia kuwauwa yeye na mwanae zaidi ya mara 10.
Akizungumza na millardayo.com alisema…’Ni kweli wakati nilipokuwa katika mahusiano naye alikuwa ni mtu ambaye anapenda sana kuniambia neno nitakuuwa mimi na mwanangu ndio maana

BAADA YA WEMA MPAKA ZARI SASA NI ZAMU YA OMOTOLA MSHUDIE DIAMOND HAPA NA OMOTOLA

LAYIII
KING wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametengeneza kichwa cha habari nchini Nigeria baada ya kufunguka kuwa anampenda ‘vibaya’ staa wa filamu nchini humo, Omotola Jalade Ekeinde, Ijumaa lina stori kamili.

DIAMOND AKIRI KUMPENDA OMOTOLA

Kwa mujibu wa chanzo kilichoambatana na Diamond katika ziara ya kimuziki iitwayo ‘Nana Tour’ nchini humo, staa huyo ambaye kwa sasa ni mpenzi wa mjasiamali maarufu, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ amekuwa akiumizwa na penzi la Omotola kitambo sana lakini hakuwahi

ROBOT LINALOTENGENEZA MAGARI LAUWA MFANYAKAZI

LAYIII

ROBOTI LAMUUA MFANYAKAZI KIWANDA CHA MAGARI CHA VOLKSWAGEN UJERUMANI

Hiki ni moja ya viwanda vinavyotengeneza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani.

Wanne washindwa kurejesha fomu, kilichojiri Bungeni kiko hapa na BVR Dar sasa Julai 16…#MAGAZETINI JULY3

LAYIII

NIPASHE
Kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma, imeelemewa baada ya idadi ya wakimbizi kutoka Burundi kuzidi kuongezeka hivyo kuzidi uwezo wake kama inavyotakiwa na sheria za Umoja wa Mataifa (UN).
Mkurugenzi Idara ya Wakimbizi, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke, alisema bado wakimbizi wa Burundi hawajaanza kurudi nyumbani kwao bali hali imekuwa mbaya zaidi kutokana na idadi yao kuendelea kuongozeka.
Kwa mujibu wa Mseke, hadi sasa wakimbizi katika kambi hiyo kutoka Burundi, wamefikia 71,000 na ndani ya wiki moja iliyopita wameingia wakimbizi 10,000.
Alisema kwa sasa idadi ya wakimbizi wote kutoka Burundi na nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), katika kambi hiyo ni takribani 100,000.
Kwa mujibu wa mkurugenzi huyo, idadi hiyo ni kubwa kupita kiasi kwani sheria za UN kupitia shirika lake la kuhudumia wakimbizi duniani (UNHCR) kambi moja inapaswa kuhudumia wakimbizi wasiozidi 50,000.

Baada ya kuondoka Man Utd, Falcao arudi tena kucheza EPL

LAYIII

Miezi takribani miwili baada ya klabu ya Manchester United kuamua kutoendelea kupokea huduma za Radamel Falcao kwa kutompa mkataba wa kudumu, mchezaji huyo wa Colombia amepata timu mpya ndani ya ligi kuu ya Uingereza.

Breaking News: Baada ya kuondoka Man Utd, Falcao arudi tena kucheza EPL

Miezi takribani miwili baada ya klabu ya Manchester United kuamua kutoendelea kupokea huduma za Radamel Falcao kwa kutompa mkataba wa kudumu, mchezaji huyo wa Colombia amepata timu mpya ndani ya ligi kuu ya Uingereza. 
Falcao ambaye ni nahodha wa timu ya taifa ya Colombia, anatarajia kujiunga na Chelsea kutokea Monaco kwa mkataba wa mwaka mmoja wa mkopo.

MAPYA YAIBUKA DAIMOND KACOPY WIMBO WA NANA

LAYIII
Nana’ ya Diamond kacopy Video ya ‘Moyo wangu’..mwenyewe amesema wakati anatoa wimbo wa Moyo wangu hakuwa anajulikana sana kimataifa kama sasaivi na alichokifanya kwenye wimbo wake mpya wa Nana kaamua kuiboresha na kuiongezea ubunifu kwa kuchua vitu vichache kwenye wimbo wa Moyo wangu.

Diamond kacopy Video ya Nana? Belle 9 hana habari na mitandao ya kijamii, Mb Dog na muziki je?..#255 (Audio)

dia

Thursday, 2 July 2015

DIAMOND NAMBA MOJA KTK TOP TEN YA TRACE TV AFRICE

LAYIII
NANA YAMPAISHA MTU WANGU


BZMORNING TANZANIA SHUHUDIA MAGAZETI YA LEO 3/7/2015

LAYIII

.
.

MAITI YAKOHOA, YAFUMBUA MACHO

LAYIII
MAITI (1)Tunu Shabani anayedaiwa kuzinduka baada ya kufariki dunia, akiweweseka.
Maajabu ya Bagamoyo! Katika hali ya kushtua, familia yenye makazi yake, Magomeni, Bagamoyo mkoani Pwani, imejikuta kwenye mauzauza baada ya ndugu yao kufariki dunia huku akidaiwa kukohoa, kufumbua macho na kuonesha dalili za kuwa hai, pamoja na kwamba daktari alithibitisha kifo.

MTAZAMO WA YEMI ALADE KUHUSU WASANII WA MZIKI KUPEANASUPPORT UTACHEKA UPASUKE

LAYIII

blackup-for-Yemi-Alade-Look-1
Yemi Alade ni msanii maarufu kutoka Nigeria ambaye alitamba sana na ngoma yake Johnny. Nimekutana na interview moja aliofanya msanii huyu jijini Lagos, aliulizwa maswali mengi lakini moja kubwa lilikuwa linahusu hali ya wasanii kupeana support kwenye muziki.
iiihib
Yemi Alade alikuwa na haya ya kusema.
>>> “siwezi kuzungumza kwa niaba ya kila mtu so nitaongea kulingana na mtazamo wangu, kwa mimi binafsi nahisi kwenye industry wanaume wanapeana support zaidi kuliko wanawake, sijui kwa nini ila naona hii ndio hali halisi kwa hapa kwetu.” 

ETI TAIFA STAR HAWAJUI KIINGELEZA SI JAMAA KANYOOSHA MKONO HAHAHA MSIKIE MWENYEWE

LAYIIII
Kumekuwa na headlines tofauti tofauti katika mitandao zikiwahukumu wachezaji wa timu ya ‘Taifa Stars’  kutojua lugha ya kingereza ndio chanzo iliyopelekea kutofanya vizuri uwanja na kutoelewana na aliyekuwa MSIKIE MWENYEWE HAPA MTU WANGU kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’  Mart Nooi.

Eti wachezaji wa Taifa Stars walikuwa hawakuelewa Kingereza?, Cannavaro kanyoosha mkono

.
.

UJUE USHINDI WA RAIS KENYATA KWA MARA NYINGINE MTU WANGU

LAYIII
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015.
Kabla ya Kenyatta kushinda, Rais Paul Kagame wa Rwanda alikuwa akishikilia nafasi hiyo.

Unamfahamu Rais bora Afrika 2015? Ninayo hii stori iliyopewa headlines kubwa leo..

enjoy
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015.

MCHEKI WANAFUNZI ALIYE INGIA KATIKA JENEZA KUSUPRISE JAMAA ZAKEKTK GRADUATION YAKE

LAYIII
Niliwahi kukuletea stori ya bibi harusi kuamua kufanya surprise kwa mume wake pamoja na wageni waalikwa siku ya harusi, akajipanga na kuingia zake Ukumbini akiwa ndani ya jeneza.. lengo lake ilikuwa afanye tu kitu tofauti na kuvunja rekodi yake mwenyewe.
cof


Mwanafunzi kaona aingie na jeneza k

MCHEKI MESSI ALIVO WATOKA MABEKI KATIKA KIPANDE HIKI CHA VIDEO

LAYIII
Copa America ndio story nyingine kubwa kwenye soka Duniani kwa sasa, imechezwa tayari mechi ya Argentina VS Paraguay… matokeo ilikuwa Argentina kushinda goli 6-1, lakini kilichonivutia ni hiki hapa.

Kama unaamini ukali wa Lionel Messi, cheki hapa ‘alivyowatoka’ mabeki wawili wakaangukiana.. (Video)

lionel-messi-world-player-soccer-lionel-messi-feature4 (1)
Copa America ndio story nyingine kubwa kwenye soka Duniani kwa sasa, imechezwa tayari mechi ya Argentina VS Paraguay… matokeo ilikuwa Argentina kushinda goli 6-1, lakini kilichonivutia ni hiki hapa.
Lionel
Japo Cristiano Ronaldo anatajwa kuwa ndio mchezaji wa soka mkali kabisa Duniani na ana Tuzo yake ya Ballon d’Or kwa mara tatu mfululizo, wapo wanaoamini Lionel Messi ndio mkali zaidi !!
Nina hivi vipisi vya video vinavyoonesha ukali mwingine wa Lionel Messi akiwa Uwanjani, play uone wachezaji wawili walivyoachwa kwenye mataa mtu wangu!!
Video Player

Video Player

 

FROM JELA HADI MTAANI MCHEKI RICK ROSS HAPA AKITOKA JELA

LAYIII
Headlines za Entertainment Marekani zilikuwa na story ya Rick Ross kukamatwa na kuwekwa ndani yeye pamoja na bodyguard wake, kesi yao ilikuwa ni ishu ya kuteka na kujeruhi watu wawili.

Rick-Ross-court
Headlines za Entertainment Marekani zilikuwa na story ya Rick Ross kukamatwa na kuwekwa ndani yeye pamoja na bodyguard wake, kesi yao ilikuwa ni ishu ya kuteka na kujeruhi watu wawili.
July 01 2015 kapandishwa Mahakamani, Georgia Marekani.. Kesi ikasomwa na milango

NIMEKUWEKEA VIDEO YA MGOGORO WA BUNGENI LEO HAPA CHINI

LAYIII

Kilichotokea Bungeni mpaka Bunge likaahirishwa leo July 02 2015

Kikao cha Bunge kilianza kama kawaida leo July 02 2015, baada ya kipindi cha maswali na majibu yaliyoulizwa kwa Mawaziri, Mbunge John Mnyika akaomba mwongozo.
Tumekabidhiwa orodha ya shughuli za leo.. kimsingi imekiuka kanuni, uamuzi wa kuileta hii miswada mitatu kwa pamoja kama hati ya dharura umekiuka kabisa msingi wa makubaliano ya kwenye Semina ambapo Wabunge kwa kauli moja tulikataa Miswada hii isiletwe kwa hati ya dharura
Mbunge John Mnyika.
Naomba Mwongozo, hili jambo linahitaji majibu sasa” >>> Mbunge John Mnyika.
Spika Makinda akaanza kutoa ufafanuzi kuhusu hiyo ishu >>> “Toa kwanza maneno ya kuniamrisha mimi cha kufanya… Hakuna mtu anayeweza kuniamrisha” >>> Anne Makinda.

 



advertise here