Saturday, 7 March 2015

Friday, 6 March 2015

Hii ndio ajali ya ndege binafsi aliyoipata mwigizaji huyu staa wa Hollywood

hARRISON iii
Hii picha alipigwa Harrison akiwa anaruka na ndege yake mwezi February 2015
Harrison Ford ni mmoja ya waigizaji ambao ni mastaa wakubwa sana duniani wa movie za Holywood,

Alichojitetea Pharell Williams kwenye kesi yake ya kukopi wimbo wa Marvin Gaye..

.
Pharrell Williams
Ishu ya mastaa wa kibongo kukopi nyimbo za nje imesikika sana, ambacho tumezoea kukiona kwa kawaida ni kwamba wenzetu kama Marekani wanafuata sana Sheria, ukiangalia Chris Brown aliimba

MOSHI MPOOOOOOO KALI HIIII KUTOKA KWA KIBA INAKUJA

2lrgUkubwa wa singo ya

TASWIRA MPYA STUDIO ZA AZAM TV

TASWIRA YA STUDIO MPYA YA AZAM TV ni gumzo hapa mjini hebu ona picha zake kidogo hapa.

KESI YAKE NA RUGE, JIDE AHUKUMIWA

Thursday, 5 March 2015

UNDERSTAND DENIAL SERVICE ATTACKS

What is a denial-of-service (DoS) attack?

In a denial-of-service (DoS) attack, an attacker attempts to prevent legitimate users from accessing information or services. By targeting your computer and its network connection, or the computers and network of the sites you are trying to use, an attacker may be able to prevent you from accessing email, websites, online accounts (banking, etc.), or other services that rely on the affected computer.
The most common and obvious type of DoS attack occurs when an attacker "floods" a network with information. When you type a URL for a particular website into your browser, you are sending a request to that site's computer server to view the page. The server can only process a certain number of requests at once, so if an attacker overloads the server with requests, it can't process your request. This is a "denial of service" because you can't access that site.
An attacker can use spam email messages to launch a similar attack on your email account. Whether you have an email account supplied by your employer or one available through a free service such as Yahoo or Hotmail, you are assigned a specific quota, which limits the amount of data you can have in your account at any given time. By sending many, or large, email messages to the account, an attacker can consume your quota, preventing you from receiving legitimate messages.

CYBERSECURITY: A BEGINNERS VOCABULARY

As you master new cybersecurity skills, you’ll be exposed to new terms that are constantly growing and evolving. Each new challenge and achievement will open the doors to new concepts that must be both clearly defined and proficiently demonstrated.
While some computer security terms have become rather commonplace in our society, others remain a bit mysterious to those encountering them for the first time.
Here are some basic Internet and cybersecurity terms that may help you as you increase your knowledge in this challenging field.


Useful Cybersecurity and General Internet Terms for Beginners
  • Antivirus Software. Most Internet users are well aware of these programs since nearly every computer sold today provides at least short – term access to this type of software. In a nutshell, these programs protect your computer from Internet viruses or codes that can quickly disable your computer (or an entire network). When functioning properly with all necessary updates, this software will constantly monitor your computer to prevent viruses from “infecting” it;

Wednesday, 21 January 2015

WEB SITE YA TBCCLTD.CO.TZ IMEINGILIWA NA WAVAMIZI WANAOJIITA MAHACKERS

Ikiwa imebakia siku chache tu kampuni ya tanzania busness creation company limited kufanya kongamano lao websiteyao imevamiwa na wavamizi wanao jiita

Thursday, 15 January 2015

DIAMOND ADHIBITISHA KUWA ZARI ANA MIMBA YAKE

MWANAMKE MWENYE KOVU JEUSI

HEKA HEKA MJINI NI HADITHI NZURI YA KUSISIMUA NA KU VUTIA
Nakumbuka vizuri ilikuwa siku ya jumapili ambayo kama ilivyoada kwangu huwa sikosi kwenda kanisani hasa misa ya kwanza kwani huwa napenda sana kusali misa ya kwanza ili baadaye niweze kuendelea na mambo yangu mengine,siku hiyo niliamka asubuhi na mapema kutoka pale nyumbani kwangu mnazi mmoja karibia na ofisi za chama cha mapinduzi za mkoa wa Dar-es-salaam na kuelekea kanisani pale saint.alban posta taratibu kwa miguu kwani gari yangu ilikuwa imeharibika wiki ya pili sasa na isitoshe pale nyumbani kwangu mpaka pale posta hapakuwa mbali sana kiasi cha kama dakika 20 tu hasa kwa kijana kama mimi ambaye damu ilikuwa bado inachemka.niliingia pale kanisani nikiwa sijachelewa sana misa ilikuwa imeanza kama dakika 7 hivi nakumbuka sana somo la siku hiyo alilolitoa padri Kiaka lilikuwa linahusu umuhimu wa kuombea siku yako ya kufa kwani haina siku wala saa.

Mahakama yasitisha mgomo wa walimu Kenya

Mgomo wa walimu wa shule za umma nchini Kenya umesitishwa baada ya agizo la mahakama kwamba walimu warejee kazini wiki ijayo ikiwa afueni kwa wanafunzi
Agizo hilo limetolewa baada ya mazungumzo ya siku nzima kati ya chama cha kutetea masilahi ya walimu pamoja na upande wa serikali katika mahakama ya viwanda.
Mahakama hio imewaaamuru walimu kurejea kazini na kwamba hakuna anayepaswa kuchukulia hatua za aina yoyote kwani mgomo huo ulikuwa halali.
Serikali pamoja na upande wa walimu zimetakikana kuwasilisha mapendekezo kuhusiana na malipo ambayo walimu wanataka.
Mazungumzo hayo, yananuiwa kusuluhisha mgogoro wa malipo kati ya walimu na serikali.
Kufuatia agizo hilo la mahakama , walimu wanatarajiwa kurejea kazini Jumatatu huku wazazi na wanafunzi wakipata afueni.
Juhudi za hapo awali kujaribu kuzuia mgomo huo hazikufua dafu huku mgomo huo ukiingia katika wiki yake ya pili.
Wabunge pia waliitaka serikali kusuluhisha mgomo huo na kuwapa walimu wanachotaka kwani wanafunzi hawajafunza tangu muhula mpya wa shule kuanza nchini Kenya.


Wednesday, 14 January 2015

LULU: MAPEDESHEE NDO WANAOWEKA WASANII WA KIKE MJINI SIO FILAMU KAMA WATU WANAVYOAMINI

ELIZABERTH MICHAEL amefunguka hayo baada ya baada ya watu wengi kuamini kuwa wasanii wengi wanafanikiwa kutokana nafilamu badala yake amesema kwamba wasanii wakike wana biashara iliyo jificha na isiyo halali  WASANII WAKIKE HAWAJISHUGHULISHI NA FILAMU WAJITANGAZE KIMATAIFA BADALA YAKE WANATUMIA MUDA MWINGI KUFANYA BIASHARA ISIYO RASMI NA ILIYO JIFICHA
LULU KATIKA POZE NZITO

ZANZIBAR FULL SHANGWE ADA ZA MASOMO KUFUTWA

RAIS wa serikali ya mapinduzi zanzibar kutupiliambali ada za mitiani ya sekondari katika shehehe za miaka 51 ya mapinduzi zilizo fanyika mjini zanzibar juz
WAKATI Watanzania wakihitimisha maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi Zanzibar, wakazi wa Zanzibar wamejikuta wakiadhimisha sherehe hizo kwa mtindo wa pekee baada ya kufutiwa malipo ya ada kwa shule za msingi na sasa elimu hiyo inatolewa bure visiwani humo.
Kama hiyo haitoshi, pia katika kilele cha maadhimisho hayo, ilibainishwa kuwa kuanzia sasa wazazi hawatochangia malipo ya ada ya mitihani ya kidato cha nne na cha sita.
Habari hizo njema zilibainishwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, ambaye alisisitiza kuwa uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa dhamira ya mapinduzi ya Zanzibar ya kuwapatia wanafunzi wote elimu bure, kama ilivyoasisiwa na hayati Karume na kutangazwa Septemba 23, mwaka 1964.
Wakati Dk Shein akitangaza unafuu huo katika elimu kwa wakazi wa Zanzibar, tayari Rais Jakaya Kikwete, naye hivi karibuni alitangaza rasmi kuwa serikali inaangalia uwezekano wa kufuta ada katika shule zake za sekondari.
Kwa mujibu wa Rais Kikwete, lengo la kufuta ada hizo ni kusaidia wanafunzi wengi ambao wanashindwa kuendelea na elimu hiyo, kutokana na ukosefu wa fedha waweze kuendelea na masomo yao.

TBCC KUFANYA SEMINA YA KUFUNGUA MWAKA KATIKA TBCC HOUSE

Tanzania business creation company limited kufanya kongamano la maarifa katika tbcc house siku ya tarehe 26/01/2015 mwaka huu fika bila kukosa na wahi ratiba yako kwani ni bidhaa mpya kabisa zitafundishwa kwa nadhalia na vitendo



baadhi ya wanafunzi wakisikiliza kwa makini na kujadiliana kabla ya mafunzo kwa vitendo kuanza



baadhi ya wanafunzi wakijifunza upambaji wa keki batiki na mishumaa

advertise here