Show hii pia ilisindikizwa na Recho kutoka THT,kwa maelezo ya Ali Kiba mbali na kuiperfoam Chekecha kwa mara ya kwanza Moshi pia imekua mara ya kwanza kwake kuperfoam akiwa na live band Moshi,miongoni mwa watu waliokuwepo ukumbini ni pamoja na baba mzazi wa Mwana FA.
Saturday, 7 March 2015
ALIKIBA AFUNIKA MOSHI CHEKI PICHA ZAKE HAPO CHINI NI NOUMA
Show hii pia ilisindikizwa na Recho kutoka THT,kwa maelezo ya Ali Kiba mbali na kuiperfoam Chekecha kwa mara ya kwanza Moshi pia imekua mara ya kwanza kwake kuperfoam akiwa na live band Moshi,miongoni mwa watu waliokuwepo ukumbini ni pamoja na baba mzazi wa Mwana FA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment