Friday, 18 September 2015

COLLABO NYINGINE YA LIL WYNE FEAT.CHRISTINA MILIAN ISIKUPITE WEEKEND HII MTU WANGU

LAYIII
Headlines za burudani kwa sasa kuhusu mastaa hawa Christina Milian na Lil Wayne zinazungumzia kuvunjika kwa mahusiano yao.

LIST YA VIWANJA 10 VYA NDEGE AMBAVYO NI VYA GHARAMA ZAIDI DUNIANI…(PICHAZ)

layiii
Wakati Tanzania ikipambana kukamilisha upanuzi wa ujenzi wa uwanja wa ndege ambao utakuwa bora zaidi na kuziwezesha ndege kubwa zaidi duniani kuweza kutua kwa wingi..hapa nimekuwekea list ya viwanja 10 ambavyo vimejengwa kwa gharama zaidi duniani.
Hii ndiyo list kamili…
11
1. Kansai International Airport –Japan: kimetumia dola bilioni 20 kujengwa

HAYA NI MAISHA MENGINE YA KOCHA JOSE MOURINHO NJE YA SOKA…

layiii
Jina la José Mourinho ni miongoni mwa majina yenye ushawishi mkubwa sana kwa upande wa soka duniani..amekuwa kocha mwenye mafanikio makubwa katika timu mbalimbali alizowahi kufundisha ikiwemo Chelsea ambayo anaifundisha kwa sasa na ikiwa imechukua ubingwa wa EPL.

Thursday, 17 September 2015

PICHAZ ZA JAY Z, BEYONCE NA MTOTO WAO WAKIENJOY KATIKA BOTI YA KIFAHARI ZIPO HAPA…

LAYIII
Jay Z na Beyonce ni miongoni mwa couple zenye nguvu zaidi, wasanii hao maarufu wamepigwa picha wakiwa na mtoto wao wa miaka 3 Blue Ivy katika boti ya kifahari ambayo inaitwa Galactica Star, gharama ya kukodi boti hiyo kwa wiki ni dola 900000 za kimarekani ambazo

MAGAZETI YA TANZANIA SEPTEMBA 18, 2015.. UDAKU, MICHEZO NA HARDNEWS !

LAYIII

HADI KUFIKIA JUNE 2013 HAYA NDIO YALIKUWA MAAJABU 10 YA DUBAI (+PICHAZ)

LAYIII
Miongoni mwa sehemu nzuri na zakuvutia kutembelea katika hii Dunia basi Dubai haiwezi kukosa, Dubai unatajwa kuwa mji wa kitalii na kibiashara, wengine wanautaja kama pepo ya watalii. Mji huo umejengeka kwa majengo yenye ramani za kuvutia. September 17 nakusogezea

MAGUFULI NA M4C, ZITTO NA JK, CCM NA UCHAGUZI MKUU, MAJARIBIO YA FAINI TZ LEO? >>> STORI KUBWA (AUDIO).

layiii
Alhamisi ya tarehe 17 September 2015 imeanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM, na kwenye stori zilizoweka headlines zipo hizi ambazo zimesikika kwenye #PowerBreakfast
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Magufuli asema “M4C” inamaanisha Magufuli 4

Wednesday, 16 September 2015

WAJUWE WAGENI WALIOITEKA MAREKANI

LAYIII


Rihanna.
Hans Mloli na mtandao
WAHAMIAJI wapo kila mahali duniani lakini mara kadhaa huwa ni ngumu sana kung’ara au kuonyesha kipaji chako mbele ya wenyeji na kuwafunika kirahisi.

NINAYO TAYARI ORODHA KAMILI YA WALE WOTE WANAOWANIA TUZO ZA ANNUAL BET HIP HOP AWARDS 2015!

LAYIII
Kila mwaka kituo kikubwa cha burudani Marekani BET huandaa tuzo za kipekee kabisa  ‘Annual BET Hip Hop Awards’ kwa ajili ya kuwapongeza wale wote walioweza kufanya vizuri zaidi kwa mwaka kwenye muziki wa Hip Hop.. Tuzo hizo zimerudi tena kwa mwaka wa 2015 zikiwa

GOOD NEWZ DIAMOND TUZO NYINGINE

LAYIII

Entertainment

#Goodnews Diamond Platnumz apokea ushindi wa tuzo nyingine mbili…!!

Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwa mtu wetu Diamond Platnumz kwani amekuwa wa kupokea na kutajwa kwenye tuzo nyingi sana kwa mwaka huu wa 2015 na siku chache zilizopita Diamond Platumz alitajwa kuwania tuzo nyingine tena za kimatatifa MTV EMA 2015 jijini Milan Italy.

AJIKUTA MIKONONI MWA POLICE BAADA YA KUONYESHA UBUNIFU WAKE

LAYIII
Ahmed Mohamed ni kijana wa miaka 14, alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufanya ubunifu ambao yeye alidhani itakuwa ni kitu kizuri kuwafurahisha Walimu wake, lakini baada ya kuwaonesha tu ubunifu wake, ikapigwa simu Kituo cha Polisi na wakamkamata !!

TEKNOLOJIA INATUPELEKA HUKU SASAHIVI, SMARTPHONE INAJAA CHAJI KWA DAKIKA 35 MTU WANGU… (PICHAZ & VIDEO)

LAYIII
Watumiaji wa smartphones wakae tayari kuipokea hii good news mtu wangu, kuwa na smarthphone ni raha kwa sababu una uhakika wa kufanya mambo yako mengi sana kwa kupitia simu ya mkononi tu, ishu ni pale ambapo simu hizo zinamaliza chaji haraka na kujaa zinachukua muda pia

Tuesday, 15 September 2015

AUNT EZEKIEL KAYAZUNGUMZA HAYA KUHUSU KUONDOKA UKAWA KUHAMIA CCM….(AUDIO)

layiii

MAKUBWA YAIBUKA AUNT EZEKIEL NA RAY WAMEHAMIA CCM ?, STEVE NYERERE KAYAZUNGUMZA HAPA…

LAYIII....


.
.
Ni stori ya kisiasa ambayo ilianza kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu wasanii wawili wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi aka Ray kuondoka UKAWA na kuhamia chama cha Mapinduzi.

SABABU YA LILY WAYNE NA CHRISTINA MILIAN KUACHANA HII HAPA…

LAYIII
Baada ya kuachana na mchumba wake miaka miwili iliyopita mwimbaji wa R&B Christina Milian alianza kuonekana sana na rapper Lil Wayne baada ya kujiunga na lebo ya msanii huyo, muda mfupi

P-SQUARE WAONYA: SISI WABURUDISHAJI SI WANENGUAJI

layiii
Mapacha wa muziki wa R&B wa Nigeria, Peter na Paul Okoye.
MAPACHA wa muziki wa R&B wa Nigeria, Peter na Paul Okoye wanaounda kundi la P-Square, wamesema hawataki kuitwa wanenguaji, bali waitwe waburudishaji.

PSQUARE WAWEKA HEADLINES KWA KUBUKA NA MJENGO MWINGINE HUKO ATLANTA….

LAYIII

Mapacha wawili kutoka kundi la Psquare wamerudi tena kwenye headlines baada ya kununua nyumba katika moja ya ya majengo huko Atlanta.

JINSI AZAM FC NA MTIBWA SUGAR WALIVYOTIMIZA VIGEZO VYA KUPATA LESENI YA KLABU KWA 95% (+AUDIO)

LAYIII
Klabu za Ligi Kuu soka Tanzania bara bado hazijakidhi vigezo vya kupata leseni ya kudumu ya vilabu, kupitia kwa mkuu wa idara ya habari wa shirikisho hilo Baraka Kizuguto amethibitisha vilabu vingi kushindwa kupata leseni za vilabu isipokuwa klabu ya Azam FC na Mtibwa Sugar.

MAJIBU YA MOURINHO KUHUSU MFULULIZO WA MATOKEO MABOVU NA KUELEKEA MECHI DHIDI YA KLABU YA MACCABI TEL AVIV..

layiii
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ambaye ni mtaalam wa kucheza na saikolojia za makocha na wachezaji wa timu pinzani ili aweze kushinda, kwa sasa yupo katika wakati mgumu na klabu yake ya Chelsea kwani bado haijafanya vizuri katika michezo ya Ligi Kuu.

HABARI ZA KUSHTUA DJ FETTY ATANGAZA KUACHA KAZI YA UTANGAZAJI

LAYIII
Jina lake ni Fatma Hassan aka DJ Fetty, moja ya Watangazaji ambao wamepata majina makubwa sana TZ na East Africa kutokana na kazi ya Utangazaji ambapo ana mchango mkubwa pia kwenye muziki wa Bongo Fleva kama Mtangazaji wa show ya Entertainment, XXL ya Clouds FM.

advertise here