Friday, 24 July 2015

LOWASSA NA KAULI YA MSEMAJI WAKE KUHUSU KUJIUNGA UKAWA

LAYIII
BAADA ya vuta nikuvute katika vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuhusu kukubaliwa au kutokubaliwa kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa kujiunga na umoja huo ili kuongeza nguvu ya kisiasa, hatimaye mwanasiasa huyo maarufu nchini amekubaliwa na tayari amejiunga rasmi Ukawa akiwa mwanachama halisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imefahamika.
 

 

WEMA LEO NI LEO ATAKATWA AU ATAINGIA MJENGONI KUWA NAMI KATIKA BZNOON NA SWAXBZ.COM

LAYIII
No comments
Actress grade one Bongo Wema Sepetu, ni miongoni mwa wasanii kadhaa waliojitokeza kuomba nafasi za kuwania uongozi Tanzania katika vyama mbali mbali.
Mrembo huyo anawania kuteuliwa kuwa Mbunge wa viti maalum

NCHINI KENYA ULINZI NI WA KUFA MTU KILA KONA NI MAKACHELO WA MAREKANI

LAYIII

Gari na helikopta zisizopenya risasi.

Ni Obama kila kona! Muda wowote kuanzia leo wananchi wa Kenya watashuhudia kutua kwa Rais wa Marekani, Barack Hussein Obama, nchini humo huku stori kubwa ikiwa ni ulinzi uliowekwa kwa hofu ya kundi ‘haramu’ la ugaidi la Alshabaab, Ijumaa linakupeleka hadi kwa majirani zetu hao.

FC BARCELONA WALIPOKUTANA NA MABINGWA WA NBA FULL SHANGWE MTU WANGU

LAYIII
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo ipo Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Hispania imezidi kujenga uhusiano mzuri na NBA Barcelona siku chache zilizopita ilimualika mkali wa Basketball anayeichezea Los Angels Lakers Kobe Bryant kutembelea timu yao wakati wa mazoezi sambamba

Pichaz za Wachezaji wa FC Barcelona walipokutana na mabingwa wa NBA, Iniesta, Busquet na Pique waliweza Basketball?

2015-07-23_ENTRENO_48.v1437689442
Pique kushoto akiwa na kombe la NBA, Harrison Barnes katikati akiwa na kombe la URFA na Busquet kulia akiwa na mpira wa Basketball
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo ipo Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Hispania imezidi kujenga uhusiano mzuri na NBA Barcelona siku chache zilizopita ilimualika mkali wa Basketball anayeichezea Los

ASABABISHA MAUAJI KTK NYUMBA YA SINEMA NAYE AJITUNDIKA

LAYIII
Masaa machache yaliyopita kumetokea tukio la mauwaji Marekani ambako mwanaume mmoja aliamua kupiga risasi ovyo akiwa kwenye nyumba ya Sinema iliyopo jijini Lafayette Louisiana na kusababisha vifo vya watu 2 na majeruhi ya watu 9 kabla ya kujiua yeye mwenyewe.

ABIRIA WACHOMWA VISU........ KENYA NA ZIARA YA OBAMA....... ALIYE AHIDIWA UWAZIRI

LAYIII
Bzmorning tanzania leo katika headline za magazeti ya leo nimejaribu kukunyofolea habari hiii mtu wangu wa ukweli
AKIBA TENA
MWANANCHI
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo Simu 2000.

NIMEKUWEKEA HEADLINE ZA MAGAZETI YA LEO 24/07/2015

LAYIII

.
.
Good morning mtu wangu..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi July 24 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa

LOWASA ABANWA...........NA MASHINE ZA BVR DAR TATIZO........!!!!!!!!! KATIKA POWER BREAKFAST {ZIARA YA OBAMA}

LAYIII

headlines1
Uchambuzi wa magazeti redioni leo umekupita? Nimekusogezea stori zote za magazeti zilizosikika @Clouds.fm zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa…
Tatizo la BVR linazidi kuwa kubwa, kasoro za uandikishaji zinazidi kujitokeza jijini Dar huku Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam Meck Sadik akiomba mashine za BVR kuongezwa na zile mbovu kutengenezwa.

Thursday, 23 July 2015

HABARI ZA KUSHTUA NI KWAMBA TUPAC YUPO HAI NA POLICE WAMEPIMA DNA ZIMECORFIRM {NAKUWEKEA KAMA ILIVO COPY PASTE}

LAYIII

BREAKING NEWS - Police Confirms The Dna "TUPAC IS ALIVE" 2015 Video Proof


BONYEZA PCHA HAPO KUUSHUDIA UKWELI

Today: May 21 2015 we can confirm that Mr. Tupac Amaru Shakur lives. According to the Police officer mr. Beck. "Lately we used to check the DNA test and we discovered that Mr. Shakur lives and as you can see in the video he admits his existen

ALICHOKISEMA DAVIDO KUHUSU COLLABLE YAKE NA ALI KIBA SOMA HAPA

LAYIII

Davido ni msanii wa Nigeria ambaye ujazo wa jina lake ulizidi kuongezeka Tanzania baada ya kufanya ‘number one rmx’ na Diamond Platnumz, wawili hawa walitaja kuwa kwenye beef baada ya Davido kuandika sentensi tata baada ya Tanzania kutangazwa mshindi wa shindano la BBA 2014.


ACHOMWA MOTO BILA HURUMA.........MADHARA YA KUTUMIA MADAWA YA KUONGEZA MAKALIO

LAYIII
 Kweli dunia haina ‪#‎huruma‬, ‪#‎dada‬ huyu ateketea kwa moto kisa ‪#‎MCHEPUKO‬ alipewa ofa nyingi sana na mchepuko wake alipo kutwa na mchepuko mwingine joto likaanzia hapo

Vtwoc Da Costa's photo. 

LOWASA WEMA TUMBO JOTO

LAYIII
DU! Kazi kwelikweli! Habari ya mjini kwa sasa ni mtoto mzuri Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuwania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), lakini nyuma yake kuna habari zinazodai kuwa mrembo huyo ameingiwa na hofu ya 

MAYASA MARIWATA
DU! Kazi kwelikweli! Habari ya mjini kwa sasa ni mtoto mzuri Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuwania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), lakini nyuma yake kuna habari zinazodai kuwa mrembo huyo ameingiwa na hofu ya kukatwa jina kama ilivyotokea kwa Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliyekuwa mmoja wa watia nia ya kugombea urais, Amani lina mkanda kamili.

HAHAHAHA JAMANI MBAVU ZANGUUUU EMBU CHEKA NA WEWE HUYU YESU MTUNA MAAJABU YAKE

LAYIII
Jamaa aliyejifanya yesu na maajabu yake embu mcheki hapa mtu wangu kweli watu na maajabu yao  utapasuka na cheko



Wednesday, 22 July 2015

VISOME VICHWA VYA HABARI VYA MAGAZETI YOTE YA LEO HAPA

LAYIII
DSC09931
Good morning mtu wangu..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi July 23 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko hapa.

Haya ndio maamuzi ambayo Rafael Van der Vaart anajutia kwenye maisha yake ya soka…

layiiii

rafael-van-der-vaa_1996045c
Kiungo wa kimataifa wa kiholanzi Rafael van der vaart ambaye amewahi kuitumikia Tottenham Hotspurs  kuanzia 2010-2012 akitokea katika klabu ya Real Madrid ya Hispania uhamisho ulioshangaza wengi kwa kiungo huyo kujiunga White Hart Lane.

MTOTO WA MIAKA MITATU AOTA MATITI HUKO NIGERIA.........NI LONG TIME BUT CURRENT FOR NEW READER

LAYIII
Ni habari ya muda lakini ni ya kwanza kwako wewe msomaji wa swaxbz.com .Napenda kukumbusha kuwa mwenyezi Mungu yupo na wao wanao mwabudu yawapasa kumwabudu kwa roho na kweli.

HUWEZI KUAMINI...!!!MTOTO WA MIAKA 3 AOTA MATITI MAKUBWA KAMA MSICHANA WA MIAKA 18..MTAZAME HAPA HAPA 

Huwezi kuamini mtoto wa miaka 3 huko Nigeia kuota matiti,unaweza kusema kuwa hili swala limesababishwa na hali ya maumbile ya mtoto.Kusema kweli sisi hatufahamu hili swala limetokeaje kwa mtoto huyu mzuri
TAZAMA PICHA HALISI HAPO CHINI...!!!!

LOWASSA TENA: NI UJUMBE KWA WAPIGA KURA WOTE NA WANAOJIANDIKISHA

LAYIII

LOWASA KAANDIKA UJUMBE TATA KATIKA PAGE YAKE YA INSTOGRAM

LAYIII
Kwanza kabisa napenda kuwapa taarifa kuwa inasemekana imekuwa cornformed lowasa kupeperusha bendera ya ukawa
huu ndo ujumbe wa lowasa katika page yake ya instogram.



 

KUMBE NANANA YA DIAMOND ILIKUWA IFANYWE NA LUDUCRISE

LAYIIII
“Nana” ya Diamond platnumz ni moja ya nyimbo kubwa sana Afrika kwa sasa, Bado inaendelea kukimbiza katika chat mbalimbali za television kubwa kama Trace.Kumbe nyimbo hii ilitakiwa afanye na Ludacris.
Akiongea katika kipindi cha mambo mseto kinachoongozwa na William Mtuva Diamond amesema kuwa nyimbo ya Nana ilitakiwa afanye na Ludacris lakini Midundo ambayo ilitumika ilionekana kuwa Luda asingeweza kufeet katika ngoma, ikabidi asimame Flavour.

CHADEMA KUMTAJA MGOMBEA URAIS LEO

LAYIII
Pirika pirika ni nyingi asubuhi na inawezekana uchambuzi wa Magazeti redioni @Clouds.fm umekupita, nimefanya juhudi ya kukurekodia stori zote za magazeti zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa…

CHADEMA na mgombea Urais leo, Odinga aivulia kofia Zanzibar na Madereva kulipa fine kielektroniki. (Audio)

xxxx
Pirika pirika ni nyingi asubuhi na inawezekana uchambuzi wa Magazeti redioni @Clouds.fm umekupita, nimefanya juhudi ya kukurekodia stori zote za magazeti zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa…
James Lembeli atangaza sababu zilizomtoa CCM mizengwe na rushwa kuwa sababu kuu zilizomtoa kwenye Chama hicho na kuhamia CHADEMA.

advertise here