Monday, 9 March 2015
swaxbz on poz full kula hewa at malumbi beach resort tamarindiiii
MATUMIZI MABAYA YA 911 YAMPONZA
Sunday, 8 March 2015
Mmiliki wa Facebook amenunua huu upande wa kisiwa cha Hawaii.
Mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Facebook Mark Zuckerberg amenunua
sehemu kubwa ya kisiwa cha Hawaii iitwayo Kauai ambayo ni hekari 700 kwa
dola za Kimarekani milioni 100 ambapo atakuwa anamiliki eneo kubwa
ambalo litaendana na hadhi ya bilionea, jarida la Forbes limeripoti.
Hekari hizo 700 zitajumuisha beach resort, mashamba ya miwa na kilimo hai ambapo kwa sheria za Hawaii beach resort hiyo lazima iachwe wazi kwa matumizi ya jamii kwa sababu kisiwa hiko hakina sheria ya umiliki binafsi wa mchanga.
Hekari hizo 700 zitajumuisha beach resort, mashamba ya miwa na kilimo hai ambapo kwa sheria za Hawaii beach resort hiyo lazima iachwe wazi kwa matumizi ya jamii kwa sababu kisiwa hiko hakina sheria ya umiliki binafsi wa mchanga.
Saturday, 7 March 2015
TANZANIA BUSINESS CREATIONS COMPANY WAMESHUSHA BEI ZA MAFUNZO YA UJASILIAMALI WAHI SASA
WASILIANA NAO KWA NAMBA HIZO HAPO CHINI

MAWASILIANO Tanzania Business Creation Co. LTD
P.O.Box 293 Shekilango Rd, Sinza Dar es Salaam Tanzania Tel:
TBCUELTD.COM YAPATA USAJIRI RASMI SASA NI WAKATI MHAFAKA SASA KWA WASANII WACHANGA KUSHANGILIA
Kampuni iliyo kuwa ikisubiriwa na wasanii wengi wachanga na wale walio na kipaji ila wameshindwa kabisa kukiendeleza sasa ni wakati muhafaka kutembelea kampuni ya TBCUE
Friday, 6 March 2015
Hii ndio ajali ya ndege binafsi aliyoipata mwigizaji huyu staa wa Hollywood
Harrison Ford
ni mmoja ya waigizaji ambao ni mastaa wakubwa sana duniani wa movie za
Holywood,
Alichojitetea Pharell Williams kwenye kesi yake ya kukopi wimbo wa Marvin Gaye..
Posted by: SWAXBZ
Pharrell Williams
Ishu ya mastaa wa kibongo kukopi nyimbo
za nje imesikika sana, ambacho tumezoea kukiona kwa kawaida ni kwamba
wenzetu kama Marekani wanafuata sana Sheria, ukiangalia Chris Brown aliimba
TASWIRA MPYA STUDIO ZA AZAM TV
TASWIRA YA STUDIO MPYA YA AZAM TV ni gumzo hapa mjini hebu ona picha zake kidogo hapa.
Thursday, 5 March 2015
UNDERSTAND DENIAL SERVICE ATTACKS
What is a denial-of-service (DoS) attack?
In a denial-of-service (DoS) attack, an attacker attempts to prevent legitimate users from accessing information or services. By targeting your computer and its network connection, or the computers and network of the sites you are trying to use, an attacker may be able to prevent you from accessing email, websites, online accounts (banking, etc.), or other services that rely on the affected computer.The most common and obvious type of DoS attack occurs when an attacker "floods" a network with information. When you type a URL for a particular website into your browser, you are sending a request to that site's computer server to view the page. The server can only process a certain number of requests at once, so if an attacker overloads the server with requests, it can't process your request. This is a "denial of service" because you can't access that site.
An attacker can use spam email messages to launch a similar attack on your email account. Whether you have an email account supplied by your employer or one available through a free service such as Yahoo or Hotmail, you are assigned a specific quota, which limits the amount of data you can have in your account at any given time. By sending many, or large, email messages to the account, an attacker can consume your quota, preventing you from receiving legitimate messages.
CYBERSECURITY: A BEGINNERS VOCABULARY
As you master new cybersecurity skills, you’ll be exposed to new
terms that are constantly growing and evolving. Each new challenge and
achievement will open the doors to new concepts that must be both
clearly defined and proficiently demonstrated.
While some computer security terms have become rather commonplace in our society, others remain a bit mysterious to those encountering them for the first time.
Here are some basic Internet and cybersecurity terms that may help you as you increase your knowledge in this challenging field.
Useful Cybersecurity and General Internet Terms for Beginners
While some computer security terms have become rather commonplace in our society, others remain a bit mysterious to those encountering them for the first time.
Here are some basic Internet and cybersecurity terms that may help you as you increase your knowledge in this challenging field.
Useful Cybersecurity and General Internet Terms for Beginners
- Antivirus Software. Most Internet users are well aware of these programs since nearly every computer sold today provides at least short – term access to this type of software. In a nutshell, these programs protect your computer from Internet viruses or codes that can quickly disable your computer (or an entire network). When functioning properly with all necessary updates, this software will constantly monitor your computer to prevent viruses from “infecting” it;
Wednesday, 25 February 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)