Saturday, 18 July 2015

MTVMAMA YAKAMILISHA KAZI YAKE TUZO MOJA NYUMBANI MTU WANGU

LAYIII
Yako majina mawili yaliyoiwakilisha Tanzania kwenye Category 13 za MTV Africa Music Awards 2015, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ‘Vee Money’… kura zimepigwa na leo ndio ilikuwa fainali yenyewe ndani ya Durban South Africa ukumbi wa Durban International Convention Centre.
CKOalk7UMAAasmN

Tanzania imetoka kifua mbele pia kwa mara nyingine, Daimond Platnumz kafanikiwa kupata ushindi wa Tuzo ya Best Live Act, ambapo alikuwa katika Category tatu tofauti na Vee Money alikuwa kwenye Category moja.
List ya Washindi wote hii hapa..

DIAMOND KAELEZEA UKWELI JUU YA BIFU LAKE NA DAVIDO

LAYIII


ETI LAZIMA MWANAJESHI UWE NA SURA NGUMU TANZANIA EMBU CHEKI HAWA WATOTO WAZURI

LAYIII

Hawa Ni Watoto Wa Kike Kutoka Rwandan Army!! Ohh Mama Mia!!

Rwanda-Army11
Watu wengi wameshazoea kwamba wanajeshi lazima uwe na sura ngu… hivi, hakuna watoto wakali na nini! lakini kwa jeshi la Rwanda ni tofauti aisee watoto wakali kinoma, imeletea mijadala kibao

NIMEKUSOGEZEA VIDEO HAPA JINSI DIAMOND ALIVOKUWA AKIHOJIWA NA WAANDISHI HUKO DURBAN

LAYIII

Kwenye Press conference hapa Durban South Africa Waandishi wa habari wa nchi mbalimbali Afrika na hata wengine wa Uingereza walikua wakihoji mastaa mbalimbali w

KATIKA PRESS CONFERENCE DIAMOND HAJABAKI NYUMA BADO ........... NI KATIKA TUZO ZA MTVMAMA MJINI DURBAN

LAYIII
 
.
.
Ni july 17 ambapo Diamond Platnumz, Neyo, Jhene, Bucie, P Square na wasanii wengine waliungana na MTV Base kwenye mkutano wa waandishi wa habari kutoka media mbalimbali uliofanyika Durban Afrika Kusini.

KUTANA NA MAGAZETI YA LEO 18/07/2015 HAPA

LAYIII

MAGAZETI TZ
Good morning mtu wa nguvu.. swaxbz.com huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi.
Ninayo tayari hii post ya Magazeti ya Tanzania leo July 18 2015, story zote kubwakubwa >>> Udaku, Hardnews na Michezo <<< zote ninazo hapa.

Friday, 17 July 2015

MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZ WAKE WALIVOPOKELEWA HUKO ZANZIBAR

LAYIII
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari la wazi pamoja na mgombea mwenza Mhe.Samia Suluhu Hassan kwenye mitaa ya Michenzani Zanzibar.
Mhe. Magufuli aliwasili Zanzibar kwa lengo la kutambulishwa kwa wanachama wa CCM Zanzibar akiongozana na mgo

WAJUE ALIENS HAPA MTU WANGU

LAYIII

Makala na Sifael Paul
MPENZI msomaji ungana nami katika simulizi hii mpya ya kweli inayohusu viumbe wa ajabu waishio angani. Kama ni msomaji wa vitabu vitakatifu, Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. Inahisiwa kuwa visivyoonekana ni vingi kuliko vinavyoonekana.
Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens. Wana muonekano kama binadamu isipokuwa hawafanani moja kwa moja na binadamu. Viumbe hao waliogundulika karne kadhaa zilizizopita

SABABU YA FIFA KUBADILI BAADHI YA KANUNI

LAYIII
Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA lina mpango wa kuzifanyia marekebisho kanuni zake ili kuzibana nchi zinazowania kuandaa Kombe la Dunia, zisitumie mwanya wa misaada ya kifedha kwa nchi nyingine kama rushwa.

Kipengele kile kinachoziruhusu nchi zinazoshindania nafasi ya kuandaa Kombe la Dunia kusambaza pesa katika nchi nyingine huenda kikafutwa.

WATU AROBAINI WAFARIKI NIGERIA KISA SOMA HAPA CHINI

LAYIII
Wafanyakazi wa uwokoaji Nigeria wanasema katika eno la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo katika mji wa Gombe watu arobaini wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya milipuko kutokea kwenye soko katika eneo hilo.

Mlipuko wa kwanza umetokea nje ya kwenye maegesho nje ya duka la viatu, na kufuatiwa na mlipuko mwingine muda mfupi baadae. Mmoja ya wafanyakazi wa uokoaji miongoni mwa waliouwa ni wanawake na watoto.

HABARI YA MJINI CHANZO CHA WEMA KUGOMBE UBUNGE CHAJULIKANA

LAYIII
Erick Evarist
MADAM Wema Sepetu ameweka bayana kuwa mtu aliyemsukuma kujiingiza kwenye siasa ni marehemu baba yake, Abraham Sepetu. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Wema ambaye juzi alitarajiwa kuchukua fomu ya Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, alisema marehemu baba yake alimpa wazo hilo

KUTANA NA MAGAZETI YA LEO HAPA MTU WANGU

LAYIII

FREDZ
Good morning mtu wa nguvu.. www.swaxbz.com huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi.
Ninayo tayari hii post ya Magazeti 23 ya Tanzania leo July 17 2015, story zote kubwakubwa >>> Udaku, Hardnews na Michezo <<< zote ninazo hapa.

KUTANA NA UCHAMBUZI WA MAGAZETI YA LEO TAREHE 17/07/2015 HAPA MTU WANGU

LAYIII
SAUTI ZOTE NIMEKUWEKEA HAPA MTUWANGU WA UKWELI
999
Inawezekana ulikuwa mbali na redio yako na uchambuzi wa magazeti kupitia @Clouds.Fm umekupita, nimefanya juhudi za kukurekodia zile zote kubwa zilizosikika leo kwenye @Power breakfast….
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Magufuli jana apokelewa kwa kishindo Zanzibar na fukutu la kuchukua fomu za Ubunge zimeanza rasmi jana.

Thursday, 16 July 2015

CHEKI UJIO WA OBAMA NCHINI KENYA

LAYIII


Zimebaki siku kadhaa nchi ya Kenya kutembelewa na Rais wa taifa lenye nguvu kubwa Duniani, nchi ya Marekani Barack Obama.
IMG-20150715-WA0031
Gari zikishushwa kwenye ndege, maandalizi ya safari hiyo ya Rais Obama nchini Kenya.

AAMUA KUTUWISHA NDEGE YAKE BARABARANI

LAYIII

Mambo yalivyoharibika Rubani ilibidi aishushe ndege katikati ya barabara na magari yanapita.. Ona pichaz na video

11140244_905720162820481_1506951124395673716_n
Japo kumekuwa na stori nyingi zinazohusu ajali za ndege, bado sifa ya kuwa usafiri salama namba moja duniani haijaharibika, nimezipata hizi pichaz na video zinazoonesha Rubani ambaye alijiongea na kuona bora aishushe

Juhudi bila ya Wadau ngumu kutoboa nje – Dayna Nyange.

LAYIII
Mwanamuziki Dayna Nyange ametoa mtazamo wake wa namna gani wasanii wa nyumbani watawezakuvuka mipaka ya nje ya nchi.
Alipokuwa anafanyiwa mahojiano na mwandishi wa timesfm.co.tz Dayna alifunguka kwamba ili wasanii waweze kutoboa ni lazima wawe na Wadau wa nje (connection) kwani wengi wanafanya kazi nzuri lakini kutokuwa na wadau ndio kikwazo.
“Msanii kama Vanessa Mdee leo hii anaanza kuvuka boda ni kwa sababu ya connection ya watu wa nje alionao, kama aliweza kufanya kazi na watu wa MTV sasa kwa nini asifike mbali ukizingatia anafanya kitu kizuri”, alifafanua Dayna.
Dayna alieleza pia kuhusu ujio wa video ya wimbo wake wa Nitulize aliomshirikisha Nay wa Mitego kwamba wataanza kuirekodi siku chache zijazo kwani kuna vitu muhimu wanasubiri kutoka nje ya nchi.
Video hiyo inatarajiwa kurekodiwa hapahapa nyumbani Tanzania, huku akisita kuweka wazi ni kampuni gani ambayo itatengeneza video hiyo na kusema watu wasubiri Surprise.
Dayna mwanamuziki huyu mwenye asili ya huko mkoani Morogoro mwisho alitoa taarifa kwa mashabiki wake wa Tanga wakae sawa kwani anatarajia kuanza show zake mkoani humo kuanzia sikukuu ya Eid

MAPYA YAIBUKA LOWASA KILELENI TENA KISA NI KINGUNGE

LAYIII
Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru amesema CCM inamuhitaji Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwenye mchakato wa Uchaguzi Mkuu na kukitaka chama hicho kujadili jambo hilo ili kuondoa tofauti zilizojitokeza kabla ya kupiga kura za kumchagua Rais na wabunge.

#newsflash CCM inamhitaji Lowassa ili Ishinde uchaguzi- Kingunge

Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru amesema CCM inamuhitaji Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwenye mchakato wa Uchaguzi Mkuu na kukitaka chama hicho kujadili jambo hilo ili kuondoa tofauti zilizojitokeza kabla ya kupiga kura za kumchagua Rais na

MAISHA YA WANAFUNZI HATARINI HUKO BUKOBA................KASHAI, BUKOBA

LAYIII
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kashai, mjini Bukoba,  wakiendelea kuchota maji kwenye mto Kashai karibu na mtaro wa maji machafu.

V MONEY PLATNUMZ TUZO TENA

LAYIII
Tuzo za African Entertainment Awards (AEA) ni Tuzo zinazotolewa kila mwaka kwa nia ya kutambua watu wanaotoa mchango mkubwa katika uliwengu wa burudani. Tuzo hizi zinalenga hasa kuonyesha ukubwa  na fursa zilizopo kwenye ulimwengu wa burudani Africa.

AEA
Tuzo za African Entertainment Awards (AEA) ni Tuzo zinazotolewa kila mwaka kwa nia ya kutambua watu wanaotoa mchango mkubwa katika uliwengu wa burudani. Tuzo hizi zinalenga hasa kuonyesha ukubwa  na fursa zilizopo kwenye ulimwengu wa burudani Africa.
Star wa muziki wa Bongo Flava Nasseb Abdul “Diamond Plutnums”, ametajwa kuwania tuzo za African Entertainment awards 2015.

Hii ni good news kwa mashabiki wa Azam FC

LAYIII
Jean Baptiste Mugiraneza ni kiungo wa kimataifa wa Rwanda aliyesajiliwa na klabu ya Azam FC msimu huu akitokea klabu ya APR ya Rwanda kwa mkataba wa miaka miwili. Awali taarifa zilitoka kuwa kiungo huyo atarejea Rwanda kujumuika na kuitumikia timu yake ya APR katika mashindano ya kombe la Kagame yatakayoanza july 18 jumamosi hii.
Ila mambo yamekuwa tofauti baada ya klabu ya APR kumruhusu aichezee Azam FC katika mashindano ya kombe la Kagame. APR ambayo ipo kundi B n

advertise here