Tuesday, 18 August 2015
Monday, 17 August 2015
SABABU ZA JERRY MURO KUSHINDWA KATIKA KURA ZA MAONI
LAYIII
ina la Jerry Muro sio geni masikioni mwa walio wengi kwani aliwahi kufanya kazi ya uandishi wa habari za uchunguzi kwa muda mrefu na zilizofanya jina lake kukua na watu kumtambua, Jerry ambaye kwa sasa ni mkuu wa idara ya habari ya klabu ya Dar Es Salaam Young African.
ina la Jerry Muro sio geni masikioni mwa walio wengi kwani aliwahi kufanya kazi ya uandishi wa habari za uchunguzi kwa muda mrefu na zilizofanya jina lake kukua na watu kumtambua, Jerry ambaye kwa sasa ni mkuu wa idara ya habari ya klabu ya Dar Es Salaam Young African.
Mwaka 2015 aliamua kuingia rasmi katika siasa kwa kuanza harakati za kutaka kulirudisha jimbo la Kawe kwa chama tawala, Jerry alikuwa ni miongoni mwa makada 21 wa CCM waliojitokeza kuomba ridhaa ya kugombea ubunge wa jimbo la Kawe kupitia kwa chama cha mapinduzi (CCM).
Kwa bahati mbaya kura hazikutosha kumuwezesha Jerry Muro kupata ridhaa hiyo ya kupata nafasi ya kugombea ubunge wa Kawe
kupitia chama cha mapinduzi, ila ameeleza saba
JOKATE KIMENUKA NI BAADA YA KUMTAMBULISHA ALIKIBA KWAO
LAYIII

Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama iliv
Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama iliv
Sunday, 16 August 2015
SIMU YENYE KAVA YA BASTOLA YAWATIA POLICE KIWEWE
LAYIII

Ni kawaida ukikutana na warembo siku hizi wamependeza wenyewe, na simu zao wanataka zipendeze vilevile, basi kuna cover za kila aina utawakuta nazo..
Ni kawaida ukikutana na warembo siku hizi wamependeza wenyewe, na simu zao wanataka zipendeze vilevile, basi kuna cover za kila aina utawakuta nazo..
HILI NDILO GARI LA KWANZA KABISA AMBALO ALIWAHI KUMILIKI WYNE ROONY WA MAN U
LAYIII
Katika maisha kila mtu ana dream yake
lakini wote hatutofautiani sana kwani huyu atataka kuwa Doctor, nurse,
mwanasheria, askari polisi tunapokuja kufanana ni pale kila mtu
anapohitaji kutumia matunda yake aliyochuma kutoka sehemu mbalimbali
hususani katika kazi yake.
Hakuna askari polisi, Doctor,
mwanasheria au nurse asiyekuwa na ndoto y
TAARIFA YA KUSTUA MWILI WA MICHAEL JACKSON WAONEKANA LOS ANGELS
LAYIIII
Since you are here – it means that
you too also question the ‘death’ of Michael Jackson. The truth is that
it was indeed staged, and Michael is STILL ALIVE.
Michael is STILL ALIVE – He STAGED his ‘DEATH’ – Its a HOAX!
July 12, 2009 in Michael Jackson Death is a Hoax - Fake Death - Still Alive | Tags: alive, conspiracy, fake death, hoax, Michael Jackson, MJ hoax, Not dead, staged death, still alive | 256 comments
Saturday, 15 August 2015
Friday, 14 August 2015
BABA AMZALISHA BINTIE MWENYE UMLI WA MIAKA 11
LAYIII

Paraguay ni moja ya nchi zinazopinga
utoaji wa ujauzito na mwanamke anaruhusiwa kufanya hivyo pale tu afya
yake inapokua hatarini.
Taarifa ya binti wa miaka 11 nchini humo kujifungua mtoto baada ya kubakwa na baba yake wa kambo imeingia kwenye headlines.
JOKATE ALIKIBA SIRI NJE TENA SIKIA SAUTI KUTOKA KWA SUDI
LAYIII
Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo.

Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo.
Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo.
Mengine ya Ali Kiba na Jokate haya hapa kwa Soudy Brown…kuna ndoa? #UHeard (Audio)
Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo.
Thursday, 13 August 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)