Thursday 28 July 2016

MAJINA 1091 YA WADAIWA MKOPO ELIMU YA JUU

Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB), inawaarifu wadaiwa wote ambao mpaka hivi sasa hawajaanza kulipa mikopo waliochukua kipindi wanasoma, na wenye majina yao kwenye orodha hii kwamba wamevunja mkataba kutokana na sheria ya bodi hiyo No. 9 ya 2004 (kama ilivyorekebishwa) sehemu ya 19 (1).
 
Na wanataarifiwa kwamba, kulingana na sheria hiyo ya bodi (HESLB)  No. 9 ya 2004, Bodi imedhamiria kutenda yafuatayo:-
 
(i) Bodi itachukua hatua za kisheria kulingana na kipengele cha 19 (a) (1) cha sheria ya bodi.

Wednesday 27 July 2016

UTAFITI UNAONYESHA KUTIZAMA TV KWA MUDA MREFU KUNAWEZA HATARISHA MAISHA YAKO


Utafiti uliofanywa na wanasayansi wa Japan umethibitisha kwamba kukaa kwa mda mrefu na kutazama vipindi vya televisheni kwa masaa mengi kunahatarisha afya kwani huhusishwa na maradhi yanasababisha mzunguko wa damu mwilini kutokuwa sawa.
Watafiti hao wanasema, hali hiyo pia huenda ikasababisha damu kuganda na kutengeneza vidonge katika sehemu kama vile miguu, na iwapo mgando huo utasukumwa na nguvu za mzunguko wa damu na kuingia sehemu kama vile mapafu, husababisha vifo.
Utafiti huo ulihusiha watu zaidi ya 86,000 ambao hupendelea kutazama televisheni katika mida mbalimbali kwa siku.
Kisha afya zao zilifuatiliwa kwa zaidi ya miaka 19 tangu mwaka 1988 hadi 1990.

Saturday 23 July 2016

MAMBO YA AJABU YATOKEA,VYANZO VYA MAJI VYAGEUKA DAMU (NI MUDA KIDOGO ILA NIMEPENDA SHARE NA WEWE LABDA ULIIKOSA HII)

JIFUNZE KILIMO BORA CHA VITUNGUU

Vitunguu ni zao la pili ambalo hutumika karibu kila siku katika mlo wa familia za kitanzania. Afrika Mashariki, na Dunia Nzima.

Vitunguu vina chukua nafasi kubwa katika matumizi ya mboga hasa kwa wakazi wa mijini. Vitunguu hutumika katika kutengeneza kachumbari, kiungo cha mboga, nyama na

VIDEO: JACKLINE WOLPER AHAMIA CCM KWA MBWEMBWE, KIKWETE AMPOKEA.


Mwigizaji wa filamu nchini Tanzania Jackline Wolper aliyekuwa akimuunga mkono Edward Lowassa katika uchaguzi Mkuu 2015, ametangaza kujiunga na CCM rasmi jana.Wolper alikaribishwa na mwenyekiti aliyemaliza muda wake Dkt Jakaya Kikwete baada ya

KOFFI OLOMIDE NUSURA AMUUE MWANAMKE KWA KIPIGO..AKAMATWA



Mwanamuziki mashuhuri kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Koffi Olomide amekamatwa na kuzuiliwa na maafisa wa polisi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta.
Olomide amekamatwa muda mfupi baada ya kumaliza mahojiano katika kituo kimoja cha runinga jijini Nairobi.

Mkuu wa polisi nchini Kenya Joseph Boinnet alikuwa ametoa taarifa na kuwaagiza polisi wachukue hatua.

CHIDI BENZ AFUNGUKA MAZITO ADAI JOH MAKINI NA NAY WA MITEGO NI WASANII WAKUTENGENEZWA

Rapper Chidi Benz amefunguka kwa kusema kuwa hakuna msanii wa Hip Hop ambaye amefikia mafanikio yake huku akidai Joh Makini na Nay wa Mitego wametengenezwa ili waje kulishika game la muziki.
Akiongea na Uhuru FM Alhamisi hii, Chidi Benz amedai mpaka sasa hakuna msanii ambaye ameweza kufanikiwa na kufikia mafanikio ambayo aliyafikia katika kipindi cha nyuma.

UJUMBE WA DIAMONDPLATNUMZ KWA MWANAYE WAZUA BALAA :VIDEO NA MAPOKEZI YA RICH MAVOKO WCB

Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii.

Lakini ujumbe wake mpya kwa bintiye, Tiffah umesababisha mjadala mkubwa.

Akiweka picha ya binti yake huyo ambaye mwezi ujao anatimiza mwaka mmoja, Diamond aliandika: Buff day Girl! my little Pumpkin😍 My Miss World 👸

UAMUZI WA BODI YA MIKOPO KUHUSU WANAFUNZI AMBAO HAWAJAREJESHA MIKOPO YAO HADI LEO

Mnamo mwezi Machi, 2016, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ilitoa notisi ya siku 60 ikiwataka wanufaika wa mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kujitokeza na kuanza kurejesha mikopo yao.

Aidha, taarifa hiyo pia iliwataka waajiri kuwasilisha taarifa za waajiriwa wao na makato ya marejesho.  Baada ya kipindi hicho kumalizika, kipindi cha notisi hiyo kiliongezwa ambacho pia kimekwisha.

Wednesday 20 July 2016

LOWASSA AZIDI KUITAMANI 2020 AWATAKA VIJANA WAJIPANGE ZAIDI MBIO ZA URAIS

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA ambaye pia ni waziri mkuu mstaafu Mh. Edward Lowassa amelitaka baraza la vijana la CHADEMA Taifa kutokukubali kugawanywa katika misingi ya kisiasa na badala yake wajikite katika kukiimarisha chama hicho katika ngazi ya chini hasa vijijini.

VIDEO: VILOJA NA MBWEMBWE ZA MSANII IDRISS SULTANI MSHINDI WA BIG BROTHER AFRIKA HIZI NDIO BAADHI YA VIDEO ZAKE ZA KUCHEKESHA

Aliye kuwa mshindi wa shindano la big brother africa linalo fanyika nchini africa kusini kila mwaka idriss sultan amekuwa akijizolea umaarufu kila kukicha kutokana na vituko anavyo vionyesha huko

VIDEO:WEMA ALIVYO IMBA WIMBO KUTOKA LEBAL YA DIAMOND PLATNUMZ KWA HISIA KALI SANA

Kama ulipitwa ikiwa ni siku chache ndani ya interview cloudsfms wakiwa na christian bella kabla ya black tie ema sepetu aliuimba wimbo

KIJUE ALICHOKISEMA MAGUFULI KUHUSU GARI YA RAISI KUKAMATWA

Wakati akizungumza na Maafisa wa Jeshi la polisi aliowapandisha vyeo vya Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) na Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ikulu jijini Dar es Salaam, Rais Magufuli alisema kipindi cha nyuma jeshi la polisi lilikuwa linaweka historia mbaya.

Kuna baadhi ya polisi waliowahi kuumizwa siku za nyuma kutokana na kusimamia sheria. Kuna magari au mabasi ya wakubwa ndani ya polisi ambayo ilikuwa ukiyakamata unapata msukosuko kikazi na kimaisha.

Rais akatolea mfano akisema kulikuwa na mabasi yanayoitwa Buffalo, Happy Nation au Happy Tanzania ambayo ukiyagusa lazima utaondolewa kwenye cheo ulichopo.

Rais akawaomba Makamishna kwenda kufanya kazi bila woga na wahakikishe pia hawawabughudhi Maaskari walio chini yao wakati wanatimiza majukumu yao ndani ya sheria na Kanuni za utumishi wao.
VIDEO MAGUFULI AKIZUNGUMZIA KUHUSU SUKARI KAMA ULIKOSA KUIONA
‘’Hata kama askari atakamata gari la IGP, RPC, Waziri au Rais, mwacheni atimize majukumu yake ili wahusika wa hayo magari wakajieleze wenyewe mbele ya sheria. Sheria ni msumeno’’. Rais alisema.

Rais aliendelea kusema, ‘’tunawanyima nguvu hawa Maaskari wa chini wanapotimiza wajibu wao kwa mujibu wa sheria halafu tunawaambia liachie hilo gari. Akishatoka pale yule aliyekuwa amekamatwa huanza kutamba kweli kweli huku askari akiwa amevunjika moyo na nguvu katika kusimamia sheria. Niwaombe sana, Vyeo vyetu tuweke pembeni na sheria tuziweke pembeni’’.

Tuesday 12 July 2016

VIJANA WA CHADEMA WAMTII MBOWE


Jeshi la Polisi limekwama kuwafikisha mahakamani viongozi wanne wa Taifa wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), baada ya kukosea hati ya mashtaka.

Wanaoshikiliwa ni Mwenyekiti wa Taifa, Patrobas Katambi, Katibu Mkuu, Julius Mwita, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Joseph Kasambala na Mwenyekiti wa Mkoa wa Mbeya, George Tito.

Akizungumza jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa alisema makosa

DARAJA LA KIGAMBONI LAINGIZA BILIONI 1.3



Tangu daraja jipya la Kigamboni lianze kutumika rasmi tarehe 19/04/2016 limekusanya jumla ya shilingi bilioni 1.3 kutokana na tozo za vyombo vya usafiri.

Thursday 7 July 2016

BIFU LA ‘JIKE SHUPA’ NA SHILOLE MTANDAONI, NUH MZIWANDA AFUNGUKA

SUBSCRIBE KTK CHANNEL YETU HAPA
Hivi karibuni kumekuwa na mabishano kwenye mitandao ya kijamii kati ya video queen wa ngoma ya Nuh Mziwanda na aliyekuwa na mpenzi wake Shilole, Nuh Mziwanda amepiga stori na Clouds FM.
Mziwanda Akiwa na video queen  wa kwenye video ya jike shupa
Mziwanda Akiwa na video queen wa kwenye video ya jike shupa
‘’Wale ni wanawake kwahiyo zile ni tofauti zao kwahiyo siwezi kuingilia na siwezi kuongea chochote yule demu mie nilimlipa pesa yake ya video akafanya kazi yangu kamaliza masuala yake yanayoendelea kimpango wake, kwahiyo siwezi kuingilia na wala sitaki kufuatilia na wala sitaki kujua kwasabbau nimeshamalizana

YOUNG D:NIMEMRUDIA MUNGU SASA

subscribe katika channel yetu hapa
Msanii Young D ambaye siku za karibuni ameweza kuachana na matumizi ya dawa za kulevya amefunguka na kusema kwa sasa ameamua kumrudia Mungu ili kujijenga na kuzidi kujiimarisha zaidi kiimani ili asiweze kurudi gizani alikotoka.
YOUNG D
Young D
Young D amesema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Young D anadai kuwa alikuwa anapigana vita kati ya nafsi na roho kwa yeye kushinda vita hiyo imempa nafasi kuweza kutumia muda wake wa ziada kusoma sana biblia na vitabu vya dini ili kujiimarisha kiimani ili asiweze

BABU SEYA, PAPII WAMWANGUKIA JPM

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU
MWANAMUZIKI Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ ambao wanasota jela kwa kosa la kuwanajisi watoto 9, wamedaiwa kusaka uwezekano wa kujinasua gerezani kwa kumuangukia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.
Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza
Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza
Taarifa kutoka kwa chanzo makini zimeeleza kuwa wanamuziki hao kwa kushirikiana na ndugu zao, wamemuandikia barua binafsi rais ili aweze kusikia kilio chao na ikiwezekana wasamehewe kutokana na mamlaka aliyo nayo.
“Si unakumbuka kipindi kile waliwahi kumuandikia waraka JK (Jakaya Kikwete, rais wa awamu ya nne) kumuomba awasamehe lakini bahati mbaya maombi yao hayakuzaa matunda! Wameona wajaribu kwa

VIDEO: KUTANA NA MBWA WATANO WALIO FANANA SURA NA MASTAA WAKUBWA DUNIANI

BONYEZA HAPA SUBSCRIBE 
Kuna baadhi ya watu husema mbwa hufanana na wale wanao wamiliki lakini kuna baadhi ya mbwa ambao wamekuwa na ushawishi na mvuto zaidi kwa mastaa wanao wamiliki

Endelea kushuka chini kwa video kali usiache kusubscribe

Snoop Dogg

Ukimwona vizuri mbwa huyu anafanana kabisa

WATOTO 5 WENYE NGUVU ZAIDI DUNIANI

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU
Senter
8-the-strongest-kids-in-the-world05
 
CJ Senter alianza mazoezi yake ya kuweka mwili na viungo vyake sawa tangu akiwa na umri wa miaka 5 huko america. Akiwa na umri wa miaka kumi senter alianza kutoa video kwa dvd zikimwonesha umbile lake(six pacs) na kupelekea kuingia katika chat za watoto wenye nguvu zaidi duniani

Wednesday 6 July 2016

KUTANA NA MWANAMKE MWENYE TATUU KULIKO WOTE DUNIANI

SUBSCRIBE YOUTUBE HAPA
The lady who garnered the title of Illustrated Lady is covered in tattoos. Literally, she has covered 95 percent of her figure with different kinds of tattoos. This achievement has also earned her a place in the Guinness Book of World Records. Julia Gnuse is, indeed, a very unique woman.

Scroll down for video

This is Julia Gnuse

  5 Viral
World Amazing Records
Julia is an American woman from Flint, Michigan. When she was in her mid-thirties, she was diagnosed with the disease porphyria, and that became a turning point in her life.
The disease is signified by skin that gets wounded when the person is exposed to the sunlight. Porphyria can be inherited or happen spontaneously. King George III and Mary, Queen of Scots

HAWA NDIO WATOTO 8 WENYE NGUVU ZAIDI DUNIANI

SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU HAPA
Giuliano and Claudiu Stroe
8-the-strongest-kids-in-the-world01
Watoto wawili wa kiroma wanaonekana kuwa na nguvu zaidi na wanao uwezo wa kufanya mazoezi kwa nguvu. Pia wameendelea kukuzwa katika taaluma yao hio ikiwa ni moja ya kuwalindia profesional yao. Guiliano hivi karibuni aliingia katika headlines wakati alipopost video yake akionyesha uwezo wake wa nyuzi 90 push ups. ilikuwa kama ndoto kwa kijana wa miaka 9

HAWA NDIO WANAWAKE 11 WENYE NGUVU ZAIDI DUNIANI WANANYAMA NI SHIDA TUPU

SUBSCRIBE YOUTUBE HAPA MTU WANGU

Iris Kyle

Mwaka wa kuzaliwa 22, 1974, in Michigan
Urefu 5 ft 7 in
Uzito kwa muhula : 157–165 lb


Taaluma yake ni utengenezaji na mazoezi ya viungo

 Iris Kyle  alianza taaluma yake mwaka 1999 alikuwa mtu wa kwanza katika olimpia 2001 na kuanzia mwaka 2006 hadi 2014 alikuwa ni mtu asiye pitwa na mtu katika taaluma yake na mashindano mbali mbali.

VIDEO MAAJABU: HILI NDIO PANGOKUBWA KUPITA YOTE DUNIANI

Subscribe youtube hapa 

Kurbera-Voronja

Pango la kurber- limekuwa likijulikana kama ndio pango lenye urefu mkubwa kupita yote duniani pango hili linakadiliwa kuwa na urefu wa mita 2,197 na ndio linalo julikana kwa sasa kama ndio pango kubwa kupita yote duniani. 
    "" The cave, which is located in Arabika Massif of the Gagra Range in the western region of the Caucasus in South Russia. The entrance is high up at an altitude of 2,256 meters, with a very narrow entrance. Over the years, cavers have sought to completely discover all the cave’s chambers. ""

HAYA NDIYO MAGARI MATANO MAKUBWA ZAIDI DUNIANI

SUBSCRIBE KTK CHANNEL YETU HAPA

Midnight Rider

limousines
This limo is not your ordinary dude. It holds the Guinness Book of World Record for the heaviest limo ever made. It weighs 22,933 kgs and is 70-foot long and 13-foot wide. It was designed by American designers Pamela Bartholemew and Michael Machado. Midnight Rider is a good but quite strange name, but before you make up your own story behind it, you have to know that its horn plays the theme song from the film Midnight Rider, so that’s why it’s named like that.
How will you know that a celebrity is approaching during a red-carpet premiere? When a limousine’s in view. That’s how stars make an elegant entrance—stepping out from a stretch limo and getting down to a

VIDEO GIGY MONEY; WASANII WOTE NIMEPITA NIMEBAKIZA LINEX TU

https://www.youtube.com/watch?v=vloPT9f-IaU Gigy money katamka kuwa sananii wote tayari kesha pita kabakiza linex tu ... hii ni video yake ikionesha jinsi anavyojitambishia mskilize hapa mtu wangu

KINGINE ALICHO TAMKA DONALD TRUMP KUHUSU SADDAM HUSSEIN NA GADDAFI...ADAI YAFUATAYO

https://www.youtube.com/watch?v=vloPT9f-IaU
Mgombea urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump amemsifu kiongozi wa zamani wa Iraq Saddam Hussein akisema aliweza kukabiliana vyema na magaidi.

Bw Trump alikuwa akihutubia mkutano wa kampeni eneo jimbo la North Carolina Jumanne alioanza kuzungumza kuhusu kiongozi huyo aliyeuawa kwa kunyongwa Desemba 2006.

Tuesday 5 July 2016

MTOTO MNENE ZAIDI DUNIANI


Mtoto wa miaka 10 kutoka Indonesia, ambaye ametajwa kuwa mtoto aliyenenepa zaidi duniani ameanza kupewa chakula cha kupunguza uzani
Mtoto wa miaka 10 kutoka Indonesia, ambaye ametajwa kuwa mtoto aliyenenepa

HISTORIA YAANDIKWA: KIFAA CHA NASA, JUNO CHAFANIKIWA KUTINGA KATIKA SAYARI YA JUPITA

  bonyeza picha hii hapa kujiunga na swaxbz tv ili kukutana na video zake kali

Historia yaandikwa: Kifaa cha NASA, Juno chafanikiwa kutinga katika Sayari ya Jupita.

Kimefanikiwa kufika baada ya safari ya takribani miaka mitano...
kama ulikosa kuona namna makalio makubwa yanavyowatesa wanawake angalia hapa mtu wangu

JOSE MOURINHO AMKEJELI TENA ARSENE WENG

Mkufunzi Jose Mourinho amesema kuwa yuko tayari kuchukua jukumu la kuifunza Manchester United,akisisitiza ''niko mahala nitakapo''.

Raia huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 53 aliongezea: ''Nadhani ni kazi ambayo kila mtu anahitaji na sio wengi ambao huipata na mimi nimeipata''.

Mkufunzi huyo wa zamani wa Chelsea anachukua mahala pake Louis Van Gaal,ambaye alifutwa kazi baada ya United kushinda kombe la FA mnamo mwezi Mei.

Saturday 2 July 2016

HILI NDIO TAMKO LA PAUL MAKONDA KUHUSIANA NA UVUTAJI SIGARA PAMOJA NA MASHOGA WALIOKO JIJINI DAR ES SALAAM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza vita na makaka poa (mashoga) na madada poa (makahaba) walioko jijini Dar es Salaam kuwa utaendeshwa msako mkali wa kuwaondoa.

Mkuu wa Mkoa huyo aliyasema hayo kufuatia hali ya vitendo hivyo visiyokubalika na jamii kuzidi kushamiri na kuwa kuna hatari kubwa ya watoto wadogo kuiga vitendo

advertise here