Saturday, 23 July 2016
JIFUNZE KILIMO BORA CHA VITUNGUU
Vitunguu vina chukua nafasi kubwa katika matumizi ya mboga hasa kwa wakazi wa mijini. Vitunguu hutumika katika kutengeneza kachumbari, kiungo cha mboga, nyama na
KOFFI OLOMIDE NUSURA AMUUE MWANAMKE KWA KIPIGO..AKAMATWA
Mwanamuziki mashuhuri kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Koffi Olomide amekamatwa na kuzuiliwa na maafisa wa polisi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta.
Olomide amekamatwa muda mfupi baada ya kumaliza mahojiano katika kituo kimoja cha runinga jijini Nairobi.
Mkuu wa polisi nchini Kenya Joseph Boinnet alikuwa ametoa taarifa na kuwaagiza polisi wachukue hatua.
CHIDI BENZ AFUNGUKA MAZITO ADAI JOH MAKINI NA NAY WA MITEGO NI WASANII WAKUTENGENEZWA
Rapper Chidi Benz amefunguka kwa kusema kuwa hakuna msanii wa Hip Hop
ambaye amefikia mafanikio yake huku akidai Joh Makini na Nay wa Mitego
wametengenezwa ili waje kulishika game la muziki.
Akiongea na Uhuru FM Alhamisi hii, Chidi Benz amedai mpaka sasa hakuna msanii ambaye ameweza kufanikiwa na kufikia mafanikio ambayo aliyafikia katika kipindi cha nyuma.
Akiongea na Uhuru FM Alhamisi hii, Chidi Benz amedai mpaka sasa hakuna msanii ambaye ameweza kufanikiwa na kufikia mafanikio ambayo aliyafikia katika kipindi cha nyuma.
UAMUZI WA BODI YA MIKOPO KUHUSU WANAFUNZI AMBAO HAWAJAREJESHA MIKOPO YAO HADI LEO
Aidha, taarifa hiyo pia iliwataka waajiri kuwasilisha taarifa za waajiriwa wao na makato ya marejesho. Baada ya kipindi hicho kumalizika, kipindi cha notisi hiyo kiliongezwa ambacho pia kimekwisha.
Wednesday, 20 July 2016
LOWASSA AZIDI KUITAMANI 2020 AWATAKA VIJANA WAJIPANGE ZAIDI MBIO ZA URAIS
VIDEO: VILOJA NA MBWEMBWE ZA MSANII IDRISS SULTANI MSHINDI WA BIG BROTHER AFRIKA HIZI NDIO BAADHI YA VIDEO ZAKE ZA KUCHEKESHA
VIDEO:WEMA ALIVYO IMBA WIMBO KUTOKA LEBAL YA DIAMOND PLATNUMZ KWA HISIA KALI SANA
KIJUE ALICHOKISEMA MAGUFULI KUHUSU GARI YA RAISI KUKAMATWA
Kuna baadhi ya polisi waliowahi kuumizwa siku za nyuma kutokana na kusimamia sheria. Kuna magari au mabasi ya wakubwa ndani ya polisi ambayo ilikuwa ukiyakamata unapata msukosuko kikazi na kimaisha.
Rais akatolea mfano akisema kulikuwa na mabasi yanayoitwa Buffalo, Happy Nation au Happy Tanzania ambayo ukiyagusa lazima utaondolewa kwenye cheo ulichopo.
Rais akawaomba Makamishna kwenda kufanya kazi bila woga na wahakikishe pia hawawabughudhi Maaskari walio chini yao wakati wanatimiza majukumu yao ndani ya sheria na Kanuni za utumishi wao.
VIDEO MAGUFULI AKIZUNGUMZIA KUHUSU SUKARI KAMA ULIKOSA KUIONA
‘’Hata kama askari atakamata gari la IGP, RPC, Waziri au Rais, mwacheni atimize majukumu yake ili wahusika wa hayo magari wakajieleze wenyewe mbele ya sheria. Sheria ni msumeno’’. Rais alisema.
Rais aliendelea kusema, ‘’tunawanyima nguvu hawa Maaskari wa chini wanapotimiza wajibu wao kwa mujibu wa sheria halafu tunawaambia liachie hilo gari. Akishatoka pale yule aliyekuwa amekamatwa huanza kutamba kweli kweli huku askari akiwa amevunjika moyo na nguvu katika kusimamia sheria. Niwaombe sana, Vyeo vyetu tuweke pembeni na sheria tuziweke pembeni’’.
Tuesday, 12 July 2016
VIJANA WA CHADEMA WAMTII MBOWE

Jeshi la Polisi limekwama kuwafikisha mahakamani viongozi wanne wa Taifa wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), baada ya kukosea hati ya mashtaka.
Wanaoshikiliwa ni Mwenyekiti wa Taifa, Patrobas Katambi, Katibu Mkuu, Julius Mwita, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Joseph Kasambala na Mwenyekiti wa Mkoa wa Mbeya, George Tito.
Akizungumza jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa alisema makosa
Thursday, 7 July 2016
BIFU LA ‘JIKE SHUPA’ NA SHILOLE MTANDAONI, NUH MZIWANDA AFUNGUKA
SUBSCRIBE KTK CHANNEL YETU HAPA
Hivi karibuni kumekuwa na mabishano kwenye mitandao ya kijamii kati ya video queen wa ngoma ya Nuh Mziwanda na aliyekuwa na mpenzi wake Shilole, Nuh Mziwanda amepiga stori na Clouds FM.
‘’Wale ni wanawake kwahiyo zile ni tofauti zao kwahiyo siwezi kuingilia na siwezi kuongea chochote yule demu mie nilimlipa pesa yake ya video akafanya kazi yangu kamaliza masuala yake yanayoendelea kimpango wake, kwahiyo siwezi kuingilia na wala sitaki kufuatilia na wala sitaki kujua kwasabbau nimeshamalizana
Hivi karibuni kumekuwa na mabishano kwenye mitandao ya kijamii kati ya video queen wa ngoma ya Nuh Mziwanda na aliyekuwa na mpenzi wake Shilole, Nuh Mziwanda amepiga stori na Clouds FM.
‘’Wale ni wanawake kwahiyo zile ni tofauti zao kwahiyo siwezi kuingilia na siwezi kuongea chochote yule demu mie nilimlipa pesa yake ya video akafanya kazi yangu kamaliza masuala yake yanayoendelea kimpango wake, kwahiyo siwezi kuingilia na wala sitaki kufuatilia na wala sitaki kujua kwasabbau nimeshamalizana
YOUNG D:NIMEMRUDIA MUNGU SASA
subscribe katika channel yetu hapa
Msanii Young D ambaye siku za karibuni ameweza kuachana na matumizi ya dawa za kulevya amefunguka na kusema kwa sasa ameamua kumrudia Mungu ili kujijenga na kuzidi kujiimarisha zaidi kiimani ili asiweze kurudi gizani alikotoka.
Msanii Young D ambaye siku za karibuni ameweza kuachana na matumizi ya dawa za kulevya amefunguka na kusema kwa sasa ameamua kumrudia Mungu ili kujijenga na kuzidi kujiimarisha zaidi kiimani ili asiweze kurudi gizani alikotoka.
Young D amesema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo kinachorushwa
na East Africa Radio, Young D anadai kuwa alikuwa anapigana vita kati ya
nafsi na roho kwa yeye kushinda vita hiyo imempa nafasi kuweza kutumia
muda wake wa ziada kusoma sana biblia na vitabu vya dini ili
kujiimarisha kiimani ili asiweze
BABU SEYA, PAPII WAMWANGUKIA JPM
SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU
MWANAMUZIKI Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ ambao wanasota jela kwa kosa la kuwanajisi watoto 9, wamedaiwa kusaka uwezekano wa kujinasua gerezani kwa kumuangukia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.
Taarifa kutoka kwa chanzo makini zimeeleza kuwa wanamuziki hao kwa kushirikiana na ndugu zao, wamemuandikia barua binafsi rais ili aweze kusikia kilio chao na ikiwezekana wasamehewe kutokana na mamlaka aliyo nayo.
“Si unakumbuka kipindi kile waliwahi kumuandikia waraka JK (Jakaya Kikwete, rais wa awamu ya nne) kumuomba awasamehe lakini bahati mbaya maombi yao hayakuzaa matunda! Wameona wajaribu kwa
MWANAMUZIKI Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ ambao wanasota jela kwa kosa la kuwanajisi watoto 9, wamedaiwa kusaka uwezekano wa kujinasua gerezani kwa kumuangukia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.
Taarifa kutoka kwa chanzo makini zimeeleza kuwa wanamuziki hao kwa kushirikiana na ndugu zao, wamemuandikia barua binafsi rais ili aweze kusikia kilio chao na ikiwezekana wasamehewe kutokana na mamlaka aliyo nayo.
“Si unakumbuka kipindi kile waliwahi kumuandikia waraka JK (Jakaya Kikwete, rais wa awamu ya nne) kumuomba awasamehe lakini bahati mbaya maombi yao hayakuzaa matunda! Wameona wajaribu kwa
VIDEO: KUTANA NA MBWA WATANO WALIO FANANA SURA NA MASTAA WAKUBWA DUNIANI
BONYEZA HAPA SUBSCRIBE
Kuna baadhi ya watu husema mbwa hufanana na wale wanao wamiliki lakini kuna baadhi ya mbwa ambao wamekuwa na ushawishi na mvuto zaidi kwa mastaa wanao wamiliki
Kuna baadhi ya watu husema mbwa hufanana na wale wanao wamiliki lakini kuna baadhi ya mbwa ambao wamekuwa na ushawishi na mvuto zaidi kwa mastaa wanao wamiliki
Endelea kushuka chini kwa video kali usiache kusubscribe
Snoop Dogg
Ukimwona vizuri mbwa huyu anafanana kabisaWATOTO 5 WENYE NGUVU ZAIDI DUNIANI
SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU
Senter

CJ Senter alianza mazoezi yake ya kuweka mwili na viungo vyake sawa tangu akiwa na umri wa miaka 5 huko america. Akiwa na umri wa miaka kumi senter alianza kutoa video kwa dvd zikimwonesha umbile lake(six pacs) na kupelekea kuingia katika chat za watoto wenye nguvu zaidi duniani
Senter
CJ Senter alianza mazoezi yake ya kuweka mwili na viungo vyake sawa tangu akiwa na umri wa miaka 5 huko america. Akiwa na umri wa miaka kumi senter alianza kutoa video kwa dvd zikimwonesha umbile lake(six pacs) na kupelekea kuingia katika chat za watoto wenye nguvu zaidi duniani
Wednesday, 6 July 2016
KUTANA NA MWANAMKE MWENYE TATUU KULIKO WOTE DUNIANI
SUBSCRIBE YOUTUBE HAPA
The lady who garnered the title of Illustrated Lady is covered in tattoos. Literally, she has covered 95 percent of her figure with different kinds of tattoos. This achievement has also earned her a place in the Guinness Book of World Records. Julia Gnuse is, indeed, a very unique woman.
5 Viral
World Amazing Records
Julia is an American woman from Flint, Michigan. When she was in her mid-thirties, she was diagnosed with the disease porphyria, and that became a turning point in her life.
The disease is signified by skin that gets wounded when the person is exposed to the sunlight. Porphyria can be inherited or happen spontaneously. King George III and Mary, Queen of Scots
The lady who garnered the title of Illustrated Lady is covered in tattoos. Literally, she has covered 95 percent of her figure with different kinds of tattoos. This achievement has also earned her a place in the Guinness Book of World Records. Julia Gnuse is, indeed, a very unique woman.
Scroll down for video
This is Julia Gnuse
World Amazing Records
Julia is an American woman from Flint, Michigan. When she was in her mid-thirties, she was diagnosed with the disease porphyria, and that became a turning point in her life.
The disease is signified by skin that gets wounded when the person is exposed to the sunlight. Porphyria can be inherited or happen spontaneously. King George III and Mary, Queen of Scots
HAWA NDIO WATOTO 8 WENYE NGUVU ZAIDI DUNIANI
SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU HAPA
Giuliano and Claudiu Stroe

Giuliano and Claudiu Stroe
Watoto wawili wa kiroma wanaonekana kuwa na nguvu zaidi na wanao uwezo wa kufanya mazoezi kwa nguvu. Pia wameendelea kukuzwa katika taaluma yao hio ikiwa ni moja ya kuwalindia profesional yao. Guiliano hivi karibuni aliingia katika headlines wakati alipopost video yake akionyesha uwezo wake wa nyuzi 90 push ups. ilikuwa kama ndoto kwa kijana wa miaka 9
Subscribe to:
Posts (Atom)