LAYIIII
Jana ilikua October 6 2015 ambapo bado
sera zimeendelea kunadiwa kuisubiria siku kubwa ya kura ambayo ni
October 25 2015 ambapo mmoja wa waliochukua headlines jana ni mke wa
mgombea Urais wa UKAWA Mama Regina Lowassa
Wednesday, 7 October 2015
JIJI LIALOJENGWA MAREKANI HAIRUHUSIWI MTU YEYOTE KUISHI
LAYIII
Katika Jiji la New Mexico Marekani,
sehemu kubwa sana ya eneo la Jiji hilo ni Jangwa na Milima mikubwa… ni
eneo kame kabisa ambalo sio rahisi mtu akavutiwa kuishi.
Wataalam wa Masuala ya Teknolojia wamekuja na hii mpya mtu wangu, hapohapo New Mexico linajengwa Jiji la Kisasa.
KATIKA HEADLINE ZA SWAXBZ.COM HIKI NI KILICHONASHA KATIKA TALAKA YA FROLA MBASHA NA MUMWEWE
LAYIII
October 6 2015 waimbaji wa gospel ambao ni wanandoa, Flora Mbasha na mumewe Emmanuel Mbasha walifika Mahakamani kwenye kesi ya madai ya talaka iliyofunguliwa na Flora zaidi ya
Monday, 5 October 2015
KILA WAKATI MAYWEATHER, JUSTIN BIEBER HUWAKOSI KATIKAHEADLINE ZA MAISHA YAO
LAYIII
Kila wakati bondia Floyd Mayweather humkosi kwenye
headlines zinazohusu maisha yake ndani na nje ya kipaji chake…mara kwa
mara amekuwa akizungumziwa kutokana na utajiri alionao huku akiwa na
matumizi yaliyopitiliza ya pesa zake.
Safari hii ameonekana akila bata katika fukwe za Bora Bora pamoja na rafiki yake mkubwa mwanamuziki Justin Bieber.
Safari hii ameonekana akila bata katika fukwe za Bora Bora pamoja na rafiki yake mkubwa mwanamuziki Justin Bieber.
UJIO MPYA WA VANESSAMDEE
LAYIII
Ni hits baada ya hits mtu wangu… msanii wa muziki wa Bongo Flava Vanessa Mdee anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani jumatatu hii, baada ya kuachia hit single yake ‘Nobody But Me’ aliomshirikisha rapper kutoka South Africa K.O, Vanessa Mdee amewatangazia mashabiki wake kupitia page yake ya Instagram ujio wa single yake mpya ‘Never Ever’ inayopatikana kwenye Album yake Money Mondays!
WAKATI TUKITARAJIA ROBERTO KUFANYA COLLABO BONGO......NEY WA MITEGO YAMEMKUTA MENGINE KWAKE
LAYIII
Tanzania ilipata ugeni wa msanii kutoka Zambia Roberto aliyeimba ngoma ya ‘Amarula’ ambaye alikuja na kupiga show Mwanza..msanii Galaxy kutoka Tanzania amemshawishi Roberto wapige naye collabo moja..Galaxy amesema amepata connection nzuri ya kuweza kukutana na msanii huyo lakini bado hawajafanya collabo, kwa sasa tayari wamepanga mikakati yao na anachosubiri ni yeye awe tayari.
Ney wa Mitego alivamiwa na majambazi nyumbani kwake Mbezi ya Kimara..Anasema siku ya tukio yeye hakuwa nyumbani na majambazi hao walifika nyumbani kwake majira ya saa 4 usiku..walikuja
Tanzania ilipata ugeni wa msanii kutoka Zambia Roberto aliyeimba ngoma ya ‘Amarula’ ambaye alikuja na kupiga show Mwanza..msanii Galaxy kutoka Tanzania amemshawishi Roberto wapige naye collabo moja..Galaxy amesema amepata connection nzuri ya kuweza kukutana na msanii huyo lakini bado hawajafanya collabo, kwa sasa tayari wamepanga mikakati yao na anachosubiri ni yeye awe tayari.
Ney wa Mitego alivamiwa na majambazi nyumbani kwake Mbezi ya Kimara..Anasema siku ya tukio yeye hakuwa nyumbani na majambazi hao walifika nyumbani kwake majira ya saa 4 usiku..walikuja
FAMILIA YA MAREHEMU MCHUNGAJI MTIKILA IMETOA MAJIBU KUHUSU KILICHOTOKEA KWENYE AJALI, KUAGA MWILI NA MAZISHI..
layiii
October 05 2015 ni siku ya pili inaisha
tangu litokee tukio la ajali ya gari ndogo katika Kijiji cha Msolwa,
Chalinze Mkoa wa Pwani ambapo ndani yake kulikuwa na watu watatu pamoja
na Mwanasiasa Mkongwe Tanzania, Mchungaji Christopher Mtikila ambaye alifariki kutokana na ajali hiyo.
Sunday, 4 October 2015
KIKGUNGU HAYA NDIYO MAAMUZI YAKE
LAYIII
Mwanasiasa Mkongwe Kingunge Ngombare Mwiru leo ametangaza kujiondoa ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM na sasa atakuwa mwananchi huru.
Kingunge amezungumza leo mbele ya waandishi wa Habari akiwa nyumbani kwake Kijitonyama, Dar es salaam.
Kingunge amezungumza leo mbele ya waandishi wa Habari akiwa nyumbani kwake Kijitonyama, Dar es salaam.
PICHA ZA AWALI NYUMBANI KWA MAREHEMU MTIKILA
LAYIII
Kwenye list ya Wanasiasa walioamua
kuingia kwenye Mchakato wa Uchaguzi Mkuu Tanzania utakaofanyika October
2015, alikuwepo pia Mwanasiasa Mkongwe, Mchungaji Christopher Mtikila ambaye alitangaza kugombea nafasi ya Urais kupitia Chama cha Democratic Party (DP).
Saturday, 3 October 2015
BREAKING: Mchungaji Christopher Mtikila wa DP amefariki.
LAYIII
Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa chama cha kisiasa cha DP Christopher Mtikila amefariki dunia alfajiri ya leo wakati akitokea Morogoro kuelekea Dar es salaam.
Thursday, 1 October 2015
ALIENS WATENGENEZA NDEGE KAMA SAHANI
LAYIII
Wiki
iliyopita nilianza kuliangalia Eneo la Area 51 ambalo linahusishwa na
hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens. Eneo hili lipo katika
Jimbo la Nevada nchini Marekani ambapo kama ilivyokuwa kwa Bermuda
Triangle, nalo limejaa mauzauza ya kila aina. SASA ENDELEA…
Japo ni siri kubwa lakini inaaminika kuwa wapo Aliens wanaoishi eneo hilo ambalo lina ngome kubwa ya kijeshi ambayo mlango wake wa kuingilia umetengenezwa kamba pyramid (pembetatu) na ambao umechongwa kwa alama ya jicho moja. Kuhusu uwepo wa hawa Aliens eneo hili ndipo yanapoibuka maswali mengi hasa njia ya mawasiliano wanayotumia kwa maana ya lugha au ishara.
Japo ni siri kubwa lakini inaaminika kuwa wapo Aliens wanaoishi eneo hilo ambalo lina ngome kubwa ya kijeshi ambayo mlango wake wa kuingilia umetengenezwa kamba pyramid (pembetatu) na ambao umechongwa kwa alama ya jicho moja. Kuhusu uwepo wa hawa Aliens eneo hili ndipo yanapoibuka maswali mengi hasa njia ya mawasiliano wanayotumia kwa maana ya lugha au ishara.
Wednesday, 30 September 2015
NYUMBA 15 ZA MASTAA ZILIZOONGOZA KWA UFAHARI HADI KUFIKIA NOV.2013
layii
Mastaa wengi wamekuwa wakijituma katika kazi zao ili kuhakikisha
wanaishi maisha ya kifahari kulingana na kazi wanazofanya., wengi
huwekeza zaidi katika majumba ya kifahari, magari na hata wengine katika
biashara.
Hizi ni safari ndefu zaidi za Ndege Duniani, unakaa mpaka saa 17 angani mtu wangu.. (+Pichaz)
LAYIII
Unaweza ukaona safari ya kutoka Mwanza
mpaka Dar es Salaam ni ndefu kwa sababu unatumia kati ya saa 12 mpaka 16
ndani ya basi, lakini kwa Usafiri wa Ndege ni kama saa moja tu hivi
unakuwa umemaliza safari !!
Sasa hizo saa za kukaa kwenye basi safari ya Mwanza-Dar
kuna watu wanazitumia wakiwa angani kwenye Ndege… Nimezipata Rekodi
Mitandaoni, zinaonesha safari kumi za Ndege ambazo wasafiri
ABILIA KAKOSEA MLANGO WA NDEGE KATAKA KUFUNGUA WA KUTOKEA NJE AKATI NDEGE IKO ANGANI KILICHO MKUTA STORI NYINGINE
LAYIII
Ndege ya Shirika la KLM ilikuwa katikati ya safari kutoka Edinburgh kwenda Amsterdam,
Uholanzi… ilibaki kidogo mambo yaharibike katikati ya safari.. abiria
mmoja akakosea mlango, badala ya kufungua mlango wa kuingia chooni, yeye
akaenda moja kwa moja kwenye mlango wa kutokea nje huku ndege ikiwa juu
angani na safari inaendelea !!
Sunday, 27 September 2015
DR CHENI AFUNGUKA ISHU YA MADAI ETI KUWA YEYE KUTAKA KUMUOA LULU!!
layiii

Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwenye kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabali, yaliibuka madai kuwa wawili hao ni wapenzi lakini leo limeibuka la ndoa, Ijumaa lina kila kitu.

Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwenye kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabali, yaliibuka madai kuwa wawili hao ni wapenzi lakini leo limeibuka la ndoa, Ijumaa lina kila kitu.
HAWAKUJALI MANENO NA MINONG`ONO NDIYO MAANA MPAKA LEO UHUSIANO WAO UNADUMU NANI HAOO...............
LAYIII
Watu wengi huamini watu wengi maarufu hawawezi kukaa muda mrefu
katika uhusiano wao wa kimapenzi kutokana na umaarufu walionao na
kuchangia mahusiano yao kuvunjika.
Pamoja na wengi kushindwa kuvumiliana na kujikuta wakiachana lakini wapo hawa mastaa ambao mpaka sasa bado wameendelea kubaki ndani ya ndoa zao kitu ambacho wengi hawakukitarajia
Pamoja na wengi kushindwa kuvumiliana na kujikuta wakiachana lakini wapo hawa mastaa ambao mpaka sasa bado wameendelea kubaki ndani ya ndoa zao kitu ambacho wengi hawakukitarajia
Subscribe to:
Posts (Atom)