Monday, 27 July 2015

HOT NEWZ JUU YA KIKAO CHA CHADEMA ALICHOHUDHURIA LOWASSA

layiii
BREAKING NEWS : LOWASA AJIUNGA CHADEMA RASMI, PICHA NA VIDEO ZA KILICHOONGELEWA LEO NMEKUWEKEA


Uamuzi wa Mhe Edward Lowassa kuhama kutoka kwenye chama chake cha enzi (CCM) na kujiunga na chama kingine cha siasa, ni uamuzi mgumu lakini sahihi kwa kadri itakavyompendeza.

Leo, watu wanabashiri endapo atafanya uamuzi huo, basi huo utakuwa ndio mwisho wake wa kisiasa na hata kiuchumi, kwa madai kwamba 'madudu' yake yote yatatumiwa kumbananisha kwenye kona na kummaliza kabisa ili asifurukute. Mmmmh!!!

Eti Lowassa Akijitoa CCM, Atafilisiwa na Kufanyiwa Hujuma, Nani Kasema?

MADAKTARI WA MAREKANI WAZIDI KUPAMBANA KUOKOA MAISHA YA MWANA SAYANSI ALIYEKUWA KAPOTEA MWEZINI

LAYIII
Madaktari Nchini Marekani Jana Walizidi Kupambana Kujaribu Kuokoa Maisha Ya Mwanasayansi Aliyepotelea Mwezini Miaka 180 Iliyopita.Aomba Kuandika FORMULA Ya Kusaidia Kutengeneza Dawa Ambayo Itaweza Kutibu Magonjwa Yote Kwa Wakati Mmoja.Yanayo Itesa Dunia Kwa Sasa.Video Yake Ipo Hapa Akizungumza Kwa Tabu Sana>>>

MAMA SALMA APOKEA UJUMBE WA VITISHO USIKU WA LEO

LAYIII




MJUE MTOTO ALIYE ISHI NA NYOKA MKUBWA KWA MIAKA SITA

LAYIII

Cheza mbali na viumbe hawa jamaa kajifanya mjanja kuona dogo anacheza naye kaona achokoze kilicho mpata story nyingine

LOWASSA ATIA UKAWA JOTO MBIO ZA URAIS........ ZITTO ACT KUSIMAMA YENYEWE URAIS 2015

LAYIII
Magazeti ya Tanzania July 27 2o15 na headlines zake kubwakubwa yako mtaani, hapa ninazo chache kwenye zile zilizobebwa leo.

Lowassa na UKAWA , NEC kuhusu Kampeni za Magufuli? ACT Wazalendo na UKAWA? (Audio)

Sunday, 26 July 2015

WEMA AJA UPYA AONESHA KUWA UBUNGE KWAKE SI KITU

LAYIII

.
.
Wema Sepetu alikuwa ni miongoni mwa watu wanaogombea ubunge viti maalumu mkoani Singida lakini hakuwa na bahati ya kushinda au kuingia bungeni kutokana na kura zake kuwa ndogo.
Staa huyo aliibuka na kupata kura za maoni za ubunge 90 huku wagombea wenza wakiongoza kwa

Matokeo ya mechi za July 26 na ratiba ya Robo fainali Kagame Cup 2015

LAYIII

kombeHatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Kagame imemalizika July 26 kwa timu tano kuaga mashindano hayo na timu nane kusonga katika hatua ya robo fainali itakayoanza siku ya Jumanne July 28… Timu zilizo tolewa mashindanoni kwa uchache wa

ILI KUFUZU KUINGIA FINAL ZA KOMBE LA DUNIA 2018 TANZANIA LAZIMA ITAKUTANA NA KITU HIKI

LAYIII
 
tanzania-flagSafari ya kuelekea Kombe la Dunia 2018 Urusi imeshaanza kwa Shirikisho la Soka Ulimwenguni FIFA kupanga makundi na ratiba ya michuano hiyo ili kupata timu  zitakazoshiriki fainali hiyo June 2018 Urusi… Droo ya kupanga makundi imefanyika July 25 St Petersburg Urusi.
http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/Taifa-stars.jpg 
Kufuatia kupangwa kwa makundi hayo timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itaanza kucheza hatua ya mtoano na timu ya taifa ya Malawi October 5 2015 kabla ya

MWANASAYANSI ALIYEPOTEA MWEZINI ALEJEA TENA AKIWA NA MWONEKANO WA TOFAUTI KABISA INASEMEKANA ALIENS WALIMFANYIA UTAFITI

LAYIII

Kiumbe wa ajabu ametua los angels na baada ya kuchukuliwa kupelekwa katika vipimo ikagundulika kuwa ni miongoni mwa wanasayansi ambao waliwai kupotea wakiwa huko angani wakiwa wanafanya utafiti mwezini

Saturday, 25 July 2015

BREAKING NEWZ MALAIKA AMEANGUKA MAENEO YA UINGELEZA

LAYIII
MAAJABU;MALAIKA AANGUKA MAENEO YA UINGEREZA AKIWA NA MABAWA YAKE....UTADHANI NI UWONGO LAKINI NI UKWELI MTUPU PICHA ZOTE NA MAELEZO ZIPATE HAPA

Saw this Amazing photo online with the caption below of a fallen angel that lost its Winds, and Lighting Fell to Earth and Turned Old...more photos after the cut -

POMBE NOUMA JAMAA ALEWA .....AJIPACHIKA MOTO KICHWANI HATAREEEEEE

LAYIII

http://www.dispatchtimes.com/wp-content/uploads/2015/07/fireworks.jpg

 According to authorities, on Sunday during the celebrations of July 4th, a young man who was drinking and celebrating attempted to launch a firework off the top of his head, fatally injuring himself. Stephen McCausland, a spokesman for the state Department of Public Safety said that on Saturday night, Devon Staples and his friends had been drinking and setting off fireworks in the backyard of a friend’s home in the small eastern Maine city of Calais. Stephen said Devon, 22, of Calais, placed a fireworks mortar tube on his head and set it off.

MAAJABU YA KUTISHA MWANAMKE AJIFUNGUA NYANI AKATI NGURUWE KAJIFUNGUA WATOTO WA BINADAMU{ inawezakuwa ya muda ila ya kwanza kwako habari hii)

layiii

Friday, 24 July 2015

NYOKA MKUBWA KAMMEZA MTOTO INATIA HURUMA SANA



LAYIIII


LOWASSA NA KAULI YA MSEMAJI WAKE KUHUSU KUJIUNGA UKAWA

LAYIII
BAADA ya vuta nikuvute katika vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuhusu kukubaliwa au kutokubaliwa kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa kujiunga na umoja huo ili kuongeza nguvu ya kisiasa, hatimaye mwanasiasa huyo maarufu nchini amekubaliwa na tayari amejiunga rasmi Ukawa akiwa mwanachama halisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imefahamika.
 

 

WEMA LEO NI LEO ATAKATWA AU ATAINGIA MJENGONI KUWA NAMI KATIKA BZNOON NA SWAXBZ.COM

LAYIII
No comments
Actress grade one Bongo Wema Sepetu, ni miongoni mwa wasanii kadhaa waliojitokeza kuomba nafasi za kuwania uongozi Tanzania katika vyama mbali mbali.
Mrembo huyo anawania kuteuliwa kuwa Mbunge wa viti maalum

NCHINI KENYA ULINZI NI WA KUFA MTU KILA KONA NI MAKACHELO WA MAREKANI

LAYIII

Gari na helikopta zisizopenya risasi.

Ni Obama kila kona! Muda wowote kuanzia leo wananchi wa Kenya watashuhudia kutua kwa Rais wa Marekani, Barack Hussein Obama, nchini humo huku stori kubwa ikiwa ni ulinzi uliowekwa kwa hofu ya kundi ‘haramu’ la ugaidi la Alshabaab, Ijumaa linakupeleka hadi kwa majirani zetu hao.

FC BARCELONA WALIPOKUTANA NA MABINGWA WA NBA FULL SHANGWE MTU WANGU

LAYIII
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo ipo Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Hispania imezidi kujenga uhusiano mzuri na NBA Barcelona siku chache zilizopita ilimualika mkali wa Basketball anayeichezea Los Angels Lakers Kobe Bryant kutembelea timu yao wakati wa mazoezi sambamba

Pichaz za Wachezaji wa FC Barcelona walipokutana na mabingwa wa NBA, Iniesta, Busquet na Pique waliweza Basketball?

2015-07-23_ENTRENO_48.v1437689442
Pique kushoto akiwa na kombe la NBA, Harrison Barnes katikati akiwa na kombe la URFA na Busquet kulia akiwa na mpira wa Basketball
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo ipo Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Hispania imezidi kujenga uhusiano mzuri na NBA Barcelona siku chache zilizopita ilimualika mkali wa Basketball anayeichezea Los

ASABABISHA MAUAJI KTK NYUMBA YA SINEMA NAYE AJITUNDIKA

LAYIII
Masaa machache yaliyopita kumetokea tukio la mauwaji Marekani ambako mwanaume mmoja aliamua kupiga risasi ovyo akiwa kwenye nyumba ya Sinema iliyopo jijini Lafayette Louisiana na kusababisha vifo vya watu 2 na majeruhi ya watu 9 kabla ya kujiua yeye mwenyewe.

ABIRIA WACHOMWA VISU........ KENYA NA ZIARA YA OBAMA....... ALIYE AHIDIWA UWAZIRI

LAYIII
Bzmorning tanzania leo katika headline za magazeti ya leo nimejaribu kukunyofolea habari hiii mtu wangu wa ukweli
AKIBA TENA
MWANANCHI
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo Simu 2000.

NIMEKUWEKEA HEADLINE ZA MAGAZETI YA LEO 24/07/2015

LAYIII

.
.
Good morning mtu wangu..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi July 24 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa

advertise here