Baada ya sauti zilizosambaa zikimuhusisha Mwigizaji Steve Nyerere na
Mama wa mwigizaji Wema Sepetu wakizungumza huku akitaja baadhi ya
viongozi mbalimbali aliodili nao kwenye sakata la Wema kushikwa na
Polisi, leo Steve Nyerere ameita Waandishi wa habari na kuongea nao.
Steve Nyerere amesema kuwa hakuna msanii hata mmoja ambaye anakidai Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema mambo ambayo anasema Weme Sepetu kuwa anakidai chama hicho ni uongo na uzushi mtupu.
Amesema katika wasanii mbalimbali ambao huenda walilipwa pesa nyingi zaidi ni Wema Sepetu pamoja na
Steve Nyerere amesema kuwa hakuna msanii hata mmoja ambaye anakidai Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema mambo ambayo anasema Weme Sepetu kuwa anakidai chama hicho ni uongo na uzushi mtupu.
Amesema katika wasanii mbalimbali ambao huenda walilipwa pesa nyingi zaidi ni Wema Sepetu pamoja na