Saturday, 20 February 2016

ETI RAY ALISHAWAHI KUMUOKOA NEY WA MITEGO ASIPIGWE

LAYIII
STAA wa Bongo Movie, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara nyingine ameendelea kuteka ‘headlines’ baada ya kuibuka na kudai kuwa alishawahi kumuokoa staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego asipigwe.
Akizungumza asubuhi hii katika kipindi cha

CHUKUAMUDA WAKO KUTAZAMA VIWANJA KUMI VYENYE MVUTO KWA AJIRI YA KOMBE LA DUNIA 2022

LAYIII
Kwa kawaida maandalizi ya Michuano ya Kombe la Dunia hufanyika miaka zaidi ya minne kabla ya nchi husika kuanza kupokea timu katika miji yao. Imekuwa kawaida kwa kila nchi inayotarajia kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Dunia kutengeneza viwanja vipya na vyenye hadhi kwa ajili ya michuano hiyo.
Nchi ya Qatar ambayo ndio mwenyeji wa Michuano ya Kombe la Dunia 2022 mtandao wa sokka.com umetoa list pichaz 12 za viwanja vinavyotajwa kuwa vitatumika katika mihuano hiyo 2022. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz 12 za muonekano wa viwanja 12 vilivyotajwa na sokka.com

Wednesday, 17 February 2016

VIDEO: MAREHEMU JOHN WOKA ALIVYOAGWA LEO DAR, FEB 17 2016

LAYIII


Leo Feb 17 2016 Watanzania mbalimbali waliungana pamoja na baadhi ya mastaa kwa lengo la kuuaga mwili wa marehemu John Woka katika Hospitali ya Muhimbili, Dar kisha kuusafirisha kwenda kwao Tanga.

VAN GAAL: ITABIDI TUSHINDE EUROPA LEAGUE

MANENO YA UCHUNGU ALIYOZUNGUMZA WEMA SEPETU JUU YA UJAUZITO WAKE

LAYIII
Baada ya kuwa na tetesi na Uvumi kila kona kuhusiana na Ujauzito wa Wema Sepetu kutokuwepo tena  mwenyewe leo amefunguka kupitia mtandao wa kijamii na kutoa uhakika.

Ameandika maneno haya; 

"Ni kweli. Na imeniuma sana lakini nimefika kwenye hatua maishani mwangu naweza kusema Alhamdulillah for everything.

Monday, 15 February 2016

YAJUWE MAAMUZI YA DK MAGUFULI KWA MIGILO NA WENGINEO

LAYIII
Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania  Dk John Pombe Magufuli ametangaza kuwateuwa mabalozi wa tatu katika wizara ya mambo ya nje, ushirikiano wa Afrka Mashariki, kikanda na kimataifa. Rais Magufuli  pia alitangaza kuteua watu wengine katika nyadhifa tofauti. Hii ndi baru yenye mchanganuo wote.

Saturday, 13 February 2016

ZARI AKUTANA NA ISSUE YA KUWA NA MAKALIO FEKI

LAYIII

zariNasibu Abdul ‘Diamond’ na mpenzi wake, Zarinah Hassan ‘Zari’
Stori: Musa mateja, Ijumaa
Dar es Salaam
Mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ukipenda muite mama Tiffah, amekwaa skendo ya kutumia makalio feki kila anapokuwa kwenye mtoko.

UJUE UNDANI WA MWANAMKE ALIYE PAMBANA NA MAJAMBAZI NA KUPOKONYA BUNDUKI ZAO

LAYIII

RISASI MAJAMBAZI MWANAMKE (4)Sophia Manguye akisaini mara baada ya kukabidhiwa zawadi hiyo.
Mwanamke aliyepambana na jambazi na kufanikiwa kumnyang’anya bunduki aina ya SMG, Sophia Manguye (46), amepewa zawadi ya Sh 500,000 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu Tarime/Rorya, Gemini Mushy.
Mwanamke huyo ambaye aliomba Serikali kumpa silaha ili kujilinda, alisema kuwa hajaridhika na zawadi hiyo kwa kuwa kama asingemmudu jambazi huyo watu wengi wangepoteza maisha.

Wednesday, 10 February 2016

AJALI MBAYA YATOKEA MANDELA ROAD DAR-ES-SALAAM

LAYIII


Habari zilizoenea kwa kiasi kikubwa kwa watumiaji wa barabara ya Mandela jijini Dar Es Salaam ni kuhusiana na ajali iliyotokea ya kontena kuangukia basi dogo la abiria maarufu kama daladala na gari ndogo. Ajali hiyo kwa taarifa za awali inatajwa kutokea maeneo ya Tabata. Kwa mujibu wa mtandao wako wa press bongo....... inafuatilia kwa kina taarifa kamili ili kukuletea habari za uhakika zaidi ila hizi ni picha za mwanzo kuhusu ajali hiyo

MJUE MKONGO POLICE AMBAYE NI MWANAMZIKI

LAYIII

Polisi ambaye ni mwanamuziki DR Congo

5 Februari 2016 Imebadilishwa mwisho saa 16:50 GMT
Kwa kawaida polisi huzingatiwa kuwa watu wenye kuwaandama wahalifu na kila wakati wanapoonekana, wengi hujiuliza kwani leo kulikoni?
Na hali huwa ni ya wasiwasi zaidi ikiwa mmoja wa maafisa hao wa polisi ni wa cheo cha juu.
Bahati Kasamba Innocent, ni afisa wa cheo cha juu ndani ya idara ya polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo anayesifika sana katika fani ya uimbaji wa nyimbo za Injili.
Anasema yeye huimba katika juhudi za kuhubiri amani, uongozi bora na pia upendo.
Mwandishi wa BBC Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Byobe Malenga huko Bukavu, alikutana na msanii huyo studioni akiandaa baadhi ya nyimbo zake.


UTAFITI UNAONYESHA KUWA FARASI HUTAMBUA HISIA ZA MWANADAMU.....

LAYIII



Farasi huweza kubaini kati ya mtu aliye na furaha na aliye kasirika kwa kuangalia uso wa mwanadumu,utafiti umesema.
Katika jaribio, kwa kutumia picha za mwanamume wanasayansi kutoka chuo kikuu cha Sussex walionyesha kwamba farasi wanaofugwa nyumbani huchukizwa na sura zilizokasirika.
Wanasayansi hao wanasema kuwa ufugaji huo huenda umewawezesha farasi kuelewa tabia za binaadamu.

Tuesday, 9 February 2016

JINSI DIAMOND ALIVYO KATAA KUSHOUT VIDEO ZAKE BONGO, KIJUE KILE MRISHO MPOTO ANACHOTAMANI KUMWAMBIA RAIS

LAYIII
Kwenye 255 ya Clouds fm leo kulikuwa na stori hizi tatu kubwa,:-
Diamond Platnumz kazungumzia vitu vilivyomvutia Director Godfather alipotua bongo “Ugomvi wangu mimi na Godfather ilikuwa ni yeye kutaka nishoot video zangu Tanzania, sasa mimi nikawa simuelewi, alivyokuja bongo nikapitanaye Kigamboni.. yani kilakitu alikuwa akikiona anashangaa mazingira yalivyo mazuri”

Monday, 8 February 2016

JINSI MIMBA YA WEMA ILIVYOMTIA UCHIZI PENNY

LAYIII

penny Penniel Mungwilwa ‘Penny’.
Mwanadada anayepiga dili la utangazaji kupitia Zouk TV ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungwilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa mimba ya shosti wake, Wema Sepetu inampa ‘uchizi’ kwa kutamani kila kukicha na yeye anase ujauzito.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Penny alisema kuwa hivi sasa karibia rafiki zake wote wana watoto kitu kinachomchanganya na kumtamanisha na yeye atundikwe kibendi.

ALIYE DAIWA KUMBAKA SHILOLE AFUNGUKA MAZITO

LAYIII

IMG_8508Makala Elia Joseph.
Makala: Richard Manyota -Igunga
KATIKA mahojiano na Mwandishi nguli wa burudani nchini wa Gazeti la Ijumaa, Erick Evarist, Februari 2012, msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ alinukuliwa akieleza kisa hiki:
“Katika maisha yangu nimepitia mitihani mingi, mmoja wapo ni huu wa kulazimishwa kufanya mapenzi bila ridhaa yangu, kwa kifupi nilibakwa.”
Kwa kuwa kisa hiki cha kusikitisha kimesemwa sana na Shilole katika mahojiano yake mengi na vyombo mbalimbali vya habari, Gazeti la Ijumaa lililazimika kufunga safari mpaka wilayani Igunga

Thursday, 4 February 2016

KAMA HUJUI ANAYE FATA KATIKA YALE MAJIPU YANAYOTUMBULIWA SOMA HAPA

LAYIII

Magufuli3 (1)Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’.
Stori: Gabriel Ng’osha, Wikienda
Dar es Salaam: Who is next (nani anafuatia?) Ndivyo Wabongo wengi wanavyojiuliza kufuatia tumbutumbua majipu katika sekta za serikali inayofanywa na Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ ili kupisha mfumo mpya wenye Kauli Mbiu ya ‘Hapa Kazi Tu’.
Kwa mujibu wa baadhi ya wananchi waliozungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, wana imani na Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ kuwa hatanii katika suala la tumbuatumbua ya majipu inayoendelea ambapo familia za wakurugenzi waliotumbuliwa sasa ni vilio tupu.

KUHUSU STORI YA WATANZANIA WANAWAKE WANAO PIGWA HUKO INDIA NIMEKUWEKEA HAPA

LAYIII
India ni moja kati ya nchi ambazo vijana wengi wa kitanzania hupendelea kupelekwa na wazazi wao kwenda kusoma, siku kadhaa nyuma ziliingia headlines kuhusu stori za kibaguzi zinazoendelea katika nchi ya India. Inaripotiwa kuwa India mtu mweusi anabaguliwa sana.
Wiki iliyopita January 31 msichana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 21 ambaye anasoma India aliingia

HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOUANZA MWAKA MPYA

LAYIII


Tuesday, 2 February 2016

NYOMI KUUNGANISHWA NA FREE MASON JIJINI DAR-ES-SALAAM

LAYIII
DAR ES SALAAM: Ama kweli Bongo lazima utumie ubongo! Wakati watu wakisaka utajiri kwa njia ya hata ushirikina na ile ya kuamini unapatikana Taasisi ya Freemason, nyuma ya dhana hiyo kuna kundi kubwa la waganga wa kienyeji ‘sangoma’ ambao wanajifanya Freemason wakidai kutoa utajiri huku wakiishia kutapeli watu.
2 (2) (1) Kiongozi Mkuu wa Freemason Ukanda wa Afrika Mashariki, Sir Andy Chande.
Stori: Chande Abdallah na Gabriel Ng’osha, WIKIENDA
DAR ES SALAAM: Ama kweli Bongo lazima utumie ubongo! Wakati watu wakisaka utajiri kwa njia ya hata ushirikina na ile ya kuamini unapatikana Taasisi ya Freemason, nyuma ya dhana hiyo kuna kundi kubwa la waganga wa kienyeji ‘sangoma’ ambao wanajifanya Freemason wakidai kutoa utajiri huku wakiishia kutapeli watu.

JE ILE VIDEO YA MBWANA SAMATTA ALIVYO TUA KULE KRC Genk ULIIKOSAA? ..... POA NIMEKUWEKEA HAPA

LAYIII
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania aliyekuwa anaichezea klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta January 29 taarifa za yeye kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji zilianza kuenea, na baadae kuthibitika baada ya picha za utambulisho wa staa huyo kuanza kuenea mitandaoni.

ILE MELI KUBWA YA VITABU DUNIANI IMEWASILI DAR-ES-SALAAM

LAYIII
Kama wewe ni mpenzi wa kusoma vitabu, basi Good news ikufikie kuwa tayari meli ya Logos Hope ya Ujerumani ambayo huzunguka nchi mbalimbali Duniani kusambaza vitabu vya aina tofauti imeshatua Dar kuanzia Jan 26 na itaondoka Febr 17. Kutana na muonekano wote nje ndani kwenye hii video hapa chini.

advertise here