Wednesday, 10 February 2016

UTAFITI UNAONYESHA KUWA FARASI HUTAMBUA HISIA ZA MWANADAMU.....

LAYIII



Farasi huweza kubaini kati ya mtu aliye na furaha na aliye kasirika kwa kuangalia uso wa mwanadumu,utafiti umesema.
Katika jaribio, kwa kutumia picha za mwanamume wanasayansi kutoka chuo kikuu cha Sussex walionyesha kwamba farasi wanaofugwa nyumbani huchukizwa na sura zilizokasirika.
Wanasayansi hao wanasema kuwa ufugaji huo huenda umewawezesha farasi kuelewa tabia za binaadamu.

Tuesday, 9 February 2016

JINSI DIAMOND ALIVYO KATAA KUSHOUT VIDEO ZAKE BONGO, KIJUE KILE MRISHO MPOTO ANACHOTAMANI KUMWAMBIA RAIS

LAYIII
Kwenye 255 ya Clouds fm leo kulikuwa na stori hizi tatu kubwa,:-
Diamond Platnumz kazungumzia vitu vilivyomvutia Director Godfather alipotua bongo “Ugomvi wangu mimi na Godfather ilikuwa ni yeye kutaka nishoot video zangu Tanzania, sasa mimi nikawa simuelewi, alivyokuja bongo nikapitanaye Kigamboni.. yani kilakitu alikuwa akikiona anashangaa mazingira yalivyo mazuri”

Monday, 8 February 2016

JINSI MIMBA YA WEMA ILIVYOMTIA UCHIZI PENNY

LAYIII

penny Penniel Mungwilwa ‘Penny’.
Mwanadada anayepiga dili la utangazaji kupitia Zouk TV ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungwilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa mimba ya shosti wake, Wema Sepetu inampa ‘uchizi’ kwa kutamani kila kukicha na yeye anase ujauzito.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Penny alisema kuwa hivi sasa karibia rafiki zake wote wana watoto kitu kinachomchanganya na kumtamanisha na yeye atundikwe kibendi.

ALIYE DAIWA KUMBAKA SHILOLE AFUNGUKA MAZITO

LAYIII

IMG_8508Makala Elia Joseph.
Makala: Richard Manyota -Igunga
KATIKA mahojiano na Mwandishi nguli wa burudani nchini wa Gazeti la Ijumaa, Erick Evarist, Februari 2012, msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ alinukuliwa akieleza kisa hiki:
“Katika maisha yangu nimepitia mitihani mingi, mmoja wapo ni huu wa kulazimishwa kufanya mapenzi bila ridhaa yangu, kwa kifupi nilibakwa.”
Kwa kuwa kisa hiki cha kusikitisha kimesemwa sana na Shilole katika mahojiano yake mengi na vyombo mbalimbali vya habari, Gazeti la Ijumaa lililazimika kufunga safari mpaka wilayani Igunga

Thursday, 4 February 2016

KAMA HUJUI ANAYE FATA KATIKA YALE MAJIPU YANAYOTUMBULIWA SOMA HAPA

LAYIII

Magufuli3 (1)Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’.
Stori: Gabriel Ng’osha, Wikienda
Dar es Salaam: Who is next (nani anafuatia?) Ndivyo Wabongo wengi wanavyojiuliza kufuatia tumbutumbua majipu katika sekta za serikali inayofanywa na Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ ili kupisha mfumo mpya wenye Kauli Mbiu ya ‘Hapa Kazi Tu’.
Kwa mujibu wa baadhi ya wananchi waliozungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, wana imani na Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ kuwa hatanii katika suala la tumbuatumbua ya majipu inayoendelea ambapo familia za wakurugenzi waliotumbuliwa sasa ni vilio tupu.

KUHUSU STORI YA WATANZANIA WANAWAKE WANAO PIGWA HUKO INDIA NIMEKUWEKEA HAPA

LAYIII
India ni moja kati ya nchi ambazo vijana wengi wa kitanzania hupendelea kupelekwa na wazazi wao kwenda kusoma, siku kadhaa nyuma ziliingia headlines kuhusu stori za kibaguzi zinazoendelea katika nchi ya India. Inaripotiwa kuwa India mtu mweusi anabaguliwa sana.
Wiki iliyopita January 31 msichana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 21 ambaye anasoma India aliingia

HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOUANZA MWAKA MPYA

LAYIII


Tuesday, 2 February 2016

NYOMI KUUNGANISHWA NA FREE MASON JIJINI DAR-ES-SALAAM

LAYIII
DAR ES SALAAM: Ama kweli Bongo lazima utumie ubongo! Wakati watu wakisaka utajiri kwa njia ya hata ushirikina na ile ya kuamini unapatikana Taasisi ya Freemason, nyuma ya dhana hiyo kuna kundi kubwa la waganga wa kienyeji ‘sangoma’ ambao wanajifanya Freemason wakidai kutoa utajiri huku wakiishia kutapeli watu.
2 (2) (1) Kiongozi Mkuu wa Freemason Ukanda wa Afrika Mashariki, Sir Andy Chande.
Stori: Chande Abdallah na Gabriel Ng’osha, WIKIENDA
DAR ES SALAAM: Ama kweli Bongo lazima utumie ubongo! Wakati watu wakisaka utajiri kwa njia ya hata ushirikina na ile ya kuamini unapatikana Taasisi ya Freemason, nyuma ya dhana hiyo kuna kundi kubwa la waganga wa kienyeji ‘sangoma’ ambao wanajifanya Freemason wakidai kutoa utajiri huku wakiishia kutapeli watu.

JE ILE VIDEO YA MBWANA SAMATTA ALIVYO TUA KULE KRC Genk ULIIKOSAA? ..... POA NIMEKUWEKEA HAPA

LAYIII
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania aliyekuwa anaichezea klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta January 29 taarifa za yeye kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji zilianza kuenea, na baadae kuthibitika baada ya picha za utambulisho wa staa huyo kuanza kuenea mitandaoni.

ILE MELI KUBWA YA VITABU DUNIANI IMEWASILI DAR-ES-SALAAM

LAYIII
Kama wewe ni mpenzi wa kusoma vitabu, basi Good news ikufikie kuwa tayari meli ya Logos Hope ya Ujerumani ambayo huzunguka nchi mbalimbali Duniani kusambaza vitabu vya aina tofauti imeshatua Dar kuanzia Jan 26 na itaondoka Febr 17. Kutana na muonekano wote nje ndani kwenye hii video hapa chini.

Tuesday, 19 January 2016

BARABARA ZA ANGA KUWA TISHIO TANZANIA

LAYII
Kama umebahatika kukatisha makutano ya barabara ya Mandela na Nyerere pale eneo la mataa ya TAZARA utakuwa umekutana na bango linaloonesha dalili nzuri… ni dalili za ujio wa flyover, zile barabara ya juujuu kwa ajili ya kusaidia kuokoa foleni eneo lile.

DAR-ES-SALAAM KAMA ULAYA CHEKI JINSI DARAJA LA KIGAMBONI LILIVYO JENGWA BAHALINI

LAYIII
Dar es salaam inasubiria kwa hamu daraja jipya la Kigamboni linalojengwa juu ya bahari ambalo ilitangazwa kwamba linatakiwa kuanza kufanya kazi mwanzoni mwa mwaka 2016 kurahisishia Wananchi ambao sasa hivi inabidi watumie kivuko wakati wote, tazama hii video hapa chini.

BARDMAN LIL WYNE WAKUTANA USO KWA USO NA WAMEYAMALIZA KABISA

LAYIII
Headlines za beef kati ya rapper Lil Wayne na Boss wa Cash Money Records Birdman ni miongoni mwa stori zilizokaa kwenye kurasa za burudani kwa kipindi kirefu, lakini baada ya mvutano wa muda mrefu kati ya wawili hao, Lil Wayne maarufu pia kama Birdman Jr na Birdman wamefikia muafaka wa ugomvi wao tarehe 17 January 2016 maeneo ya LIV Nightclub, Miami.

Saturday, 16 January 2016

HAWA MASTAA NA HAKA KAMCHEZO KUNA NINI?

LAYIII


wema-auntWema Sepetu na Aunt Ezekiel
Miongoni mwa mastaa wa filamu na muziki Bongo wamekuwa na viashiria vya vitendo visivyofaa hasa wanapokuwa kwenye sehemu za starehe na wengi wao ni wale wanaotumia kinywaji chenye kilevi.
Wanaotajwa sana kwenye tabia hiyo mni pamoja na hawan wafuatao kutokana na picha zao kuzagaa nsana mitandaoni na kwenye magazetin mbalimbali.
Hapa nawazungumzia Aunt Ezekiel na Wema Sepetu, Isabela Mpanda na Baby Madaha, Rayuu na Skaina nk.

MJUE RAIS COMEDIANI ALIYE APISHWA GUANTEMALA

LAYIII

Wako mastaa waliojaribu maisha kwenye upande mwingine Tanzania, wako waliotoka kwenye game ya muziki na wengine walitoka kwenye movie… kwa maamuzi ya dhati kabisa wakajitangaza kwamba wanaitaka siasa !!
Wapo waliotoboa, wakafanikiwa kupata nafasi walizogombea kwenye Ubunge na Udiwani lakini wako ambao mambo hayakwenda sawa na wakaahidi kwamba wanaingia mtaani kujipanga rasmi kwa ajili ya jukwaa la kampeni za 2020 Tanzania.

Tuesday, 8 December 2015

HII KWA WANAUME NA WANAWAKE WASIO NA UJASIRI WAKATI WA KUTONGOZA NA KUTONGOZWA

LAYIII

Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu.
Kuna sanaa zingine za ushawishi kama vile ushawishi wa kibiashara ambapo lengo ni kuuza bidhaa. Na kuna ushawishi wa kisiasa ambapo lengo ni kupata kura.
   Wakati sanaa karibia zingine zote za ushawishi ni rahisi kujifunza, sanaa ya kutongoza watu wengi wanasema eti haifundishwi ... eti kila mwanaume anajua kutongoza.
Sio Kweli !!!

Sunday, 6 December 2015

MADEMU 17 ALIOTOKA NAO CHRISTIAN RONALDO KIM KARDASHIAN YUMO

LAYIII
Vimeandikwa vingi sana kuhusiana na Staa wa soka wa Real Madrid ya Hispania na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo, kuhusu kuishi maisha ya kifahari Ronaldo kaandikwa sana, kuhusu watu kuhoji mama wa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 Cristiano Ronaldo Junior ni yupi, hiyo ilikuwa headlines kila kona kuhusu staa huyo.

ULIPITWA NA KISA CHA MWANAMKE ALIYEMWAGIWA MAJI YA MOTO KISA WIVU WA MAPENZI BONYEZA LINK

LAYIII
Bonyeza picha hii kuiona video yake
20131213-141212.jpg
Bi. Neema Teti aliyemwagiwa maji ya moto mwili mzima, kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na mume wa mtu akipata matibabu hospitalini.
20131213-140854.jpg
Bi. Neema Teti aliyemwagiwa maji ya moto mwili mzima, kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na mume wa mtu.

MJUE KIUNDANI MWIGIZAJI WA FILAMU YA YESU

LAYIII

Mjue mwigizaji wa Filamu ya Yesu ambaye baadhi ya watu hudhani kwamba ndie Yesu

Historia ya mtu ambaye ameigiza filamu ya Yesu inayofahamika kwa jina la ''JESUS'' ambayo iliigizwa mnamo mwaka 1979 huko nchini Israel,na kujipatia umaarufu duniani kote,watengenezaji wa filamu hii wametoa maelezo kua " tumeamua kufanya hivi baada ya kuona ni kwa jinsi gani filamu hiyo imekuwa ikigusa maisha ya watu wengi kiasi kwamba baadhi ya watu wanasahau kwamba mtu aliyemo kwenye filamu hiyo ni mwigizaji tu na siyo Yesu.
hata yeye amekiri kwamba wakati wa uigizaji alikuwa akisuluhisha mambo yaliyokuwa yakijitokeza yeye na waigizaji wenzake baada ya wao kusahau kwamba yeye si Yesu bali anaigiza tu. 

ULIPITWA NA SAMAKI WA AJABU ALIYE VULIWA UNGUJA MTIZAME HAPA MTU WANGU

LAYIIII
BONYEZA PICHA KISHA JIUNGE NAMI YOUTUBE KUONA VIDEO ZINGINE SUBSCRIBE NAMI MTU WANGU ILI UWE KARIBU NA KILA HABARI INAYO NIFIKIA 
https://youtu.be/w8bqlYRkYP0

advertise here