Monday, 17 August 2015

UKAWA na Zanzibar, Sumaye kumnadi Magufuli, ACT Wazalendo watoswa mgombea Urais + alidai vifaa baada ya kubwagwa kura za maoni!? (Audio)

tues
Magazeti ya August 18 2015 tayari yako mtaani, nimezinasa zile zote kubwa kubwa za leo magazetini @CloudsFM zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa…

TIFFAH WA DIAMOND APEWA BENZ LA MIL. 200!

LAYIII
Musa mateja
Kazi ipo mwaka huu! Ndugu wa mzazi mwenzake na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wamempa zawadi mtoto wa mastaa hao, Latiffah Nasibu ‘Princess

NAPE KAMUUMBUA LOWASSA

LAYIII
Erick Evarist
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM) Nape Nnauye amemuumbua waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa kumwelezea kama mtu

JOKATE KIMENUKA NI BAADA YA KUMTAMBULISHA ALIKIBA KWAO

LAYIII
2alikiba-1
Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama iliv

MAPOKEZI YA LOWASSA HUKO ARUSHA NIMEKUSOGEZEA VIDEO YAKE HAPA


LAYIII

DIAMOND AJIBIA KUHUSU DNA KWA MTOTO TIFFA

LAYIII

tifaaa
Kumekuwa na stori ambayo imechukua sana headlines kuanzia mitandaoni mpaka kwenye Magazeti inayomhusu Diamond, Zari na mtoto wao.

Sunday, 16 August 2015

SIMU YENYE KAVA YA BASTOLA YAWATIA POLICE KIWEWE

LAYIII

Ni kawaida ukikutana na warembo siku hizi wamependeza wenyewe, na simu zao wanataka zipendeze vilevile, basi kuna cover za kila aina utawakuta nazo..

BAADA YA DIAMOND KUTUONYESHEA MWANAYE WEMA NAYE ATUPIA KITOTOOOOO NA KUTAMKA HAYA

LAYIII



UKAWA WAUNDA JESHI LAO

LAYIII

BIRTHDAY YA DJ WA DIAMOND ILIKUWA POA SANA MTU WANGU

LAYIII
Screen Shot 2015-08-17 at 4.34.40 AM
Diamond Platnumz na crew yake wakati wa kuingia kwenye party
Sherehe za birthday nazo zina uzito wake, Unaambiwa Romy Jons ambaye ni

HILI NDILO GARI LA KWANZA KABISA AMBALO ALIWAHI KUMILIKI WYNE ROONY WA MAN U

LAYIII
Katika maisha kila mtu ana dream yake lakini wote hatutofautiani sana kwani huyu atataka kuwa Doctor, nurse, mwanasheria, askari polisi tunapokuja kufanana ni pale kila mtu anapohitaji kutumia matunda yake aliyochuma kutoka sehemu mbalimbali hususani katika kazi yake.
hi-res-9b3a5f04568f997f91879ed28ca0c436_crop_north
Hakuna askari polisi, Doctor, mwanasheria au nurse asiyekuwa na ndoto y

TAARIFA YA KUSTUA MWILI WA MICHAEL JACKSON WAONEKANA LOS ANGELS

LAYIIII

Micheal Jackson Double At BET Awards - michaeljacksonnotdead.wordpress.com 

Since you are here – it means that you too also question the ‘death’ of Michael Jackson.  The truth is that it was indeed staged, and Michael is STILL ALIVE

EWAAAA FURAHIA MAGOLI YA SIMBA VS URA AUGUST 2015 FULL TIME 2-1


MJUE MGOMBEA URAIS KUPITIA ACT

LAYIII
swaa
MWANANCHI
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa jana kwa mara ya kwanza alikumbana na joto la upinzani baada ya msafara wake kushambuliwa na mabomu ya polisi.
Tukio hilo, ambalo lilifanyika mbele ya msafara wa Lowassa, lilitokea jana eneo la Daraja la

Saturday, 15 August 2015

TUDDY THOMAS KARUHUSIWA KUTOKA HOSPITAL NI BAADA YA KUPIGWA NA WEZI

LAYIII

2mgflIjumaa usiku wa July 31 ni siku ambayo Producer wa bongofleva wa hits kama mdogomdogo ya Diamond Platnumz, Tudd Thomas alivamiwa na wezi na kumshambulia kisha kumuibia vitu alivyokua navyo usiku huo

Friday, 14 August 2015

BABA AMZALISHA BINTIE MWENYE UMLI WA MIAKA 11

LAYIII
FILE FILE - In this May 14, 2015 file photo, a 13-year-old girl holds her one-month-old baby at a shelter for troubled children in Ciudad del Este, Paraguay. The girl said she was raped by her stepfather from the time she was 10 and became pregnant when she was 12. Another pregnant girl, age 11, whose case drew international scorn when Paraguay's government denied her an abortion, gave birth on Thursday, Aug. 13, 2015. The girl was allegedly raped and impregnated by her stepfather when she was 10. In Paraguay, abortion is banned except when the mother's life is in danger. (AP Photo/Jorge Saenz, File)
Paraguay ni moja ya nchi zinazopinga utoaji wa ujauzito na mwanamke anaruhusiwa kufanya hivyo pale tu afya yake inapokua hatarini.
Taarifa ya binti wa miaka 11 nchini humo kujifungua mtoto baada ya kubakwa na baba yake wa kambo imeingia kwenye headlines.

JOKATE ALIKIBA SIRI NJE TENA SIKIA SAUTI KUTOKA KWA SUDI

LAYIII
Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo.

Mengine ya Ali Kiba na Jokate haya hapa kwa Soudy Brown…kuna ndoa? #UHeard (Audio)

jojo
Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo.

Thursday, 13 August 2015

Magazeti ya Tanzania Agosti 14, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !

layiii

.
.
Good morning mtu wangu..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Agosti 14,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya

Tuesday, 11 August 2015

P SQURES WAMZUNGUMZIA DIAMOND

LAYIII
PeterPeter ambaye ni mwimbaji kutoka kundi la P Square aliongea na ripota wako Millard Ayo kuhusu Diamond

RAIS TP MAZEMBE KUWA RAIS WA CONGO

LAYIII

Moise Katumbi, the governor of the Katanga region of the Democratic Republic of Congo and president of the TP Mazembe Lubumbashi football club, arrives for their African Champions league football match against Sewe Sport on March 23, 2014 at the Robert Champroux stadium in Abidjan. AFP PHOTO / ISSOUF SANOGO
Moise Katumbi, the governor of the Katanga region of the Democratic Republic of Congo
 and president
 of the TP Mazembe Lubumbashi football club, arrives for their African Champions league
football match against Sewe Sport on March 23, 2014 at the Robert Champroux stadium in
Abidjan. AFP PHOTO / ISSOUF SANOGO
Rais wa klabu ya Tp Englebert Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo Moise Katumb

advertise here