Monday 31 October 2016

KIFO CHA MWANAMASUMBWI THOMASI MASHALI KUTOLEWA TAARIFA SIKU YA JUMA TANO

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema kuwa wanaendelea na upelelezi kwa kufuatia kuuawa kwa mwanamasumbwi Thomas Mashali na watatoa taarifa ya kifo hicho siku ya Jumatano.

Akizungumza na waandshi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro amesema taarifa zilizopo kwa kufuatia kifo cha bondia huyo ni za kufikirika na zinasemwa tu, hivyo Jumatano nitatoa taarifa hiyo.

KIJUE ALICHOKITAMKA MAGUFULI HUKO KENYA

Rais Magufuli ambaye yuko nchini Kenya kwa ziara ya kiserikali ya siku mbili ambapo kabla ya Mkutano na waandishi wa habari leo October 31 2016 amepokelewa rasmi kwa kupigiwa mizinga 21 na kukagua gwaride rasmi lililoandaliwa kwa

VIDEO:KEJERI YA NAY WA MITEGO KUHUSU MILLION 500 ZA IDRISS NA WEMA SEPETU

Nay wa Mitego ni kati ya Mastaa wa Tanzania ambao karibia kila wanachokifanya kwenye maisha yao hugeuka kuwa Headlines kubwa kutokana na style ya vitu wanavyofanya. Leo October 27, 2016 kupitia Instagram Rapa Nay wa Mitego a.k.a True Boy amepost video

KIPYA KUHUSU MISS TANZANIA 2016

Baada tu ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano la Miss Tanzania mwaka 2016, Mrembo Diana Lukumay alianza kupokea msg za taarifa zilizosambazwa mitandaoni kuonyesha kwamba alifeli kidato cha nne lakini pia pamoja na hayo bado CV yake ilionyesha anayo degree.
Diana ameamua kuweka kila kitu wazi kwa kusema ‘Jina langu ni Diana Loi Lukumay, mmasai na

VIDEO : LICHA YA KUWA NA MVUA KUBWA HIVI NDIVYO DIAMONDPLATNUMZ ALIVYOVUNJA RECORD HUKO MALAWI

Ni habari iliyo njema kwa muziki wa Tanzania pale unapoona mwimbaji wake anaalikwa kwenda kutumbuiza kwenye taifa ambalo sio taifa linalotumia lugha ya Kiswahili lakini muziki wa bongofleva umeweza kupenya.
Mwimbaji Diamond Platnumz wa Tanzania alialikwa kwenda kutumbuiza Malawi Jumamosi ya

BREAKING NEWS:BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU TANZANIA IMETANGAZA RASMI KWA WANAFUNZI WOTE WALIOOMBA MKOPO KUANGALIA SASA MIKOPO WALIYOPANGIWA 2016/2017



Image result for OLAS.GO.TZ


Bodi ya mikopo ya elimu ya juu Inawatangazia waombaji wote wa mwaka wa masomo 2016/2017 ,kuangalia mikopo waliyopangiwa.

Kama utahitaji kuangaliziwa jina lako kwa "usahihi" na "kasi ya ajabu" (ambapo utajibiwa ndani ya dk 1 tu) kama limepata mkopo tafadhali fanya yafuatayo;

Sunday 30 October 2016

HESLB YAFAFANUA VIGEZO UTOAJI MIKOPO, WALIOKOSA SABABU ZATAJWA, WAPEWA NAFASI YA KUKATA RUFAA

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa ufafanuzi kuhusu vigezo inavyotumia katika kuchambua, kupanga na kutoa mikopo kwa wanafunzi 20,183 (asilimia 74) wa mwaka wa kwanza hadi sasa kati ya 25,717 iliyopanga kuwapa mikopo katika mwaka huu wa masomo, 2016/2017.

Idadi iliyobaki (asilimia 26) ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza itajazwa na waombaji ambao baadhi ya nyaraka walizowasilisha zinaendelea kuchambuliwa ili kuthibitisha uhalisi wake na baadhi

Wednesday 26 October 2016

VIDEO DIAMOND PLATNUMZ AKITUONYESHA NYUMBA ALIYONUNUA HUKO SOUTH AFRIKA

Siku kadhaa zimepita toka msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz atangaze kuwa kanunua nyumba ya kuishi Afrika Kusini, huku baadhi ya watu wakidaiwa kutoa

Monday 24 October 2016

UNAJUAJE KAMA UMEISHIWA MAJI MWILINI

UTAJUAJE KAMA UNA UPUNGUFU WA MAJI MWILINI?
Umeshawahi kwenda hospitali kumlalamikia daktari kuwa mwili wako hauna nguvu na unajisikia kuchokachoka sana na baada ya kukuchunguza, akakwambia huna tatizo lolote isipokuwa una upungufu wa maji mwilini tu?

Sunday 23 October 2016

SABABU ZA KUHARIBIKA MIMBA

KATIKA makala ya afya wiki hii tuangalie sababu zinazosababisha mimba kuharibika.
Kuharibika kwa mimba ni  hali ya mwanamke kupata ujauzito na ukatoka kabla ya muda wake ambapo tatizo hili huangaliwa kabla ya kutimiza wiki 20 tangu kutungwa kwake.
Hali hiyo inapotokea huitwa kuwa mimba imetoka au imeharibika (Miscarriage).
Hali hii ya mimba kuharibika inakuwa tofauti kabisa na utoaji mimba ambapo kitendo cha kutoa mimba kinafanywa na binadamu kwa makusudi na huwa amedhamiria kufanya hivyo.

KUTANA NA MWANAMKE MNENE KULIKO WOTE DUNIANI

Kwa mujibu wa jarida la Daily Mail, inaelezwa kuwa mwanamke huyo aitwaye Iman Ahmad Abdulati mwenye miaka 36 hajawahi kutoka ndani kwa miaka 25 na amekua akiongezeka uzito wake kwa haraka mpaka kufikia kilo 500 zinazompa shida ya kujifanyia usafi na hata kula. Ripoti ya madaktari inaonesha kuwa mwanamke huyu anasumbuliwa na maambukizi ya bakteria

ANAYEDAIWA KUTOKA KIMAPENZI NA WEMA KWA SASA ADAI HAJUI IDRIS SULTAN

Model anayedaiwa kutoka kimapenzi na malkia wa filamu Wema Sepetu, Calisah amefunguka na kuzungumzia tetesi hizo ambazo zimekuwa zikisambaa katika mitandao ya kijamii.
Kijana huyo ambaye tayari ameshaonekana mara kadhaa katika baadhi ya video za mastaa wa muziki nchini, amemmwagia sifa malkia huyo wa filamu huku akishindwa kuweka wazi kama ni kweli anatoka naye kimapenzi au la!.

“Wema is a beautiful girl, sexy and every man’s dream, na mimi pia ni mvulana mzuri ambaye mwanamke yeyote angependa kuwa na mimi, akiwemo Wema mwenyewe,” Calisah alikiambia kipindi cha Enewz cha EATV. “Siwezi kusema moja kwa moja kwamba sisi ni wapenzi, lakini lakizima ujue kuwa Wema ni mzuri na mimi mzuri,”
Pia kijana huyo alidai kuwa hamtambui Idris Sultan na hakumbuki kama Tanzania imewahi

DIAMOND, HARMONIZE, AY, DJ D-OMMY WASHINDA TUZO YA AEAUSA


Diamond Platnumz, Harmonize, AY na DJ D-Ommy wa Clouds FM wameshinda tuzo ya African Entertainment Awards USA zilizotolewa usiku wa kuamkia Jumapili huko New Jersey, Marekani.
Diamond ameshinda kipengele cha Best Male Single na pia kuungana na AY kwenye Best Collabo (Zigo Remix).

Harmonize ameshinda tuzo ya Best New Artist huku D-Ommy akishinda tuzo ya Dj bora.
Katika kushukuru kwa tuzo hiyo, Harmonize ameandika kwenye Instagram:

MAREHEMU MICHAEL JACKSON AMEINGIZA $825M MWAKA HUU

Forbes wametoa orodha ya mastaa waliofariki wanaoendelea kuingiza mkwanja mrefu zaidi. Mfalme wa muziki wa Pop, Michael Jackson ndiye anayeongoza orodha hiyo akiwa ameingiza kiasi cha dola milioni 825
 Sababu ya kuongoza orodha hiyo imetajwa ni kufuatia uamuzi wa kuuzwa nusu ya hisa zake kampuni Sony/ATV inayomiliki nyimbo za The Beatles na kuingizia kiasi cha dola milioni 750.

Sunday 9 October 2016

HIVI NDIVYO ALI KIBA ALIVYOWAVULUGIA NAVY KENZO

Wasanii wa Kundi la Navy Kenzo ameshindwa kuachia kwa wakati kolabo yao na AliKiba kutokana na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’ kuwa busy hali ambayo imewafanya washindwe kumpata kwa ajili ya kushoot video.

Wakizungumza katika kipindi cha The Playlist cha Times FM Jumamosi hii, wasanii hao wamesema zaidi ya mara mbili walipanga kushoot video hiyo lakini wameshindwa kumpata msanii huyo.

HAWA NDIO WANAUME KUMI WANAOCHUKIWA NA WANAWAKE

Kila ndoa inachangamoto zake na maana halisi ya ndoa ni ule uwezo wa wanandoa kuvumiliana katika changamoto hizo. Kuna changamoto za kimungu ambazo wanandoa hawawezi kuziepuka lakini kuna zile za kiuanadamua mbazo nyingi ni za kimakusudi na mtu huamua tu kuwa hivyo. Katika kuangalia ndoa leo nimeona nichambue aina kumi za waume ambao wake zao wanakereka kuwa nao;

(1) Wanaojione Kama Wafalume (King Husband); HIi ni aina ya wanaume ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka

TUHUMA ZA DIVALONESS KUJIUZA MAJIBU HAYA HAPA

Divaloness ajibu tuhuma za kujiuza Hyatt hotel baada ya Chat Kuvuja akichati na Danga...

Kupitia Kwenye Ukurasa wake wa Instagram ameandika haya hapa :
...
#Regrann from #divathebawse - LOL jaman wanawake wana mambo hahaha anyways . unaambiwa alietengeneza chat zangu za so called kudanga kwenye system ya cyber crime anaitwa Mirry au Maarufu kama Tzshade sijui nini anaishi Dubai , alichat na mwenzie akaenda whatsapp yangu ya biashara na ku crop kisha kuunganisha chat zake aka edit ila pia akasahau crop vizuri 😂😂 ,

ETI CHRISS BROWN KAVUNJA SIMU YA SHAIKI MOMBASA

Muimbaji mashuhuri wa Marekani mtindo wa Hip Hop Chris Brown, yupo Kenya kwa tamasha la muziki mjini Mombasa eneo la pwani.

Lakini tukio ambalo halikunukuliwa kwenye kamera limegubika vyombo vya habari nchini.

Shabiki mmoja mwanamke anatuhumu kuwa Chris Brown ameivunja simu yake alipojaribu kupiga picha 'selfie' alipowasili katika uwanja wa ndege Mombasa.

advertise here