Tuesday 8 December 2015

HII KWA WANAUME NA WANAWAKE WASIO NA UJASIRI WAKATI WA KUTONGOZA NA KUTONGOZWA

LAYIII

Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu.
Kuna sanaa zingine za ushawishi kama vile ushawishi wa kibiashara ambapo lengo ni kuuza bidhaa. Na kuna ushawishi wa kisiasa ambapo lengo ni kupata kura.
   Wakati sanaa karibia zingine zote za ushawishi ni rahisi kujifunza, sanaa ya kutongoza watu wengi wanasema eti haifundishwi ... eti kila mwanaume anajua kutongoza.
Sio Kweli !!!

Sunday 6 December 2015

MADEMU 17 ALIOTOKA NAO CHRISTIAN RONALDO KIM KARDASHIAN YUMO

LAYIII
Vimeandikwa vingi sana kuhusiana na Staa wa soka wa Real Madrid ya Hispania na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo, kuhusu kuishi maisha ya kifahari Ronaldo kaandikwa sana, kuhusu watu kuhoji mama wa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 Cristiano Ronaldo Junior ni yupi, hiyo ilikuwa headlines kila kona kuhusu staa huyo.

ULIPITWA NA KISA CHA MWANAMKE ALIYEMWAGIWA MAJI YA MOTO KISA WIVU WA MAPENZI BONYEZA LINK

LAYIII
Bonyeza picha hii kuiona video yake
20131213-141212.jpg
Bi. Neema Teti aliyemwagiwa maji ya moto mwili mzima, kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na mume wa mtu akipata matibabu hospitalini.
20131213-140854.jpg
Bi. Neema Teti aliyemwagiwa maji ya moto mwili mzima, kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na mume wa mtu.

MJUE KIUNDANI MWIGIZAJI WA FILAMU YA YESU

LAYIII

Mjue mwigizaji wa Filamu ya Yesu ambaye baadhi ya watu hudhani kwamba ndie Yesu

Historia ya mtu ambaye ameigiza filamu ya Yesu inayofahamika kwa jina la ''JESUS'' ambayo iliigizwa mnamo mwaka 1979 huko nchini Israel,na kujipatia umaarufu duniani kote,watengenezaji wa filamu hii wametoa maelezo kua " tumeamua kufanya hivi baada ya kuona ni kwa jinsi gani filamu hiyo imekuwa ikigusa maisha ya watu wengi kiasi kwamba baadhi ya watu wanasahau kwamba mtu aliyemo kwenye filamu hiyo ni mwigizaji tu na siyo Yesu.
hata yeye amekiri kwamba wakati wa uigizaji alikuwa akisuluhisha mambo yaliyokuwa yakijitokeza yeye na waigizaji wenzake baada ya wao kusahau kwamba yeye si Yesu bali anaigiza tu. 

ULIPITWA NA SAMAKI WA AJABU ALIYE VULIWA UNGUJA MTIZAME HAPA MTU WANGU

LAYIIII
BONYEZA PICHA KISHA JIUNGE NAMI YOUTUBE KUONA VIDEO ZINGINE SUBSCRIBE NAMI MTU WANGU ILI UWE KARIBU NA KILA HABARI INAYO NIFIKIA 
https://youtu.be/w8bqlYRkYP0

Sunday 15 November 2015

LEO NDO MWISHO WA MICHEPUKO NA NDOA ZA UONGO

LAYIII
nimeamua kushare na wewe namna ya kumkamata mpenzi wako anaye kuchiti kuwa yupo na wewe kumbe ana vigudulia vingine pembeni njia ni moja tu. Nini cha kufanya ingia katika account yako kuona sms zake ktk simu yake bila yeye kujua kwa kutumia account yako ya facebook hata kama yuko mbali na wewe hatua zote angalia video hii kisha jiunge nami youtube ili niwe nakuletea video za mafunzo kali bila kujua zinatoka wapi
Facebo261655

UMEWAHI KUSHUDIA MAGARI YAKITEMBEA JUU YA MAJI BASI NI WAKATI WAKO SASA TIZAMA HAPA

LAYIII

 AMPHICARS:MAGARI YANAYOTEMBEA BAHARINI NA NCHI KAVU
Leo katika maajabu ya dunia nimewaletea maajabu ya gari linaloitwa AMPHIBIAN CARS au kwajina lingine AMPHICARS gari hili lina sifa kuu mbili..Sifa ya kwanza nikutembea ardhini na majini.
 Gari hili lilitengenezwa mnamo wamiaka ya 1962-1967 huko BERLIN UJERUMANI.. Sifa kubwa ya gari hili nikuwa unaweza kuliendesha maili 500 kwasiku.. 

EMBU TUUNGANE KUTIZAMA BAADHI YA PICHA ZA GARI HILI

Terra Wind Amphibious Motorcoach

IJUWE HISTORIA FUPI YA FACEBOOK SIYO UNATUMIA TUU HUJUI CHANZO CHAKE NINI

LAYIII
Najua wengi tunaitumia facebook lakn wengi wao hawajajua ilikuwa vp tokea inaanza kutengenezwa mpaka hapa ilipofikia.. Embu tizama picha hizi za kuanzia 2004 fcebook ilipoanza kutengnezwa.

Facebook 2004 to 2005

Facebook Website Design from 2004-2011

Facebook Website Design from 2004-2011

Facebook 2006 Design

Facebook Website Design from 2004-2011
Facebook Website Design from 2004-2011
Facebook 2007 to 2008 Design Facebook Website Design from 2004-2011

Facebook 2009 Design

Facebo261655


Facebook New TimeLine Design

Facebook Website Design from 2004-2011


WAJUWE WALIOTEMBELEA PAGE YAKO YA FACEBOOK PASIPO WEWE KUJUA

LAYIII
Nimekuwa nikiona watu wengi wakitumia application kutambua niwatu gani ambao wametembeleaprofile zao za facebook..sasa nimewaleteanjia moja na rahisi isiyohitaji wewe kutumia application yeyote ile..
FUATA MAELEZO HAYA
1-nenda katika profile yako ya facebook
2-binya CTRL na herufi U yani CTRL+U kisha chagua au right click mouse yako kisha chagua ” View Page Source
3-kisha binya CTRL na F yani CTRL+F kisha kitatokea kibox kidogo ndani ya kibox hicho andika maneno haya  ordered_list.top_friends.
kama hivi

 

baada ya hapo utaona profile id za watu wote kama ionekanavyokatika picha hii
https://www.facebook.com/swaxbz1
hizo namba ambazo ziko katika vifungo ndo profile za watu hao pasipo majina yao sasa jinsi ya kuona profile za waliotembelea na kukutizama facebook ni hivi.. mimi nitachagua profile ambayo nimeichorea rangi ya blue ambayoni 100000617054353..
nenda kwenye adress bar. kisha type https://www.facebook.com/100000617054353

Natumai utakuwa umeipenda post hii
usisahau kulike page yetu ilikuweza kupokea tips zingne direct kupitia facebook https://www.facebook.com/swaxbz1

  kama unaswali unaweza kutuinbox katika page yetu au kucomment hapa


 


HAYA NDIYO MAENEO YENYE MAAJABU NA MVUTO DUNIANI

LAYIII
Leo Tunawaletea picha za maeneo ambayo yako katika mvuto wa kipekee.. Maeneo hayo yakiwa yapo yaliyotengenezwa na binadamu enzi za zamani sana na yapo ambayo kimsingi ni uumbaji wa mwenyezi mungu mwenyewe..
Embu Yatizame nawewe.
PICHA ZOTE NA LINK YA VIDEO

ALIYE VUNJA RECORD YA KUTEMBEA NA NYUMBA YAKE KWA MUDA WA MIAKA MITANO HUYU HAPA KWELI DUNIA HAWEZI ISHA VITUKO

LAYIII
Anaitwa Liu Lingchao nimchina ambaye amekuwa akitembea kwa  zaidi ya miaka mitano sasa akiibeba nyumba yake mabegani na kuzunguka nayo kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
KILA PICHA UKIBONYEZA NIMEKUWEKEA LINK YA VIDEO YAKE
https://www.youtube.com/watch?v=IfHifyK-WsY

LOWASSA NA SIRI NZIRO, M’KITI WA CHADEMA AUAWA, USPIKA,

layiii
MWANANACHI
Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana hakuhudhuria mkutano wa kampeni za ubunge mjini Arusha kwa maelezo kuwa anajiandaa kutoa tamko kuhusu hali ya kisiasa visiwani Zanzibar.
Maelfu ya wafuasi wa Chadema jana walifurika kwenye Uwanja wa Ngarenaro mjini hapa kuhudhuria kampeni za ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini ambao uliahirishwa kutokana na kifo cha mgombea kutoka chama cha ACT Wazalendo, lakini wakakumbana na tangazo kuwa Lowassa hataweza kuhutubia na badala yake atakuja siku ya kufunga kampeni hizo.

Saturday 14 November 2015

SIMULIZI YA AL- SHABAB: WASHAMBULIA BUNGE LA SOMALIA

LAYIII
BONYEZA PICHA KWENDA KATIKA PAGE NYINGINE
https://www.youtube.com/watch?v=FchLBEZdBwwILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Mpenzi mfuatiliaji wangu, wiki iliyopita tuliona jinsi ambavyo mapambano kati ya Al-Shabaab na majeshi ya Serikali ya Somalia yakisaidiwa na yale ya kigeni yalivyokuwa yakipambana. Licha ya vipigo vikali kutoka kwa majeshi ya Afrika, wapiganaji hao walishambulia Kambi ya Wakimbizi ya Daadab iliyopo kwenye mpaka wa Somalia na Kenya ambayo inahesabiwa kuwa moja ya kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani. SASA ENDELEA…
MWANADADA aliyefahamika kwa jina moja la Mbuva, mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar, hivi karibuni amejikuta akiharibiwa uso wake kwa kumwagiwa mafuta ya moto na shosti wake aitwaye Mama Sofia, kisa kikidaiwa ni mume wa mtu.
BONYEZA PICHA KUONA TUKIO NZIMA
https://youtu.be/FchLBEZdBww
Mbuva, akiwa na majeraha usoni baada ya kumwagiwa mafuta ya moto.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo inadaiwa mama Sofia alimfanyia mwenzake unyama huo akimtuhumu kutembea na bwana wake.Akisimulia ilivyokuwa, Mbuva

MBASHA AFANYA KUFURU

LAYIIII
BONYEZAPICHA YOYOTE ITAKUPELEKA MOJA KWA MOJA KATIKA TUKIO NZIMA 

https://youtu.be/FchLBEZdBwwEmmanuel Mbasha akiwaongoza waimbaji wengine wakitumbuza kwenye sherehe yake hiyo.
Musa Mateja ASANTE Mungu! Mume wa muimba Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameangusha bonge la pati nyumbani kwake Tabata Kimanga Mwisho, jijini Dar, Jumapili iliyopita kama shukrani kwa Mungu kwa kumfanikisha kushinda kesi ya ubakaji iliyokuwa ikimkabili.

HII NDO FULL TIME YA TAIFA STAR VS NIGERIA

LAYIII

Hatimaye mchezo wa kwanza wa kuwania kufuzu fainali za michuano ya Kombe la Dunia2018 zitakazofanyika Urusi kati ya timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars dhidi ya timu ya taifa ya Algeria Mbweha wa Jangwani ndio umechezwa leo November

UJUMBE MZITO WA SHUKRANI KWA GROUP ZA FACEBOOK ZOTE NA KWINGINEKO

LAYIII
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kabisa kwa wale wote ambao wananipa support katika mwendelezo wa blog yangu ya www.swaxbz.com na kwa wale wote walio subscribe katika  youtube na katika blog hii naomba sapoti zenu zaidi na zaidi kama hujajisajili na blog hiii jisajiri ili niwe nakuunganisha na habari hot kabisa pia kama hujajiunga nami katika youtube jiunge sasa bonyeza picha hii utaenda moja kwa moja katika page yangu ya youtube
 MDADA AVUNJA RECORD YA MWAKA KWA KUCHEZA WIMBO WA SKELEW WA DAVIDO BONYEZA PICHA KUIONA VIDEO YAKE
lhttps://youtu.be/3IfFYSsCOvE
 Pata nafasi ya kuitazama video ambayo mwanamke mmoja kawachanganya majaji mpaka wameshindwa kutoa kauli za mwisho na kusahau kazi yao ya ujaji

Friday 13 November 2015

WANAWAKE WAZURI HAWAOLEWI KUNAUKWELI WOWOTE? UNGANA NAMI HAPA

LAYIII
Si mara zote uhusiano wa ndoa ni matokeo ya upendo kama inavyotarajiwa. Yapo mahusiano mengi tu ya ndoa ambayo kimsingi ni arrangements za watu kujipatia mahitaji mengine kabisa yasiyohusiana na mapenzi. Ndoa zimeanza kuwa 'fursa' za kujinufaisha kibinafsi na zinameanza kupoteza dhana halisi ya mahusiano. Ndoa zimeanza kuchukuliwa kirahisi kama ubunge na udiwani unaopatikana hata kama huwapendi wapiga kura.

BONYEZA PICHA HII KUONA WANAFUNZI WALIOKAMATWA WAKIFANYA MAPENZI DARASANI  18+ NA ADHABU WALIO CHUKULIWA KAMA FUNDISHO KWA WENGINE

UKWELI KUHUSU KUONEKANA KWA 2PAC......... JE NI KWELI FREMASON WAHUSIKA..... WAPI KAONEKANA..... AU NI UDAKU TUUUU STORY ZOTE HAPA

LAYIII
HABARI ZA KUSHTUA NI KWAMBA TUPAC YUPO HAI NA POLICE WAMEPIMA DNA ZIMECORFIRM {NAKUWEKEA KAMA ILIVO COPY PASTE}Bonyeza picha na uende moja kwa moja katika page inayoonyesha muonekano wake samahani story iko katika lugha ya kiingeleza

BREAKING NEWS - Police Confirms The Dna "TUPAC IS ALIVE" 2015 Video Proof


Today: May 21 2015 we can confirm that Mr. Tupac Amaru Shakur lives. According to the Police officer mr. Beck. "Lately we used to check the DNA test and we discovered that Mr. Shakur lives and as you can see in the video he admits his existen
Mesothelioma and Asbestos Lawyers

MTOTO WA MIAKA 3 AOTA MATITI KAMA MWANAMKE WA MIAKA KUMI NA NANE BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YAKE

LAYIII

Ni habari ya muda lakini ni ya kwanza kwako wewe msomaji wa swaxbz.com .Napenda kukumbusha kuwa mwenyezi Mungu yupo na wao wanao mwabudu yawapasa kumwabudu kwa roho na kweli.


HUWEZI KUAMINI...!!!MTOTO WA MIAKA 3 AOTA MATITI MAKUBWA KAMA MSICHANA WA MIAKA 18..MTAZAME HAPA HAPA 

Huwezi kuamini mtoto wa miaka 3 huko Nigeia kuota matiti,unaweza kusema kuwa hili swala limesababishwa na hali ya maumbile ya mtoto.Kusema kweli sisi hatufahamu hili swala limetokeaje kwa mtoto huyu mzuri
TAZAMA PICHA HALISI HAPO CHINI...!!!!
TAZAMA PICHA HALISI HAPO CHINI...!!!!

 


UKIJIBIWA MAJIBU HAYA NA MPENZI WAKO UJUE IMEKULA KWAKO BONYEZAA PICHA KUISOMA STORI HIYO NA KUONA VIDEO YAKE

LAYIII

Hivi Unamchukuliaje Mpenzi Wako Mwenye Majibu Kama Haya Ukichat Nae
BONYEZA PICHA HIII KUONA VIDEO YA NDOA YA AJABU 
https://www.youtube.com/watch?v=w8bqlYRkYP0
Eti ukiwa unachat mpenzi wako anakupa majibu kama haya unamchukuliajeee
mfano

advertise here