Bonyeza picha hapo chini kushuhudia video kali ya chura hapo
STAA wa Muziki wa Bongo Fleva,
Snura Mushi ‘Chura’ juzikati akiwa kwenye shoo iliyofanyika Masasi,
Mtwara alijikuta katika wakati mgumu baada ya kutaka kupigwa na
mashabiki kisa kikiwa eti ni kutokuimba Wimbo wa Chura ambao umefungiwa.
Kwa mujibu wa chanzo, tukio hilo lilijiri mida ya usiku katika ukumbi mmoja maarufu uliopo Masasi ambapo
Snura alikuwa akifanya shoo hapo na alipotaka kumaliza, mashabiki
walimtaka amalize na Wimbo wa Chura ndipo kizaazaa kilipoanzia na kutaka
kumpiga





Kimenuka! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mafahari wawili wa Bongo
Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
kudaiwa kutupiana vijembe vya kufa mtu baada ya kuwepo kwa madai ya Kiba
kuhujumiwa.

Basi
la mwendo kasi ( DART) limemgonga na kumuua mtoto huku mama yake
akinusurika baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa kulipita
basi hilo