Sunday, 12 July 2015

EBANAA EEE CHEKI JAMAA ANAVO MLEA MTOTO KISTYLE UTAPENDA

LAYIII
SHARE NAMI KWA WENGINE KAMA UMEIPENDA HIII
Kwanza huyu jamaa  alianza na style ya kawaida tu ya kumbeba mtoto nahisi na wewe utakua unaijua, me najua hii style mar nyingi hutumika  kama mtoto analia au una kazi flan hivi unafany ndio unambeba kwa style hii. Kumbe Kwa Kidhungu inaitwa  ‘Standard Shoulder Hold’ and ‘Reverse Standard Shoulder Hold.’…………… Me Nilikua cjui
Lakini sasa baada ya hapo akaleta style zingine za ajabu ajabu ambazo for really its very fuuny

ONA KIPOFU ALIVYO PATA PESA YA KWENDA STUDIO KUTOKA KWA WAPITANZIA

LAYIII
Eddie alikua kipofu kabisa wakati akiwa na miaka 11 na kazi yake ya kujipatia kipato ikawa na kucheza gitaa katka mitaa ya Florida UAS… I mean USA..
So eddie amekua anabarikiwa sana, sana sana, yaaani sana na watu kumchangia kwa miaka mingi sana, tena sana…….. lakini sasa unajua hizi ela anazopata huyu jamaa anazifanyia nini, wala ja


NIMEAMUA KUSHEA NA WEWE VIDEO HII ILI UPUNZISHE AKIRI YAKO BAADA YA UCHOVU MKUBWA

LAYIII


KWA NDUGU ZANGU WALEMAVU TEKNOLOJIA HII NI MSAADA SANA KWAO

LAYIII

Kwanza muonekano wake ni Simple Tu

kitu cha kupanda ngazi kwako kinaweza ni kitu rahisi sana ila kwa kweli inaweza kuwa ni kitu kigumu kwa wale walemavu ambao hawawezi kupanda hizo ngazi, ila sasa kiti cha Scalevo

MAN U NI MWENDO WA KUSAJIRI VIUNGO VIPYA TU CHEKI GINGI HILI

LAYIII
Klabu ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa kulia wa TorinoMatteo Darmian baada ya kufuzu vipimo vya afya.
Mchezaji huyo  ambaye ameichezea klabu yake mechi 146 na kuifungia mabao matano wakati akiwa na timu hiyo na sasa amekubali Mkataba wa miaka minne Old Trafford.   

Mkali mwingine aliyesajiliwa na Manchester United huyu hapa…

mateo
Klabu ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa kulia wa TorinoMatteo Darmian baada ya kufuzu vipimo vya afya.

MOJA BORA YAPATIKANA CCM

LAYIII
 Yaone matokeo hapa sasa
July 12 2015 Tanzania ilikuwa inasubiri kwa hamu kujua Mgombea yupi anasimamishwa na CCM kwenye nafasi ya Urais 2015, ninayo Ripoti nyingine kutoka Dodoma sasahivi!!

Kwenye watatu waliopitishwa kwenye Urais CCM matokeo ya mwisho ni haya hapa… #CCMDodoma

DSC_2987
July 12 2015 Tanzania ilikuwa inasubiri kwa hamu kujua Mgombea yupi anasimamishwa na CCM kwenye nafasi ya Urais 2015, ninayo Ripoti nyingine kutoka Dodoma sasahivi!!
Kura zimepigwa na Wajumbe wa Halmashauri Kuu CCM na matokeo yako hivi >>> John Pombe Magufuli 87%, Balozi Amina Ali 10% na Asha-Rose Migiro 3%.

 


UCHAGUZI WAHAIRISHWA

LAYIII
Hii ilikuwa ni mara ya tatu kwa uchaguzi huo kuahirishwa baada ya tume ya uchaguzi kuahirisha uchaguzi kwa majuma matatu kutokea tarehe 26 Juni hadi tarehe 15 Julai

Burundi:Uchaguzi waahirishwa tena 

Uchaguzi wa Burundi umeahirishwa tena.
Msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza amesema uchaguzi utafanyika tarehe 21 Julai.
Uchaguzi huo umekumbwa na utata baada ya makundi ya upinzani kuandamana na kupinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

Saturday, 11 July 2015

KIJUE ALICHOSEMA JANUARY MAKAMBA BAADA YA KUIKOSA TATU BORA

LAYIII
January Makamba ni miongoni mwa waliojitokeza kuomba ridhaa ya chama cha mapinduzi CCM kuteuliwa kukiwakilisha chama kwenye kugombea Urais wa Tanzania 2015 ambapo alitajwa kwenye mchujo wa kwanza wa tano bora pamoja na Bernard Membe, Amina Salum, Asharose Migiro na John Magufuli.

Makamba 1January Makamba ni miongoni mwa waliojitokeza kuomba ridhaa ya chama cha mapinduzi CCM kuteuliwa kukiwakilisha chama kwenye kugombea Urais wa Tanzania 2015 ambapo alitajwa kwenye mchujo wa kwanza wa tano bora pamoja na Bernard Membe, Amina Salum, Asharose Migiro na John Magufuli.

BAADA YA TATU BORA KUTANGAZWA CCM KILICHOFUATA HIKI HAPA

LAYIII
Tayari mchujo wa pili ulitangazwa saa kadhaa zilizopita hapa Dodoma ambapo walioingia ni John Magufuli, Asharose Migiro na Amina Salum kutoka kwenye tano bora iliyowahusisha pia January Makamba na Bernard Membe, watatu hawa kila mmoja 

CCM 2Tayari mchujo wa pili ulitangazwa saa kadhaa zilizopita hapa Dodoma ambapo walioingia ni John Magufuli, Asharose Migiro na Amina Salum kutoka kwenye tano bora iliyowahusisha pia January Makamba na Bernard Membe, watatu hawa kila mmoja alipewa dakika 15 za kuongea live mbele ya Wajumbe na

NAPE MTANGAZA SHEIN KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR

LAYIII
Katibu wa Uenezi, Nape Nnauye amemtangaza rasmi Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM 2015, Mhe. Ali Mohamed Shein.

UKUMBI WA CCM DODOMA BADO MATUKIO YAPO MENGI KWELI KWELI

LAYIII

Majibu ya tatu bora kutoka kwenye list ya tano bora ya Wagombea Urais wa CCM tutayajua leoleo JULY 11 2015 kutoka hapahapa Dodoma.
Niko na wewe mtu wangu kwenye kila hatua, kila tukio la hapa ni lazima nilisogeze kwako pia… matukio mengine ya nje ya Ukumbi wa CCM Dodoma ni haya niliyoyanasa kwenye hizi pichaz.
DSC_2874
Camera za Waandishi wa Habari ziko karibu na kila tukio hapa Dodoma.

Bastian Schwesteiger athibitishwa kwenda Man United

LAYIII
Klabu ya Manchester United imekubaliana kimsingi na mabingwa wa Bayern Munich juu ya usajili wa kiungo wa timu ya taifa ya Ujerumani Bastian Schweinsteiger.
  Bastian, mwenye umri wa miaka 30, aliomba mwenyewe klabu ya Bayern Munich kutompa mkataba mpya na angependa kwenda sehemu nyingine.
Mkurugenzi mkuu wa Bayern Karl-Heinz Rummenigge ameongea na waandishi wa habari muda

BREAKING NEWS

LAYIII

Baada ya wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM, kuingia ukumbini mjini Dodoma mchana huu wakiongozwa na mwenyekiti wake Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, viongozi wenzake, baadhi ya wajumbe wamesikika wakiimba “Tunaimani na Lowassa”.
Endelea kufuatilia habari zetu.

NAPE ATHIBITISHA TANO BORA CHEKI VIDEO HAPA

LAYIII


JULY 11 2015 stori zote kwenye Udaku, Hardnews na Michezo Tanzania ziko kwenye haya Magazeti

LAYIII
.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa WWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

CHEKI KINACHO ENDELEA DODOMA HAPA

LAYIII

DSC_2734
Kikao cha Halmashauri Kuu kimeendelea sasa hivi kwa zaidi ya saa nne hapa Makao Makuu ya CCM Dodoma, viko vitu vingi  vinaendelea nje ya Ukumbi… wapo wanaoimba na kushangilia, wengine wapo wakiendelea kusubiri kile kitakachotangazwa baada ya Halmashauri Kuu kumaliza Kikao.
Watu ni wengi sana nje ya Ukumbi, nimebahatika kukutana na wenyeji wa Mji wa Dodoma na watu ambao wanafanya shughuli zao kwenye Majengo yanayozunguka Makao Makuu hayo, wanasema haikuwahi kutokea mtaa huu ukawa busy watu wakawa wengi kiasi hiki.
DSC_2702
Hapa ni nje ya Ukumbi ambao Kikao kinaendelea.

Ronaldinho, Eto’o na Valdes kucheza timu moja?, stori iko hapa

layiii
valdes-ronaldinho-and-etoo-1436557439755
.
Wachezaji wa zamani wa Fc Barcelona ya Hispania Ronaldinho Gaucho na Victor Valdes uwenda wakaungana na mchezaji mwenzao wa zamani wa klabu hiyo Samuel Eto’o nchini Uturuki.
Story inayovutia wapenzi wa soka duniani kuhusu hawa ma star sio kucheza tena pamoja ila ni timu wanayo kwenda kuichezea Antalyaspor ya nchini Uturuki ambayo ndio imepanda daraja msimu huu.

Maneno 36 ya Waziri Membe kuhusu mtu aliyekamatwa na Mabilioni ya Wajumbe Dodoma..

layiii

bernard-membe-1
Kuna stori zimeenea mitandaoni kwamba kuna mtu ambae amekamatwa na mabilioni ya pesa Dodoma, kingine ni kwamba amekamatwa na simu ikiwa na maelekezo kwamba pesa hizo ni za kuwapatia Wajumbe.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameandika ujumbe @Twitter kukanusha kuhusika na mtu huyo >>> “Kuna taarifa za uongo zinazoenezwa kwamba kuna “Mtu wa Membe” amekamatwa na pesa Dodoma
Kwenye Tweet nyingine Waziri Membe ameandika hivi >>>”siasa hizi ni za hovyo kwani hazitajenga Taifa letu. Naomba msihadaike na watu wanaotaka kututia doa baada ya kukosa uchafu dhidi yetu” >>> @

Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA

layiii

.
.
Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba.

Zitto Kabwe kayasema haya kuhusu chama chake kuteua mgombea au kuunga mkono mgombea wa chama kingine

layiii

.
.
Baada ya chama cha Mapinduzi kupitisha majina matano kwenye tano bora ya Wagombea CCM nafasi ya Urais 2015 kupitia chama hicho.
Sasa kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Mh Zitto Kabwe

advertise here