LAYIII
Kikao cha Halmashauri Kuu kimeendelea
sasa hivi kwa zaidi ya saa nne hapa Makao Makuu ya CCM Dodoma, viko vitu
vingi vinaendelea nje ya Ukumbi… wapo wanaoimba na kushangilia,
wengine wapo wakiendelea kusubiri kile kitakachotangazwa baada ya
Halmashauri Kuu kumaliza Kikao.
Watu ni wengi sana nje ya Ukumbi,
nimebahatika kukutana na wenyeji wa Mji wa Dodoma na watu ambao
wanafanya shughuli zao kwenye Majengo yanayozunguka Makao Makuu hayo,
wanasema haikuwahi kutokea mtaa huu ukawa busy watu wakawa wengi kiasi
hiki.
No comments:
Post a Comment