Saturday 11 July 2015

UKUMBI WA CCM DODOMA BADO MATUKIO YAPO MENGI KWELI KWELI

LAYIII

Majibu ya tatu bora kutoka kwenye list ya tano bora ya Wagombea Urais wa CCM tutayajua leoleo JULY 11 2015 kutoka hapahapa Dodoma.
Niko na wewe mtu wangu kwenye kila hatua, kila tukio la hapa ni lazima nilisogeze kwako pia… matukio mengine ya nje ya Ukumbi wa CCM Dodoma ni haya niliyoyanasa kwenye hizi pichaz.
DSC_2874
Camera za Waandishi wa Habari ziko karibu na kila tukio hapa Dodoma.
DSC_2876
DSC_2887
Wengine wanashuhudia kila kitu kwa hapa juu ya ghorofa jirani na Ukumbi wa CCM.
DSC_2894
Ilibidi Polisi waweke kamba kuzuia mtu yoyote kusogea karibu zaidi ya Ukumbi.
DSC_2903
Wa juu ya ukuta nao hawaishi wala hawapungui.
DSC_2906
DSC_2910
Magari ya Maji washawasha nayo yakasogezwa.
DSC_2935
Mwandishi wa Habari na Camera yake kazi inaendelea!!
DSC_2936
Farasi na mbwa nao walikuwepo kwenye mikono ya Vikosi vya Polisi na FFU wakati wote.
DSC_2933
DSC_2938
DSC_2940
DSC_2943
DSC_2945
Waandishi wa Habari.
DSC_3006
Ambulance ziliwekwa karibu pia kwa ajili ya dharura.
DSC_2960
DSC_2975
DSC_2983
DSC_2997
DSC_3019 DSC_3021 DSC_3032

No comments:

Post a Comment

advertise here