Saturday 11 July 2015

BAADA YA TATU BORA KUTANGAZWA CCM KILICHOFUATA HIKI HAPA

LAYIII
Tayari mchujo wa pili ulitangazwa saa kadhaa zilizopita hapa Dodoma ambapo walioingia ni John Magufuli, Asharose Migiro na Amina Salum kutoka kwenye tano bora iliyowahusisha pia January Makamba na Bernard Membe, watatu hawa kila mmoja 

CCM 2Tayari mchujo wa pili ulitangazwa saa kadhaa zilizopita hapa Dodoma ambapo walioingia ni John Magufuli, Asharose Migiro na Amina Salum kutoka kwenye tano bora iliyowahusisha pia January Makamba na Bernard Membe, watatu hawa kila mmoja alipewa dakika 15 za kuongea live mbele ya Wajumbe na
Watanzania.
Baada ya hayo kutoka kwenye ukumbi mpya wa mikutano wa CCM hapa Dodoma, mpango wa upigaji kura kumchagua mmoja kati ya hawa watatu ulishaanza ambapo Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Jakaya Kikwete aliahirisha mkutano huu mpaka saa nne asubuhi ya July 12 2015 ambako mwakilishi mmoja anaesubiria anatarajiwa kutangazwa.

No comments:

Post a Comment

advertise here