Saturday 11 July 2015

BREAKING NEWS

LAYIII

Baada ya wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM, kuingia ukumbini mjini Dodoma mchana huu wakiongozwa na mwenyekiti wake Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, viongozi wenzake, baadhi ya wajumbe wamesikika wakiimba “Tunaimani na Lowassa”.
Endelea kufuatilia habari zetu.

No comments:

Post a Comment

advertise here